#PROPHET_HARRY_KGOMOSOTHO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

Комментарии • 74

  • @josephakure6743
    @josephakure6743 Год назад

    Nabii mkuu,ngurumo ya upako napokea upako ya baraka in Jesus mighty name.Amen...................................

  • @johnpeterbaraka4307
    @johnpeterbaraka4307 2 года назад

    Amen,natamani na mimi siku moja mungu aniwezeshe nifike hapo kwenye ngurumo ya upako.nipewe baraka na baba.natokea Burundi

  • @neemamjema1067
    @neemamjema1067 2 года назад +3

    Tupate wapi mtu kama huyu ambaye Mungu anakaa ndani yake?Hakika katika karne hii tumebahatika maana tunae tayari, heshima kwako Nabii mkuu Dr GeorDavie 🙏🙏💪💪

  • @johansenrauben6166
    @johansenrauben6166 Год назад

    Ninatamani kupokea neno LA kinabii kutoka kwako Nina amini siku moja nitapokea na kupakwa mafuta ya mazabahu yako Amina

  • @gwamakamwaipungu3202
    @gwamakamwaipungu3202 Год назад +1

    Babanami naomba univushe katikakizi baba naomba unsaidie mungu akuonge zeebaraka utukomboe

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 Год назад

    Naimakisha Agano langu na Baba YANGU NABII MKUU GEORDAVIE BURUNDI GITEGA 🇧🇮🙏.

  • @janemahenge2625
    @janemahenge2625 2 года назад +1

    Baba naomba nami unitamkie neno tu historia ya maisha yangu ibadirike nimechoka baba mapenzi yako yatimiw

  • @sikujuamohamed2262
    @sikujuamohamed2262 2 года назад +1

    Huyu ndiye mtu wa Mungu anyejua kusamehe kwa moyo wake wote, Mungu azidi kukubariki Baba

  • @barikingowo1052
    @barikingowo1052 Год назад

    Mungu wa Gerodave nipe nuru na kibali amen

  • @rapttortom4826
    @rapttortom4826 Год назад

    Wooooow I love this

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 года назад

    Baba naomba Mungu akupe utajir wa kulisha Tanzania nzima Nina Amin Mungu akupe uwezo huo🙏🙏🙏🙏

  • @constantinewilbroad1654
    @constantinewilbroad1654 2 года назад +1

    Mungu Akubariki Mtumishi wa Mungu ninakuomba nisaidie na Mimi nifunguliwe kiuchumi , kiafya kiroho ili na Mimi niwasaidie wengine

  • @charlzizengo7935
    @charlzizengo7935 2 года назад

    Ooh my God every time I watching your chanel to see your anoint service to many people I'm so excited with you prophet, I need to me with you dady in order to get help from you.

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 2 года назад

    That is a man of God, Mungu akubariki baba kwa moyo wa upendo, ninakupenda sana

  • @wokovunisasatv7576
    @wokovunisasatv7576 2 года назад

    Bwana azidi kumwinua kila mahali dunia. Namkubali sanaaaah

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995 2 года назад

    Daddy huo Moyo wako ni wa Mungu ndani Yako kabisa.Shukrani kwa hii Neema niliyopata ya kujua NGURUMO ya Upako🙏🙏.

  • @djkayumba
    @djkayumba 2 года назад

    😭😭Baba wa upendo na mwenye huruma umenifanya nimelia sana kwa upendo wako mkubwa Mungu akubariki sana🙏

  • @twemeremunguzacharie6395
    @twemeremunguzacharie6395 Год назад

    Nabii Mkuu! Nipe Kazi..

  • @pasteurfreddylubwanda7340
    @pasteurfreddylubwanda7340 Год назад

    Niko Congo RDC nakupenda sana baba ipo Siku tu nitakuja kukuona nataka uwe baba yangu wa kiroho Niko muchungaji wa kanisa

  • @kijalupanga1990
    @kijalupanga1990 2 года назад

    Amina baba maombi Yako ni muhimu xana kwangu haswa katka kipindi hichi baba

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 2 года назад

    Asante Yesu,Mungu wewe ni mzuri sana

  • @coolzeddy_official9216
    @coolzeddy_official9216 2 года назад

    Mungu akupe nguvu zaid Baba Georgedavie

  • @apostleeliyaj.milanzi5339
    @apostleeliyaj.milanzi5339 2 года назад

    Amazing fantastic announting

  • @shadiahmueni6734
    @shadiahmueni6734 2 года назад

    Lord I need this grace connection.

  • @josephleiyani7668
    @josephleiyani7668 Год назад

    Amen🙏

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 года назад

    2014 It's true i was there in the church an d i saw Prophet Harry

  • @neemadickson3975
    @neemadickson3975 2 года назад

    Imekuwa kwangu Amen

  • @mundelejudith3940
    @mundelejudith3940 2 года назад

    God bless you papa 🙏

  • @chazdd1943
    @chazdd1943 2 года назад +3

    Siku ya mwisho yote yatawekwa wazi.

  • @rachelkorrompoitvkorrompoi
    @rachelkorrompoitvkorrompoi 2 года назад

    Thankyou jesus...

  • @chazdd1943
    @chazdd1943 2 года назад +2

    Yan yan siku ya mwisho mtaeleza wenyewe.

  • @dismassamwel7130
    @dismassamwel7130 2 года назад +1

    Nabii mkuu ni Baba wa wengi namkumbuka sana huyu ndugu ila kheri yeye aliyejua kosa na kurudi haraka

  • @gildasnyaki3812
    @gildasnyaki3812 2 года назад +1

    Woow

  • @anyigulilemwaigomole3012
    @anyigulilemwaigomole3012 2 года назад

    Amen Amen Amen Amen I receive

  • @kendimutunga
    @kendimutunga 2 года назад

    I trap on that anointing of a prophet harry in Jesus name

  • @constantinewilbroad1654
    @constantinewilbroad1654 2 года назад +1

    Najua ipo siku nitafika mbele ya madhabahu ya ngurumo ya upako kwani kwa Sasa Niko vibaya kiuchumi Ila naamini ukisema Neno kwa neema ya Mungu nitafunguliwa ili niwafungue wengine

  • @denismaussa650
    @denismaussa650 2 года назад

    It's so powerful

  • @josephmolle
    @josephmolle 2 года назад

    Amen baba tunazidi kubarkiwa na neno lako mungu azidi kukulinda baba

  • @petermghwira3063
    @petermghwira3063 2 года назад

    Napokea kwa Jina kuu la Yesu kristo aliye hai

  • @kendimutunga
    @kendimutunga 2 года назад

    Baba your too much thank you for excepting ua son back

  • @renatuskweyamba6460
    @renatuskweyamba6460 2 года назад +1

    Mtafsiri naye anatimua vumbi... 😎😎

  • @sevenrepublic1550
    @sevenrepublic1550 2 года назад

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

    • @yusuphkayoka5452
      @yusuphkayoka5452 2 года назад

      Hili neno watu wanapenda kulitumia, ili kuwasidia watu kama unajua maarifa kwa nini usifungue huduma kuwafundisha watu maarifa, hiwezekani uone tatizo na usiwe mtatuaji wa hilo tatizo, unaweza kujikuta mnafiki.

  • @mentionedU
    @mentionedU 2 года назад

    Amen Amen Amen

  • @beatricehenry8116
    @beatricehenry8116 2 года назад

    Amen amen baba

  • @marympemba2137
    @marympemba2137 2 года назад

    Amen , amen 🙏

  • @eliassiame7353
    @eliassiame7353 2 года назад

    But how can I meet you man of God please

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 года назад

    Kwaiyo ukipigika ndio unakumbuka ulipotoka kweli wanadamu tunajisahau sana nakuzarau watumishi

  • @rutagengwasteven7879
    @rutagengwasteven7879 2 года назад

    Amen amen

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Год назад

    Nikweli kabisa

  • @florianakhweso5749
    @florianakhweso5749 2 года назад

    YESU Kristo Simba wa Yuda

  • @angelwilliam3471
    @angelwilliam3471 2 года назад

    Ameen

  • @priskahesebi256
    @priskahesebi256 2 года назад

    Ameni

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 года назад

    Amen

    • @ibrahimsokoine
      @ibrahimsokoine Год назад

      MUNGU ANIPE KIBARI NIKUONE JUU YA UTUMISHI WANGU

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 2 года назад

    Gd

  • @pastorb.alaurent1006
    @pastorb.alaurent1006 2 года назад

    I CONNECTION KWA MAFUTA HAYO

  • @GitongaM
    @GitongaM Год назад

    Hawa dio wazazi tunaowataka wenye moyo wa kusamehe baba nakupeda bure

  • @farajarogath196
    @farajarogath196 2 года назад

    🔥🔥🔥👑👑⭐🗝❤❤🙏

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 2 года назад

    Baba nibaba 2 haijalishi

  • @prophetshukurumongela3085
    @prophetshukurumongela3085 2 года назад

    Natamani Neno la kinabiii

  • @restypeter1141
    @restypeter1141 2 года назад

    😔😔

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 Год назад

    Nabii mkuu wewe ni mwamba kwelkwel

  • @JuliusKanza
    @JuliusKanza 2 года назад +3

    matapel wawil wamepatana

    • @srkkishimbo1558
      @srkkishimbo1558 2 года назад

      Nimatapeliee🥱🥱🥱🥱🥱

    • @mosseseliastv6493
      @mosseseliastv6493 2 года назад

      Julia's uyu NI baba Ana MOYO wa MUNGU Ana MOYO wa ubaba.
      BABA NITAZIDI KUNYENYEKEA NA KUWA MDOGO ZAIDI KILA NYAKATI ZOTE MPAKA NIFIKE PALE MUNGU AMENIKUSUDIA

    • @JuliusKanza
      @JuliusKanza 2 года назад

      @@mosseseliastv6493 upo sahihi ni baba kwako but not to me

    • @BarakaWaya
      @BarakaWaya 2 года назад +2

      Wewe Jullius Ni Mpumbavu

    • @lemonadesoldier1377
      @lemonadesoldier1377 2 года назад

      Hahahahahahahahahahhaaaa