Dulla Makabila - Dua (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 554

  • @YothamuMadinda
    @YothamuMadinda 2 месяца назад +8

    Kama unatazama hii singeli mwaka huu 2024
    Gonga like hapa👎🏽✍🏽

  • @mantareal501
    @mantareal501 Год назад +6

    Utofauti wa dullah makabila na waimba singeli wengine ni dullah m'bunifu sana unakitu utafika mbaliiii🤔

  • @awarddavidmwamelo8658
    @awarddavidmwamelo8658 3 года назад +36

    Aliye rudia zaidi ya Mara tano hii ngoma gonga like hapo♥️♥️dullah

  • @bensonmuindi7133
    @bensonmuindi7133 Год назад +3

    NAIC makabilla Kenya nakuelewa

  • @pikastephen1452
    @pikastephen1452 3 года назад +2

    Mimi pika Stephen toka Kenya, namkubali kaka

  • @mlongomlongo6680
    @mlongomlongo6680 Год назад +8

    Kama umesikia dua kuhusu yamoto irundi jamani munipe like

  • @alexmiage7115
    @alexmiage7115 3 года назад +3

    Diamond amtibie ruge waishi kama zamni
    Uyu jamaaa anagusa mahali nzuri nzuri Sana aky point taken

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 5 лет назад +27

    Kama unakubali Dula makabila ndo fundi wa singeli gonga= =like hapa

    • @mulisalmilaj6810
      @mulisalmilaj6810 5 лет назад +5

      makabila umenikoshaaaaaaa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @filamupictures9349
    @filamupictures9349 5 лет назад +8

    nimefurahi sana kuona video hii.ya rabi takabal dua, ilinifurahisha sana kusikia hiyo sentensi maarufu wewe umeitumia kwenye nyimbo

  • @kangethegaudenzio8174
    @kangethegaudenzio8174 5 лет назад +50

    Daaaaah...jamani mkali ata ntaanza kufuatilia singeli naona kwa wall ya lava lava nkaguatilia...kumbe nzito...lots of love team🇰🇪🇰🇪🇰🇪+254

    • @jrkrllrlrrr6089
      @jrkrllrlrrr6089 4 года назад

      Kang'ethe G 😂😂😂 ruclips.net/video/lNEpj55x2o8/видео.html

  • @duncanabuli1040
    @duncanabuli1040 3 года назад +24

    Ni leo najua kuhusu singeli. Gives an African feeling of music. Kazi safi, Watching from +254 🇰🇪

  • @mpajielia5553
    @mpajielia5553 5 лет назад +20

    Makabila iwe fundi
    Nakupa cheo rasmi we ndio mfalme Wa singeli huna mpinzani

  • @neemanilongo7715
    @neemanilongo7715 4 года назад +5

    Nakukubali makabila na mm dua yangu kwako ufike kimtaifa zaid🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾

  • @modykalama-vz2kf
    @modykalama-vz2kf Год назад

    Toka 254 apa dulla mwanangu nakukubalii👊👊

  • @hafidhimarijani8349
    @hafidhimarijani8349 5 лет назад +54

    Mashairi yenye funzo, hongera Dula Makabila

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 4 года назад +15

    Wow wow muziki mtamuuu ❤️❤️❤️💕💜❤️👍🏿👋🏾👏🏾the area should be mombasa majengo greetings frm Switzerland 🇨🇭 nanime subscribed 💜

  • @osiahstimah8910
    @osiahstimah8910 5 лет назад +9

    Ngoma imetoka siku ya kuzaliwa mie ko lazima niipendeeee #Dua niishi miaka mingiii

  • @basilkayombo3877
    @basilkayombo3877 5 лет назад +22

    nikajua nimekuwa wakwaza maana sijalala kumsikiliza mnyaaa safi sana king wa singeliiii

  • @rashidpweka4325
    @rashidpweka4325 5 лет назад +39

    Mmmmh hii kalii nilikua sipendi singili ila kwa hi nyimbo kuanzia leo napenda singeri nzuri sana.team dulla makabila tupooooooo

  • @kimwalove
    @kimwalove 5 лет назад +190

    Mie sio shabiko wa singeli ila bro nimekuelewa kichizi this my favourite song ya singeli much love from Dubai

  • @simonmwangi1057
    @simonmwangi1057 4 года назад +14

    All the way from 🇰🇪🇰🇪 napenda vitu natural tamu kama hizi

  • @untouchboymsafi1788
    @untouchboymsafi1788 5 лет назад +14

    For de first time naanza kuelewa singeli kupitia hii hit song I salute you dullah

  • @mtumishihewa7595
    @mtumishihewa7595 5 лет назад +102

    alie furahia hii ngoma jua tuko pmj

  • @agaaah6697
    @agaaah6697 4 года назад

    Mzee wa idea nakukubali sana

  • @priscamedadi1108
    @priscamedadi1108 2 года назад

    King kama king nakupendaa bleee kaka

  • @kingcobra9238
    @kingcobra9238 5 лет назад +1

    makabila mwamba nimekubali hii kazi balaaaaaaaaaa salute kwako DUA ISHAPKELEWA MWAMBA kimbizaaaaaaaaaaaa

  • @mashabreeze8948
    @mashabreeze8948 Год назад

    Dulaa nakukubali mwanangu.

  • @faridaothman
    @faridaothman 5 лет назад +10

    NAKUELEWA SANAAA DULLAH

  • @husseinramadhan3302
    @husseinramadhan3302 Год назад

    Brz nakubali ebu nawe pita huku...

  • @issajuma6046
    @issajuma6046 3 года назад

    Amina...dulla upo juu

  • @dullkulucha5745
    @dullkulucha5745 4 года назад +1

    Kwenye level ya singel wajna dullah respect

  • @michaelbarnabas9678
    @michaelbarnabas9678 5 лет назад +10

    Nimeikubali hii ngoma ni 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @alexkapz2259
    @alexkapz2259 3 года назад

    Dulla nmekubali mwanangu singeli wewe ndo king apa Kenya

  • @bobanamourmlindimla8163
    @bobanamourmlindimla8163 5 лет назад +4

    Kama umemuona Mack zube kamaindi mshikaji wake dulla makabila kupondwa gonga like twende sawa

  • @rajabutangatanzania27
    @rajabutangatanzania27 3 года назад

    Napenda sana singer mm dahaaaaa natamani niungane nanyie kwenye kucheza too

  • @mjukuuwabb3440
    @mjukuuwabb3440 3 года назад

    Ndio eee king of singeli

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 3 года назад

    Ubunifu wako unazunguka kwenye maisha ya wasanii especially wcb... Huo ni upungufu

  • @oscarmuhumenya1345
    @oscarmuhumenya1345 4 года назад

    Nakukubali mzee baba

  • @mejurashid628
    @mejurashid628 9 месяцев назад

    Dulla nakukubali naninaniii moto

  • @tatualmas7409
    @tatualmas7409 5 лет назад +2

    Hatariiiii faya hapo nishapiga henken zangu miuno tuuu yauzaziii

  • @yasserabubakar6167
    @yasserabubakar6167 5 лет назад

    Jamaa noma,ameumiza kichwa

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 лет назад +16

    dua song kali sana aseee bless you broo

  • @zyaadtrue8526
    @zyaadtrue8526 4 года назад +5

    aiiih as a kenyan this gene of music naikubali sana..... dulamakabila yo great

  • @tarickadam7294
    @tarickadam7294 5 лет назад +3

    Duh ngoma tamu Sana👏👏👏👏

  • @faustinomkongwa7558
    @faustinomkongwa7558 5 лет назад

    singel siipendagi ila jamaa na wimbo huu umenishangaza kwel unafanya music watu tumeanza kuuelewa big uppp

  • @abashasan4674
    @abashasan4674 5 лет назад +21

    Good singeli dulla makabilla👏 🇹🇿

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah5477 5 лет назад

    Kwa sichoki ngoma zako yaani mda wote mm na makabila😄mzee baba unatisha Sana

  • @dayocha1855
    @dayocha1855 4 года назад

    Ngoma kali #dullamakabila hii ngoma huwa naielewa sana kwenye singeli

  • @josephngonyani164
    @josephngonyani164 5 лет назад

    Ngoma kaliiii saana mzee baba

  • @fatmamohamedy302
    @fatmamohamedy302 4 года назад +3

    Km wote tumekubali hii ngoma like kwake

  • @latifaamhango212
    @latifaamhango212 5 лет назад +3

    Hongera makabila nyimbo nzuri

  • @vsigncoolman3062
    @vsigncoolman3062 5 лет назад

    Tisha sana Mzee......!/

  • @salimmwanyae9894
    @salimmwanyae9894 4 года назад

    Mombasa Kenya huku, tunamkubali sana mwana huyu, yani yuko vizuri sana maashallah.

  • @happymbissa6838
    @happymbissa6838 5 лет назад +11

    #makabila
    kinanda kimekaaaaaaa🔊🔉🎸🎺🎼🎶🎹🎻🎧🎤🎵🎵🎵

  • @barwancb5723
    @barwancb5723 4 года назад +9

    Dahh kumbe singeli high quality. Pure entertainment. This music ni icon ya tz.

  • @magdalenajohn1556
    @magdalenajohn1556 4 года назад

    Dua limfikie cteve nyerere ommy apone na atoe hit song khaaa dua lmefkaaaa kaumbuka kwel

  • @rahimshechambo3750
    @rahimshechambo3750 5 лет назад

    Wakiinama unatamani maji ya kisima, wakiinuka unatetemeka mwilimzima mabaharia oyooooo

  • @faridambwana4907
    @faridambwana4907 5 лет назад +4

    Uko vizur nakupendaga Sana dulla unajua unachokifanya

  • @TomásRafael-h3e
    @TomásRafael-h3e 8 месяцев назад

    🇲🇿🇲🇿 hii ngoma noma sana hinatanba Mozambique

  • @mropeclassic166
    @mropeclassic166 5 лет назад +8

    Nakuelewa makabila 🔥 🔥 🔥, ila hii umefeli mana unachelewa kutoa video tatizo lako, Ngoma ilishakiki kitambo ila sasa ni used iyo, Mana Ruge washamzika kitambo

  • @mariamramadhani598
    @mariamramadhani598 4 года назад +3

    Much love from India your amazing balaa gonga like hapa my people

  • @asifiweaaron7076
    @asifiweaaron7076 5 лет назад

    Idea kalii kichiz kaka ...wimbo mkli pia

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 10 месяцев назад +1

    Congratulations keep it up good job 🎉❤❤❤

  • @letionnews310
    @letionnews310 3 года назад +3

    Hili lijamaa linajua sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @eupafrasikavishe6802
    @eupafrasikavishe6802 5 лет назад

    Hii ngoma kalii sana bro nakukubali sana acha niongeze bia nizidikulewa

  • @hadijahmwajombe9588
    @hadijahmwajombe9588 5 лет назад

    safi dula makabila safi sana🌷🌷🌷

  • @hadijahamadi8633
    @hadijahamadi8633 4 года назад

    Daah dula noma dua limepenya kwa mwarabu kigoma tuko naee

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 4 года назад +1

    Kwa kawaida singel ni ngoma ilio changamka.sio ngoma za huzun.huu wimbo umeunyima mzik,tena mziki wake umetengenezwa kwa kiwango cha chin sana.ckiliza mzki kama wa kwenye wimbo wa miss buza, kabila lake,au hatuwez kwenda na ww hujaulamba.

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 лет назад +1

    Ngoma nliielewa since day one, ww nd king wa singeli na sio yule mtt wa nje ya ndoa, yule hamuwezi ata S.kide..

  • @lilychanceline6677
    @lilychanceline6677 3 года назад +27

    Much love for you makabila love from America ❤️❤️🌹

  • @abubakarmjonathani324
    @abubakarmjonathani324 5 лет назад +397

    Kama unamkubar dula makabila gonga like apa

  • @hamadeddy8089
    @hamadeddy8089 5 лет назад +1

    Bonge la nyimbo mwana yanga dulla makabila big up

  • @reezmusa8207
    @reezmusa8207 3 года назад +1

    Nampenda uyu Dulla Makabila yangu yote♥️

  • @hadjamlkong0851
    @hadjamlkong0851 4 года назад

    Dua ndiokira kitu katika safar yamwanadam

  • @sulymanothman7122
    @sulymanothman7122 5 лет назад +2

    Daaaaaa hii kali ya mwaka bro

  • @IZATVIzalenician
    @IZATVIzalenician 5 лет назад

    Iko poa saaana Ngoma. ..gonga like tunao mkubal Dulla

  • @adelitusjanja6419
    @adelitusjanja6419 5 лет назад +1

    Hatari sana kweri dua

  • @samgenster3787
    @samgenster3787 5 лет назад +12

    Kama na ww ubekubal ngoma Kali njo
    hapa I like

  • @otienosteven9692
    @otienosteven9692 4 года назад +12

    One love from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 4 года назад

    Anasura ya mama ake ndo mana mekup imempendeza

  • @jaxksonfidelis2172
    @jaxksonfidelis2172 5 лет назад

    Ndugu yangu we ni noma ebu toa ningine lake for music

  • @haibasalehe3568
    @haibasalehe3568 5 лет назад +2

    MAMA mjanzitoo anatapikaa hahaaa
    Me wakwanza itikia dua...

  • @salumnassoro7634
    @salumnassoro7634 4 года назад

    Janja hii bonge la ngoma

  • @winnieedson6937
    @winnieedson6937 4 года назад

    Awwwww wimbo naukubali hatari 👌😘😘😘

  • @zulfasaid2086
    @zulfasaid2086 5 лет назад +3

    Kwel ilo dua ni nomaaaa

  • @nzembi_artqueen316
    @nzembi_artqueen316 6 месяцев назад

    Dua yangu pia kwa Ya Moto Band

  • @hassanjoseph2398
    @hassanjoseph2398 4 года назад

    Nakukubalii Sanaa #Dulla makabila

  • @pascalmandia3093
    @pascalmandia3093 5 лет назад +21

    Jïtu la mtumba meno ya duka!!!!? #Boy from #Code 042**"

  • @chanellacecile8076
    @chanellacecile8076 3 года назад +8

    😇😊all your songs are fire 😇😇i love it

  • @madilumshauri7161
    @madilumshauri7161 5 лет назад

    Nauliza nani mtu pisi kama Dulla

  • @chidyboykajanjachidyboykaj5829
    @chidyboykajanjachidyboykaj5829 3 года назад

    Nakubari dura uko good san

  • @shanilangson904
    @shanilangson904 3 года назад

    Makabila hiii ngoma kila siku naisikiliza

  • @zeitunimrimiah1428
    @zeitunimrimiah1428 4 года назад

    kweli harmo aache kukopi na kupesti kwa mond awe mubunifu

  • @emmanuelkimath2881
    @emmanuelkimath2881 5 лет назад

    Hiki kijamaa ni noma

  • @yuusufnuur5752
    @yuusufnuur5752 5 лет назад

    Aamina nakubali dullamakabila dua love sana kutoka254 paamoja sana

  • @ahmadothuman190
    @ahmadothuman190 5 лет назад

    Kazi nzuri sana Dulla makabila

  • @johnbenno5015
    @johnbenno5015 5 лет назад

    Show Kali kamkubwa

  • @tulivu6377
    @tulivu6377 5 лет назад +23

    Bonge la singel wapi like za watu wa uswahilini

  • @richarddavid2194
    @richarddavid2194 3 года назад

    Jitu LA mtumba mbele ya duka kama umepaskia hapo niunge mkono

  • @gstanzatzgstanzaknowledge9616
    @gstanzatzgstanzaknowledge9616 5 лет назад +1

    Namkubal sana makali bonge la ngoma hatariiiii sana