#PROPHET_HARRY_KGOMOSOTHO
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Nabii mkuu,ngurumo ya upako napokea upako ya baraka in Jesus mighty name.Amen...................................
Amen,natamani na mimi siku moja mungu aniwezeshe nifike hapo kwenye ngurumo ya upako.nipewe baraka na baba.natokea Burundi
Tupate wapi mtu kama huyu ambaye Mungu anakaa ndani yake?Hakika katika karne hii tumebahatika maana tunae tayari, heshima kwako Nabii mkuu Dr GeorDavie 🙏🙏💪💪
Ninatamani kupokea neno LA kinabii kutoka kwako Nina amini siku moja nitapokea na kupakwa mafuta ya mazabahu yako Amina
Babanami naomba univushe katikakizi baba naomba unsaidie mungu akuonge zeebaraka utukomboe
Naomba baraka baba naitaji nkanyage mazabao yamungu wakwari
Naimakisha Agano langu na Baba YANGU NABII MKUU GEORDAVIE BURUNDI GITEGA 🇧🇮🙏.
Baba naomba nami unitamkie neno tu historia ya maisha yangu ibadirike nimechoka baba mapenzi yako yatimiw
Huyu ndiye mtu wa Mungu anyejua kusamehe kwa moyo wake wote, Mungu azidi kukubariki Baba
Mungu wa Gerodave nipe nuru na kibali amen
Wooooow I love this
Baba naomba Mungu akupe utajir wa kulisha Tanzania nzima Nina Amin Mungu akupe uwezo huo🙏🙏🙏🙏
Mungu Akubariki Mtumishi wa Mungu ninakuomba nisaidie na Mimi nifunguliwe kiuchumi , kiafya kiroho ili na Mimi niwasaidie wengine
Ooh my God every time I watching your chanel to see your anoint service to many people I'm so excited with you prophet, I need to me with you dady in order to get help from you.
That is a man of God, Mungu akubariki baba kwa moyo wa upendo, ninakupenda sana
Bwana azidi kumwinua kila mahali dunia. Namkubali sanaaaah
Daddy huo Moyo wako ni wa Mungu ndani Yako kabisa.Shukrani kwa hii Neema niliyopata ya kujua NGURUMO ya Upako🙏🙏.
😭😭Baba wa upendo na mwenye huruma umenifanya nimelia sana kwa upendo wako mkubwa Mungu akubariki sana🙏
Nabii Mkuu! Nipe Kazi..
Niko Congo RDC nakupenda sana baba ipo Siku tu nitakuja kukuona nataka uwe baba yangu wa kiroho Niko muchungaji wa kanisa
Amina baba maombi Yako ni muhimu xana kwangu haswa katka kipindi hichi baba
Asante Yesu,Mungu wewe ni mzuri sana
Mungu akupe nguvu zaid Baba Georgedavie
Amazing fantastic announting
Lord I need this grace connection.
Amen🙏
2014 It's true i was there in the church an d i saw Prophet Harry
Imekuwa kwangu Amen
God bless you papa 🙏
Siku ya mwisho yote yatawekwa wazi.
Thankyou jesus...
Yan yan siku ya mwisho mtaeleza wenyewe.
Nabii mkuu ni Baba wa wengi namkumbuka sana huyu ndugu ila kheri yeye aliyejua kosa na kurudi haraka
Woow
Amen Amen Amen Amen I receive
I trap on that anointing of a prophet harry in Jesus name
Najua ipo siku nitafika mbele ya madhabahu ya ngurumo ya upako kwani kwa Sasa Niko vibaya kiuchumi Ila naamini ukisema Neno kwa neema ya Mungu nitafunguliwa ili niwafungue wengine
Mungu wala haitaji hali yako ya kiuchumi!!!
It's so powerful
Amen baba tunazidi kubarkiwa na neno lako mungu azidi kukulinda baba
Napokea kwa Jina kuu la Yesu kristo aliye hai
Baba your too much thank you for excepting ua son back
Mtafsiri naye anatimua vumbi... 😎😎
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Hili neno watu wanapenda kulitumia, ili kuwasidia watu kama unajua maarifa kwa nini usifungue huduma kuwafundisha watu maarifa, hiwezekani uone tatizo na usiwe mtatuaji wa hilo tatizo, unaweza kujikuta mnafiki.
Amen Amen Amen
Amen amen baba
Amen , amen 🙏
But how can I meet you man of God please
Kwaiyo ukipigika ndio unakumbuka ulipotoka kweli wanadamu tunajisahau sana nakuzarau watumishi
Amen amen
Nikweli kabisa
YESU Kristo Simba wa Yuda
Ameen
Ameni
Amen
MUNGU ANIPE KIBARI NIKUONE JUU YA UTUMISHI WANGU
Gd
I CONNECTION KWA MAFUTA HAYO
Hawa dio wazazi tunaowataka wenye moyo wa kusamehe baba nakupeda bure
🔥🔥🔥👑👑⭐🗝❤❤🙏
Baba nibaba 2 haijalishi
Natamani Neno la kinabiii
😔😔
Nabii mkuu wewe ni mwamba kwelkwel
matapel wawil wamepatana
Nimatapeliee🥱🥱🥱🥱🥱
Julia's uyu NI baba Ana MOYO wa MUNGU Ana MOYO wa ubaba.
BABA NITAZIDI KUNYENYEKEA NA KUWA MDOGO ZAIDI KILA NYAKATI ZOTE MPAKA NIFIKE PALE MUNGU AMENIKUSUDIA
@@mosseseliastv6493 upo sahihi ni baba kwako but not to me
Wewe Jullius Ni Mpumbavu
Hahahahahahahahahahhaaaa