ASIMULIA TENA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • #SUBSCRIBE

Комментарии • 143

  • @PeterMalimbwi
    @PeterMalimbwi 2 месяца назад +1

    Mume wake amsamehe, waombewe waanze upya. Huyu mdada hataendeleza hii tabia. Mungu abariki. Pia huyu Dada ni mrembo Sana na ni muwazi. Hata ndoa ikivunjika atapata mwingine mapema Sana. Anaweza kubadilika na kuwa mwanamke mzur Sana ktk jamii. Mungu pia amponye.

  • @BaraghashShedhan
    @BaraghashShedhan 3 месяца назад +2

    Pole sana ww nibonge ya pisi kali❤❤❤

  • @mwajumamtija
    @mwajumamtija Месяц назад +2

    Michepuko watatu aloooo🙌🙌🙌🙌🙌

    • @JumaBundala-d3j
      @JumaBundala-d3j Месяц назад

      Yani kanafurai kweri kakskia kuorewa nimoto

    • @JumaBundala-d3j
      @JumaBundala-d3j Месяц назад

      Yani kanafurai kweri kakskia kuorewa nimoto

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 3 месяца назад +5

    Huyu kaisha tuponza wanawake waume zetu watakua hawatuamini tena mwisho wake waume zetu watatuwekea walinzi iman haipo tena

  • @user-ih6oz1jg8q
    @user-ih6oz1jg8q 3 месяца назад +2

    Nimependa.tu intarview ya huyu dada ni ukwel wake mtupu bila shaka wenye tabia hiyo wamejifunza kwake asante shetan pappy

  • @ShabaniJumanne-pl4ex
    @ShabaniJumanne-pl4ex 3 месяца назад +2

    Pole Sana dada usikate tamaa ni ajali kazini

    • @hajatihajati5357
      @hajatihajati5357 3 месяца назад

      Una mupongeza nini mutu asie ogopa na Mungu wake Malaya mukubwa asie tosheka na ku rizika nayale anayo

  • @hassankunjayo626
    @hassankunjayo626 Месяц назад

    Pole sana dada maisha ndy yalivyo pole sana mungu akufanyie wepesi litapita tu

  • @aishamzeehamissi6859
    @aishamzeehamissi6859 3 месяца назад +3

    Jkiranga bora ungeenda nanyumba ya wageni hakuiwii bwana na mumeo sjjui kama atakupendaa

  • @ETt-r3e
    @ETt-r3e Месяц назад

    Ungekufa wew ungekua mtu wa motoni

  • @EnihatKikoti
    @EnihatKikoti 26 дней назад

    Tamaa Mbaya ubishi umekuponza pumbafu zako

  • @MARTHAMATHIAS-p6c
    @MARTHAMATHIAS-p6c Месяц назад +1

    Hiyo ndoa Iko vip na mmeo dada mbn ni xhida sana Kwa mwanaume

  • @HappinesNashon
    @HappinesNashon 3 месяца назад +3

    Msihukum jaman msije mkahukumiwa hakuna aliye mkamilifu chini ya hili jua

  • @HappinessEmmanuel-b3w
    @HappinessEmmanuel-b3w 3 месяца назад +2

    Pole mwaya litapita usijali ni shetani tu

  • @slemanMbwana
    @slemanMbwana Месяц назад +1

    kwakweli namuonea huruma sana lakini kesha tubu akiachwa mimi namtaka

  • @AbdallahChury
    @AbdallahChury Месяц назад

    Dada pole xaña at uxipo olewa tumwachie mung mana ndomaixha ulio jichagulia😢

  • @isacksadira
    @isacksadira Месяц назад

    Pole San dada yatapit ila nakushauri t ujirekebish

  • @Jamila-c7k
    @Jamila-c7k 15 дней назад

    Pole sana

  • @vailethmwageni8441
    @vailethmwageni8441 3 месяца назад

    Pole sana dada anguu,lkn yupo aliyekupa pumzi na uhaii mpaka sasa,ni mungu pekee ,murudie munguu na atakusaidia.daaah lakn inaumiza sana 😢 pole dada happy

  • @JumaBundala-d3j
    @JumaBundala-d3j Месяц назад +1

    Karivyo Sasa kanajinadi

  • @BashirAthuman
    @BashirAthuman Месяц назад

    Jamani hiyo inauma sana yan we mdada we noma sana jifunze kwa tukio ulilo lifanyà

  • @neemalaurenty6713
    @neemalaurenty6713 2 месяца назад +1

    Pole mwaya

  • @LissaBosh
    @LissaBosh 3 месяца назад

    Duuuuuu we malaya muchafu sanaaaa unatubisha wa awake wenzako mkuduuuu sanaaaaa wewe😢😢

  • @Moshiarusha360
    @Moshiarusha360 2 месяца назад +1

    Ushetani Ni ushetani tu na malipo take Ni ushetani hakuna namna

  • @LissaBosh
    @LissaBosh 3 месяца назад +1

    Duuuuuu we kahaba kweli mmmmmmm😂😂😂😂😂😊

  • @Doctorndaki-g1u
    @Doctorndaki-g1u Месяц назад +1

    Atakuwa azmejifunz

  • @JumaBundala-d3j
    @JumaBundala-d3j Месяц назад

    Ee ndio mbadrike yamewafka

  • @EmmaKirua
    @EmmaKirua 3 месяца назад +15

    Dada usituunganishe wanawake wote tengua kauli,,unasema kamawanawake tunavyofanya tunaaga mara naenda kwamama,kumbe kufanya mambo mengine,dada usichafue wote

    • @POWERMANGWANA
      @POWERMANGWANA 3 месяца назад +1

      Yuko sahihi, ni wanawake wote tu!!

    • @janengaga2928
      @janengaga2928 3 месяца назад

      Pole sana .

    • @janengaga2928
      @janengaga2928 3 месяца назад

      ​@POWERMANGsioWANA sio wote wanawake wote

    • @mrrockboy9508
      @mrrockboy9508 2 месяца назад

      😂😂😂

    • @mwajumamtija
      @mwajumamtija Месяц назад

      😂😂😂😂 asituchanganye mbwa huyu

  • @HanifaShabani-dr3dq
    @HanifaShabani-dr3dq Месяц назад

    Jamani mtangazaji una maswali magum,unamdhalilisha muache

  • @KemiKomba
    @KemiKomba Месяц назад

    Duuh nazidi kujifunza kitu ndo sababu kurukaruka na wanaume sina na naogopa na utabakia kuwa msimamo wangu....hivi angebakia na mme wake huyo mmoja akatulia naye haya yote yangemkutia wapi jamani

  • @FrancineRiziki-b2f
    @FrancineRiziki-b2f 3 месяца назад

    Umuombe Mungu peke yake akufunze ngisi yakuishi,sa babu tabiya yako inaoba musaada wa Mungu pekee.

  • @SalimBilal-fo1uh
    @SalimBilal-fo1uh 3 месяца назад +1

    Acheni.utoto.happy.hama.mkoa.utapeta.tu.badili.jina.ila.muandishi.una.chokonoa.inatosha.sasa

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 15 дней назад

    Ume kuwa umeyazowea toka zamani kwasababu hata aibu huna

  • @MabugaMboje
    @MabugaMboje 3 месяца назад

    Dada pole sana unapepo la ngono okoka na mungu atakusaidia utafunguliwa

    • @MwanatumuOmar-y7r
      @MwanatumuOmar-y7r 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂anw pepo la ngono kweli mshenziii sana Huyo

  • @Yusufu940
    @Yusufu940 3 месяца назад

    Uyu ihi azabu inakufaha kupanga wanaume km tofari kweli Mungu sio asumani ujifunze kupitia hili

  • @EdgerJoseph-kz7ij
    @EdgerJoseph-kz7ij 3 месяца назад +1

    Naomba namba yake huyo dada,.

  • @AgnessDaud-jk7ro
    @AgnessDaud-jk7ro 3 месяца назад

    Aiseee wew dada umekubuuuuuuu khaaaa una hata aya,unalolitaka utalipat

  • @StephansebastianoLupia
    @StephansebastianoLupia 2 месяца назад

    Mwizi kajiibia mwenyewe pole kahaba umetuzalilisha wanaume

  • @LindaMakundi
    @LindaMakundi 26 дней назад

    Wacha tamaa ni kabila Gani mshamba huyo

  • @paulinebrown7608
    @paulinebrown7608 2 месяца назад

    Jamani huyu mganga anapatikana wapi wekeni hewani namba ya simu

  • @MenzaKanavidzo
    @MenzaKanavidzo 3 месяца назад

    Namsihi arudi kwake mola ache tamaa mola. Ampe. Uvumlivu. Mumewe waendelee. Kuvhmliana

  • @SuleimanAbdulla-k3l
    @SuleimanAbdulla-k3l 3 месяца назад

    Sio wote tupo ivo usifanye tukazaniwa vibaya na waume zetu hatuna ili iyo ya kuchupa chupa walivo tutongoza tumerika ndo tukaolewa hata Kama ni mmbaya ni wako uyo dada mwenzio anaenda kupambana ww unafanya ziinaaaaa

  • @ndayizeyeconsolatte
    @ndayizeyeconsolatte 3 месяца назад +1

    Ni ayibu kabisa

  • @BihadijaJawad
    @BihadijaJawad 3 месяца назад +1

    wanakume ongopeni sana wanawaki watawauwa

  • @HifadhAli
    @HifadhAli 2 месяца назад +2

    Ñikweli hakuna mkamilifu tumpe poletu

  • @hajatihajati5357
    @hajatihajati5357 3 месяца назад +1

    Inalillahi wainaillayhi rajiuuna wala hauna aibu ya kueleza ukahaba wako

  • @NaymaasaidKashushu
    @NaymaasaidKashushu Месяц назад

    Jamani huyu dada ni hatari

  • @ScholasticaIsaya-e9d
    @ScholasticaIsaya-e9d 4 дня назад

    Huyu dad's anatia aibu sana kwa Nini ndani kwako?

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 3 месяца назад +1

    Ushatuponza piya sisi wenziyo hat utapewa Tena ruhusa kwenda mahali shenzi weye Malaya mchafu

  • @DottoSaidy-wc9nn
    @DottoSaidy-wc9nn 3 месяца назад +2

    Dada pole

  • @ErickaDickson
    @ErickaDickson 2 месяца назад

    mwanamke umeolewa lakini u anafanya umalaya tuu ukome

  • @SadaSada-p8f
    @SadaSada-p8f 2 месяца назад

    Pole,Sana,DD,yataisha,tu,ilausiludiye,tena

  • @TheophilIfunya
    @TheophilIfunya 2 месяца назад

    Naomba we dada uache umalaya umeuona?

  • @saudakoho1584
    @saudakoho1584 3 месяца назад +1

    Mungu akusamee dada uko mkweli kabisa

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 3 месяца назад +1

    Kwa umri huo ameanza kuchepuka akifika miaka arobaini si atakua pakacha bovu......Zinaa sio dili kelbu mkubwa mkosa haya weye !!!!!

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 3 месяца назад +1

    tupate no zakeee apewe msaada

  • @YahyaMbega
    @YahyaMbega 3 месяца назад

    NIGEKUWA MM NDIO MGANGA NISIGE KUOKOA MPAKA KIAMA MUNGU AKUONE HUFAE HUFAE SITAKUONEA HULUMA MALAYA MCHAFU

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 месяца назад

    Huyu mwanamke hafai kurudi kwenye ndoa tamaa mbaya, sasa aingie mjini aungane na madadapoa.

  • @Moto1234-jl5ti
    @Moto1234-jl5ti 3 месяца назад

    Ishara mudongo wangu rizika nameo keasababu urimuchangua mwenyewe uspede kumusariti mumeo?😂 Poresana

  • @HanifaShabani-dr3dq
    @HanifaShabani-dr3dq Месяц назад

    Yani unaongea hata haya huna

  • @AsiaMtali
    @AsiaMtali 3 месяца назад

    Kweli huna aibu

  • @hashizo.comedy5492
    @hashizo.comedy5492 3 месяца назад

    manina zako jibwa wewe kwendaaa

  • @JackMaphie
    @JackMaphie 3 месяца назад

    Ambao tujaoa tumepata funzo

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bg 3 месяца назад

    Ww usituchanganye ss tumitulia jitajea ww tu mbuzia

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 3 месяца назад

    Hiyo Sio Mistek Mwizi Siku 40..Zikizidi Allah Atakudhalikisha Kwahiyo Sio Baimistek Allah Alishaamuwa Kukufedhehi Nahiyo Sio Wewe Wote Wenye Tabia Hiyo..Poleni Sana Na Jaribu Wote Wale Wenye Tabia Hizo...

  • @azizasuleiman8335
    @azizasuleiman8335 3 месяца назад

    Hili jambo ni kweli ou ana iginza?

  • @Farajadjogo
    @Farajadjogo 3 месяца назад +1

    Naomba namba zak ili asaidiwe kdg apate matibabu naamini atakuwa kungwi mkubwa badae

  • @MwamvuaOmary
    @MwamvuaOmary 3 месяца назад

    Una aibu kueleza ujinga wako mpumbavu unajini la ngono

  • @YahyaMbega
    @YahyaMbega 3 месяца назад

    WW HUFAE CHUMBA CHA MUME WAKO UNAGEUZA DAGULO YALLLLL

  • @GladnessMsoffe
    @GladnessMsoffe 3 месяца назад

    Pole na ujinga wako. 13:22

  • @NovatusKaboneka-fo1zn
    @NovatusKaboneka-fo1zn 3 месяца назад

    Kweli!???

  • @YahyaMbega
    @YahyaMbega 3 месяца назад

    WACHA UNAFIKI WW SAWA NAMBWA HANA AKILI YA

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 3 месяца назад

    Nkioa pia mm ntaeka mtego,Maana hawa viumbe duh😢

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 месяца назад

    Kimekuramba ndo uache umala pumbavuu yako et unaongea huna hata khaya

  • @FrancineRiziki-b2f
    @FrancineRiziki-b2f 3 месяца назад

    Iyo ni Pepo

  • @NaymaasaidKashushu
    @NaymaasaidKashushu Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 3 месяца назад

    Yaani kitanda unacholala na mume wako unaleta mwanaume mchana usiku unalala na mume wako

  • @LubnaGeorge-re4yp
    @LubnaGeorge-re4yp 3 месяца назад

    Sasa ndy utatulia ili ni funzo 😮

  • @MARTHAMATHIAS-p6c
    @MARTHAMATHIAS-p6c Месяц назад

    Jaman Wanawake wenzangu sio vzr kumchiti mwanaume wako unaempenda hata hivyo sio vzr kuleta mwanaume kwenye kitanda Cha Mme wako jaman tuacheni hii ni aibu kwetu SS wanawake

  • @Hadijasalim-nt5zk
    @Hadijasalim-nt5zk 3 месяца назад

    Malaya ulieshindikana wewe ni sawa Nangurue umbwa wewe

  • @mohamedathman2619
    @mohamedathman2619 3 месяца назад

    HABARI ZENU HUYO DADA ANASIKITISHA SANA AFADHALI MPE NUMBER YAHGU ANITAFUTE NIMSAIDIE SWSW BRO

  • @RehemaFord25
    @RehemaFord25 Месяц назад

    Huyu mtoto hana akili tu, asimsingizie mtu, shariti aokoke atubu

  • @OmariMtande
    @OmariMtande 3 месяца назад

    Umewaaibisha familia yako nimeona dadayako alivyokutetea mbele ya camera watu wa kisaki wamebaki na aibu

  • @polloz77
    @polloz77 3 месяца назад

    Hiyo ni kweli au fake
    How kitukama hicho cha weza kutokea?
    Au tuangaliye sayansi hinasemaje
    Ni mishipa na damu ndo zinasanabisha ni naturally nice kama mishipa himejikazaa

  • @SarimaOmari
    @SarimaOmari 3 дня назад

    Wew dada ukome kwasababu haukuwa mkweli kama ulifuata masilah kwa nini musiende gest ungemdanganya vyovyote vile,acha umalayaa😅😅😅

  • @NaymaasaidKashushu
    @NaymaasaidKashushu Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @slemanMbwana
    @slemanMbwana Месяц назад +1

    hii ndio kawaida ya wanawake wazuri ! bora kuwa na mwanamke mbaya...

  • @SemeniIkram
    @SemeniIkram 15 дней назад

    Huoni hataaibu kuonge kweli ww ni Malaya Sana Yani umlete mchepuko kwenyekitanda chamumeo wenishetani.

  • @JacklineBayo
    @JacklineBayo 3 месяца назад +2

    Pole mwaya wengine mnatukana Nini hata hamjielewi

  • @FaidaHamidu
    @FaidaHamidu 21 день назад

    Musimlaumu inawezekana mume wake apeleku moto vizuri ndomana anachepuka

  • @MagotiSalima
    @MagotiSalima Месяц назад

    Anaetaka mke sasa ni huyo kashakosea harudii ujinga huyo

  • @aminumengo2123
    @aminumengo2123 3 месяца назад +2

    Hili igizo tu msitudanganye

  • @CarolynaCaro
    @CarolynaCaro 2 месяца назад +1

    Pole dada

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад +2

    Huyu mwanamke kashazoea kufanya mapenzi kwa siku mala tatu nne ndio mana Anajiachisha kwa mumewake 😂😂

  • @HawaJums
    @HawaJums 2 месяца назад +1

    Pole sana ila pia ni funzo kwa wengine na mungu atunusuru sisi sote InshaAllh 🙏

  • @KihangoDonard
    @KihangoDonard 3 месяца назад +1

    Yote kakoswa hawala na mme

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 3 месяца назад +1

    pole mi nimeguswa nahitaji nikusaidie pamoja Na kutenda dhambi kwako unapatikana vip

    • @muhammadmuhammad5043
      @muhammadmuhammad5043 3 месяца назад

      Pole Sana Allah Akurudishie Afya Yako ila Mimi Nawanasihi Wadada Wote Muwache Tabia Hizo Mbaya..Zakuchukuwa Wanaume Na Ikiwa Umeolewa Toshekeni Na Hata Sisi Wanaume Pia Kuchukuwa Wake Zawatu Tusifanye Hicho Kwasababu Hata Allah Hayupo Radhi Na Yeye Hawezi Kukusamehe Mapaka Upate Ridhi Ya Muhusika..Mwenye Chake Kama Ni Mume au Mke..Tuaache Kunamote Tujaribu Tuaache Kumkosea Mtu.. Allah Akinkosea Atakusameh Ila Mtu Inakuwa Uzito Kumfata Mumu au Mke Nisamehe Ngumu...

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 3 месяца назад +1

    Pole sana mungu akurehemu

  • @HappyFinishLine-en4sc
    @HappyFinishLine-en4sc 3 месяца назад +1

    Pole san

  • @SalimBilal-fo1uh
    @SalimBilal-fo1uh 3 месяца назад

    Lawama.ni.upepo.watu.wata.sahau.maisha.mengine.yata.endelea.ila.muandishi.heppy.ni.mrembo.kweli.nipe.no.yake

  • @SuleimanAbdulla-k3l
    @SuleimanAbdulla-k3l 3 месяца назад

    Sio wote tupo ivo usifanye tukazaniwa vibaya na waume zetu hatuna ili iyo ya kuchupa chupa walivo tutongoza tumerika ndo tukaolewa hata Kama ni mmbaya ni wako uyo dada mwenzio anaenda kupambana ww unafanya ziinaaaaa