Kutana na binti anayeishi chumba kimoja na baba, kaka zake kwa miaka 13

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Binti mwenye umri wa miaka 15 anayesoma kidato cha pili katika shule ya sekondari Kalangalala Halmashauri ya Mji wa Geita, analazimika kuishi na kulala chumba kimoja na kaka zake wawili ,pamoja na baba yake mzazi baada ya kukosa makazi kwa takribani miaka 13 sasa.
    #AzamTVUpdates #Simulizi #UgumuWaMaisha
    Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 9