Kwa kuanzia unaweza kuweka nusu au kilo mmoja uangalie wateja wako watazipokeaj na piga tathmini ya ghara Ili ujue unaamzaje kuuza kwa xbb mteja akianza kununua kwa3 ralbd alfu baadae ukaja kumuuzia mia5 ataaanza kukimbia na kuhisi unataka ummpige shot kwhy jitahidi upange hesabu zako vzr ujue utauzaje inshallah nakupenda kwa ajli ya Allah Allah amjalie iwe nikufunguka kwa rizki zako mwanamke kupamba asiwe tegemezi usawa mmbaya uuu shz
MashaaAllah hii ni tamu sanaaaaa yaani mate yanitoka😋😋😋nitumiwe hio sauce🤣🤣
Hahaha wataka sauce tu wewe?
@@farwatskitchen13 am very sure huezi ituma pekeake😂😂😂😂
Tried this today and it was awesome!
I am glad ❤💕
MashaAllah
🥳😍
Mashallah
It makes me salivate 🤩 thank you for the recipé💯
😍😍🥰
Mashaallwah
Nitapika leo jioni nimependa sana
Asante mpenzi
Upo vzr sana
Asante
Unapatika wapi?
Ukichoma mikate ya shawarma unatia mafuta kwenye chuma?
Maziwa ya unga nilazima ueke au
Hio ya yellow ni nini?
Nzuri tamu
Asante
Mashaallah the recipe is nice .... but nauliza kama tuseme ni biashara nafanya nieke kiac gani ya unga...
Kwa kuanzia unaweza kuweka nusu au kilo mmoja uangalie wateja wako watazipokeaj na piga tathmini ya ghara Ili ujue unaamzaje kuuza kwa xbb mteja akianza kununua kwa3 ralbd alfu baadae ukaja kumuuzia mia5 ataaanza kukimbia na kuhisi unataka ummpige shot kwhy jitahidi upange hesabu zako vzr ujue utauzaje inshallah nakupenda kwa ajli ya Allah Allah amjalie iwe nikufunguka kwa rizki zako mwanamke kupamba asiwe tegemezi usawa mmbaya uuu shz
Mayonaise imechamganywa na nn
Tomato sauce