MWIJAKU AGALAGALA CHINI BAADA YAKUONA JUMBA HILI JIPYA LA ALIKIBA/ TAZAMA HAPA AMUOMBA MUNGU NAE..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июл 2023
  • JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 pmbet.co.tz NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA IST NA NISSAN DUALIS
    .
    TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU
    INSTAGRAM @pmtv___
    TWITTER @Pmtvtz
    TIKTOK @Pmtvtz
  • СпортСпорт

Комментарии • 144

  • @philippemukandama2960
    @philippemukandama2960 10 месяцев назад +14

    Nice property 👌.
    Alikiba is very humble, he doesn't like to show off like other artists.

  • @baysadam235
    @baysadam235 10 месяцев назад +11

    Jumba la big boss King tajiri✊✊🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @rmbwitu1994
    @rmbwitu1994 10 месяцев назад +27

    Watu wengi wanafikili Ally hana pesa shida jamaa atangazi lkn ule mgorofa wa tabata pale daaaa jamaa analima mpunga maeka kibao

    • @godfreymwaipasi6539
      @godfreymwaipasi6539 10 месяцев назад +3

      Tatizo la wabongo wanabebwa na upepo mfalme mwenye ufalme wake toka kitambo kazi za maana maneno kidogo

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 10 месяцев назад

      unamjua mwijaku kwa uongo?mumesahau tayari ya Hamissa kuhusu lile gari?

    • @Nims643
      @Nims643 10 месяцев назад

      ​@@kwisa4899tafta pesa mwanaume uwache Kua na wivu

    • @rehemathoya8754
      @rehemathoya8754 10 месяцев назад

      Ni mkimya sana, hana tattoo, hatukanani nyimbo zake swafi

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 10 месяцев назад +12

    Ali hanaga mbamba, Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi. 🤲

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein8430 10 месяцев назад +2

    Mashaa ALLAH

  • @user-zh5ho6vo6w
    @user-zh5ho6vo6w 10 месяцев назад +4

    Very nice King kiba

  • @mdta8161
    @mdta8161 10 месяцев назад +4

    Hongera sana king kiba

  • @mariamjuma1670
    @mariamjuma1670 10 месяцев назад +7

    Kwaninj wasanii wa danse awanamaisha mazuri nafikili wanapenda Sana kuongwa😅

  • @saudashani5981
    @saudashani5981 10 месяцев назад +3

    Mungu akuweke king 👑 Kiba na Kalibu sana msimbazi

    • @Kwazulu1
      @Kwazulu1 3 месяца назад

      Ali Kiba doesn’t show off kama wale wezetu. Congratulations
      Allikiba.
      Location gani???

  • @mesaidikazungu4299
    @mesaidikazungu4299 10 месяцев назад +1

    Mashallah Allah 🥰🥰🥰

  • @Xavierdecristo
    @Xavierdecristo 10 месяцев назад +3

    King 👑👑👑👑

  • @agnesnjeleka4898
    @agnesnjeleka4898 10 месяцев назад +7

    Safi alikiba Huna mbambamba wewe safi sana

  • @miguelcasimiro2542
    @miguelcasimiro2542 10 месяцев назад +1

    Ukisikia ubora njo huu! Mwenye hela asemi 🎉

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 10 месяцев назад

    hongera sana

  • @HakizimanaFiston
    @HakizimanaFiston 10 месяцев назад +4

    Mwijaku iyo ninyumba yakawaida kwamtuu kama Alikiba mbona niyakawaida sana hiyo 😊

    • @antonywilliama2868
      @antonywilliama2868 10 месяцев назад

      njaa i itakuwa ww sio kwa ujinga huu

    • @mohamedsuleiman2785
      @mohamedsuleiman2785 10 месяцев назад +1

      Boss ingekuwa nyumba ya kawaida tanzania tungepewa passport ya daraja la kwanz Dunia kwenda tunako taka bila kuhitaji visa ila watanzania wengi hizo nyumba nsmna hii hatumiliki

  • @HAMIDURAMADHANI-ev5od
    @HAMIDURAMADHANI-ev5od 10 месяцев назад +4

    Njaa mbaya sanaaa😂😂😂

  • @mshuamsuya9201
    @mshuamsuya9201 10 месяцев назад +4

    Sema mwijakaa kashindikanaaa

  • @sixberttindwa9622
    @sixberttindwa9622 10 месяцев назад

    Chawa chawa

  • @henryachila5448
    @henryachila5448 10 месяцев назад

    Kuwa chawa ni kazi aise

  • @malikmasoud3190
    @malikmasoud3190 10 месяцев назад +2

    Njaa noma sn

  • @patrickkambi423
    @patrickkambi423 10 месяцев назад +8

    This man make me smile 🤣🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @albertmalenge-cs6zy
    @albertmalenge-cs6zy 10 месяцев назад +1

    Ila mwijaku daaah

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 10 месяцев назад +3

    Mwijaku fala sana 😂😂😂

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 10 месяцев назад

    🤴 👑 🤴 👑

  • @mudywaya328
    @mudywaya328 10 месяцев назад +3

    mwijaku namkubalisana👍

  • @Lea-iz8fd
    @Lea-iz8fd 10 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 10 месяцев назад +1

    Mwijaku akilala hoi

  • @stanleyoreri6447
    @stanleyoreri6447 10 месяцев назад +1

    Huyo ndio the only one king 😂😂 hatari sana .kitu nampendea hapendi kujionyesha onyesha kama wasanii wengine

  • @ramakinjoi4063
    @ramakinjoi4063 10 месяцев назад +4

    Mwijaku atafika mbinguni akiwa amechoka sanaaa aseeeh😂😂😂😂😂😂😂.

    • @hanafiSaidi-ji9ms
      @hanafiSaidi-ji9ms 10 месяцев назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 siopoa

    • @lavimusic_
      @lavimusic_ 10 месяцев назад

      Si mpaka afike huko mbinguni

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 10 месяцев назад +3

    😂😂😂dah inaitaji wehu kumudu maisha mjini

  • @rizikirobert4596
    @rizikirobert4596 10 месяцев назад

    Ninjaaa tuu inakusumbuaa mwijaku

  • @user-fm8ll7ln9i
    @user-fm8ll7ln9i 10 месяцев назад +3

    😂😂uyu jamaa atafika mbinguni kachoka sana

  • @KichuyaMaja-qq5zn
    @KichuyaMaja-qq5zn 10 месяцев назад

    Kweli uchawa hatariii

  • @habibumasenga6213
    @habibumasenga6213 10 месяцев назад

    Mbona gari yenyewe hana nembo was jina mwijaku unazingua 😊

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 10 месяцев назад +2

    Mwijaku jamani😂😂😂😂😂😂

  • @user-zr7cj9tx4i
    @user-zr7cj9tx4i 10 месяцев назад +1

    King kiba kwanza yupo jilani Sana na mungu wake arfu ana sifa za kijinga arafu ni mtu mmoja pis Sana na mkurima mzur tu wa mpunga ,sio kama wasanii WENGINE kaz Yao skendo tu arafu hawana chochote piga kaz king kina swar swara tano mungu hatakuongoza kwenye MAKOSA omba msamaha Kwa mungu

  • @majidseyyid9485
    @majidseyyid9485 10 месяцев назад +2

    😂😂😂😂 uyu jamaa asee anatabu sana

  • @Makavelithedon2086
    @Makavelithedon2086 10 месяцев назад +3

    *Wanaume tunaendelea kupungua halafu utaskia huyu nae eti Most influencer in Tanzania WTF*

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 10 месяцев назад +1

    Hizo heka 8 zipo wapii hyo nyumba ya kawaida wanamiliki mpka wauza nyanya mm kiukweli bado cjaona msanii mjanja wote mnakaa mjini tafuta heka kumi Jenga humo kila kitu unafuga unalima kila kitu na hamshindwi mnabak kupost mijumba ya Raman za zamanii

    • @angelfalleh-wb9rg
      @angelfalleh-wb9rg 10 месяцев назад

      Ila watu mna roho mbayaaaa imagine unaumia na mafanikio wa wanaume wenzio c htr hii😁

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 10 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂chawa asieleweka😂😂

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 10 месяцев назад

    Njaa bhana😂😂

  • @user-xk3cq2hr8k
    @user-xk3cq2hr8k 10 месяцев назад

    Naweww Yako Iko wapi

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 10 месяцев назад

    Huyu Jamaa Alisha Mkufuru Mungu Muda Mrefu Sanaa Ila Tu Hajui...!!

  • @sarahjagadi4884
    @sarahjagadi4884 10 месяцев назад

    mbona lakizamani jamani(kuukuu)

  • @edwinlazaro1368
    @edwinlazaro1368 10 месяцев назад

    Daah sijui tutahadithia nn wajukuu zetu sisi chawa

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 10 месяцев назад

    Mwijaku tutakupelek portrieltz 😅😅😅

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 10 месяцев назад +1

    Hv jumba la billion 5 unalikujuwa kweli? Au bilion 5 unazani nimatako

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz9420 10 месяцев назад +5

    Hakun nyumb ya Billion tano hapo tumepigwa 😂😂

    • @iddymtitiko
      @iddymtitiko 10 месяцев назад +3

      Hujapigwa manzeee bali maisha nayo yanapanda kila siku sion kama kuna shida kwa hiyo pesa sisi tunaojenga vibanda vya mguu mmoja lkn vinatutoa jasho

    • @ernestjulius3209
      @ernestjulius3209 10 месяцев назад

      Nyumba mikocheni gharama

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 10 месяцев назад

      ​@@iddymtitikoEt kibanda cha mguu mmoja😂😂😂😂😂

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 10 месяцев назад +1

    Kweli ww ndo chawa wa kweli

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 10 месяцев назад

    Hapo Heka 8 ??

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 10 месяцев назад

    duh uchawa nao kazi

  • @Domplex-uf7ih
    @Domplex-uf7ih 10 месяцев назад +1

    Huyu jamaa atakuja kufirwa aseee

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 10 месяцев назад

    Heka ngapi? 😰😰 nahisi sijasikia vizuri jamani..

  • @apolinemalungano9155
    @apolinemalungano9155 9 месяцев назад

    Huyu jamaa uchawa utamuuwa 😂😂😂😂

  • @user-jz4ff4pg5f
    @user-jz4ff4pg5f 10 месяцев назад

    Huyu mwijaku kama sio uchizi ni ushoga maana kama niuchawa umepitiliza

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 10 месяцев назад

    mwijaku muongo jamani 😂😂😂

  • @ahammedmahruki8708
    @ahammedmahruki8708 10 месяцев назад +2

    Yaani huyu alali wala asinzii😅😅

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 10 месяцев назад

    Chawa anataka maokoto😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 10 месяцев назад +2

    Mwijaku wanao wanakuona unavyojiaibisha sababu ya Njaa😂

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 10 месяцев назад

    Duh umbea kazi jamani

  • @vickybrit87
    @vickybrit87 10 месяцев назад +1

    😂😂😂mwijaku hunifurahisha akirusha Cheche.

  • @alouisejohn7752
    @alouisejohn7752 10 месяцев назад

    Mwijaku kumbe mbumbumbu

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 10 месяцев назад

    Ila mwijaku na tafuta ela kwa shida

  • @naswiruzubair7436
    @naswiruzubair7436 10 месяцев назад +2

    This is ridiculous- this house can’t be worth of 5BTsh …

    • @wiseboy_znz4719
      @wiseboy_znz4719 10 месяцев назад

      Build urs then give us statement

    • @naswiruzubair7436
      @naswiruzubair7436 10 месяцев назад

      @@wiseboy_znz4719 to me this reply sounds to be below average to comment on.

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 10 месяцев назад

    Mbona ya kawaida tu.

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd 10 месяцев назад

    Hahaha anaishi kwenye nyumba au anishi kwenye Expesive life?
    hahaha mwijaku noma

  • @venturejackson6357
    @venturejackson6357 10 месяцев назад

    Afu hyu mwana wakampime rinda mtakuja nishukuru badae hyu mwana anavielelezo vyte vya ushoga yaan

  • @hawagondwe2056
    @hawagondwe2056 10 месяцев назад

    Mwijaku anatako c mchezo 😅😅

  • @stevensiwity944
    @stevensiwity944 10 месяцев назад

    Unaijua nyumba ya Billion 5.3 ww bwege,cjui shule ulienda kusoma nn ww,na wengine mnasema eti Kiba apendi kujionyesha,sasa kwa akili ya kawaida hapo mnaona hawakupanga kwamba twende tukakurekodi huku ukipiga porojo

  • @charlesjackson-zx5zg
    @charlesjackson-zx5zg 10 месяцев назад +1

    Mwijaku wewe ni Mwislam bila shaka,je,waisilamu mnaamini kuwa Mungu ni BABA!, naomba jibu.

    • @JumaSeleman-mi2zx
      @JumaSeleman-mi2zx 10 месяцев назад

      😂😂😂 sema pastor nkusikie porojo zako

  • @sixberttindwa9622
    @sixberttindwa9622 10 месяцев назад

    Unaijua nyumba yab5.3 unaijuwa ww chawa

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 10 месяцев назад

    IPO siku huyu mwijaku ata kuja kujikwaa adondokee kwenye mboo ya kiba

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 10 месяцев назад

    Unatoka povu sana kijana kwani ukiongea taratibu hutasikika?

  • @godymaster8727
    @godymaster8727 10 месяцев назад

    Anajua bilion kweli

  • @methewbuzuruga-eg8oz
    @methewbuzuruga-eg8oz 10 месяцев назад

    Huyo ndiyo mwenye degree sasa sijui hapo ameshawapiga shilingi ngapi maana hapo yuko kazini ndiyo masomo aliyosomea mwenzetu ikiwemo kushika matiti ya bodgurd sijui hicho chuo Kiko wapi hapa tanzazania

  • @HakizimanaFiston
    @HakizimanaFiston 10 месяцев назад

    Nyumba nipana kabissa nikubwa ila haimanishi kwamba ninyumba ya ki star haaa wewe tafuta chochote 😊

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic1531 10 месяцев назад +1

    Huyu atachizi😂

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 10 месяцев назад

    Kamuuhubirie yule tajiri wako wamadale Anaejitangaza kilasiku anahela

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 10 месяцев назад

    Usipojituma katika kutafta ujue utafanywa bwege ona huyuuuu mwanaume anavyodhalilisha ulimwengu

  • @bbcwrld
    @bbcwrld 10 месяцев назад

    Baba yake na mtu uyo hapo 😂😂

  • @shukranisalvatory6101
    @shukranisalvatory6101 10 месяцев назад

    Billion 5.3 anaijua kweli huyu, Eka 8 mbona hazionekani apo

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 10 месяцев назад

    Nyumba ina srutch tele

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 10 месяцев назад

    Kama unafamilia utakuw uliwah kwa sasa tyr umeshakuwa shoga

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 10 месяцев назад

    😂😂😂😂hv mke wa mwijaku akimuangalia mumewe hv anajisikiaje??doooo

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila292 10 месяцев назад +1

    What's wrong with this Mwijaku??
    Is he okay or ??

    • @gracelee565
      @gracelee565 6 месяцев назад

      He's lost it in a good way!!!!😅😅😅

  • @daudimasawa7684
    @daudimasawa7684 10 месяцев назад

    mwijaku inakaa hadi mke wake ako na IQ KUBWA KUMLIKO

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 10 месяцев назад

    Kuna maana iliyofichika na kile mwijaku hukifanya

    • @Am-vo5cu
      @Am-vo5cu 2 месяца назад

      Kweli kabisa. Ni kama hutumwa kutoka kigoma maneno yake sio tuu ya kejeli bali huyo ni mchawi wa mwisho

  • @Arnoldpriscuss
    @Arnoldpriscuss 10 месяцев назад

    uchizi

  • @user-zj4yx1yu2r
    @user-zj4yx1yu2r 10 месяцев назад

    😅😂😂😂mwijaku

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q 10 месяцев назад

    Mwijaku inawezekana kwa matendo yako wewe ni shoga haiwezekani kumsifia. Mwanaume mwenzio mkeo anakusikia laaa kazi kwelikweriiiiii

  • @user-iu9je5xl3y
    @user-iu9je5xl3y 10 месяцев назад

    Huyu jamaa ni chawa. Mala Kwa diamond jamani kuna watu Bila uchawa hawaishi

  • @gulusabiti9177
    @gulusabiti9177 10 месяцев назад

    Huyu atakuja kufiii

  • @eskalade486
    @eskalade486 10 месяцев назад

    Nyumban gan sasa apo angalia konde jumba alalo ish

    • @edithajonh2970
      @edithajonh2970 10 месяцев назад

      Kuma la mama yako Sasa huyo konde wako anaishi nyumba ya kupanga na diamond wako Kama Wana pesa wajenge nyumba zao waishi kwenye nyumba zao Kama alikiba

    • @BijouxMunezero
      @BijouxMunezero 10 месяцев назад

      Wanawake utawajua tu kwaiyo lile chicha alilopanga harmonize nayo nyumba ile

    • @billiamwilliamtv6505
      @billiamwilliamtv6505 10 месяцев назад

      Ali kiba ana gorofa mbili za kwake sio kupanga

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 10 месяцев назад

    Billion 5 unaijua ww au unaropoka tu

  • @gracelee565
    @gracelee565 6 месяцев назад

    Guy is OTT 😂😂😂😂😂😂

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 10 месяцев назад

    Acha kusifia wanaume wenzio na ww pambana choko ww

  • @hamisahillary8615
    @hamisahillary8615 9 месяцев назад

    😂😂😂😂❤❤❤

  • @user-nz6rs9vn3t
    @user-nz6rs9vn3t 10 месяцев назад

    Kuna muda linasema ukwel kuna mud anazngua dah

  • @user-uk6pt5so3q
    @user-uk6pt5so3q 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂