Ijue NGUVU ya SHUKRANI katika MAOMBI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • "....Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia. Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma. Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje. Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake...." Yohana 11:41-44
    Chochote ambacho Mungu anakufanyia usione ni kwa akili zako hata kama ni elimu ya darasani ndio unaona imekusaidia lakini unatakiwa ujue ni Mungu alikupa afya na uzima hata ukafanikiwa katika masomo yako.
    Jifunze kumshukuru Mungu hio ni siri ya kufanikiwa zaidi.
    Usikose Jumapili hii kwenye Ibada ya Kinabii kuanzia saa 1:00 asubuhi ndani ya Kanisa la WRM lililopo Kivule, Matembele ya Pili, Ukonga jijini Dar es Salaam, Tanzania.
    #Chief_prophet_suguye
    #wrm_radio_app
    #wrm_tv

Комментарии • 15