Duuh!! MZEE MAGOMA Aanika Kuzimia ALIKAMWE Zile Tano Wazee 'Walifanya Yao' | MANARA Wametumwa SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 19

  • @nuruosward8161
    @nuruosward8161 Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂safi magoma you made my day😂

  • @shukranionesphoro7744
    @shukranionesphoro7744 Месяц назад +1

    Safi mzee wangu

  • @user-dd4zk5oq3c
    @user-dd4zk5oq3c Месяц назад +2

    Uyo mzee njaa itamponza maisha hayapatikani rahis kama anavofkiria yy na uzee huo angetafuta rizki ya halali akaishia kufanya ibada tu midomo ya watu mibaya

  • @filbertntibasiga8093
    @filbertntibasiga8093 Месяц назад

    Mzee wangu tulia tu huna msaada wowote kwenye timu

  • @mustafabandulla7185
    @mustafabandulla7185 Месяц назад

    Duh! Huyu mzee ni Yanga kweli au kolo. Mbona kama anaichukia!?😮

  • @MubibuHassani
    @MubibuHassani Месяц назад +1

    Nakuelewa kitakita

  • @saidijuma6071
    @saidijuma6071 Месяц назад +1

    We mzee unazeek vibay bil kua na adabu ndo maan yanga Wanakuteng huna adab na hekima jitambua mpira hauendeshw kiziman

  • @FosterBwalya-rh9lh
    @FosterBwalya-rh9lh Месяц назад +1

    Hekima iko wapi Mzee magoma ?mbona kama unazidi kuchanganyikiwa

  • @mamilooutukufu3516
    @mamilooutukufu3516 Месяц назад +1

    Sis tuliyojaliwa rizik ya akili tunamuelewa Tu vizur!! Kua upande wa pili wametushindwa ndani ya uwanja sasa wanatutafta nje ya uwanja hizi ni fitina tunazijua so hamtusumbui wee ngoja tukupe trend ujulikane ila yanga akili tunazo

  • @MariamOmary-uq3rs
    @MariamOmary-uq3rs Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂unanifrahisha we mzee

  • @abdallahnassoro-k3e
    @abdallahnassoro-k3e Месяц назад

    atauponza.huyu mzeee

  • @patrickjohn50
    @patrickjohn50 Месяц назад +1

    Kama uogopi lala nyumbani?

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Месяц назад

    Magoma unatupa raha weng 😅😅😅

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Месяц назад

    Huyu mzee magoma kama inawezekana apimwe akili naamini sio mzima

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 Месяц назад +1

    Pumbafu magoma

  • @hamisiomaryi1699
    @hamisiomaryi1699 Месяц назад

    Mzee magoma hanahupiga mwingi mpaka hunamwagika

  • @robsonwilliam8301
    @robsonwilliam8301 Месяц назад

    We kum tu

  • @mokwaxymokwaxy-fc8lx
    @mokwaxymokwaxy-fc8lx Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👏

    • @lucaskabaka314
      @lucaskabaka314 Месяц назад

      Ukisikia wachawi wa maendeleo uyo ndo mmnoja wao anataka soka la bongo lishuke au nn ila uyo njaa ndo inamponza kama hana kazi aje alime uku