Nakuelewa makabila 🔥 🔥 🔥, ila hii umefeli mana unachelewa kutoa video tatizo lako, Ngoma ilishakiki kitambo ila sasa ni used iyo, Mana Ruge washamzika kitambo
Kwa kawaida singel ni ngoma ilio changamka.sio ngoma za huzun.huu wimbo umeunyima mzik,tena mziki wake umetengenezwa kwa kiwango cha chin sana.ckiliza mzki kama wa kwenye wimbo wa miss buza, kabila lake,au hatuwez kwenda na ww hujaulamba.
Kama unatazama hii singeli mwaka huu 2024
Gonga like hapa👎🏽✍🏽
Utofauti wa dullah makabila na waimba singeli wengine ni dullah m'bunifu sana unakitu utafika mbaliiii🤔
Aliye rudia zaidi ya Mara tano hii ngoma gonga like hapo♥️♥️dullah
NAIC makabilla Kenya nakuelewa
Mimi pika Stephen toka Kenya, namkubali kaka
Kama umesikia dua kuhusu yamoto irundi jamani munipe like
Diamond amtibie ruge waishi kama zamni
Uyu jamaaa anagusa mahali nzuri nzuri Sana aky point taken
Kama unakubali Dula makabila ndo fundi wa singeli gonga= =like hapa
makabila umenikoshaaaaaaa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
nimefurahi sana kuona video hii.ya rabi takabal dua, ilinifurahisha sana kusikia hiyo sentensi maarufu wewe umeitumia kwenye nyimbo
Daaaaah...jamani mkali ata ntaanza kufuatilia singeli naona kwa wall ya lava lava nkaguatilia...kumbe nzito...lots of love team🇰🇪🇰🇪🇰🇪+254
Kang'ethe G 😂😂😂 ruclips.net/video/lNEpj55x2o8/видео.html
Ni leo najua kuhusu singeli. Gives an African feeling of music. Kazi safi, Watching from +254 🇰🇪
Makabila iwe fundi
Nakupa cheo rasmi we ndio mfalme Wa singeli huna mpinzani
Nakukubali makabila na mm dua yangu kwako ufike kimtaifa zaid🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾
Toka 254 apa dulla mwanangu nakukubalii👊👊
Mashairi yenye funzo, hongera Dula Makabila
Wow wow muziki mtamuuu ❤️❤️❤️💕💜❤️👍🏿👋🏾👏🏾the area should be mombasa majengo greetings frm Switzerland 🇨🇭 nanime subscribed 💜
Like king'orani ..msa
Ngoma imetoka siku ya kuzaliwa mie ko lazima niipendeeee #Dua niishi miaka mingiii
nikajua nimekuwa wakwaza maana sijalala kumsikiliza mnyaaa safi sana king wa singeliiii
Mmmmh hii kalii nilikua sipendi singili ila kwa hi nyimbo kuanzia leo napenda singeri nzuri sana.team dulla makabila tupooooooo
Mie sio shabiko wa singeli ila bro nimekuelewa kichizi this my favourite song ya singeli much love from Dubai
Hata Mimi huwa siamin kwenye singel lkn hii ya Dua iko powa
@@samanyaswai6272 sana walai
Dulla
Yani hunishind mm
Bro uko vizuri
All the way from 🇰🇪🇰🇪 napenda vitu natural tamu kama hizi
For de first time naanza kuelewa singeli kupitia hii hit song I salute you dullah
alie furahia hii ngoma jua tuko pmj
👍👍
@@dullahcharles3814 [ uu
@@wizzymartial3478 ..
SL_ezzN...
Mzee wa idea nakukubali sana
King kama king nakupendaa bleee kaka
makabila mwamba nimekubali hii kazi balaaaaaaaaaa salute kwako DUA ISHAPKELEWA MWAMBA kimbizaaaaaaaaaaaa
Dulaa nakukubali mwanangu.
NAKUELEWA SANAAA DULLAH
Dull mie
Napenda uhu wimbo
Brz nakubali ebu nawe pita huku...
Amina...dulla upo juu
Kwenye level ya singel wajna dullah respect
Nimeikubali hii ngoma ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Dulla nmekubali mwanangu singeli wewe ndo king apa Kenya
Kama umemuona Mack zube kamaindi mshikaji wake dulla makabila kupondwa gonga like twende sawa
@@farajijuma9204 alie mpigia simu makabila kua hatoi ngoma
Napenda sana singer mm dahaaaaa natamani niungane nanyie kwenye kucheza too
Ndio eee king of singeli
Ubunifu wako unazunguka kwenye maisha ya wasanii especially wcb... Huo ni upungufu
Nakukubali mzee baba
Dulla nakukubali naninaniii moto
Hatariiiii faya hapo nishapiga henken zangu miuno tuuu yauzaziii
Jamaa noma,ameumiza kichwa
dua song kali sana aseee bless you broo
aiiih as a kenyan this gene of music naikubali sana..... dulamakabila yo great
Duh ngoma tamu Sana👏👏👏👏
singel siipendagi ila jamaa na wimbo huu umenishangaza kwel unafanya music watu tumeanza kuuelewa big uppp
Good singeli dulla makabilla👏 🇹🇿
Kwa sichoki ngoma zako yaani mda wote mm na makabila😄mzee baba unatisha Sana
Ngoma kali #dullamakabila hii ngoma huwa naielewa sana kwenye singeli
Ngoma kaliiii saana mzee baba
Km wote tumekubali hii ngoma like kwake
Hongera makabila nyimbo nzuri
Tisha sana Mzee......!/
Mombasa Kenya huku, tunamkubali sana mwana huyu, yani yuko vizuri sana maashallah.
#makabila
kinanda kimekaaaaaaa🔊🔉🎸🎺🎼🎶🎹🎻🎧🎤🎵🎵🎵
Dahh kumbe singeli high quality. Pure entertainment. This music ni icon ya tz.
Dua limfikie cteve nyerere ommy apone na atoe hit song khaaa dua lmefkaaaa kaumbuka kwel
Wakiinama unatamani maji ya kisima, wakiinuka unatetemeka mwilimzima mabaharia oyooooo
Uko vizur nakupendaga Sana dulla unajua unachokifanya
🇲🇿🇲🇿 hii ngoma noma sana hinatanba Mozambique
Nakuelewa makabila 🔥 🔥 🔥, ila hii umefeli mana unachelewa kutoa video tatizo lako, Ngoma ilishakiki kitambo ila sasa ni used iyo, Mana Ruge washamzika kitambo
Much love from India your amazing balaa gonga like hapa my people
Idea kalii kichiz kaka ...wimbo mkli pia
Congratulations keep it up good job 🎉❤❤❤
Hili lijamaa linajua sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hii ngoma kalii sana bro nakukubali sana acha niongeze bia nizidikulewa
safi dula makabila safi sana🌷🌷🌷
Daah dula noma dua limepenya kwa mwarabu kigoma tuko naee
Kwa kawaida singel ni ngoma ilio changamka.sio ngoma za huzun.huu wimbo umeunyima mzik,tena mziki wake umetengenezwa kwa kiwango cha chin sana.ckiliza mzki kama wa kwenye wimbo wa miss buza, kabila lake,au hatuwez kwenda na ww hujaulamba.
Ngoma nliielewa since day one, ww nd king wa singeli na sio yule mtt wa nje ya ndoa, yule hamuwezi ata S.kide..
Nan mtt wa nje ya ndoa huyoo
Much love for you makabila love from America ❤️❤️🌹
Noma sana hii dua
ila diamond akuwai kumsamehe ruge
Kama unamkubar dula makabila gonga like apa
harima
Yuko Good
martial media gd
Uko vzr dula
Bonge la nyimbo mwana yanga dulla makabila big up
Nampenda uyu Dulla Makabila yangu yote♥️
Dua ndiokira kitu katika safar yamwanadam
Daaaaaa hii kali ya mwaka bro
Dua litapenya hahahaaa
Iko poa saaana Ngoma. ..gonga like tunao mkubal Dulla
Hatari sana kweri dua
Kama na ww ubekubal ngoma Kali njo
hapa I like
One love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Anasura ya mama ake ndo mana mekup imempendeza
Ndugu yangu we ni noma ebu toa ningine lake for music
MAMA mjanzitoo anatapikaa hahaaa
Me wakwanza itikia dua...
Janja hii bonge la ngoma
Awwwww wimbo naukubali hatari 👌😘😘😘
Kwel ilo dua ni nomaaaa
Dua yangu pia kwa Ya Moto Band
Nakukubalii Sanaa #Dulla makabila
Jïtu la mtumba meno ya duka!!!!? #Boy from #Code 042**"
Mwanang ww hatareee
😇😊all your songs are fire 😇😇i love it
Nauliza nani mtu pisi kama Dulla
Nakubari dura uko good san
Makabila hiii ngoma kila siku naisikiliza
kweli harmo aache kukopi na kupesti kwa mond awe mubunifu
Hiki kijamaa ni noma
Aamina nakubali dullamakabila dua love sana kutoka254 paamoja sana
Kazi nzuri sana Dulla makabila
Show Kali kamkubwa
Bonge la singel wapi like za watu wa uswahilini
Jitu LA mtumba mbele ya duka kama umepaskia hapo niunge mkono
Namkubal sana makali bonge la ngoma hatariiiii sana