CCM MBELE KWA MBELE B CAPT.JOHN KOMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 521

  • @georgejoseph6669
    @georgejoseph6669 8 месяцев назад +28

    Kama unasikilza 2024 twende sawa

  • @mascompany4035
    @mascompany4035 4 года назад +125

    Tunaopenda hii ngoma, lakini sio ccm
    Like zenu chini apa👇🏽👇🏽

    • @maumnazareti3954
      @maumnazareti3954 Год назад +2

      Nilijua ni pekeangu kumbe tupo wengi

    • @alfrednazir6223
      @alfrednazir6223 7 месяцев назад

      Tupooo leo tare 5 mwez wa 3 mwaka 2024 nikiwa Berlin ujerumani bado hii ngoma naikumbuka japo mi nilikua chadema dam dam ila hii ngoma niliikubali

    • @burudatv751
      @burudatv751 6 месяцев назад

      😂😂 nipo naiskiliza hapa.sababu naipenda tu,ila sio chama

    • @hosnakamees5454
      @hosnakamees5454 2 месяца назад

      Pumziko la mi lele Anko magu 2024/9/7

  • @shadracksospeter536
    @shadracksospeter536 3 года назад +23

    Mzee Komba ni sawa na Tanzania All Stars wote😂😂😂😂

    • @salumkanju1732
      @salumkanju1732 2 года назад +1

      Surely aisee mzee alikuwa mtamu kama rummy ongala tatzo la remy ni tumbaku tu

  • @deogratiusilomo7624
    @deogratiusilomo7624 4 года назад +331

    Anae sikiliza na mm 2020 like hapa

  • @shaherabdulmajidgeyash7098
    @shaherabdulmajidgeyash7098 2 месяца назад +2

    Wimbo huu ninapousikiliza unanikumbusha campaign yangu ya kwanza ya 2015 na ya pili 2020. Ni very motivating !!...Uendelee kuimbwa chaguzi zote !!

  • @swabry
    @swabry 4 года назад +16

    kutoka kenya napiga like👍✅✅✅ CCM 👍👍❤️❤️ magufuli hooooyeeeeeeee👍👍❤️❤️

  • @mustafajuma4896
    @mustafajuma4896 4 года назад +51

    Kama unaikubali ccm itapita 2020 gonga like hapa

  • @shamimlugoya756
    @shamimlugoya756 4 года назад +37

    Baada ya kusikia kampeni zinaanza imenibidi niicheki hii nyimbo😍😍😍

  • @timothykinango7166
    @timothykinango7166 4 года назад +57

    mamae huu wimbo ukipigwa unajikuta tu unachezesha kichwa ccm hoye

    • @gamc773
      @gamc773 4 года назад

      Hahahaha

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 4 года назад

      Oyeeeeeeeee c kutikisha kichwa tu nakuucheza kabisaaa

    • @alphaabdallah1406
      @alphaabdallah1406 5 месяцев назад

      Noma kabisa kaka...unaweza unajikuta unayarud huku umevaa sare za CDM😂

    • @charity9163
      @charity9163 24 дня назад

      Oyee

  • @petermbelwa3958
    @petermbelwa3958 4 года назад +17

    Na miss sana Kampeni za CCM huu wimbo ni namba moja CCM ni ile hakuna wakuipiku tumejipanga ki sawa sawa

  • @missjudy7294
    @missjudy7294 3 года назад +21

    Im a kenyan but i love this song though naelewa ni ya election

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 4 года назад +14

    Anayesikiliza Wimbooo Mwez wa 7 baada Ya Ankoo Magu kuteuliwa kuwa Mgombea wa Urahisii
    Na TUTAWACHAPA KWA KURAA
    MaGUU TANO TENA
    TUJUANE
    ❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @bngnewsgang
    @bngnewsgang Месяц назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
    *Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1961_1985)
    *Mzee Ali Hassan Mwinyi(1985_1995)
    *Benjamin Mkapa(1995_2005)
    *Jakaya Mrisho Kikwete(2005_2015)
    *John Pombe Magufuli (2015_2021)
    *Samia Suluhu(2021_ to date)
    Tanzania Oyeeee.....
    CCM oyeee.
    Umoja,Haki na maendeleo

  • @ismailmohd9389
    @ismailmohd9389 5 лет назад +124

    2020 kwa kweli hakuna haja ya nyimbo vyote vinajieleza CCM juu kabisa

    • @chellahmuziq8421
      @chellahmuziq8421 4 года назад

      Haha IPO na nyimbo zipo angalia chellahmuziq lichama ccm utsjionea ww

    • @upendokasubi232
      @upendokasubi232 4 года назад

      @@chellahmuziq8421 ......,..,........., my lovely friend wake, my lovely friend and

  • @blasidajulius2240
    @blasidajulius2240 4 года назад +36

    Hatunywi sumu hatujinyongi😘🔥Ccm mbele kwa mbele👌

  • @amanibwire4423
    @amanibwire4423 5 лет назад +78

    wakereketwa wa chama kubwa hatunaga mawazo like kama upo unasikiliza mwaka 2019

  • @payasbadman2523
    @payasbadman2523 3 года назад +26

    Tuliokuja kwa ajilu ya magu rest in peace magufuli, 😭😭😭😥

  • @thegreatsource2953
    @thegreatsource2953 4 года назад +27

    Captain Komba haupo nasi kimwili, ila tunazidi kuburudika na nyimbo zako nzuri zisizochuja. Mungu akupumzishe mahali pema peponi🙏

    • @snsonlinetv8432
      @snsonlinetv8432 4 года назад

      Amlaze anapostihiki

    • @snsonlinetv8432
      @snsonlinetv8432 4 года назад

      Kwani pepo masiara ww

    • @snsonlinetv8432
      @snsonlinetv8432 4 года назад

      Na kila mkiskiliza hii nyimbo ndo mnazidi kumkandamiza kama hamna habari

    • @shakurfaith
      @shakurfaith Год назад

      @@snsonlinetv8432 maana wewe unaenda Firdausi, huna kosa hata moja duniani hapa. Umempita hadi Mtume. Fala sana

  • @saimonjulius1319
    @saimonjulius1319 5 лет назад +70

    Huo wimbo noma sana usipokaa vizuli hata ukiwa mpinzani unawezakujikuta na ww unayimba nakuucheza.

  • @jofryalbethi6680
    @jofryalbethi6680 2 года назад +12

    Baada yakusikia nyimbo hii! Nimekumbuka vingi Sana😭😭😭😭!

    • @AsdDsa-fi5qk
      @AsdDsa-fi5qk 7 месяцев назад

      Umemkumbuka magufuli mtetez wetu kaka yetu mpendwa wetu

  • @beshuuambarali4960
    @beshuuambarali4960 5 лет назад +35

    wataisomaa 2020..milele milele itabakiaa naipenda hatari

  • @lovetaisha4
    @lovetaisha4 4 года назад +11

    Hakuna kama komba kwa kweli... Kampeni alikua anachangamsha kwa hizi nyimbo

  • @joshwaangussaah8410
    @joshwaangussaah8410 5 лет назад +49

    Kuhusu CCM bolla nife silali juu yake naipendaaa kifupi haina mpinzani vyama zingine mnajisumbua mtaisoma namba 1 mpaka mfilisike chadema

  • @getrudemande9859
    @getrudemande9859 Год назад +10

    2023 still hitting to the core…. Viva Magufuli viva…

  • @husseinshabani3975
    @husseinshabani3975 3 дня назад +1

    CCM MBELEKWA MBELE 2024❤❤ JAPO MIMI SIO CCM.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 года назад +17

    Kulikuwa na komba mmoja tu!!!

  • @zainabkizenga8118
    @zainabkizenga8118 5 лет назад +20

    Hii nyimbo nakumbuka 2015 wakati wa kampeni penda sana ccm

  • @hasnaabdu9846
    @hasnaabdu9846 6 лет назад +61

    Na kwel komba watu wanaisoma namba nawe mungu akurahemu kaka umetuacha na simanz kubwa sana saut yako tuu ilikuwa mwisho kwa wapinzan👏👏

  • @yusuflalu2887
    @yusuflalu2887 5 лет назад +10

    Mmmmmh wimbo wenyewe unatosha ,,ukipigwa Kama komba yupo ,,tunakukumbuka c komba

  • @kasimuyahaya4010
    @kasimuyahaya4010 5 лет назад +72

    napapenda hapo inapoanza ccm niile ile

  • @nyabisemaro5574
    @nyabisemaro5574 5 лет назад +70

    Huuuuuu Wimbo ndio ulikuwa unafanya niende kampeni Zaooo CCM

  • @alexandernyimbi8186
    @alexandernyimbi8186 3 года назад +8

    Kipaji bora kabisa kuwahi kutokea nchini, kwa kutunga na kuimba nyimbo za Matukio makubwa hasa haya ya nchi yetu

  • @kassimulugajo6512
    @kassimulugajo6512 5 лет назад +48

    wale waliotembelea hapa 2019 wekeni like kujiandaa kumpa kura mzee wa hapa kazi tu 2020

  • @JumaAli-u5s
    @JumaAli-u5s 4 дня назад

    Ongeraa mama kuchaguriwa kuwa m/kiti wa chama ccm nami niko yuma ya mugogo wako 2025 juma toka mbarara Uganda 🇺🇬 mtanzania 🇹🇿 harisii nitarundi nyubani nikupingie ya ndio👍

  • @peterbayo4677
    @peterbayo4677 6 лет назад +48

    Hii ni Kiboko. Capt Mst John Bruno Komba utakumbukwa milele!. Umeenda njia ya wengi mapema...

  • @jennymallya4533
    @jennymallya4533 4 года назад +57

    Wale ambao hatunywi sumu wala hatujinyongi tujuane kwa like na comment

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 4 года назад +4

    Nyimbo zilikua zinahamashisha sana m.mungu ailaze pema pepon roho ya marehem komba

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 года назад +5

    My favourite song ,🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃 kinana na membe hoyeeeeeeee

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 5 лет назад +7

    Dah...huu wimbo ufanywe wa taifa jaman..maana mm bila kuusikia siku haiendi kabisa....naipenda sana CCM

  • @khalidngwembele9075
    @khalidngwembele9075 4 года назад +6

    Chadema in blood lakin hili lisongi nalipenda kichiz yani 😂🙌🙌🙌

  • @RioIpo
    @RioIpo 6 лет назад +16

    Sasa wanasoma namba eeeh CCM daima Mapinduziiii daima

    • @shalomizrael667
      @shalomizrael667 4 года назад

      Wanaisoma kwelii 28/10wanahemea mipira,

    • @RioIpo
      @RioIpo 4 года назад

      @@shalomizrael667 Hahaha

  • @rasihamsangi8084
    @rasihamsangi8084 5 лет назад +13

    Unabii unaendelea kufanya kazi

  • @shadracksospeter536
    @shadracksospeter536 4 года назад +4

    hapo kwenye TUMEJIPANGA MWAKA HUU WATAISOMA 😍😍😍

  • @fredikigodi8307
    @fredikigodi8307 4 года назад +4

    Anae ukubalihuu wimbo kamamm 2020,atampa magu kura kamazote,agonge like ilitujuane,, ccm mbelekwambele,hainakufeli,mwanzomwenga,,,,,,,,,

  • @boniventureprotace6355
    @boniventureprotace6355 3 года назад +3

    Japo syo mwanachama wa ccm ila hii ngoma n Kali lazma utkise kchwa ukisikia inapgwa 😂😂
    Naskiliza hii 2021

  • @mamahustru
    @mamahustru 4 года назад +8

    Huu wimbo ulifanya kazi yake 2015. CCM nilikuwa nimewachoka ila nikawa najikuta nikiusikia huu wimbo na mimi nauimba mpaka ukanipokonya kura yangu.
    Komba alikuwa na kipaji hatari kwa kweli, na pengo lake linaonekana TOT.
    Apumzike kwa Amani.

  • @rejinkitosi8557
    @rejinkitosi8557 5 лет назад +8

    Hili goma🔥🔥 nitaingilia kwenye harus yangu atakayenuna atajijua mbele kwa mbele kama CCM😂😂😂

  • @prettynesspastory3111
    @prettynesspastory3111 4 года назад +4

    Yaaaani nikisikia hiii ngoma nasikia raha mwili mzima! Hapa nimejifungia getto nayakata balaa!! Hiii raha sasa jamani!

    • @jerrycardo6770
      @jerrycardo6770 2 года назад

      😂😂😂😂😂

    • @alfrednazir6223
      @alfrednazir6223 7 месяцев назад

      Yaan nakuelewa sanaa mi apa napagawa nayakata haswa na huu mwaka 2024

  • @sheysarahnjeno9326
    @sheysarahnjeno9326 5 лет назад +13

    Pumzika kwa amani.capt John komba tulikupenda sana.

  • @petermanda6595
    @petermanda6595 6 лет назад +36

    mbele kwa mbele ccm chama tawala

  • @bahatipapi1616
    @bahatipapi1616 4 года назад +17

    2020 bado tunasikiliza👍

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 4 года назад +13

    Huu wimbo ulikua ukipigwa kwenye kampeni furaha inazidi kwangu hadi nywele zinanisimama sana kama utadhani nimeota misumali kichwani

  • @Nadir_Abdullah
    @Nadir_Abdullah 4 года назад +16

    CCM oyyeeeeee

    • @mwantumuulaya6528
      @mwantumuulaya6528 4 года назад +2

      Oyeeeeeeeèeeeeeeh

    • @shukurlove4116
      @shukurlove4116 4 года назад +1

      Ccm babalao? kamwe huwez mfundisha bab mapenzi ccm jembeeeeeeeeeeeeeeee

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola Год назад +1

    Kwl saiv tunzisoma Number😂😂 dah pumzika kwa Amani kombe kwl tumeipa mwnyw acha tuisome No' 2023 bado npo unapagwa mwngi Bei ya vitu inatukomesha mwnyw

  • @giftsomi9142
    @giftsomi9142 6 лет назад +47

    Hakuna mpinzani wa ccm kabisa

  • @japharysety6890
    @japharysety6890 4 года назад +7

    si wengine komba ndo katufanya tuipende CCM

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane5421 4 года назад +3

    ee mungu tupe kibali chakoo kipindii hichii Cha kampeni na uchaguzii mungu wanguu ukatuchagulie viongoz watakao ifikisha nchi yetuu mahali panapo stailii mungu wanguu kilaa roho za damu kumwagikaa na vifoo tunaendaa kuungana mbele zakoo tunakataa kwa jina la yesuu ee munguu Tanzania ikabakii kuwa nchii ya amanii na utulivuu na upendoo na hurumaa telee thanks Jesus for everything 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭 2020 twendee sawa apa ubarikiwe unae soma comment yanguu ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏👏ccm ni Ile ileeee vijana tunasemajee !!???? Tumejipangaa mwaka huu wataisomaaa 👎👍👍👎👎👍👍🤲

  • @anitarongoma9295
    @anitarongoma9295 4 года назад +2

    hi nyimbo jamani naikubali sana ata nisipokula uwa nikisikiliza nashiba ccm mbele kwa mbele

  • @KICHECHEOG2
    @KICHECHEOG2 4 года назад +36

    Kama wewe ni ccm 2020 upotezi kura yako tupia like yako na ku comment pamoja sanaa

  • @kassimandrea8540
    @kassimandrea8540 6 лет назад +30

    Chama Mama chama Imara ccm juu juu kabisaaaa...........

  • @placidoponera
    @placidoponera 3 года назад +2

    Wacha tuisome namba CCM mbele Kwa mbeleee chamtima Kuni tumekiona🔥🔥🔥

  • @registrationrumors
    @registrationrumors 8 месяцев назад +1

    Njoo hapa 2024

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 4 года назад +13

    yani katika nyimbo zoote za marehem naupenda huuu sn sn

    • @estersamweli6439
      @estersamweli6439 4 года назад

      Zimebaki siku sita ccm mbele kwa mbele 👍👍👍👍👍👍👍👍👍❤️🔥🔥

  • @francismillinga4591
    @francismillinga4591 4 года назад +11

    Haka ka wimbo ni katamu asikuambie mtu hata wapinzani wenyewe wanakapenda R.I.P Komba

  • @juliusthadeo5038
    @juliusthadeo5038 3 года назад +3

    Wimbo Bora wa ccm wa Muda wote hakuna wakuja kuushinda

  • @salimabdillah1623
    @salimabdillah1623 4 года назад +1

    Long live CCM, long live hon.Magufuli and long live United Republic of Tanzania. Ushindi wa CCM ni ushindi wa Watanzania wote.Mungu ibariki Africa.

  • @remigiousmuganga6188
    @remigiousmuganga6188 4 года назад +23

    The best election song ever

  • @ewaldantony8494
    @ewaldantony8494 4 года назад +2

    Aghaaaaaaaaaa mamaeeee najikuta na sakata rumbaaaaa 😭🤣

  • @rojazslojazz4287
    @rojazslojazz4287 4 года назад +2

    Japokuwa mi mwanachadema ila hugu GU song ni nouma

  • @lukeloisaya1220
    @lukeloisaya1220 11 месяцев назад +1

    Wimbo mzuri sana... Oktoba, 2023 still ni fire

  • @edwardsmagori2555
    @edwardsmagori2555 5 лет назад +40

    Ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @robertobhiyier5848
    @robertobhiyier5848 4 года назад +3

    Eti "wasage lami"🤣🤣🤣 itapendeza sana huu wimbo ukipigwa kawe mwezi mzima 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aminajuma2981
    @aminajuma2981 4 года назад +9

    CCM mbele kwa mbele 👂👂👌👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬

  • @winnieedson6937
    @winnieedson6937 4 года назад +3

    Acha tu ituue tumeipenda wenyeweeee piga kelele kwa ccm akeeeeee

  • @innocentsanga1120
    @innocentsanga1120 3 года назад +4

    Hakika komba Umemaliza Kazi pumzika baba.R.I.P

  • @zazisigonda3343
    @zazisigonda3343 4 года назад +5

    Tumejipanga, mwaka huu wataisoma....♥️🇹🇿

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 4 года назад +8

    Kumbukumbu Njeema na ya Milele ya Mzee Komba Ni huu wimbo

  • @joshuamchiwa861
    @joshuamchiwa861 3 месяца назад

    Kiukweli mimi siyo CCM, ila hii nyimbo naipenda kupita maelezo. Nikiisikia inapigwa napata furaha ambayo hata kuelezea ni vigumu.

  • @chrismgina3122
    @chrismgina3122 3 года назад +1

    Napenda kwenye hapo wacha waisome namba😘

  • @hajialimakame6907
    @hajialimakame6907 4 года назад +2

    Huuu wimbo nakapenda saaaaaana jamani
    Mbele kwa mbeleeeeeeeeeee

  • @khalidawadh9352
    @khalidawadh9352 5 лет назад +17

    Ccm ni ileile 2020 wataisoma namba

  • @allyrashid9241
    @allyrashid9241 3 года назад +1

    Ewe mola wetu twakuomba uzid kuidumisha Aman na umoja Tanzania daima naipenda

  • @nasrashaaban7489
    @nasrashaaban7489 5 лет назад +2

    Ccm iko juu jamani ikiongozwa na john pombe magufuli ccm daima 😍😘🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃

  • @ibrahimmwendo5076
    @ibrahimmwendo5076 4 года назад +1

    TUMEJIPANGA mwaKA HUU WATAISOMA SAFI SANA. CCM HOYEEEEEE

  • @Berenaldo77
    @Berenaldo77 4 месяца назад

    Wimbo mtamuuuuu mnon😂😂😂❤❤❤❤

  • @malekelarasmo4418
    @malekelarasmo4418 4 года назад +4

    Anedikiliza Leo maana bado mwezi mmoja kampeni zianze

  • @mmetansanya3764
    @mmetansanya3764 4 года назад +2

    Mm mpinzani lkn hili goma kipindi kama hiki huwa balaaa sana RIP john komba...

  • @elishamwaya4074
    @elishamwaya4074 4 года назад +2

    Nyimbo mzuri hii kinoma kila siku lazima niimbe maana namba sio

  • @respiciuszephania6035
    @respiciuszephania6035 4 года назад +1

    Yaani ni baraaaaa tupuuuuuuuu, kwa song hili ninomaaaa aiseeeee hata kama umenuna au umechoka lazima utajikuta unacheza tu hadi raha!!!

  • @feysalismail4768
    @feysalismail4768 4 года назад +4

    Tulokuja hapa wakati wa kampeni tujuane tafadhali

  • @mushijamaly5965
    @mushijamaly5965 6 лет назад +38

    Huu wimbo ni mwisho

  • @kambiyusuf3665
    @kambiyusuf3665 Год назад +1

    Wimbo huu ukiusikiliza utadhani umetoka jikoni Leo leo.hauishi utamu.

  • @husnarajabu4343
    @husnarajabu4343 4 года назад +1

    Dah inanikumbusha campen 2015 r.i.p captain komba

  • @dianazambi2447
    @dianazambi2447 5 лет назад +1

    Nahangaika nini mwaka 2020,magu kapita bila shaka,na haka ka wimbo si mchezo,wapinzani mpoo apo!"tumejipanga mwaka huu mtaisoma"woyooooooo

  • @charleskaijage4283
    @charleskaijage4283 6 лет назад +20

    Du!! 2020 haina aja ya nyimbo mambo yanajieleza yenyewa

  • @mcjustinemwakibiki27
    @mcjustinemwakibiki27 4 года назад +4

    Daaaah KWA CCM hii,,,Ni hatareee Kama SIMBA SC

  • @salehsaleh4776
    @salehsaleh4776 4 года назад +4

    Mbele kw mbeleeee ccm

  • @lydiarichard1283
    @lydiarichard1283 4 года назад +3

    Jamani huu wimbo siuchoki eti

  • @eliezachilagane6218
    @eliezachilagane6218 4 года назад +1

    CMM Mbele kwa mbele daaaa CAPTAIN KOMBA umetutoka mapema san mung akurehem huko ulipo R.I.P CAP.KOMBA

  • @vanessalwaga2068
    @vanessalwaga2068 4 года назад +3

    Yaaan huu wimbo namic sana mama angu kipindi hicho sisi ni wadogo