Vee Money na Jux Walichokifanya, Shilole Hatasahau!
HTML-код
- Опубликовано: 13 янв 2018
- Suprise ya Vee Money na Jux Kwenye Harusi ya Shilole
Kwa Habari za Kitaifa, Kimataifa, Burudani, Matukio, Breaking News na Exlusive Interview za mastaa wote, video mpya za Bongo Fleva, hadithi za Eric Shigongo na Magazeti Bure, ni Application namba moja pekee Tanzania.
Install #GlobalPublishersApp
Android: bit.ly/2AAQe1d
iOS: apple.co/2Assf4M
Subscribe / uwazi1
COUPLE ya wakali wa Bongo Fleva, Juma Jux na Vanessa Mdee 'Vee Money' usiku wa kuamkia leo wamefanya kufuru usiku wa kuamkia leo baada ya kugawa minoti kwenye harusi, Shilole na Uchebe iliyofanyika Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Katika harusi hiyo iliyohudhuriwa na mastaa kibao wakiwemo wa Bongo Fleva na Bongo Movies, Couple ya Jux na Vanessa walipata fursa ya kutoa nasaha na kumpongeza Shilole kwa kufunga ndoa pia wakimpongeza Uchebe kwa kumpata mke aliye bora.
Baada ya hapo, Jux alichana pochi na kumkabidhi Vanessa mkwanja ambapo aliwavagaa maharusi na kuanza kuwarushia pesa hizo kama zawadi.
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli . Развлечения
ve and jux nawapendaga sana
hadi raha jamani 😘😘😘😘🙌🙌🙌sijui kwa nn nilipitwa
uuuuwiiiiiii jaaaamanii nakapendagaa ka Vanessa jooomaaaniiiiii
Jux na Vanessa nawapendaga mkiwa wote
Iko pw sana harusi yako Allah akupeni kilalenyeheri
Penda sana couple yenu love u mingimingi vee&jux
ruwaida mohd
Safi sanaaaaaa....dah hadi raha
wow I real love this couple
Mmmmh haya bhana mie nawatakia maisha mema ya ndoa
Kwenye mapenzi hakuna wakuingiria vee mani na jux mungu awabariki wafunge ndoa
noma sana wcb na jux mnamchango mzuri BG up lakn huyo mc noma hyo Tshart cjuh n ya buku,
Christopher Damian hahahaa.T-shirt y buku!!!
l love it
Congratulations shishi 😍❤️
Nakupenda snaaaa vee money😍😍😗😘
Vanessa we mzuri tafadhali mufunge ndoa na juma
Congratulations Shish
Mnapendezana sana
Good
Dream come true....... Uchebeeeeeee
Kemmy Pius
Aslay
Aslay
baba levo ni noma eti underground huu mwaka wa saba na hyatt na mc awepo loh hahahaha
Hahaha mashaallah shshi kwa atuwa ulochukuwa Allah walinde
mazoeya jamn anashindwa ongea Kiswahili 😂😂😂
Pendaa xna u guyz
Kabla babalevo hajajip
jamani babá levo
Mc namimi naomba uchague zawadi pls
Anywhere I go they call me cash madam..
Dada vanesa mimi kiu yangu natamani tu nione mmefunga ndoa na jux na mzae watoto
vanesa na jux nyie kweli mapenzi mwayajua kwani ni muda mrefu mko ktk mapenzi
Aa
Babalevo unanini lkn
Kumbe Vanessa ni andunje pooh
Mc anajifunzaa nn
Nawapend bur @Vee Money n @Jux
😂😂😂😂
baba levo honeymoon na mc ?? duuuh
Rehema Christian #wallh nimchka
😂😂😂😂😂😂😂hyu mc kanivunja mbavu walah
Aza Al.habsi walai, eti hela analipa bank, hutoona ata mia😀
HUWEZI AMINI WALICHOFANYA BONGO MOVIE..ANGALIA LINK HIYO
ruclips.net/video/53vAY_y1CQs/видео.html
vee huo ufupi usifanye ushushe umri
Reymaah 255 Mzuri sana
muzuri sana.wasani ku support mwenzabo msanii:subscribe kwa channel yangu please:ruclips.net/video/k0I6qRi1BCY/видео.html
Aslay