Soudkhafa: Taifa lahuzunika official video: Lazima ulie

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • Ni nasheed ya majoz kuhus maalim seif. Na soudkhafa amlilia Maalim angalia jins watu wanavyomwaga machozi yao

Комментарии • 109

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 года назад +4

    😭😭😭😭😭إن لله وإنا اليه را جعون😭😭😭Tutamkumbuka Daima Maalim Seif Allah akutilie nuru katika kabr lako 😭😭😭😭😭😭😭Mbele wewe nyuma sisi baba😭😭😭😭😭😭😭😭😭Yaaa Allah tupe subra waja wako😭😭😭😭👐

  • @seifahmed5230
    @seifahmed5230 3 года назад +9

    Huzuni zipo na zitaendelea kuwepo hongera msomaji yaani unanifanya nazid kutokwa na machoz

  • @zalfatartic3738
    @zalfatartic3738 3 года назад +6

    Nimependa haswaa mahadhi kam ya sheikh Yusuf Abdi

  • @munatwalib2808
    @munatwalib2808 3 года назад +4

    Allah akikupokonya kitu kizuri ujue kuna kizuri zaidi kakupangia tumuombee dua Allah afanyi makazi mema peponi thuma ameen

  • @khadijaal6548
    @khadijaal6548 3 года назад +5

    Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun poleni saana wazanzibar sote ni njia yetu hata watanzania tunalia na nyie 😭😭😭

  • @issakassim8291
    @issakassim8291 3 года назад +8

    Allah amuhifadhi maalim seif tuwenae jannatul firdaus

  • @hashimsalim1621
    @hashimsalim1621 3 года назад +5

    Hakika sisi ni wa Allha na kwake yeye tutarjie hta kma tumeumia ila hatuna budi kumshukuria soud khafa umemuenz maalim pmja na wa Zanzbr wte

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 года назад +6

    Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah 🤲🤲🤲🙏🏽🙏🏽🙏🏽💔💔💔

  • @ashfaynahrasheyd9228
    @ashfaynahrasheyd9228 2 года назад +4

    Allahumma ghufir lahu warhamhu maskanhu fil jannah maa waliwalidayya amin

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany3208 3 года назад +2

    Mola akuweke pema Mzee wetu kiongozi wetu mpendwa wetu tutakukumbuka daima

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 2 года назад +1

    Allah akusamehe makosa yako akujaaliye pepo ya firdau katika maisha ya ahera Aaameen yarabi 🤲🤲🤲.

  • @salehsuleiman8519
    @salehsuleiman8519 3 года назад +2

    Allah atujaalie mwisho mwema hakika taifa limeondokewa na kipenz chetu

  • @alimussa1728
    @alimussa1728 3 года назад +4

    Masha Allah kla la khr mung ailaze roho ya maalim seif pahala pema peponi , Aminn

  • @aminaali8836
    @aminaali8836 3 года назад +3

    Nashiid mashaallah mungu amlaze mahala pema peponi amiina

  • @zalfatartic3738
    @zalfatartic3738 3 года назад +5

    Exactly ustadh mahadhi saiz yake Masha Allah Allah amrehemu na waislamu wote kwa ujumla

  • @rukiasalumjuma5676
    @rukiasalumjuma5676 3 года назад +11

    Innaa lillahi wainna ilayhi raajiun Allah ailaze roho ya marehem mahala pema peponi na sisi atupe mwisho mwema 🙏😢

  • @habibaabdallah3146
    @habibaabdallah3146 3 года назад +7

    Allah amjaalie JANNAT FIRDAUS iwe ndo makaz yake nasheed nzr sana mashallah tutazd kumkumbuk ck zote kwa wema wake aloufanya kwa taifa

    • @pongwebeachhotel2806
      @pongwebeachhotel2806 2 года назад

      Amiin,amiin,amiina ya rabil alamiin FIL jamiul ummat was kiislamu

  • @حمدالمسروري-ع3و
    @حمدالمسروري-ع3و 3 года назад +7

    Innalilahi wainna ilahi rajiun ALLAH amlaze pema peponi aaamiiyn nasi tulobakia atupe mwisho mwema pole sana mughani wa nasheed ALLAH Akupe subra

  • @MyChannel-gw4bv
    @MyChannel-gw4bv 3 года назад +6

    Kwa hakika tumeondokewa. Tunamuombea makazi mema uko alipo

  • @hashyatkid1716
    @hashyatkid1716 3 года назад +9

    Innalillah wainna ilayhi rajiun Allah amlaze mahala pema peponi inshaallah 😭😭😭

  • @hafsamohd5322
    @hafsamohd5322 3 года назад +2

    Katika nasheed na qawsida zote zilizoimbwa kwa kifo cha maalim hii ndo inoniliza inanikumbusha mbali hatari muungu amlaze roho yake mahali pema peponi.Amina

  • @murshidalam9398
    @murshidalam9398 3 года назад +3

    Inalilahi wainalilahi lajuni Allah amlaze mahali pema peponi Insha Allah yarabi

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 года назад +4

    Mashallah nice Nasheed😭😭😭😭niliiskiliza kwa Alfattah tv😭😭

  • @aminakassim409
    @aminakassim409 3 года назад +3

    Hakika zimezama huzuni ktk vifua vyetu😪😪 but yt mipango yake allah..allah amjaalie miongoni mwa watu wema peponi inshaallah.🤲😭

  • @zainabkisailo1711
    @zainabkisailo1711 3 года назад +6

    Sote Ni wa Allah na kwake tutarejea😭😭😭

  • @ustadhiahmadi6449
    @ustadhiahmadi6449 3 года назад +3

    Mola subhanahu wata'ala'a amfanyie kaburi lake nuru
    Amrehemu
    Amlaze jannatul fir'daus

  • @muhidinali8180
    @muhidinali8180 3 года назад +7

    اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله دار خيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار

  • @hafidhabdalla7484
    @hafidhabdalla7484 3 года назад +3

    mashalllaah nashhed munaasabu

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 года назад +3

    Ammin yarab😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @allghulamkanzucenter7692
    @allghulamkanzucenter7692 3 года назад +5

    Innal- lilaah mungu ampe kauli thabit amlaze pahal pema
    Big up sana all ustadh soudkhafa

  • @nassorkhatib8645
    @nassorkhatib8645 3 года назад +9

    Mashaalah Ustadh Soud Allah amlaze pema kiongoz wetu

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 3 года назад +5

    Nasheed nzury sana maasha Allah , Allah ampe qauli thaaabit yeye na sisi tuliopo nyuma yake . Maaim Maaaalim Maalim 😔😔😔😔😔😔.

  • @faqihmbarouk6880
    @faqihmbarouk6880 3 года назад +4

    Mashaaa Allah Allah alitie nuru kabur lake
    Hongera sna boss wang

  • @zahoral-miskir8862
    @zahoral-miskir8862 3 года назад +3

    Mungu ailaze roho ya marehemu pahala pema peponi Aaamin

  • @basakimnguuchannel3402
    @basakimnguuchannel3402 2 года назад +1

    Shekhe unajitahidi Sana Allah akujalie

  • @hasinaseif5742
    @hasinaseif5742 3 года назад +5

    Mashallah 🙏🏻mungu amlaze mahala pema peponi, na amjazie nuru katika kabur lake inshallah 🙏🏻😭😭💔💔Mbele yetu nyuma yake

  • @JumaAlly-kb4du
    @JumaAlly-kb4du 4 месяца назад

    Yaa rabb msameh makosa yke umuingize peponi inshallh

  • @zanmedia5225
    @zanmedia5225 3 года назад +4

    Alla amsamehe makosa yake Inshaalla 🤲

  • @nassorkhatib8645
    @nassorkhatib8645 3 года назад +5

    Mashaalah Ustadh Soud Allah akuzdshie

  • @salumkhatib7551
    @salumkhatib7551 3 года назад +1

    Nashid nzur ila mshumaa haifai kwa ss waislam

  • @youmnaaboubakar5486
    @youmnaaboubakar5486 3 года назад +8

    Hakika huzun zimetatanda Alha ampe wazungumaj wem kaburn kwak AMMIN

  • @salumanga4275
    @salumanga4275 3 года назад +3

    Allwah ampe makaazi mema .

  • @shureymrashidkhelef1392
    @shureymrashidkhelef1392 3 года назад +1

    Innalillah wainna ilaihi rajiuni Hakika ss ni wa Allah na kwake tutarejea

  • @mwanahamza5198
    @mwanahamza5198 3 года назад +3

    Inalillah wainaillah rajiuuuuuona dah wallah moyo wangu unauma sana

  • @hawaramadhan7962
    @hawaramadhan7962 Год назад

    Pole sana Zanzibar Allah kampenda zaidi

  • @binzubeirnasheed4088
    @binzubeirnasheed4088 3 года назад +2

    Masha Allah.. kazi ipo fresh

  • @allysuleiman7093
    @allysuleiman7093 3 года назад +1

    Allah amlaze mahali pema peponi amiin maalim seif sharifu machozi yetu atafuta nani

  • @brothermeky7548
    @brothermeky7548 3 года назад +1

    Yaarb tupe mwish mwema

  • @jumatano242
    @jumatano242 3 года назад +4

    Hakika sote ni wa Allah na kwake tutarejea, tujitahid tu na kuomba khatma njema

  • @mariamyussuf163
    @mariamyussuf163 3 года назад +3

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ 😭😭😭

  • @hasbunakhamis487
    @hasbunakhamis487 9 месяцев назад

    Allah ampe mwangaz kwny kabur lake

  • @mtumwakombo9270
    @mtumwakombo9270 3 года назад +1

    Allahuma ghfirlahu waafih waaf anh waakrimhu

  • @fatimahamisi9235
    @fatimahamisi9235 3 года назад +1

    Sijui km upinzan utaendelea tena

  • @officialmidy_og
    @officialmidy_og 3 года назад +5

    Masha Allah 😭😭😭

  • @Azhaf000
    @Azhaf000 3 года назад +4

    Mashallah

  • @emanakei9789
    @emanakei9789 3 года назад +1

    Mungu akulaze mahala pema peponi

  • @aishamuhammad7785
    @aishamuhammad7785 3 года назад +5

    Aamyn yaa Rabbal’alamyn, innaalillaahi wainnaailayhi Raajiuwn

  • @rayurayan543
    @rayurayan543 3 года назад +1

    Sitokusahau abadan

  • @mafundahamad8665
    @mafundahamad8665 2 года назад

    Allah nakuomba umpe pepo maalim seif, namsomaji nasheed ampe kheri zote

  • @mwanaishaabdallah8682
    @mwanaishaabdallah8682 2 года назад

    Allah amrehem Maalim Seif

  • @hassanbakari6335
    @hassanbakari6335 3 года назад +3

    Inalillah wainaillahi rajiuna

  • @husseinhamad2258
    @husseinhamad2258 2 года назад

    Subhanallahh allahh amlaze mahala pema peponi amiin amiin amiin inshallahh

  • @IBRAHIMELSUBHY
    @IBRAHIMELSUBHY 3 года назад +3

    Masha Allah

  • @hassanbakari6335
    @hassanbakari6335 3 года назад +2

    hiii nashidi inatoa chozi

  • @abdallasaid7180
    @abdallasaid7180 3 года назад +1

    Allah amlaze mahala pema kiongozi wetu

  • @mudrikmaulid8912
    @mudrikmaulid8912 3 года назад +1

    Dah

  • @salhanassor1077
    @salhanassor1077 3 года назад +1

    Huu msiba wa taifa jamn..lakin mbona nimejitahidi kuangaza mimacho kila pembe simuon seif Ali iddy wala sheni au ndo msiba umewagusa sana wamekosa nguvu zakuhudhuria.. Nenda salama kipenz chetu.. you will live in our heart forever😭😭

    • @sudaissoud3670
      @sudaissoud3670 3 года назад

      Wameenda mbn

    • @salhanassor1077
      @salhanassor1077 3 года назад

      @@sudaissoud3670 kweli!!! Mie wallah sijawaona na baadhi yawatu nlowauliza nao wamesema hawajawaona..itakuwa nihuko unguja huku pemba hawajaja

    • @sudaissoud3670
      @sudaissoud3670 3 года назад

      @@salhanassor1077 angalia pale wanapoweka mchanga pemba utawaona wanaweka nawao. ..

  • @khalidhaji8570
    @khalidhaji8570 3 года назад +4

    MASHALLAH.

  • @patimajumakhamis2439
    @patimajumakhamis2439 3 года назад +1

    Mashllah yahuzunisha

  • @jumakhamis8663
    @jumakhamis8663 3 года назад +1

    Allahumma ghufirlahu wa rahamahu

  • @baufumomo1865
    @baufumomo1865 3 года назад +3

    Ameen yarabby 🤲😭😭😭

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 года назад +3

    Aamiin

  • @moo_zein8504
    @moo_zein8504 3 года назад +2

    Bravooo 💪💪🤲🤲🙏🙏😭😭👍👍👍

    • @mustwafaabuubakar6474
      @mustwafaabuubakar6474 3 года назад

      Allah amsamehe zambi zke amuondoshee dhiki y kabri alijaze nuru kaburi lke

  • @allyasaa4067
    @allyasaa4067 3 года назад +1

    E mungu tupe lmani na kusahau lli kusudi kuaweza kumuombea dua kiongozi wetu uko alipo kwani tutapo dumu na huzuni kila siku zipi napo pita tuki wa tuna mlilia tutamnyima amani ewe allh tupe subira kwa lli 😭😭 tunaumia kwakweli tukiwa tunaangalia recod za ughay wake kwakweli lnatuuma lkn wew allh ndy unajua kuliko ss tunae mlilia ya allh mpe utulivu 🙏🙏🙏🙏🙏 tunaumia yarabi 😭😭😭😭 mpe usingizi mwema kiongozi wetu tulie mpenda na tukaona kwelitu ni hazina lkn tukasahauu km na ww yarabi ni wakwako😭😭😭😭😭 pumzika salama maalim seif lnshaallh mbele nyuma yako pumzka salama lnshaallh 🙏🙏🙏🙏😭😭😭 kitakuja kzazi kitakutamani lkn aaaaaaa tunaumia wananch lla ndy safar leo ww kesho ss

  • @ustjumanasheed1228
    @ustjumanasheed1228 3 года назад +3

    Innalillah wainnailahi raajiuun,

  • @abubaidamohamed4976
    @abubaidamohamed4976 3 года назад +2

    Innaa lilaah

  • @rajimaalik.nasheed4237
    @rajimaalik.nasheed4237 3 года назад +1

    Inasikitisha kiukweli

  • @thabitnasibu4896
    @thabitnasibu4896 3 года назад +1

    Inna lillah wa inna ilayhi rrajiuun

  • @mohamedmande3958
    @mohamedmande3958 3 года назад +2

    رحمه الله

  • @barghashally7791
    @barghashally7791 3 года назад +1

    Mashallh

  • @suleimanmohamed4367
    @suleimanmohamed4367 3 года назад +3

    😭

  • @HasbunaSubeit
    @HasbunaSubeit 4 месяца назад

    Inalillah

  • @abdillahisaleh5974
    @abdillahisaleh5974 3 года назад +1

    Dua

  • @maryammas
    @maryammas 5 месяцев назад +1

    😢😢😢😢😢

  • @jumafundi6528
    @jumafundi6528 3 года назад

    😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲

  • @shumbanajuma6719
    @shumbanajuma6719 3 года назад

    SI MLISEMA ALIPO TUPO SASA MBONA HAMJINYONGI

    • @jumayahya2661
      @jumayahya2661 3 года назад

      Shumbana juma:wataka lawitiwaaaaa?

    • @masoudsafia207
      @masoudsafia207 3 года назад

      we mpumbavu

    • @muhidinali8180
      @muhidinali8180 3 года назад

      Sheria ya kiislam hairuhusu kujinyonga na sidhani kama diniyenu inaruhusuhilo ikiwa nihivo acha ushabiki wa mambo yakidunia unaweza kutamkaneno ukalionajepesi kumbe linakuangamiza haina haja yakujinyonga maana dini hairuhusu pia ubinaadam hauruhusu mtu kujidhulumu mudaukifika kilamtu atakwenda hukohuko alikoyeye اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله داراخيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار

  • @emanakei9789
    @emanakei9789 3 года назад +1

    Mungu akulaze mahala pema peponi

  • @jumaamour4406
    @jumaamour4406 3 года назад +4

    Mashallah

  • @rayurayan543
    @rayurayan543 3 года назад +1

    😭😭😭😭😭😭

  • @musallamahnasheed289
    @musallamahnasheed289 3 года назад +3

    Mashallah

  • @bindauud1037
    @bindauud1037 3 года назад +2

    Mashallah