MFAHAMU ASKOFU MTEULE WA JIMBO KATOLIKI MAFINGA PADRE VICENT MWAGALLA
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...
Mwenyezi Mungu akuongoze bro askofu Vincent Mwagala
Baba mwagala Mungu akuongoze katika Safari yako ya utume
Kwa historia hii..bado mdogo kiumri,Padre mchanga... Kanisa Katoliki kuna mabadiliko yanakuja kwa kasi sana
Tunakuombea kwa Mwenyezi Mungu Aliyekuteua wewe kwamba ukafanikiwe katika Utume aliokutuma huko Jimbo Katoliki la Mafinga🙏🙏🙏