JINSI YA KUPIKA SHAWARMA ZA KUKU NYUMBANI KWA NJIA RAHISI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • shawarma ya nyama 👇
    • JINSI YA KUPIKA SHAWAR...

Комментарии • 25

  • @HadijaSheban
    @HadijaSheban 3 года назад +3

    MashaaAllah hii ni tamu sanaaaaa yaani mate yanitoka😋😋😋nitumiwe hio sauce🤣🤣

    • @farwatskitchen13
      @farwatskitchen13  3 года назад +1

      Hahaha wataka sauce tu wewe?

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban 3 года назад

      @@farwatskitchen13 am very sure huezi ituma pekeake😂😂😂😂

  • @annitune5900
    @annitune5900 3 года назад +2

    Tried this today and it was awesome!

  • @habibtymuslimat8420
    @habibtymuslimat8420 3 года назад +2

    MashaAllah

  • @biubwaridhiwan5376
    @biubwaridhiwan5376 2 года назад +2

    Mashallah

  • @khaleedsharif1576
    @khaleedsharif1576 3 года назад +2

    It makes me salivate 🤩 thank you for the recipé💯

  • @MozaMnyimage-mt7fo
    @MozaMnyimage-mt7fo 6 месяцев назад

    Mashaallwah

  • @natalielonginous7182
    @natalielonginous7182 3 года назад +1

    Nitapika leo jioni nimependa sana

  • @BeatriceMichael-vq3ce
    @BeatriceMichael-vq3ce Год назад

    Upo vzr sana

  • @ZuwenaHassan-n4o
    @ZuwenaHassan-n4o 5 месяцев назад

    Unapatika wapi?

  • @fatmahaji
    @fatmahaji Год назад

    Ukichoma mikate ya shawarma unatia mafuta kwenye chuma?

  • @aishaomar1165
    @aishaomar1165 Год назад

    Maziwa ya unga nilazima ueke au

  • @eswamabubakarswaleh2139
    @eswamabubakarswaleh2139 Год назад

    Hio ya yellow ni nini?

  • @alikhamis9303
    @alikhamis9303 2 года назад

    Nzuri tamu

  • @wildathassan6047
    @wildathassan6047 Год назад

    Mashaallah the recipe is nice .... but nauliza kama tuseme ni biashara nafanya nieke kiac gani ya unga...

    • @asilahassan9965
      @asilahassan9965 Месяц назад

      Kwa kuanzia unaweza kuweka nusu au kilo mmoja uangalie wateja wako watazipokeaj na piga tathmini ya ghara Ili ujue unaamzaje kuuza kwa xbb mteja akianza kununua kwa3 ralbd alfu baadae ukaja kumuuzia mia5 ataaanza kukimbia na kuhisi unataka ummpige shot kwhy jitahidi upange hesabu zako vzr ujue utauzaje inshallah nakupenda kwa ajli ya Allah Allah amjalie iwe nikufunguka kwa rizki zako mwanamke kupamba asiwe tegemezi usawa mmbaya uuu shz

  • @asmahmwingiro61
    @asmahmwingiro61 2 года назад

    Mayonaise imechamganywa na nn