Singah - Somebody [Official Video] ft. Alikiba
HTML-код
- Опубликовано: 23 фев 2021
- Singah is here with another interesting video! 'Somebody' ft. Alikiba.
Enjoy the tune, visuals, and sing along.
Watch, Share and Comment.
Curated by www.freemedigital.com
vevo.ly/vodTyK - Видеоклипы
Team kiba tuliopo Nigeria tujuane kwa like nyingi
😜😝😂😂💝❣💓💕💗❤💌💖🤝👌😘
Oya aje mtu tu chat 💬 kwenye comments
🤣🤣🤣🤣Yeees tuliopo nigeria kingshata kasema
Mia
@@Ng_muscat 😂😂😂kabisa king
Eeeeebu Team Kiba tuache utani ,Hivi huyo do go singah anakosaje kuingia trending kwa Tanzania wakati sis tupo apa?? Kazi imebaki kwentu ! Twenzao
Kama unakubariana na mm gonga like alafu tufanye kazi pamoja
Ngoma Kali sana
Ngoma kaliii Sana Ila TeamKiba Huwa tunapenda ngoma ikitoka Tudownload kazininaishia hapobila si kueaport Kazi za King's
Brother tuna jitahidi nalazima ifike
yani ingekuwa katk account ya king kiba
m.ruclips.net/video/gRZHPNODMDo/видео.html
Hii English ya Alikiba tuipe like hata 21 zinatosha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Pw
@@farajijafari4720 umeionaje wew hii kitu
Hivi huwa mnaomba likes za nin em na mim Leo mnipe aisee🤣
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@@farajijafari4720 6g7i0r😊😮y😊
iih ngoma kadri sku inavyo zdi ndo inazdi kua kubwa kwann.?
Kwel kabis
Haiish utam
Kama umekubal song like hapa
Nakubari sana king of bongo frevar_+255. Yoooooooooooh
Salute kwa king
m.ruclips.net/video/gRZHPNODMDo/видео.html
Kali kinyamaa ❤️❤️
Nakubali bro kazi nzuri
Jaman na mimi naombeni like bas hata 10 tu🙈🙈🙈
Ngoma tamu
m.ruclips.net/video/gRZHPNODMDo/видео.html
Muone twende kwa group huko😄😄😄
@@estersaimon9436 ester 💕
Sawa
Alikiba nouma sana burudani kwa wote naomba like sijawahi kupewa
The real voice king kiba kama ngoma yako sio kwa sifa izo
Kama umegundua ALIKIBA anaubaka mziki gonga like twende sawa +255😁😁
Kivip
Hawezi kubaka, mziki unakubali wenyewe, unavua nguo wenyewe.... Wala habaki
@@charitythegolden729 😁😁😁😁
You😂😂😂😂😂
@@supertallone1902 mshenz anajua laaa😄😄😄
Yani ALIKIBA bwana sikutegemea jaman
Mimi binafsi acha niseme kaka upo level isio kuwa nahesabu
Bac like zenu tu kwawapendao mziki mzuri
Kweli kabisa yani kingkiba ni balaaaa aisee anajua mpaka anakera
We kina fundi sana Tanzania kiba ndomusani anaaejua kuimba
Acha kabisa
m.ruclips.net/video/gRZHPNODMDo/видео.html
Tegemea chochote maana ad kurap anajua😍😍Everybody waiting for his 3rd Album🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎶👑🎶👑💖💖
Kama imeikubali hii ngoma tukutane hapa kwa like👍👍👍👍👍
🔥🔥🔥🔥
✨ a u t h e n t I c v i e w s ✨ dun took Singah oFf 2 da big leagues and fo dat I will always be super grateful
Kiba ukimshirikisha anakuaibisha embu chek kingeleza alichopita nacho umo king ni mmoja tu wengine washindane na zuchu team.kiba tujuane kwa like ata kumi tu
Noma saana huyu MFALME
Alikiba mziki wake bado anaimbia watoto hata ukisikia anachokiimba
Kali
@@afterfull-time1348 ona chawi ili unatak usikie nizame lungu au kha ebu ntokee uko mmezoea matus itakuwa ulikimbia shule ww ujaskia ngel aliyoimba ww pek ako umesema ivyo nenda kasikilize matusi yenu uku akukuhusu pumbavu
@@afterfull-time1348 watot naondy anaesema yesa yesa yesa yeee msanii mkubwa unaimba pumba kwendraaaaa umuelew sis tunamuelewa we vip
KING KIBA mko wapi siwaoniiiii, weka like TWENDE SAWA
Tumeliwasha natayari tumeingia na trendy tuko namba 19
Alikiba kig kiba
KINGS4LIFE
ruclips.net/video/mRJCSG50YDA/видео.html
Just look at the message.... "WHEN I LOOK IN THE MIRROR I SEE YOU" ooh my God..... I REALLY NEED SOMEBODY ....hit the like for #Gmedia
I feel you , inside my heart 💓 girl. Everybody!! Everybody need somebody, just to be Happy 😊
From Somaliland namkubali sana king kiba 💯💯 nyimbo kali sanaaa
Jamani kumbe!! ,Moto🔥 🔥🔥Usha waka me Nimechelewa jaman like Hata 50' tu Zinatosha ....Alafu bado Album ipo jiani Yani Mambo Ni shega shega!Nakama unaamini Kabsa Alikiba ndo number 1.Tz🇹🇿 Ngonga like Ili tuweze kwenda Sawa sawa
Haujachelew san
😀😂😁
WAP kamabnda
Hujachelewa broo
@@jumahamis7486 Okay
Aise sijawai kua mshabik kwa king Ila kwa ngom hii naomben like zenu
best song 2021, wap team kiba gonga like hapa
Ali kiba number 1 in tanzania when you talk about to sing
Sipo tayari kuhama Team Kiba like zenu zihusike tafadhali
ruclips.net/video/mRJCSG50YDA/видео.html
Hatuwez kuhama bro
ruclips.net/video/BgMGzu78Y88/видео.html
Kweli kabisa blood hatuhami
Pamoja
Alikiba fundiiiiiiii💪🔥🔥🔥🔥🔥 naomba like tano tuu.
Kiba motoooooooooo
King kiba🔥🔥🔥🔥 wapi like za wa congomani 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Genius Alikiba from 255 (TANZANIA) Wewe ni mwalimu wa mziki Tanzania
Jamani wa4 kucoment jamani naombeni japo like 100 namimi nitambe jamani wana king
Best song ever
Chama cha wasoma comment Tanzania (CHAWACOTA) like hapa
Hahahaaaaa tupo tunaendlea na majukum yetu y kusoma comments
Hahahaha tupo pamoja
😂😂😂 tupo asee
Can I see like for those who were waiting for this song to reach 1M viewers
😊
Gretings from Romania.🔥
Kama umegundua kuwa singer kafunikwa humu ndan gonga like twende saw
Sana tu
LIKES 20 TU ZINATOSHA NATAKA TUJUE TEAM KIBA WANGAP TUPO PAMOJA HUKU
👆👆LIKE& COMMENTS
Team kiba for life
@@chakupewafazili4074 @hamisi kabei
Singah fundi naqubali san
Kiba kama king kiba yeeeeeeeeebaba 👑🇹🇿💥💥🔥👍👍
Wale walikuwa wanangja verse ya king gonga likr
KINGS4LIFE
Ooooi team Kiba naombeni tumshawishi king aturetee King's FM and King's TV nasi tuinjoy maana upande wa pili wanatamba sanaa mediocre aaaah ,,,Kama wazo langu lipo sahihi like nyingi hapa
Usijali vipo njiani vinakuja soon
Usijali itakuwepo
Very soon
King Kiba ssi hufanya vitu na wakati mwafaka hatuna papara kama wenzetu hii n safari ya maulana na vipo njiani vinakuja..... Kings forever for life
@@alicenice1711 Mambo
First off all, nyimbo inavo Start bonge la beat, respect kwako produce we nimkal sanaaa
Nakubaliana kabisa na king music tour iliyofanyika ni zaidi yao, king big up bro
Kumamamae Kiba Umeuwa kinomaaa jamaa umemficha kinomaaa hivi ww ni mtu gan kweli wewe ni jenius 🙌
Njia zake litakufa jitu
yoooooooooooh
Yaa kapita hicho kizungu 😂 ila wamembania baha jamaa mjanja angejidharau 😂😂😂
Huyu kingkiba anaimba raha hadi anakera yani Maraha jaman
Hahaha Sasa mbona matusi
Nimerudi kucoment nahsi bando langu litaisha kwa ngoma moja hii hiii kiba nimtu mbaya sana
Mkn xan
Pamoja
Ni motoooo
Kweli ni moto
Domo Kama namuona alivyolegeza Domo huko king,🤴🤴🤴
Team kiba mko kimya sana, ebu dondosha like apa ili tujuwane idadi kama tuko wangapi👍
Hazina Ya Taifa letu Alikiba Watanzania Tuitunze azina hii tuliyo pewa na Mungu kwaajili ya kutupa furaha
KINGS4LIFE
Kabisa ❤ 🇰🇪
Wanao ona kuw hii ngom cku zijaz itakuw kubwa san weka like hap
🔥🔥🔥🔥
Ngoma kali mzee tuache unafki ngoma 🔥🔥🔥👍👍
Team kiba wote let’s gather apa kwa ma likes ❤️🇺🇸
Yebaba
fyee
@@kingkiba3209 yup
@@kingkiba3209 yup
@@matambomajaliwa9077 yup yebaba
Team Kiba wakwanza hapa
Alikiba ni motofaya 🔥🔥🔥🔥🔥
Beautiful sog!!💛💚😍
Watu wangu wa kenya 🇰🇪 tujuanie hapa ..we all need #Somebody 🔥
everybody needs somebody
🤝👌👌✌😘🙏🙏❣💓💕💗❤💌💖
Everybody need Somebody....🔥🔥🔥🔥🔥
Kiba apewe Ulinzi jaman, like yako ndio itamlinda👍🏾 gonga like bila huruma
legend ambae ukimskiliza utadhani ni mwanamziki mpaya hauchoki kumskiliza
video reaction tayari ushafanya ama bado
Reaction pliziiiiiiiiii
Hahhhhhh mzeee naona uzalendo umekushindaaa....... Here we goooo!!!! Another reaction
Nimependa reaction ulivo rudia rudia part ya kingkiba 👑🇰🇪 represent
From tanzania mko wapi
Kingkiba 👑
Team kiba wa omani dubai Qatar tujuane km umelikubali ngoma la taifa💯💣🧡🧡Singah ft Alikiba 🤴🤴
Pamoja sana nipo Omani
Awootee Dubai ❤❤❤
Nipewe like kumi za Alikiba tukisonga🔥🔥🔥🔥
Huu wimbo unatakiwa ufkishe viewers zaidi ya 5M per week kwa jinsi ulivyo classic
Nyimbo nzur salut kwenu💪💪
Kama umesikia kiji ladha cha usiniseme kama napenda kula sauti yake gonga like
Hahaha bro unamasikia makini Sana. Kweli kabisa.... "Usinisemeee.... Usinisemeee...."
1:50
Yan ad usingz saut tamu balaa
Kings👑
Kama umekuja kwa sababu ya fundi King kiba like hapa
Team kiba blood fance 2023
Vocal of king kiba always are very sweet" just try to listen on him i hope you will enjoy all the way from 254
Mashabiki wa #Alikiba niachieni like kama tunapendana
Hii ngoma naomba like za t.z na Kenya Pia Nigeria
👌 ijk
Thanks you
I traveled all the way to 🇩🇴 to find my somebody and we are gonna get married this year ❤️🌹 it's a blessing when you find that special someone to love and to love you in return..everyone deserves that 🥰
I need the like from every country for this song pleas
Kwa kweli muacheni ali aitwe ali Teamkiba like hapa
Tunaorudia ngoma mara kwa mara huku tukisubl verse ya KINGKIBA tujuane hapa
me napeleka mbele😂😂🤣🙌
West and East African
💥💥💥
Team kibaa tujuane👑👑👑👑
WCB LAKINI kaua
Niko hapa
Tuko hapa😚😚😙😙
@@leonardmarca6138 kabisaa pamoja sanaaa mtu wangu
Hi
Walikua wanasilikiza wimbo huku wakisoma comments tujuane
Mi apa asee
Tupo
When things were at their very worst:
2 Suns, Cross in the sky, 2 comets will collide = don`t be afraid - repent, accept Lord`s Hand of Mercy.
The first sign - the Earth will spin faster.
The second sign concerns the sun, which will loom larger, brighter and begin to spin.
Scientists will say it was a global illusion.
Beaware - Jesus will never walk in flesh again.
After WW3 - rise of the “ man of peace“ from the East = Antichrist - the most powerful, popular, charismatic and influential leader of all time. Many miracles will be attributed to him. He will imitate Jesus in every conceivable way.
Don`t trust „pope“ Francis = the False Prophet
- will seem to rise from the dead
- will unite all Christian Churches and all Religions as one.
One World Religion = the seat of the Antichrist.
Benedict XVI is the last true pope - will be accused of a crime of which he is totally innocent.
- banking collapse was deliberately masterminded by the Antichrist
- Antichrist will step in and create a false peace in the state of Israel by joining them with palestine in an unlikely alliance.
- „He will recite extracts from My Teachings, which he will passionately proclaim from every secular stage in the world, until people sit up and take notice of him.“
The Book of Truth
mdmlastprophet.com/when-i-come-as-the-king-of-mercy-not-one-soul-will-be-left-in-any-doubt-as-to-who-i-am-and-what-i-am/
mdmlastprophet.com/arab-uprising-will-spark-global-unrest-italy-will-trigger-fall-out/
@@gabmichael8546 Mimi
@@hafsamadeni216 Mm Apa
The song has good Vibe, Walevi tunaenjoy sana Bar😂😂
Nakubali mkuu
😁😂😂
Wakenya nyinyi
🤣🤣🤣
We kigogo jaman nimecheka sana
King kiba is dangerous
Safi our KING2👑safi singa love them.from
Yebaba
Hii ngoama imetoka kwenye account ipi maana sielewi
😜
Wale wanaoona Alikiba kamfunika huyu Jamaa Like hapa
King kiba sending love from Uzbekistan
Beautiful song
Nipewe hata like moja jameni at least am one day early
KAMA UMEZIELEWA NJIA ZA KING LIKE TAFADHALI
Kuubak kivipi
m.ruclips.net/video/gRZHPNODMDo/видео.html
Hahaha....he is so genius believe me no in this game.
Im kenyan cool song bro
Fundi wa mziki
💯🤪i'm Sénégalaise🇸🇳 too belguim i like it
I need somebody to dance with me to this hit!!!💝💝💝💝
team kiba jamaani tupo?
kama tupo wote weka like usipite bilia kuacha like hapo
Tunaotizama huku tunafatilia comments tujuane kwa LIKES 😂
😅😅😅😅
ruclips.net/video/mRJCSG50YDA/видео.html
😀😀
ruclips.net/video/wEc8Hxu_GOE/видео.html
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 32: ZAKIA MWENDELEZO.
ruclips.net/video/QT3zhQdZdG8/видео.html
if u listeng ...like tukisonga king kibaa
The beat kills it all❤️❤️❤️ king the president of all😍😍
Team kiba tuliopo kenya 🇰🇪 likes 👍 sicome kwa wingi
Jaman jaman hta Kama naomba nipate like hta kumi maana si kwa kuuwa huku king Kama king tujuane team kiba
😮😮😊😊
Keep on representing 🇳🇬 Nigeria bro ,hard work pays
You this is fure🔥
King kwenye ubora wake kama umemuelewa gonga like kama 200 hapa
Team kiba tujuwane APA like18 tu Zina tosha🔥🔥🔥🔥
King kiba utaniuwa jamani nionee huruma mwenzio nyimbo tamu sana 💯💯💯💯❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kingkiba 👑👑💯❤️
Mimi WCB lakini mziki mzuri lazma tusapport bonge la ngoma daah
Una akili Guy
ww kweli sshabiki utumbo unajua mziki mzuri gud
🤣
Fanya uhamie uku
kali sana
Kamaa unaamin ngoma inatembea na inaend namba moja soon weka like yako hapo
Everybody needs somebody since the beginning of the world
May God bring us the best for life
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
wale team kiba wote nione like zenu hapa tujuane
ruclips.net/video/BgMGzu78Y88/видео.html
ruclips.net/video/RfNJF4ZMveM/видео.html
Waliorudia Mara mbilimbili huku tunasoma comment twenzetu hapa
King kiba🔥🔥🔥🔥
Kiba kama Kiba 😍😍😍 every body needs somebody
Wakenya wote tuko uku, likes for our brothers jameni
001
Asante