MWIJAKU AGALAGALA CHINI BAADA YAKUONA JUMBA HILI JIPYA LA ALIKIBA/ TAZAMA HAPA AMUOMBA MUNGU NAE..
HTML-код
- Опубликовано: 27 июл 2023
- JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 pmbet.co.tz NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA IST NA NISSAN DUALIS
.
TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU
INSTAGRAM @pmtv___
TWITTER @Pmtvtz
TIKTOK @Pmtvtz Спорт
Nice property 👌.
Alikiba is very humble, he doesn't like to show off like other artists.
Jumba la big boss King tajiri✊✊🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Watu wengi wanafikili Ally hana pesa shida jamaa atangazi lkn ule mgorofa wa tabata pale daaaa jamaa analima mpunga maeka kibao
Tatizo la wabongo wanabebwa na upepo mfalme mwenye ufalme wake toka kitambo kazi za maana maneno kidogo
unamjua mwijaku kwa uongo?mumesahau tayari ya Hamissa kuhusu lile gari?
@@kwisa4899tafta pesa mwanaume uwache Kua na wivu
Ni mkimya sana, hana tattoo, hatukanani nyimbo zake swafi
Ali hanaga mbamba, Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi. 🤲
Mashaa ALLAH
Very nice King kiba
Hongera sana king kiba
Kwaninj wasanii wa danse awanamaisha mazuri nafikili wanapenda Sana kuongwa😅
Mungu akuweke king 👑 Kiba na Kalibu sana msimbazi
Ali Kiba doesn’t show off kama wale wezetu. Congratulations
Allikiba.
Location gani???
Mashallah Allah 🥰🥰🥰
King 👑👑👑👑
Safi alikiba Huna mbambamba wewe safi sana
Ukisikia ubora njo huu! Mwenye hela asemi 🎉
hongera sana
Mwijaku iyo ninyumba yakawaida kwamtuu kama Alikiba mbona niyakawaida sana hiyo 😊
njaa i itakuwa ww sio kwa ujinga huu
Boss ingekuwa nyumba ya kawaida tanzania tungepewa passport ya daraja la kwanz Dunia kwenda tunako taka bila kuhitaji visa ila watanzania wengi hizo nyumba nsmna hii hatumiliki
Njaa mbaya sanaaa😂😂😂
Sema mwijakaa kashindikanaaa
😂😂😂😂😂😂
Chawa chawa
Kuwa chawa ni kazi aise
Njaa noma sn
😂😂
This man make me smile 🤣🇷🇼🇷🇼🇷🇼
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bado kdg anene kwa lugha😂😂😂
Ila mwijaku daaah
Mwijaku fala sana 😂😂😂
🤴 👑 🤴 👑
mwijaku namkubalisana👍
❤❤❤❤❤
Mwijaku akilala hoi
Huyo ndio the only one king 😂😂 hatari sana .kitu nampendea hapendi kujionyesha onyesha kama wasanii wengine
Mwijaku atafika mbinguni akiwa amechoka sanaaa aseeeh😂😂😂😂😂😂😂.
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 siopoa
Si mpaka afike huko mbinguni
😂😂😂dah inaitaji wehu kumudu maisha mjini
Ninjaaa tuu inakusumbuaa mwijaku
😂😂uyu jamaa atafika mbinguni kachoka sana
Kweli uchawa hatariii
Mbona gari yenyewe hana nembo was jina mwijaku unazingua 😊
Mwijaku jamani😂😂😂😂😂😂
King kiba kwanza yupo jilani Sana na mungu wake arfu ana sifa za kijinga arafu ni mtu mmoja pis Sana na mkurima mzur tu wa mpunga ,sio kama wasanii WENGINE kaz Yao skendo tu arafu hawana chochote piga kaz king kina swar swara tano mungu hatakuongoza kwenye MAKOSA omba msamaha Kwa mungu
😂😂😂😂 uyu jamaa asee anatabu sana
*Wanaume tunaendelea kupungua halafu utaskia huyu nae eti Most influencer in Tanzania WTF*
Hizo heka 8 zipo wapii hyo nyumba ya kawaida wanamiliki mpka wauza nyanya mm kiukweli bado cjaona msanii mjanja wote mnakaa mjini tafuta heka kumi Jenga humo kila kitu unafuga unalima kila kitu na hamshindwi mnabak kupost mijumba ya Raman za zamanii
Ila watu mna roho mbayaaaa imagine unaumia na mafanikio wa wanaume wenzio c htr hii😁
😂😂😂😂😂😂😂😂chawa asieleweka😂😂
Njaa bhana😂😂
Naweww Yako Iko wapi
Huyu Jamaa Alisha Mkufuru Mungu Muda Mrefu Sanaa Ila Tu Hajui...!!
Hahahah haya bana
mbona lakizamani jamani(kuukuu)
Daah sijui tutahadithia nn wajukuu zetu sisi chawa
Mwijaku tutakupelek portrieltz 😅😅😅
Hv jumba la billion 5 unalikujuwa kweli? Au bilion 5 unazani nimatako
Hakun nyumb ya Billion tano hapo tumepigwa 😂😂
Hujapigwa manzeee bali maisha nayo yanapanda kila siku sion kama kuna shida kwa hiyo pesa sisi tunaojenga vibanda vya mguu mmoja lkn vinatutoa jasho
Nyumba mikocheni gharama
@@iddymtitikoEt kibanda cha mguu mmoja😂😂😂😂😂
Kweli ww ndo chawa wa kweli
Hapo Heka 8 ??
duh uchawa nao kazi
Huyu jamaa atakuja kufirwa aseee
Heka ngapi? 😰😰 nahisi sijasikia vizuri jamani..
Huyu jamaa uchawa utamuuwa 😂😂😂😂
Huyu mwijaku kama sio uchizi ni ushoga maana kama niuchawa umepitiliza
mwijaku muongo jamani 😂😂😂
Yaani huyu alali wala asinzii😅😅
😂😂
Chawa anataka maokoto😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwijaku wanao wanakuona unavyojiaibisha sababu ya Njaa😂
😂😂😂😂eti jamani
Duh umbea kazi jamani
😂😂😂mwijaku hunifurahisha akirusha Cheche.
Mwijaku kumbe mbumbumbu
Ila mwijaku na tafuta ela kwa shida
This is ridiculous- this house can’t be worth of 5BTsh …
Build urs then give us statement
@@wiseboy_znz4719 to me this reply sounds to be below average to comment on.
Mbona ya kawaida tu.
Hahaha anaishi kwenye nyumba au anishi kwenye Expesive life?
hahaha mwijaku noma
Afu hyu mwana wakampime rinda mtakuja nishukuru badae hyu mwana anavielelezo vyte vya ushoga yaan
Mwijaku anatako c mchezo 😅😅
Unaijua nyumba ya Billion 5.3 ww bwege,cjui shule ulienda kusoma nn ww,na wengine mnasema eti Kiba apendi kujionyesha,sasa kwa akili ya kawaida hapo mnaona hawakupanga kwamba twende tukakurekodi huku ukipiga porojo
Mwijaku wewe ni Mwislam bila shaka,je,waisilamu mnaamini kuwa Mungu ni BABA!, naomba jibu.
😂😂😂 sema pastor nkusikie porojo zako
Unaijua nyumba yab5.3 unaijuwa ww chawa
IPO siku huyu mwijaku ata kuja kujikwaa adondokee kwenye mboo ya kiba
Unatoka povu sana kijana kwani ukiongea taratibu hutasikika?
Anajua bilion kweli
Huyo ndiyo mwenye degree sasa sijui hapo ameshawapiga shilingi ngapi maana hapo yuko kazini ndiyo masomo aliyosomea mwenzetu ikiwemo kushika matiti ya bodgurd sijui hicho chuo Kiko wapi hapa tanzazania
Nyumba nipana kabissa nikubwa ila haimanishi kwamba ninyumba ya ki star haaa wewe tafuta chochote 😊
Huyu atachizi😂
Afu kweli😂😂😂😂😂
Kamuuhubirie yule tajiri wako wamadale Anaejitangaza kilasiku anahela
Usipojituma katika kutafta ujue utafanywa bwege ona huyuuuu mwanaume anavyodhalilisha ulimwengu
Baba yake na mtu uyo hapo 😂😂
Billion 5.3 anaijua kweli huyu, Eka 8 mbona hazionekani apo
Nyumba ina srutch tele
Kama unafamilia utakuw uliwah kwa sasa tyr umeshakuwa shoga
😂😂😂😂hv mke wa mwijaku akimuangalia mumewe hv anajisikiaje??doooo
What's wrong with this Mwijaku??
Is he okay or ??
He's lost it in a good way!!!!😅😅😅
mwijaku inakaa hadi mke wake ako na IQ KUBWA KUMLIKO
Kuna maana iliyofichika na kile mwijaku hukifanya
Kweli kabisa. Ni kama hutumwa kutoka kigoma maneno yake sio tuu ya kejeli bali huyo ni mchawi wa mwisho
uchizi
😅😂😂😂mwijaku
Mwijaku inawezekana kwa matendo yako wewe ni shoga haiwezekani kumsifia. Mwanaume mwenzio mkeo anakusikia laaa kazi kwelikweriiiiii
Huyu jamaa ni chawa. Mala Kwa diamond jamani kuna watu Bila uchawa hawaishi
Huyu atakuja kufiii
Nyumban gan sasa apo angalia konde jumba alalo ish
Kuma la mama yako Sasa huyo konde wako anaishi nyumba ya kupanga na diamond wako Kama Wana pesa wajenge nyumba zao waishi kwenye nyumba zao Kama alikiba
Wanawake utawajua tu kwaiyo lile chicha alilopanga harmonize nayo nyumba ile
Ali kiba ana gorofa mbili za kwake sio kupanga
Billion 5 unaijua ww au unaropoka tu
Guy is OTT 😂😂😂😂😂😂
Acha kusifia wanaume wenzio na ww pambana choko ww
😂😂😂😂❤❤❤
Kuna muda linasema ukwel kuna mud anazngua dah
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂