Anayesikiliza Wimbooo Mwez wa 7 baada Ya Ankoo Magu kuteuliwa kuwa Mgombea wa Urahisii Na TUTAWACHAPA KWA KURAA MaGUU TANO TENA TUJUANE ❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ *Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1961_1985) *Mzee Ali Hassan Mwinyi(1985_1995) *Benjamin Mkapa(1995_2005) *Jakaya Mrisho Kikwete(2005_2015) *John Pombe Magufuli (2015_2021) *Samia Suluhu(2021_ to date) Tanzania Oyeeee..... CCM oyeee. Umoja,Haki na maendeleo
Ongeraa mama kuchaguriwa kuwa m/kiti wa chama ccm nami niko yuma ya mugogo wako 2025 juma toka mbarara Uganda 🇺🇬 mtanzania 🇹🇿 harisii nitarundi nyubani nikupingie ya ndio👍
Huu wimbo ulifanya kazi yake 2015. CCM nilikuwa nimewachoka ila nikawa najikuta nikiusikia huu wimbo na mimi nauimba mpaka ukanipokonya kura yangu. Komba alikuwa na kipaji hatari kwa kweli, na pengo lake linaonekana TOT. Apumzike kwa Amani.
ee mungu tupe kibali chakoo kipindii hichii Cha kampeni na uchaguzii mungu wanguu ukatuchagulie viongoz watakao ifikisha nchi yetuu mahali panapo stailii mungu wanguu kilaa roho za damu kumwagikaa na vifoo tunaendaa kuungana mbele zakoo tunakataa kwa jina la yesuu ee munguu Tanzania ikabakii kuwa nchii ya amanii na utulivuu na upendoo na hurumaa telee thanks Jesus for everything 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭 2020 twendee sawa apa ubarikiwe unae soma comment yanguu ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏👏ccm ni Ile ileeee vijana tunasemajee !!???? Tumejipangaa mwaka huu wataisomaaa 👎👍👍👎👎👍👍🤲
Kama unasikilza 2024 twende sawa
A
😂😂ccm mbele Kwa mbele
Tunaopenda hii ngoma, lakini sio ccm
Like zenu chini apa👇🏽👇🏽
Nilijua ni pekeangu kumbe tupo wengi
Tupooo leo tare 5 mwez wa 3 mwaka 2024 nikiwa Berlin ujerumani bado hii ngoma naikumbuka japo mi nilikua chadema dam dam ila hii ngoma niliikubali
😂😂 nipo naiskiliza hapa.sababu naipenda tu,ila sio chama
Pumziko la mi lele Anko magu 2024/9/7
Mzee Komba ni sawa na Tanzania All Stars wote😂😂😂😂
Surely aisee mzee alikuwa mtamu kama rummy ongala tatzo la remy ni tumbaku tu
Anae sikiliza na mm 2020 like hapa
Tumejipanga mwaka huu wataisoma namba
My fav song
Tuko pamoja
Hatari sana!!
Ccm mbelembelekwambele
Wimbo huu ninapousikiliza unanikumbusha campaign yangu ya kwanza ya 2015 na ya pili 2020. Ni very motivating !!...Uendelee kuimbwa chaguzi zote !!
kutoka kenya napiga like👍✅✅✅ CCM 👍👍❤️❤️ magufuli hooooyeeeeeeee👍👍❤️❤️
Kama unaikubali ccm itapita 2020 gonga like hapa
Wanasoma no sasa
Baada ya kusikia kampeni zinaanza imenibidi niicheki hii nyimbo😍😍😍
mamae huu wimbo ukipigwa unajikuta tu unachezesha kichwa ccm hoye
Hahahaha
Oyeeeeeeeee c kutikisha kichwa tu nakuucheza kabisaaa
Noma kabisa kaka...unaweza unajikuta unayarud huku umevaa sare za CDM😂
Oyee
Na miss sana Kampeni za CCM huu wimbo ni namba moja CCM ni ile hakuna wakuipiku tumejipanga ki sawa sawa
Im a kenyan but i love this song though naelewa ni ya election
Election?
@@eugenelukingi912 ndio uchaguzi au hujaelewa
Karibu sana sister
Anayesikiliza Wimbooo Mwez wa 7 baada Ya Ankoo Magu kuteuliwa kuwa Mgombea wa Urahisii
Na TUTAWACHAPA KWA KURAA
MaGUU TANO TENA
TUJUANE
❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hakika
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
*Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1961_1985)
*Mzee Ali Hassan Mwinyi(1985_1995)
*Benjamin Mkapa(1995_2005)
*Jakaya Mrisho Kikwete(2005_2015)
*John Pombe Magufuli (2015_2021)
*Samia Suluhu(2021_ to date)
Tanzania Oyeeee.....
CCM oyeee.
Umoja,Haki na maendeleo
2020 kwa kweli hakuna haja ya nyimbo vyote vinajieleza CCM juu kabisa
Haha IPO na nyimbo zipo angalia chellahmuziq lichama ccm utsjionea ww
@@chellahmuziq8421 ......,..,........., my lovely friend wake, my lovely friend and
Hatunywi sumu hatujinyongi😘🔥Ccm mbele kwa mbele👌
Uzur wakutosha
wakereketwa wa chama kubwa hatunaga mawazo like kama upo unasikiliza mwaka 2019
2020
Tuliokuja kwa ajilu ya magu rest in peace magufuli, 😭😭😭😥
Tupo
rip magufuli
Rip kamanda
Dah we acha tu
Sasa ndo tunaisoma no.haswaa😭...rest in peace JPM.
Captain Komba haupo nasi kimwili, ila tunazidi kuburudika na nyimbo zako nzuri zisizochuja. Mungu akupumzishe mahali pema peponi🙏
Amlaze anapostihiki
Kwani pepo masiara ww
Na kila mkiskiliza hii nyimbo ndo mnazidi kumkandamiza kama hamna habari
@@snsonlinetv8432 maana wewe unaenda Firdausi, huna kosa hata moja duniani hapa. Umempita hadi Mtume. Fala sana
Huo wimbo noma sana usipokaa vizuli hata ukiwa mpinzani unawezakujikuta na ww unayimba nakuucheza.
umeona eh?
Saimon Julius kabisa
Kwel aise haaaaa wimbo mtamu sana
Kweli hii ngoma ni kali na ipo kwenye cm yangu japo mm ni mpinzan
Hahhhhh huu wimbo ulizuzua watu Sana 2015
Baada yakusikia nyimbo hii! Nimekumbuka vingi Sana😭😭😭😭!
Umemkumbuka magufuli mtetez wetu kaka yetu mpendwa wetu
wataisomaa 2020..milele milele itabakiaa naipenda hatari
Hakuna kama komba kwa kweli... Kampeni alikua anachangamsha kwa hizi nyimbo
Kuhusu CCM bolla nife silali juu yake naipendaaa kifupi haina mpinzani vyama zingine mnajisumbua mtaisoma namba 1 mpaka mfilisike chadema
Uhakikaaaaaa
Ccm naipenda Hatar by Liwada
Gonga like Kama tupo pamoja
2023 still hitting to the core…. Viva Magufuli viva…
Sure.. magu for life
CCM MBELEKWA MBELE 2024❤❤ JAPO MIMI SIO CCM.
Kulikuwa na komba mmoja tu!!!
Hii nyimbo nakumbuka 2015 wakati wa kampeni penda sana ccm
Hapo Sasa asieipenda ccm Kaz kwake
Na kwel komba watu wanaisoma namba nawe mungu akurahemu kaka umetuacha na simanz kubwa sana saut yako tuu ilikuwa mwisho kwa wapinzan👏👏
Mmmmmh wimbo wenyewe unatosha ,,ukipigwa Kama komba yupo ,,tunakukumbuka c komba
napapenda hapo inapoanza ccm niile ile
Yaan Kama mimi
Km mm tu....yaan siipend ccm ila huu wimbo naupenda biti lake tu
Kama mim hii ngoma mtunzi alitulia
Huuuuuu Wimbo ndio ulikuwa unafanya niende kampeni Zaooo CCM
Kabisa!
Amini usiamn maisha ni siasa na siasa ndio maisha yenyewe
@@seremanimzee2718 kweli
Kipaji bora kabisa kuwahi kutokea nchini, kwa kutunga na kuimba nyimbo za Matukio makubwa hasa haya ya nchi yetu
wale waliotembelea hapa 2019 wekeni like kujiandaa kumpa kura mzee wa hapa kazi tu 2020
Kila LA heri JPM
Ongeraa mama kuchaguriwa kuwa m/kiti wa chama ccm nami niko yuma ya mugogo wako 2025 juma toka mbarara Uganda 🇺🇬 mtanzania 🇹🇿 harisii nitarundi nyubani nikupingie ya ndio👍
Hii ni Kiboko. Capt Mst John Bruno Komba utakumbukwa milele!. Umeenda njia ya wengi mapema...
Kweli mzee komba mungu ailaze roho yake pema
Kabisa yaani
Yaan
Wale ambao hatunywi sumu wala hatujinyongi tujuane kwa like na comment
Tumejipanga mwaka huu wstaisoma😂
Nyimbo zilikua zinahamashisha sana m.mungu ailaze pema pepon roho ya marehem komba
My favourite song ,🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃 kinana na membe hoyeeeeeeee
Dah...huu wimbo ufanywe wa taifa jaman..maana mm bila kuusikia siku haiendi kabisa....naipenda sana CCM
Chadema in blood lakin hili lisongi nalipenda kichiz yani 😂🙌🙌🙌
Sasa wanasoma namba eeeh CCM daima Mapinduziiii daima
Wanaisoma kwelii 28/10wanahemea mipira,
@@shalomizrael667 Hahaha
Unabii unaendelea kufanya kazi
hapo kwenye TUMEJIPANGA MWAKA HUU WATAISOMA 😍😍😍
Anae ukubalihuu wimbo kamamm 2020,atampa magu kura kamazote,agonge like ilitujuane,, ccm mbelekwambele,hainakufeli,mwanzomwenga,,,,,,,,,
Japo syo mwanachama wa ccm ila hii ngoma n Kali lazma utkise kchwa ukisikia inapgwa 😂😂
Naskiliza hii 2021
Same here
Huu wimbo ulifanya kazi yake 2015. CCM nilikuwa nimewachoka ila nikawa najikuta nikiusikia huu wimbo na mimi nauimba mpaka ukanipokonya kura yangu.
Komba alikuwa na kipaji hatari kwa kweli, na pengo lake linaonekana TOT.
Apumzike kwa Amani.
Hili goma🔥🔥 nitaingilia kwenye harus yangu atakayenuna atajijua mbele kwa mbele kama CCM😂😂😂
Hahaaaa noma sana
Amewatungia wimbo mzur afu akaikimbia kaima kinachojiri ni kusoma namba tu
Salute for komba john!!mbele kw mbele
Yaaaani nikisikia hiii ngoma nasikia raha mwili mzima! Hapa nimejifungia getto nayakata balaa!! Hiii raha sasa jamani!
😂😂😂😂😂
Yaan nakuelewa sanaa mi apa napagawa nayakata haswa na huu mwaka 2024
Pumzika kwa amani.capt John komba tulikupenda sana.
mbele kwa mbele ccm chama tawala
Ccm daima mbele kwambeleeeeeee
2020 bado tunasikiliza👍
Huu wimbo ulikua ukipigwa kwenye kampeni furaha inazidi kwangu hadi nywele zinanisimama sana kama utadhani nimeota misumali kichwani
😂😂😂zinasimama zinaenda wap😆😆😆
@@z.shondezshonde5663 hahahahahha
😂😂😂
CCM oyyeeeeee
Oyeeeeeeeèeeeeeeh
Ccm babalao? kamwe huwez mfundisha bab mapenzi ccm jembeeeeeeeeeeeeeeee
Kwl saiv tunzisoma Number😂😂 dah pumzika kwa Amani kombe kwl tumeipa mwnyw acha tuisome No' 2023 bado npo unapagwa mwngi Bei ya vitu inatukomesha mwnyw
Hakuna mpinzani wa ccm kabisa
safi
Hakuna kitu hapo tunaisoma namba wote
Kabisaaa...hakuna
Ccm mbele kwa mbele tumeipenda wenyewe chaguo letu milele 😘
Napenda ingoma kinyama
si wengine komba ndo katufanya tuipende CCM
ee mungu tupe kibali chakoo kipindii hichii Cha kampeni na uchaguzii mungu wanguu ukatuchagulie viongoz watakao ifikisha nchi yetuu mahali panapo stailii mungu wanguu kilaa roho za damu kumwagikaa na vifoo tunaendaa kuungana mbele zakoo tunakataa kwa jina la yesuu ee munguu Tanzania ikabakii kuwa nchii ya amanii na utulivuu na upendoo na hurumaa telee thanks Jesus for everything 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭 2020 twendee sawa apa ubarikiwe unae soma comment yanguu ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏👏ccm ni Ile ileeee vijana tunasemajee !!???? Tumejipangaa mwaka huu wataisomaaa 👎👍👍👎👎👍👍🤲
hi nyimbo jamani naikubali sana ata nisipokula uwa nikisikiliza nashiba ccm mbele kwa mbele
Kama wewe ni ccm 2020 upotezi kura yako tupia like yako na ku comment pamoja sanaa
we ni kuma
Ya kwangu ni bora niiharibu kuloko kuwapa ccm
Chama Mama chama Imara ccm juu juu kabisaaaa...........
HAKUNA CHAMA KINGINE PINZANI CCM TANGU 1995 VYAMA VINGI VYA SIASA MPAKA LEO IPO MADARAKAN
Odam
Hamjamb
CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeee
Wacha tuisome namba CCM mbele Kwa mbeleee chamtima Kuni tumekiona🔥🔥🔥
Njoo hapa 2024
yani katika nyimbo zoote za marehem naupenda huuu sn sn
Zimebaki siku sita ccm mbele kwa mbele 👍👍👍👍👍👍👍👍👍❤️🔥🔥
Haka ka wimbo ni katamu asikuambie mtu hata wapinzani wenyewe wanakapenda R.I.P Komba
Wimbo Bora wa ccm wa Muda wote hakuna wakuja kuushinda
Long live CCM, long live hon.Magufuli and long live United Republic of Tanzania. Ushindi wa CCM ni ushindi wa Watanzania wote.Mungu ibariki Africa.
The best election song ever
Aghaaaaaaaaaa mamaeeee najikuta na sakata rumbaaaaa 😭🤣
Japokuwa mi mwanachadema ila hugu GU song ni nouma
Wimbo mzuri sana... Oktoba, 2023 still ni fire
Ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Eti "wasage lami"🤣🤣🤣 itapendeza sana huu wimbo ukipigwa kawe mwezi mzima 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
CCM mbele kwa mbele 👂👂👌👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬
Acha tu ituue tumeipenda wenyeweeee piga kelele kwa ccm akeeeeee
Hakika komba Umemaliza Kazi pumzika baba.R.I.P
Tumejipanga, mwaka huu wataisoma....♥️🇹🇿
Juma ally
Kumbukumbu Njeema na ya Milele ya Mzee Komba Ni huu wimbo
kwakweli me naupenda sn huu wimbo
Kiukweli mimi siyo CCM, ila hii nyimbo naipenda kupita maelezo. Nikiisikia inapigwa napata furaha ambayo hata kuelezea ni vigumu.
Napenda kwenye hapo wacha waisome namba😘
Huuu wimbo nakapenda saaaaaana jamani
Mbele kwa mbeleeeeeeeeeee
Ccm ni ileile 2020 wataisoma namba
Ewe mola wetu twakuomba uzid kuidumisha Aman na umoja Tanzania daima naipenda
Ccm iko juu jamani ikiongozwa na john pombe magufuli ccm daima 😍😘🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
TUMEJIPANGA mwaKA HUU WATAISOMA SAFI SANA. CCM HOYEEEEEE
Wimbo mtamuuuuu mnon😂😂😂❤❤❤❤
Anedikiliza Leo maana bado mwezi mmoja kampeni zianze
Mm mpinzani lkn hili goma kipindi kama hiki huwa balaaa sana RIP john komba...
Nyimbo mzuri hii kinoma kila siku lazima niimbe maana namba sio
Yaani ni baraaaaa tupuuuuuuuu, kwa song hili ninomaaaa aiseeeee hata kama umenuna au umechoka lazima utajikuta unacheza tu hadi raha!!!
Haswaaaa
Tulokuja hapa wakati wa kampeni tujuane tafadhali
Huu wimbo ni mwisho
Ccm naikubal sana
Ccm baba lao
Wimbo huu ukiusikiliza utadhani umetoka jikoni Leo leo.hauishi utamu.
Dah inanikumbusha campen 2015 r.i.p captain komba
Nahangaika nini mwaka 2020,magu kapita bila shaka,na haka ka wimbo si mchezo,wapinzani mpoo apo!"tumejipanga mwaka huu mtaisoma"woyooooooo
Du!! 2020 haina aja ya nyimbo mambo yanajieleza yenyewa
Hujielew we mama kweli
Tunaisoma woote, Hata Mungu anaona
Daaaah KWA CCM hii,,,Ni hatareee Kama SIMBA SC
Mbele kw mbeleeee ccm
Jamani huu wimbo siuchoki eti
CMM Mbele kwa mbele daaaa CAPTAIN KOMBA umetutoka mapema san mung akurehem huko ulipo R.I.P CAP.KOMBA
Yaaan huu wimbo namic sana mama angu kipindi hicho sisi ni wadogo