Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Kisa cha Thaalaba || Sheikh Nassor Bachu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2022
  • Hatari ya kibri Sheikh Nassor Bachu
    ‪@jiongezeemaarifa1496‬
    بسم الرحمن الرحيم
    Tupate maarifa kidogo:
    HATARI YA KIBRI:
    Ndio dhambi ya kwanza kutendeka huko mbinguni!
    Nayo ni pale Iblis alipokataa kumsujudia Baba yetu Nabii Adam (A.S) na maana yake kwa ufupi ni Kujikweza na kujiona wewe ndio wewe na ukafikia kuwaona wengine wote taka taka tu!
    Mtume (S.A.W) Amesema katika hadithi sahihi kuwa:
    "Hatoingia peponi mwenye chembe ya kibri katika moyo wake"
    Vile vile Amesema:
    "Kibri ni kuikataa Haki na kuwadogosha watu"
    Mtume (S.A.W) Pia Amesema kuwa "Mwenye kuanza kumtolea salamu (ndugu yake Muislamu) kwa hakika Ametakasika (Ameepukana) na kibri!"
    Tunamuomba Allah (S.W.T) Atukinge na gonjwa hili baya mno la moyo Aamin.

Комментарии • 14

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 2 года назад +3

    Mahamed bachu hii ndiyo barabara uliyotakaniwa kuifata ya sheikh nassor bachu utulivu hekma na elmu Allah amjaliye miongoni mwa watu wa peponi

  • @yassirsuleiman7804
    @yassirsuleiman7804 2 года назад +2

    جزاك الله الخير ،يحفظك الله يرحمك الله

  • @swahibujuma9888
    @swahibujuma9888 Год назад +1

    MashaAllah
    Allah amfanyie sahali katika kaburi lake kipenzi chetu huyu na atukutanishe naye Jannah

  • @masoudmchau5145
    @masoudmchau5145 3 месяца назад

    2024

  • @nyangehaji2606
    @nyangehaji2606 Год назад

    Mashllah ,alla amrehm

  • @ibrahimuhincha1457
    @ibrahimuhincha1457 Год назад

    Allahummaghfirlah warhamhu

  • @hamisibakarimwahundu4861
    @hamisibakarimwahundu4861 Год назад

    SubhanaAllah

  • @yussuphshilingi3258
    @yussuphshilingi3258 2 года назад +1

    Mashaallah

  • @masoudmchau5145
    @masoudmchau5145 3 месяца назад +1

    Maneno ya Dhahabu mpk Sasa yanaishi #2024

  • @Assalafiyyah637
    @Assalafiyyah637 2 месяца назад

    Sheikh Allah amrahamu hapa amejitahidi lakini hichi kisa hakijadhibiti

  • @hajimuhidini1903
    @hajimuhidini1903 7 месяцев назад

    Allah amrehem sheikh wetu kisahiki muhaqiqina wamesema ni kisachauongo angalia tafsiri ya Doctor wahabat zuheil pia ktka kitabu Al qaulul mubin fi akhtwail muswaliina alipokua akielezea makosa ya makhatwibu

    • @harubuahmada36
      @harubuahmada36 3 месяца назад

      Tupe ukwel wake ikiwa waujua akhy