Wana ndoa wawili wenye akili timamu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Tatizo sio tunapishana wapi maana kupishana kupo na hakutaisha watu wote wenye amani na wanao furahia ndoa zao wamejua namna ya kushughulikia mapungufu yao na sio kwamba hawana mapungufu
    waswahili wana msemo unaosema ukiona nyani mzee amekwepa mishale mingi ukiona ndoa yenye muda mrefu imepambana na viunzi vingi
    nakutakia amani kwenye ndoa yako nzuri sana migogoro isifanye uone ndoa ni mbaya bali ndoa ifanye uone migogoro ni mibaya na niadui wa ndoa yenu

Комментарии • 1