MFAHAMU DEO KALOLELA-ImbaNasi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Mtangazaji: Salome Mlay
    Waandaaji: Tanganyika Productions
    #ImbaNasi
    imbanasitz@gmail.com
    www.tanganyikaproductions.co.tz

Комментарии • 30

  • @sunguttronald5289
    @sunguttronald5289 Год назад +1

    Napenda nyimbo zake. Very solemn songs.

  • @VicentMajaliwa
    @VicentMajaliwa Год назад

    Mungu amlinde na kumuongoza ili aendelee na utume wake siku zote.

  • @stephenkinyenze512
    @stephenkinyenze512 4 года назад +4

    Tafadhali tungalipenda kumfahamu Afred ossonga kutoka kenya. Ni mwalimu wa muziki wa kikatoliki mwenye kipaji cha kutunga, kuimba na kucheza kinada.

  • @mwematomaso
    @mwematomaso Год назад

    Fanya historia ya Mzee pd. Kayetta

  • @dennisevarist
    @dennisevarist 22 дня назад

    Hiyo album ya Tazama Bwana ninavyoteseka ni album pendwa kwangu tangu 2005 nikiwa darasa la sita kama sijakosea hadi leo aliinunuaga baba yangu kipindi tumehamia iringa . Nikikaa tuu baadhi ya nyimbo zinakuja kichwani. Ile kanda hadi leo ninayo kwenye begi langu la nguo, popote ninapohamia ninakuwa nayo japo sina pa kuitumia ninatumaini nitaweza kuibadili kuwa mp3 maana sijazipata zote katika mfumo wa mp3

  • @marcelinusjarvis1376
    @marcelinusjarvis1376 2 года назад +1

    Ningeoenda ukatupa historia ya Kayetta na Nyundo, hawa watu wametunga nyimbo nzuri

  • @peterbenjamin3692
    @peterbenjamin3692 2 года назад

    Mwenyezi mungu uwabariki wote wanaoimba nyimbo za kukusifu na kukuabudu maana sisi wengine ni wavivu wa kwenda kanisani ila ni waumini nyimbo ikiwemo nishike mkono ikiimbwa na waimbaji wa parokia mtimbila Jimbo la mahenge huko morogoro iliyotungwa na mtunzi Deo Kalolela

  • @barikikimaro9165
    @barikikimaro9165 4 года назад +1

    kwakweli mimi huwa navutiwa navutiwa sana na nyimbo za deo kalolela hazichoshi kusikiliza MUNGU amjaalie maisha marefu na yenye afya.

  • @eliasmpenzwa1100
    @eliasmpenzwa1100 3 года назад +1

    Sasa wakati umefika wakushika nilicho nacho, Hodi hodi hodi hodi Bwana nifungulie milango, Kazi zako ni njema sana

  • @benjaminfyumagwa7310
    @benjaminfyumagwa7310 4 года назад +2

    Asanteni,,, Tunaomba na historia za watunzi wenginee kama,, G.chavalla,, s.kacholi,,nyanza etc

  • @francismwendo9532
    @francismwendo9532 4 года назад +2

    Naweza Pata Kanda ama nyimbo za Kalolela za kitambo kidogo....
    1. Tazameni karamu ya Bwana iko mezani (1997)

  • @mathiasmateru9977
    @mathiasmateru9977 4 года назад +1

    TYK.
    Dada unaelezea vizuri sana.
    Nimekuelewa.

  • @fredrickmakoba628
    @fredrickmakoba628 4 года назад +2

    Kuimba ni kusali mara mbili

  • @samwela.kasamalo2113
    @samwela.kasamalo2113 4 года назад +1

    Mungu akubariki mwl. Changamoto ni sehemu ya maisha

  • @peternichoraus5983
    @peternichoraus5983 4 года назад +1

    Watu nawashukuru dah huu wimbo naupenda sana na abarikiwe katika utunzi wake

  • @IndexTechnology
    @IndexTechnology 4 года назад +1

    Kipindi kizuri sana nitakifuatilia na familia yangu. Muhimu kukua historia ya wana kwaya wetu

  • @newug3347
    @newug3347 2 года назад

    Tunatoa Shukrani sana.

  • @himerymsigwa9665
    @himerymsigwa9665 4 года назад

    Mungu aendelee kumbariki mwalimu Kalolela

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 4 года назад

    Hongereni kwa kipindi kizuri

  • @newug3347
    @newug3347 2 года назад

    Naomba basi huu Wimbo wa mwisho umemaliza nao Unaitwaje?

  • @Masuveni
    @Masuveni 4 года назад +1

    Huyu ni mwl serious. Yani huo wimbo fungueni mambo umetungwa kiufundi,kiimani na kiutakatifu mno

  • @fortunatusmwaisaka7394
    @fortunatusmwaisaka7394 4 года назад +3

    Nyimbo za kalolela ni nzuri zinatafakarisha ,naomba kama naweza kupata copy ya wimbo Mungu ni Mwema kwa wote ametunga mwenyewe Kalolela whatsapp no 0784636893

  • @kassimmwahu3468
    @kassimmwahu3468 4 года назад

    kalole hatari sana huyu Jamaa namfahamu vyema akiwa na kwaya ya mt,Elizabeth Parokia ya burka Arusha ila kupitia kazi zake nakumbuka mno hasa kupitia albam ya nyakati za mwisho iliimbwa Kwaya moja huko mbuguni arusha Mungu ampe afya njema

    • @edgarmademla6792
      @edgarmademla6792 4 года назад

      Huyu ndo role model wangu, sikuwahi kuwaza kama nitakuja kuimba kwaya hadi nilipoisikia album ya nyakati za mwisho na sikuishia kuimba tu, nikatamani kujifunza muziki, hadi sasa ninaweza kusolve nyimbo kwa kiasi kidogo ni kwa sababu ya huyu mwalim

  • @simonmugera9182
    @simonmugera9182 4 года назад

    Mbona Yuko kimya sana

    • @suzanakamala3615
      @suzanakamala3615 4 года назад

      Jamani, natamani kuimba wimbo wako mpya, uliyotunga kipindi hiki.

    • @titusnjenje556
      @titusnjenje556 3 года назад

      axante xana kaka angu

  • @fortunatusmwaisaka7394
    @fortunatusmwaisaka7394 3 года назад

    Nakumbuka nyimbo zake nyingi kama Nimevipiga vita vilivyo vizuri, Mungu ni mwema kwa wote kama naweza kupata copy za hizo nyimbo WhatsApp number 0784636893

  • @francismwendo9532
    @francismwendo9532 4 года назад

    Naomba mtu anijibu. Namba yangu... 0710 352 407.... Toka Kenya