MWANAMKE ANAEMILIKI NYUMBA YA MILIONI 200 "SIMU YANGU IMENIPA VYOTE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Hosiana Sanga ni mwanamke wa Kitanzania akiwa ni Mama wa Mtoto mmoja ambaye anamiliki nyumba ya zaidi ya Sh.Mil 200 ambayo ameijenga kupitia simu yake ya kiganjani ambapo ameweza kufanya Biashara ya Mtandao.

Комментарии • 892

  • @iddiking6963
    @iddiking6963 5 лет назад +732

    Km na ww unaamini ipo
    Siku utamiliki mjengo km huu twende kazi🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 лет назад +289

    I pray whoever watching this sister what's she said gonna gets successful before ending of 2019🙏.

  • @aminashabani5399
    @aminashabani5399 5 лет назад +116

    Hakika hongera sana, unatuhamasisha kumiliki mjengo wa hivyo! But daima kuna siri katika maisha ya watu

    • @daudichawo240
      @daudichawo240 5 лет назад +4

      Umeona ehhee wawez sema vyote

    • @happinessjoseph2431
      @happinessjoseph2431 5 лет назад +5

      1000% true kabisaa sema tu ndo watu huwa hawasemi hizo siri japo wamepitia changamoto nyingi sana

    • @daudichawo240
      @daudichawo240 5 лет назад +6

      @@happinessjoseph2431 wanatudanganya tu,😀😀😀🤣

    • @jacksonkinange4605
      @jacksonkinange4605 5 лет назад +2

      Hakuna cha siri wengi wenu mnamitazamo hasi mimi nami pia nafanya Biashara ya Mtandao na waganda sasa hivi wanatengeneza pesa now Tanzania tayari kuna kampuni inakua kwa kasi mno kwa muda wa mwaka mmoja tu Watanzania wengi zaidi ya 70,000
      Tayari wanafanya huo mradi kama unataka kufahamu weka Comment yako hapa

    • @godfreywilliam9673
      @godfreywilliam9673 5 лет назад +1

      @@jacksonkinange4605 naomba unipe binu ndugu

  • @shakiramwinjuma1338
    @shakiramwinjuma1338 4 года назад +3

    Hongera sana Dada Hosy .... Mungu akubariki mama .... Umetusaidia wengi kupitia biashara yako hakika hatuwezi kukusahau

  • @magretelias4746
    @magretelias4746 5 лет назад +155

    Ee mungu nijalie na mm nimiliki nyumba yangu ongela Dada

    • @molaizer992
      @molaizer992 5 лет назад +2

      Magret habar naitwa kingmasai nataka nikuonyeshe njia aliyotumia huyu dada kufikia malengo yako njoo online 0692823933

    • @neemambisse7041
      @neemambisse7041 5 лет назад +2

      Naona wako very makini kwe kukuingiza just be careful

    • @elizabethm6671
      @elizabethm6671 5 лет назад +2

      @@molaizer992 hi,naweza fanya nikiwa Kenya?

    • @molaizer992
      @molaizer992 5 лет назад +1

      @@elizabethm6671 yap unaweza kufanya coz tuna ofisi yetu uko njoo WhatsApp 0692823933

    • @molaizer992
      @molaizer992 5 лет назад

      @@elizabethm6671 Hello Mrs

  • @afamatv4848
    @afamatv4848 4 года назад +3

    Hongera dada kwa kujenga nyumba yako. Kwa vijana wenzangu, hakunaga kitu kinaitwa biashara ambayo ni rahisi eti unachota pesa njenje. Hata hiyo unayoifanya na ukaiona ni ngumu kama vile haina faida endelea nayo hivohivo kuna siku na wewe utasimulia. "No pain no gain"

  • @blessilaluambano1492
    @blessilaluambano1492 4 года назад +3

    Kwa kweli nimeamini binadamu tunashida.kasha waambia network marketing na zipo nyingi sana Tena zinazouza bidhaa za afya zipo juu sana Kun Kam hazijui ngoja niwatajie Kuna neolife, forever,oriflame, alliance global ,bf Suma na zingine nyingi na watu wanafanya maendeleo makubwa mnooo.endeleeni kufikiria upuuuz upuuuz tu eti uchawi ndo mnavyosababisha Mungu aendelee kumbariki zaidi kwa fikra zenu mbovu

    • @momrackonlinetv4352
      @momrackonlinetv4352 4 года назад

      Bora umeongea ndugu yangu maan elimu ya mjinga ni majungu ,

  • @jazzymkalitv5535
    @jazzymkalitv5535 5 лет назад +5

    Sijaelewa chochote kile. Nimeelewa mauza uza tu. Hajaelezea ni biashara gani imemtoa kimaisha. Westing of the time.
    Hongera zake kwa nyumba nzuri.

  • @thebisadorychannel7574
    @thebisadorychannel7574 3 года назад +2

    You have inspired me me a lot.You are a blessed beautiful Woman.❤

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 5 лет назад +6

    Hosiana Sanga. Hongera Sana class mate wangu

  • @bonifacefrancis51
    @bonifacefrancis51 5 лет назад +103

    Sija elewa ata kidogo kama kuna MTU ajaelewa kama Mimi weka leke tujuane

    • @sekelamwasumbi7653
      @sekelamwasumbi7653 4 года назад

      Boniface Francis aisee mwenyew ntafanya network marketing bro of coz it really kama unataka kuhakikisha find me 0684433389

    • @celinelawrence2015
      @celinelawrence2015 4 года назад +1

  • @zaheernakhwa903
    @zaheernakhwa903 5 лет назад +32

    Hongera sana Allah akuzidishie na sis mungu atufungulie njia ya maisha

  • @didaamohsin6594
    @didaamohsin6594 5 лет назад +2

    Yaani hongera dada..umetufunza kitu..never give up...Ktk Maisha lazima kujituma

  • @deboracharles2433
    @deboracharles2433 5 лет назад +3

    Namjua nimesoma nae hongera hosiana nimefurahi kusikia haya anatokea iringa flelimo nakujua best

  • @winniekimuyu118
    @winniekimuyu118 4 года назад +4

    This be the videos I love to see respect to the lady and good job for bringing us good content si wale wa udaku

  • @user-sz8ct3ni9z
    @user-sz8ct3ni9z 5 лет назад +8

    Masha Allah.hongera sana.ya.rabi.nijaliye.namimi.nipate.inshaallah

  • @journeywithjesus
    @journeywithjesus 5 лет назад +1

    Hii ni nzuri .. Kuna kuna product mpya ambayo ni nzuri sana inaitwa Soul. Inasaidia magonjwa mengi sana.

    • @sospetermgendi3544
      @sospetermgendi3544 4 года назад

      0654624379 nicheki ujifunze na uanze biashara KAMPUNI NI ALLIANCE IN MOTION GLOBAL bidhaa zetu ni virutubisho afya.. NA Ushirikishaji watu biashara.. Nicheki popote Tanzania Tume enea

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 5 лет назад +41

    Hujafafanua vizuri dada unaenda mbele na kurudi nyuma...ila hongera!

  • @marthapeter2401
    @marthapeter2401 5 лет назад +1

    Wow hongera umenipa inspiration kubw san yakujiamni na kuthamni k2 chako binafs

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 4 года назад +3

    Mkinga on point, Huwa hatutoki kwenye Key haswa kuhus mapambano ya kusaka Dough.

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno2743 5 лет назад +2

    Dada mungu anapenda watu wanao kumbuka mapito yao na kulipa fadhila!mungu akubariki

  • @margaretmkangala7774
    @margaretmkangala7774 5 лет назад +2

    Wasomi.wa.Tanzania.mnaniwachaga hoi ati amesoma llinga na anafanya biashala. Kama umelielewa bomu hilo la lugha gonga.like

  • @latifumalikita3670
    @latifumalikita3670 5 лет назад +41

    Kama na wewe unaamini utaokota nyumba kama hii gonga like.

  • @mtakamaonline7748
    @mtakamaonline7748 4 года назад

    Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 21-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.

  • @zulihanani7355
    @zulihanani7355 5 лет назад +54

    They don't explain that business well,want exactly do u sell which products

    • @mercliliantv4226
      @mercliliantv4226 5 лет назад +2

      Hicho kitabu ni cha neolife...biashara anayofany ni neolife...ni networking business na inalipa kama ur committed ..mimi ni mwanachama ukitaka naweza kukuunga nicheki 0757656926.

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 5 лет назад +1

      @@mercliliantv4226 munajihusisha na nin elezea ndio utahamasisha watu wakutafute

    • @mercliliantv4226
      @mercliliantv4226 5 лет назад +3

      Neolife inauza supplements za afya...inauza bidhaa za usafi ...inauza bidhaa za kilimo na pia inauza skin care products...Raha ya hii network marketing ni kuwa kila mwez inakupa nafasi mpya ya kuanza ...kutafuta wanachama na kulipwa..Ila ukiachana na biashara bidhaa zake ni nzur sana na endapo ukizitumia ww utakuwa mteja wa kwanz kabsa.. ni rahisi ukimpa mtu atumie maranyingi lazima arud kwani ni products zenye hadhi ya juu sana

    • @klaragreen7999
      @klaragreen7999 5 лет назад +2

      Mercy lilian. Weka account tujisomee tujiridhishe ili iwe rahis kuhamasika

    • @nuurinkluge7584
      @nuurinkluge7584 5 лет назад +2

      Those people they like only Show off ..fike life
      Which online Bissness??uko nanyumba tu ,,but wewe haiko utajili..

  • @lucypeter1549
    @lucypeter1549 4 года назад +2

    Mtafutaji hachoki na Mungu humbariki kila mwenye bidii

  • @ashazaharan1750
    @ashazaharan1750 5 лет назад +4

    Iiii dada hongera saana. Umenipa hamasa namimi ipo siku nitamiliki nyumba na mimi.

    • @molaizer992
      @molaizer992 5 лет назад

      Asha habar nimeona txt yako imenipa hamasa ya kudhubutu naomba tuwasiliane0692823933

    • @reubensosthenes6264
      @reubensosthenes6264 4 года назад

      Hayo makampuni bhana MUNGU anawaona😂😂

  • @furahakonde6259
    @furahakonde6259 4 года назад +1

    Mungu akubariki Sana Niko na wewe kabisa nafurahi kusikiliza

  • @marsgenesis7200
    @marsgenesis7200 5 лет назад +22

    To be honest I respect the lady ila ameolewa that means pia mwanaume amechangia in one way or another

    • @kellygabriel6279
      @kellygabriel6279 5 лет назад +3

      mume hajachangia chochote nipo nae kwenye kampun moja hajasaidiwa chochote na mtu

    • @marsgenesis7200
      @marsgenesis7200 4 года назад

      @@kellygabriel6279 ok that's gud

    • @zachariashimwela252
      @zachariashimwela252 4 года назад +3

      Unajuaje kama mume hajachangia ingali wewe siyo mke wake?

    • @africanchild4525
      @africanchild4525 3 года назад +3

      Sometimes just sababu umeolewa haimaanishi mwanaume nae kachangia. Kuna wengine wameolewa wakiwa na nyumba zao wenyewe mimi pia mmoja wapo. Mume wangu alinioa akiwa na nyumba yake mwenyewe na mie nilikua na yangu mwenyewe kwa jasho langu na tabia ya kusave kidogo nilichokua natengeneza. Ilinichukua miaka kumaliza ila mwishoe nikasema asante Mungu. Status ya kuolewa ipo pale pale ila haimaanishi mume wangu alichangia kujenga nyumba yangu.

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Год назад

      @@africanchild4525 good ❤️

  • @sweetyjanne255
    @sweetyjanne255 5 лет назад +2

    Dada Msomi Jitahidi Kwenye Matumizi Ya R Na L....Hongera Sana Kwa mafanikio Uliyopata Unatutia Moyo Wadogo Zako

  • @goldenmoversteam8906
    @goldenmoversteam8906 5 лет назад +1

    Congrats Dada Hosiana ,nakukumbuka enzi hizo GNLD.

  • @viniaskadunda5768
    @viniaskadunda5768 5 лет назад +36

    Biashara usimama kama kigezo ila kuna siri hipo katika maendeleo ya mtu japo biashara husaidia wengi.

    • @Bosman.cookingforyou
      @Bosman.cookingforyou 4 года назад

      Ninaifanya biashara hiyo na niko tayari kumuelekeza yeyote ambaye anapenda ifanya. +4591664008. I'm in Denmark

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад +1

      Umeona kuna siri kubwa mno tusidanganyike sio kirahisi

    • @balbinatarimo6247
      @balbinatarimo6247 3 года назад

      Ndo mawazo yenu yalivyo me mwenyewe nimejenga kwakujinyima ila akilifinyu za watu Kama ninyi wakaanza nimejengewaa

    • @sabrinasab2910
      @sabrinasab2910 3 года назад

      Umeona eee UKWELI hawasemi

    • @josephatntilumela4594
      @josephatntilumela4594 3 года назад

      @@balbinatarimo6247 naomba namba yako mana namimi naitaji kujibana bana nijenge yang ni 0652889952

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 Год назад +1

    Napenda sana kuangalia video km hizi maana huwa nakuwa na wivu wa kujiuliza kuwa kwanini huyu yuko hivi,na mimi mashindwaje?
    Kwa wadada wote jamani tujitume tutafute pesa kiuhalali, hatuwezi kubaki hivi hivi umri unaenda so tujitume.

  • @niasanga2373
    @niasanga2373 5 лет назад +8

    MashaaAllah

  • @user-mm5tf7yn6p
    @user-mm5tf7yn6p 5 лет назад +18

    Ongea dada mngu apewe sifa🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @sudyslaa8278
    @sudyslaa8278 5 лет назад +26

    hizi online bussiness zipo vzr lkn usikurupuke ukaingia kwenye hizo issue za aim global, FOREVER n.k. ni vzr ukajifunza zaidi kwenye hizi bussines.

    • @nzegeatv6355
      @nzegeatv6355 5 лет назад

      Sudy Slaa
      Broo unamaanisha Grobo alance?

    • @hawa4968
      @hawa4968 5 лет назад

      Kweli kabisa..

    • @edithombunga7293
      @edithombunga7293 5 лет назад

      Kenya vijana wote wamezama kwenye aim global alliance
      Lakini hiyo aim global haiaminiki
      Inashukiwa ni ya kishetani
      Kwanza tufanye utafiti wa ndani kabla ya kujiunga

    • @topistarnelima6797
      @topistarnelima6797 5 лет назад +7

      @@edithombunga7293 aim global sio ya kishetani kupata pesa si rahisi wewe mimi niko kwa aim global kupata pesa unafanya kazi kwa bidii unaweza maliza miezi minne bila ata kupata mteja ingekuwa ya kishetani ingekuwa inapeana pesa za bure sisi waafrika tuna akili vinyu tukiona kitu cha manufaa hatutaki kujiunga tunapenda misaada tu ndio maana waafrika tuko masikini sana

    • @molaizer992
      @molaizer992 5 лет назад

      Sudi angalia ucje ukawa mtu unasema i.k.i.a

  • @yourgoto.8726
    @yourgoto.8726 4 года назад +2

    Motivated me a lot !!!

  • @johnjames2430
    @johnjames2430 5 лет назад +24

    Wewe mtangazaji unafaa kuripoti habari za mahakamani ndiyo unapofiti

    • @shemsaomar6498
      @shemsaomar6498 5 лет назад

      hongera Dada mungu akubariki kwamjongo

    • @annaphilly1967
      @annaphilly1967 5 лет назад

      Yaan mimi ata anakofit cjapaona maana hajui ata kuuliza maswali

    • @yusrahemed21
      @yusrahemed21 4 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @abu_bakr7518
      @abu_bakr7518 4 года назад +1

      @@annaphilly1967 😂😂watanzania nyi hunibamba.Love all the way from Nairobi💜

    • @faridamahamy3600
      @faridamahamy3600 4 года назад +2

      Comment yk imenfny nimfahm huyu mtangzj,kumb ndo yule amby huw anatusomea hbr za kimahakama

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 4 года назад +1

    Kumbe mtu mwenyewe ana ajira yake safi na kapigwa tafu ni ajira akapata mtaji na kuendesha biashara zake vzr mpk kufikia alipo,so mkizungumzia kupata pesa kupitia mtandaoni bado hajelezea vzr kwaiyo cha msingi ni kujua tu hapo alipo elimu imechangia pamoja na biashara

  • @saidigeseni3511
    @saidigeseni3511 5 лет назад

    Oooooooh Kumbe ni MKINGA from MAKETE.... Hongera zake sana.

  • @jacklinemoraa3812
    @jacklinemoraa3812 3 года назад

    Congratulations dada nimependa the way umejipanga I wish tu meet ili nami nianze hiyo online business moraa from kenya

  • @winfridaw.mwashala289
    @winfridaw.mwashala289 4 года назад +3

    Naomba niseme siamini!Ila vijana ukweli achaneni na picha kwenye instra! Na these days hadi wazee ni muda woote mtandaoni! Fanyeni kaziii! Ila siamini mengine!

  • @elizabety3871
    @elizabety3871 Год назад +1

    Vizuri dada maisha ya sasa ni akiri tu ya kufanya kazi!

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 5 лет назад +9

    Saanga simkinga huyoo Sasa Utashangaaje Mkinga na Mafanikio!!? Mkinga nimpambanaji ambae anaweza Kufanikiwa kutoka chini mpaka juu Mkinga akiwa na Lengo lake hatoki kwenye njia mpaka afanikiwe.

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 5 лет назад

      kwa uchawi lakini

    • @Jacklinekajula92
      @Jacklinekajula92 4 года назад

      sadiki Daudi kabisa

    • @salymkitumbika8644
      @salymkitumbika8644 4 года назад

      @@harrisonsamwel3112 pole kwa mawazo mgando suala ni commitment tulonayo kama wachaga swala la uchawi ni sehemu ndogo sana kwa sasaa

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 4 года назад

      @@salymkitumbika8644 hujajua maisha bado wwe unaish kwakuangalia juu juu tu hujui undani wa mambo bado mdogo

    • @salymkitumbika8644
      @salymkitumbika8644 4 года назад

      @@harrisonsamwel3112 Hahahaaa Dah! Aisee wacha nicheke tuu kweli Tz nchi ya Amani sanaaa MTU anaweza sema chochote usilolijua ni usiku wa Kiza, unachart na Mkinga Og from Makete Bulongwa, huwa mnaziskia tuu story za wakinga na mie ni Muhanga ktk biashara zangu so karangabaho

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 4 года назад +1

    Biashara biashara biashara biashara biashara biashara biashara biashara biashara biashara jmn mi sijaelewa hi biashara 🤣🤣🤣au mi kichwa kigum sielewi maongezi yote sijaskia nibiashara gani🙆‍♀️🤣🤣km nawe mwenzang ujaelewa tujuane 🤣🤣🤣like hp

    • @crausmasala8572
      @crausmasala8572 3 года назад

      Ni biashara ya mtandao nitafute 0743838072 nitakufundisha

  • @carolineondoro373
    @carolineondoro373 2 года назад

    Thank u Mildred I need your help

  • @georgefxacademy9391
    @georgefxacademy9391 4 года назад +6

    I BLESS YOU IN JESUS NAME CONGRANT

  • @einotsolomon9945
    @einotsolomon9945 3 года назад +1

    Motivational speakers.

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 года назад +1

    Hongera dada

  • @ponsianomkombe1060
    @ponsianomkombe1060 5 лет назад +41

    Maelezo yake hayaeleweki...

    • @alexmongo2577
      @alexmongo2577 5 лет назад +5

      Hapo ndo ujue ana janja janja nyingi

    • @rahillhamidu2544
      @rahillhamidu2544 5 лет назад +3

      Umeonaee

    • @jumawaziri8501
      @jumawaziri8501 5 лет назад +3

      mara alipata sponsor uganda, mara alikua anafanya biashara alipe ada hata haeleweki, kimsingi anatangaza tuu biashara yake mjanja sana aiseeee

    • @franklyonline
      @franklyonline 5 лет назад

      ruclips.net/channel/UC7Fvu_3j2FqYEZXAo4nXeNg

    • @pendokomba9443
      @pendokomba9443 4 года назад +1

      Mara kamaliza chuo 2012 then hapohapo anasema biashara ya mtandao kafanya kwa miaka nane

  • @kamanda007
    @kamanda007 4 года назад +2

    Wabongo kuchambana Instagram inatosha, sasa mtumie mitandao kupiga pesa kuna opportunity nyingi sana

  • @journeywithjesus
    @journeywithjesus 5 лет назад +4

    Nyumba nzuri sana!!

  • @kilimanjaroflavour
    @kilimanjaroflavour 3 года назад +2

    Dada kasoma makerere university, na sio makelele. Na deglee ya psychology na sio deglee, amezaliwa iringa na sio ilinga; pia amesoma secondary na sio secondali. 🤦‍♀️🤦‍♀️

  • @restinasanga6420
    @restinasanga6420 5 лет назад +5

    Huyu Dada namjua yupokwenye kampun ya NEOLIFE anafanya biashara sanaa

    • @rithaeustark782
      @rithaeustark782 4 года назад +1

      Kampun inadil na nin??

    • @unveiledsolutions8166
      @unveiledsolutions8166 3 года назад

      @@rithaeustark782 ina deal na bidhaa mbali mbali zikiwemo za shambani, za usafi wa nyumba, nk

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 5 лет назад +8

    Fafanua zaidi, maelezo hayatoshelezi hata kidigo, maana nyuma mbele.mbele nyuma, sema.biashara ya kweli uliyifanya bana usituchoshe

    • @sospetermgendi3544
      @sospetermgendi3544 4 года назад

      0654624379 nicheki ujifunze na uanze biashara KAMPUNI NI ALLIANCE IN MOTION GLOBAL bidhaa zetu ni virutubisho afya.. NA Ushirikishaji watu biashara.. Nicheki popote Tanzania Tume enea

  • @ambroseinfochannel8773
    @ambroseinfochannel8773 5 лет назад +2

    Kabisaaaa tupo pamoja boss wangu tunawakarisha wote

  • @abdilahmwiru6917
    @abdilahmwiru6917 4 года назад +1

    Ukweli hata simwelewi lamda anabiashala njee za mitandao .pili anatuzunguka like mbuyu !

  • @helgaaporinaly2811
    @helgaaporinaly2811 5 лет назад

    Hongera sana mdada Mungu azid kukupambania.

  • @mdsadiq2569
    @mdsadiq2569 5 лет назад +11

    Mashallah hongera

  • @ashuraahmad551
    @ashuraahmad551 Год назад

    Shukran ayo tv

  • @beatriceherman8783
    @beatriceherman8783 5 лет назад +3

    Hongeraaaa mdada

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo4049 4 года назад +1

    Be blessed and keep it up.

  • @zulekhakhassun6858
    @zulekhakhassun6858 5 лет назад +3

    Muhimu ametuelezea tujitahidi kwenye tunachofanya. Sio lazma ujue biashara yake. Amini na tumia akili kuwa na subira katika unachofanya..hata ukiuza ndimu muhim kujituma tuu

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 лет назад +4

    Huyu Muhoji ndio Hakuwa na Maswali,Hongera sana.

  • @alexchungu9505
    @alexchungu9505 5 лет назад +25

    Usishindane na mwanamke, maana wanavyanzo vingi vya uchumi..

    • @alexmongo2577
      @alexmongo2577 5 лет назад

      Ndiyoo...walipewa mili yao ni hazina tosha ya utajiri

    • @alexchungu9505
      @alexchungu9505 5 лет назад

      Alex Mongo , sikupingi wajina

    • @marymathew6529
      @marymathew6529 5 лет назад +1

      Nakuunga mkono ktk hilo mi ni mwanamke lakini nakuelewa unavyosema hivyo,sijawah taman Mali ya mwanamke maana kuna siri kubwa ktk mafanikio ya mwanamke.

    • @jumaakhalifani8218
      @jumaakhalifani8218 4 года назад

      😃😃😃

  • @DjmubaTechServices
    @DjmubaTechServices 5 лет назад +10

    kama na wewe umeona kuwa huyu dada anatangaza kampuni yao basi huko pekee yko.
    huyu ni balozi anatafuta watu tu..

    • @kazkaz1943
      @kazkaz1943 5 лет назад

      Djmuba Tech Services baada ya kusikia tu iyo biashara nikajua tu anatafuta wateja kama wale living forever

    • @DjmubaTechServices
      @DjmubaTechServices 5 лет назад

      @@kazkaz1943 makampuni km hayo ni mengi sana siku hizi....
      maana hata kuwa muwaz kuwa biashara hiyo inafanya vp kazi hajasema, kam ni kuuza dawa online watu wengi tu wanauza.

  • @hundamaniamania872
    @hundamaniamania872 5 лет назад +8

    Hebu tutolee ujinga hapa
    Hai inspire chchte hyo hadith maana usome Makelele we ni Tajiri hebu imagine usome shule na Nyerere utskuaje maskini.
    Tuoneshe mmama kauza uji,genge ,mkaa nk.
    Hpo akitusua life tuseme yes tujifunze kitu

  • @imanyjohn1755
    @imanyjohn1755 4 года назад +1

    Kunguni kweli hawa,yaani mambo ya tri-angle business ndo unaleta promo kubwa.matapeli wa kimkataba.

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse9926 5 лет назад +3

    Sijamwelewa vizuli huyudada kafanikiwaje? mana mayelezoake nimengi .sijuwinyiye wasikilizajikama mimi mume mwelewa? Malakasoma.........🙄❤🤔vyashala yamutandao🤔

  • @piusundisputed
    @piusundisputed Год назад +2

    Dada mm ukitaja network marketing, unazdii kuchanganya akili yangu, how and to what extent can you benefit from this kind of business??ni vizuri ungetoa more clarification ili niweze kuelewa, otherwise there might be something behind the scene towards your achievement

  • @evaasenga6351
    @evaasenga6351 4 года назад +3

    Hakuna binadamu ambae anaeweza kusema siri ya mafanikio yake yote.atakupa siri nusu tu. Kamili anayo yeye na mungu wake

  • @salumabdallah6680
    @salumabdallah6680 4 года назад +1

    Dada hongera kwa mafanikio na elimu ulionayo ila sema Iringa sio Ilinga unaboa bana

  • @nduxmaryam
    @nduxmaryam 5 лет назад +1

    Huyu mwenye kumuhoji anamrudisha nyuma kila saa. Hongera dada.

  • @broadfuturetv6737
    @broadfuturetv6737 5 лет назад +4

    Huyo dada anafanya matangazo ya kuingiza watu mkenge.... kwa kifupi hayo ni maendeleo ya mbinu za matangazo. Tokeni humo kwenye nyumba za watu.

  • @halimasaleh5705
    @halimasaleh5705 5 лет назад +35

    Ndiyo hayo ya vibubu kumbe nyuma ya pazia kuna mengine

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 5 лет назад +5

    Honger

  • @salumesimon7660
    @salumesimon7660 5 лет назад +3

    Good

  • @zeliamnyoge7340
    @zeliamnyoge7340 3 года назад

    Nice da hons love more

  • @agnessestoni5631
    @agnessestoni5631 5 лет назад +26

    Uyu dada ajaelza nibiashaar gani aliyo ifanya mpka ikampa vitu ivyo, Ajaeleweka kabisaaa Mara juice mara mapochiii mara SHULEE. Ss atujaelewa nikitu gani anacho Fanya???

    • @jazzymkalitv5535
      @jazzymkalitv5535 5 лет назад +2

      Kweli kabisa. Ni wale wachoyo, wasio penda kuona wengine wakifanikiwa kama alivyo fanikiwa. Haya yote ni mapito.
      Ila nampongeza kwa nyumba nzuri.

    • @neemalkiswaga6126
      @neemalkiswaga6126 5 лет назад +1

      Hawatoagi ukweli unafanikiwa vp mbaka ujiunge

    • @mohamediyusuph4290
      @mohamediyusuph4290 5 лет назад

      Agness Estoni yaani toka yule kondakta mwenye shule kule mbeya akutwe na hatia ya mauaji kwa kujihusisha na mambo ya kishirikina nimekuwa siwaamini tena watu wa hivi.napambana na hali yangu.

    • @neemalkiswaga6126
      @neemalkiswaga6126 5 лет назад

      @@mohamediyusuph4290 yaani wewe upo km Mimi

    • @clementsindamka8804
      @clementsindamka8804 5 лет назад

      Mbona kaeleweka vzur, Hapo haruhusiw kutaja kampuni, mi naelewa biashara hyo ila uwe na jitihada za kufanya kazi kweli kweli. Yapo makampuni mbali mbali hapa Tanzania

  • @florangido202
    @florangido202 5 лет назад +5

    Ilinnga au Iringa!
    Makidahi punguza mbwembwe,
    alifaliki! au alifariki!

    • @stellanjeru6001
      @stellanjeru6001 5 лет назад

      Na amesomea chuo kikuu hata kingereza hajui

    • @liberatharichard4556
      @liberatharichard4556 4 года назад

      Namm simuelew eti.huyu zamaradi ndo anamuweza hasomeki kabisaaaa

  • @luckyvenance4576
    @luckyvenance4576 5 лет назад +5

    Yan unaanza elf17 fasta elf96 fasta ivo ivo laki nne embu explain vzr mwenyewe nafanya cjawahi pata hata

  • @officialgifty5208
    @officialgifty5208 5 лет назад +20

    Hapa angeenda kuhojiwa na milad au vidox tungeelewa ila hapa weng tumetoka patupu

  • @irenemwanaa8160
    @irenemwanaa8160 5 лет назад +2

    Hongera Dada mzuri

    • @sospetermgendi3544
      @sospetermgendi3544 4 года назад

      0654624379 nicheki ujifunze na uanze biashara KAMPUNI NI ALLIANCE IN MOTION GLOBAL bidhaa zetu ni virutubisho afya.. NA Ushirikishaji watu biashara.. Nicheki popote Tanzania Tume enea

  • @fadyaalmansoor6020
    @fadyaalmansoor6020 3 года назад

    Mashallah hongera sana.

  • @hbkeyamjukuu4747
    @hbkeyamjukuu4747 5 лет назад +7

    Mie nimeishia la 7 na namiliki mjengo kwa kuosha vyombo na kuwapikia warabu... mkuje munihoj na mm🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @tabumasumbuko7213
    @tabumasumbuko7213 4 года назад

    Hongera mkinga msomi na mtafutaji wakinga mapemberoooooo

  • @hafidhramadhan3942
    @hafidhramadhan3942 5 лет назад +6

    Vijana tumieni Jicho la 3, na Hawa motivation speakers. Biashara za ntandao???? 200Ml imelala mjengoni, na ngp inarun Biashara?? For how long? Young Lady! U have 2b Open what are u doing

    • @jacksonkinange4605
      @jacksonkinange4605 5 лет назад

      Open your mind it's really
      Most of Tanzanian
      They complain about NETWORK MARKETING
      But it's really

  • @siscaalex8582
    @siscaalex8582 5 лет назад

    Hongera sana class mate

  • @mwarishmodsalum555
    @mwarishmodsalum555 5 лет назад +3

    Mashallah my dear mungu akuzidishie inshallah

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 года назад +1

    Laiti nyumba zingepewa vinywa zingetoa siri za ndani tuone tu nyumba zawatu nzuri siri za hizo nyumba wanazijuwa wao na kuna nyingine ninzuri sana na hazikaliki

  • @mimahnywage9245
    @mimahnywage9245 4 года назад +1

    Mashaallah 😋

  • @joshuajames7287
    @joshuajames7287 5 лет назад +1

    Hapo Dada mm kwangu sijakuelewa naomba ulitolee ufafanuzi make unasema unafanya biashara ya mtandao ni biashara gani hiyo ya mtandao make sielewielewi.

  • @kasimramadhani1502
    @kasimramadhani1502 2 года назад

    Your supper woman.

  • @veronicaduplessis
    @veronicaduplessis 4 года назад

    Hongera Sana mungu akobariki!

  • @jojoshavu668
    @jojoshavu668 5 лет назад +1

    Handbag ....mikoba...
    Nipeni tofauti

  • @mahadsayyed7475
    @mahadsayyed7475 4 года назад +1

    Ni hamasa kubwa Sana kwa sisi vijana kutokata tamaa na kujalibu kazi mbali mbali

  • @godsonmatosha3194
    @godsonmatosha3194 5 лет назад +5

    Kijana yeyote anaijielewa hawez kutegemea kusikilza hadth za waliofanikiwa et ndo uanzie hapo kufanya maendleo never ! Kijana Amin kwa kaz unayoifanya hawa watoa hadith za paukwa pakawa fyekelea mbalii waongo 2, kitambue kijana aseeee

    • @liliansikazwe7444
      @liliansikazwe7444 5 лет назад

      unapotosha n lazima ujifunze kwa waliofanikiwa ..kuna mwingin anapata mshahara wa laki na anaona autosh kufanya chochot,na mwingin ana mshahara huohuo lakin ana maendeleo kukushinda na stress ana.....ina bid umtafute ukae nae chin umuulize kawezaje na mnalingana kipato?na ww utaipanua akili...ukikaa hvyohvyo utafel wenzako wanafaulu..acha kupotosha

  • @abdulkarimomary5602
    @abdulkarimomary5602 Год назад

    Mashallah

  • @hamidyhashimu6807
    @hamidyhashimu6807 5 лет назад

    Dah millard ayoo..leo umeniangusha...
    Qnet, Alliance, phytoscience, h2i..
    Like matapeli tyu😂😂😂😂😂😂

  • @joshuaibrahim5270
    @joshuaibrahim5270 2 года назад

    Amina ubalikiwe sana na mungu