Kutana na binti anayeishi chumba kimoja na baba, kaka zake kwa miaka 13
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Binti mwenye umri wa miaka 15 anayesoma kidato cha pili katika shule ya sekondari Kalangalala Halmashauri ya Mji wa Geita, analazimika kuishi na kulala chumba kimoja na kaka zake wawili ,pamoja na baba yake mzazi baada ya kukosa makazi kwa takribani miaka 13 sasa.
#AzamTVUpdates #Simulizi #UgumuWaMaisha
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Hakka Mungu n mwema, atakurnda sana
Pole sana mdg wangu
Daaaah inauma sana
Dah jamani jamani inaumaaaa
Inaumaaa saaana
Kiukweli hii habari toka nilivyoiona mwanzo niliumia sana,
Dah jaman
Dhuuuuuu Umaskini huuu
Duu pole