Kanze Dena ateuliwa kuwa naibu msemaji wa ikulu
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Rais Uhuru Kenyatta amemteua mwanahabari wa runinga ya Citizen Kanze Dena kuwa naibu msemaji wa Ikulu. Kanze mwenye tajriba ya miaka mingi ya uanahabari pia atahudumu kama naibu mkurugenzi wa habari atakayesimamia masuala ya rais Kenyatta katika utekelezaji wa ajenda nne kuu za serikali ya Jubilee. Kwenye taarifa ya msimamizi wa wafanyikazi katika Ikulu Nzioka Waita, Kanze atasaidia pakubwa katika kuimarisha masuala ya mawasiliano katika idara ya habari ya rais. Kwenye taarifa hiyo, Munira Mohammad pia ameteuliwa kuwa naibu mkuu wa idara hiyo kusimamia maktaba ya Ikulu, itakayoangazia maisha na kumbukumbu za marais waliotangulia.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya
Wow..Congratulations Kanzi Dena..you definitely deserve it
I'm happy for you Kanze. May more of God's blessings come your way!!
AM HAPPY FOR HER.VERY PRINCIPLED AND DISCIPLINED
Congrats
My best swahili anchor💪💪kuddos
It's indeed payback time...after struggles,, tears,, loss,, God has brought HIS reward...congratulations Kanze...♥♥♥we loved your anchoring and we still love you as you serve the nation...★★★
what struggles? tafadhali fafanua. i have just known her today
Woii na lulu
Maclaude Amumbwe link on her bio to hear her inspirational story....amepatana na mengi...if listen you will just understand what am saying...her is long...and indeed incredible
Magdaline Bosibori mm ata nashangaa itakuwaaje jamani....supa sato nayo..but we hope that she will pull through...God will help her...
Maclaude Amumbwe Go utube search woman without limit kanze Dena
Wow congratulation Kanze don't forget your sister Lulu
Congratulations kanze
Kanze, you did a wonderful job while in Citizen TV. You deserve the New post, really! May God keep you blessed. Love from Tz.
All the bext dadangu twakuombea mungu akupenguvu
Ooh my dear kanze,congratulations mammie
Happy for you Kanze
Congratulations she truly deserves it
Pongezi na hongera Kanze. Mungu akuzidishie
Amen. Glory to God ..Am proud of u kanze Dena
Rais amefanya mazuri kwa amemteua kanzeni dada yetu tuko mbele pamoja
Congratulations kanze keep up the good work 👊
Congrats kanze dena you deserve it, kudos
mashaallah, congratulation kanze dena
Wow hongereni sana kina kanze na mnira
Hongera Kanze
Congratulations girl
Hongera mrembo
congrats
Congratulations
She is equal to the challenge; congrats Kanze.
Wooow
Congrats.
Waaa na lulu aki?
Congratulations Kanze Dena
God be with you anchor kanE
Kanze
👏👏👏👏👏👏👏❤❤❤❤
Woooooooow kanze happy for you mamaaa
Uchunge usiambukizwe mdudu
Maggy Nowak labda ww umwambukize
AMECHAPA SANA BILA MAKEUP
ramsy rama mbona nyinyi watu muna wivu?
She's not that's beautiful, it's just make up, wanaume muoe sasa
david ouma Shes beutiful
no she is not
Mahaters ni wengi show us your wife tumlinganishe na Kanze
Congrats kanze
Congratulations kanze Dena
congratulations kanze
Congratulations kanze Tena
Congratulations kanze
Congrats kanze
Congratulations kanze
Congratulations kanze
Congratulations sis kanze