Kisa cha Thaalaba || Sheikh Nassor Bachu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Hatari ya kibri Sheikh Nassor Bachu
    ‪@jiongezeemaarifa1496‬
    بسم الرحمن الرحيم
    Tupate maarifa kidogo:
    HATARI YA KIBRI:
    Ndio dhambi ya kwanza kutendeka huko mbinguni!
    Nayo ni pale Iblis alipokataa kumsujudia Baba yetu Nabii Adam (A.S) na maana yake kwa ufupi ni Kujikweza na kujiona wewe ndio wewe na ukafikia kuwaona wengine wote taka taka tu!
    Mtume (S.A.W) Amesema katika hadithi sahihi kuwa:
    "Hatoingia peponi mwenye chembe ya kibri katika moyo wake"
    Vile vile Amesema:
    "Kibri ni kuikataa Haki na kuwadogosha watu"
    Mtume (S.A.W) Pia Amesema kuwa "Mwenye kuanza kumtolea salamu (ndugu yake Muislamu) kwa hakika Ametakasika (Ameepukana) na kibri!"
    Tunamuomba Allah (S.W.T) Atukinge na gonjwa hili baya mno la moyo Aamin.

Комментарии • 14