Ni SHOLO MWAMBA Tena! AMPIGISHA Magoti MAGUFULI Kumuombea Rais Mstaafu MKAPA...
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Ni SHOLO MWAMBA Tena! AMPIGISHA Magoti MAGUFULI Kumuombea Rais Mstaafu MKAPA...
Mbio za kampeni Zinaendelea kutimua vumbi katika mikoa mbalimbali nchini ambapo leo Septemba 3, 2020 DKT Magufuli anaendelea na mikutano ya hadhara ambapo amefika Shinyanga kuomba wananchi wampigie kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Nimekuja apa baada ya kifo cha raisi😭😭😭🙏
Daaa, Raisi anapiga magoti baada ya Msanii kusema/!!!!!!! Machozi yamenitoka kabisa. Raisi huyu ni watofauti sana. Mungu akulinde Raisi wangu. Nakupenda sana.
Mungu ampe maisha malefu
Mungu akuzidishie maisha marefu rais JPJM
Sasahivi watafanya kila kitu. Ngoja aapishwe. Atarudi hapa kuwaita vilaza 😂
@@bjzee1981 mmmh
Tujuane tulio kuja baada ya msiba RIP MAGUFULI
Nipo
Kweli
Sidhan kama kwenye kampen watu watajitokeza kwa wing I tena
Du rais wetu Magu Mungu ambariki sana japo ni mkali lakini nimnyenyekevu sana anapiga magoti sala yenyewe haieleweki, Magu upo vizuri sana rais wangu
Nani karud tena hapa baada ya jembe kututoka?? Nipeni like zangu!
Sholo mwamba umetisha mwanangu kazi nzuri
Mungu mwema jaman maana hapo balakoa hakuna jaman mungu akuweke magu maombi na iman imetusaidia sana
Sijawai kukomnt but sholo mwamba nizaid ya wasanii bongo big up
Dah isee mungu akulinde rais wetu
Salute kwako sholo
😭😭😭😭😭 kifo jamani
Ata waseme niiniii MAGUFULI OYEEEEEEE
Umenifundisha vitu vingi san nakunifanya nijuwe mimi ni nani nanitakiwa kufanya na kuwacha nini Asante daddy 🙏 nitakukumbuka daima 😭
Magu uko vzr kura zako kama zote watabaki wenyee roho mbaya tu
Wauw JPM is big rapper, that great 👍👍👍👍
Rip Baba 😭😭😭😭 wende kwa amani 🇨🇩
Shoro ujue shika adabu yako tutakuwa hatukuchukui tena kwenye mikutano😁😁😁😁😁💛💚💛💚
Magufuri baba why RIP
Daima tutakukumbuka JPM mungu akupe pumziko jema huko uendako. Mbele yako nyuma yetu.
TANZANIA SIHAMI
tunabak wote, sema wasiojulikana ndo shida
Good nice
Magufuli we miss u 😭😭😭😭
Sholo umemnyoosha mzee wetu kwakweli
Aki tulizowea hivi Leo tunakusanyika kwakulia R I P MAGU
Sholo you are the best bravo
Rip Magufuli. Angekuwa Samia au Kikwete asingepiga magoti
ATA MIMI NIMETOKA MACHOZIII KWA MAOMBI HAYO DAAA. KAKA ASANTE SANA KWA MAOMBI HAYO NI MAZURI MNO. UBALIKIWE. MUIMBAJI ASANTE
Huyu mtoto hana heshima unafosi singeli iwe juu
Magufuli tabasam lako mashallah umependeza kwelii
Gud gud... Ccm oyeee... Jpm oyeee
Hakika muheshimiwa we nimteule toka tumboni mwa mama na libarikiwe tumbo ulilotoka baba
Well done
Ila nimecheka sana na kusikitika
Nimependa kinyamaaaaaa.....piga magoti tumeombee Mkapa
👏👏👏👏👏👏👌👌💪💪 Raisi magufuri jembee chm oyeeeeeeee
Magufuli tofauti Sana ...
Nyie wasanii mbona hamna heshima kwa viongozi wetu kuwamuru kusimama na kuwapigisha magoti. Muwe na adabu
🤣🤣🤣🤣
Wajinga
Wajinga, tena wana mapepo
Hapa ndio paku wapatia baada ya hapa 😂
Wanangu wa Shinyangaaa ...sijaona vumbi Shinyangaa😬
Tutakukumbuka daima
We mtoto wee umempigisha Rais wetu magoti
Shikamoo sholo! Umetisha!
I'll Mwanza mpumzishe Presdaa Buana lol!
Kwakweli bhana
Sholo Mwamba uko na kipaji brother
Na magoti wamepiga chezea singeli na wamesalishwa kisingeli vilevile ahahahaaaaaa hatari sana
Nomaaa
sholo ni nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ni hatari. Si angesema Amina wasimame
Umenifanya nichekee
Htr sana mpka wabunge nao kumbe wanajua kuyadigi raisi nae kashindwa kujizuiya singeri tuipeni kipao mbele japokua watu wanachkulia kama mziki wa kihuni
2022 october without you Magufuli R I P BABA
Ina uma sana ayseeeeeee
Sholo mwamba ,usituchoshee Rais wetu tafadhali🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na kweli 😆😆
Jmn rais wetu mungu amsamehe amueke sehem salm mtii San nimelia mm dah😨😨😨😨😨
CCM OYEEEEEEEEE. MAGUFULI OYEEEEEEE
Baba unagusa rais magu
Kwa hivyo shinyanga ndio wanavaa ki uganga uganga hivi
Jmn magu mungu akulinde
Daah jamani huyu baba anastahili kutuongoza baba umepita bado kuapishwa tuuuu
Sholo mwambwa mbn unamfokea rais wetu jmn
Jpm noma
sanaaa maguu oyeeeee
Sholo mwamba kamlambisha magu dawa, sio kwa kumfokea huko
Jpm namba moja Tanzania
Ameambiwa anaombewa hajapiga Magoti kwa ajili mtu kapiga kwa Mungu!
100
Sholo devil mtu mbadiii., show kali la kutisha
Hadi RAHA😂😂❤️💃💃
Mwacheni acheze naye binadamu kosa lake nini kwavile rais ila ni binadamu pia
Wakati wakinywa nakula nakuoa,na wakisema Kuna Amani ndipo ,panatokea ule ualibufu,Wakati Wa utawala wa shetani umekwisha,Sasa lazima mtambue kuwa mwenye Ufamle wake anakuja na yupo kalibu,yatupasa sote tutubu kwa maana ule mwisho umekalibia,imeandikwa Na injili ya Ufalme wa Mungu itaubiliwa ulimwengu kote na hapo ndipo ule mwisho utakapokuja,
Anatisha sana
Mmhhh!!😭😭😭😭😭😭
Anafanya kuweka rekod sholo
Noma sana
Fire burning
Sijapatakuona maombi kwa staili ya singeli .
ndo umeona sasa apo
@@rashidimatumla1344 sitatizo kupiga magoti tatizo wasanii hawana adabu itakuaje umpigishe magoti kiongozi mkubwa ,pengine diniyao inaruhusu au ?
Swaga za Singelii hizo wao nao wakapiga kweli magoti🤣🤣😂😂🤣 na macho wakafunga..sema yule mlinzi wa magu kamaind kichz😂😂🤣
Ndy unshaona ss katowe Gazet 2 ww
Hamna dini hapo ujanja2
Isingekuwa wasanii ccm wasinge pata watu kabisa
Kila mtu anatumia akiri yake hili aweze kupata kitu nyie mnashidwa nn kuwa na wasanii kina mtu anakataza
duuu kweli hatari
Magu oyeeeee.
Jamaa music dah
Eti wanyaturu hawajui singel huna la kusema bora uandike kitu kingine tu
Sholoooooo
Waumie tuu....
Pumbavu wee Askari unamuona rais kapiga magoti alafu wewe bado unakaa mjinga sana inafaa ukiona rais kapiga magoti na kufumba macho kwenye sala wee usimame tena uwe tait macho yawe kila mahali kumuekea ulinzi mzito alaa
😂😂😂
Mungu akupe Aman ya milele ancle magu najkutata nimekukumbuka mpendwa wetu
Huyu rais ni mnyenyekevu sana tukimpoteza tutakuja juta
Tushampoteza ila km kuna mkono wa mtu juu ya kifo chake Inshaallah Mungu atamdhalilisha na dunia yote ione!!
daaaa
Eee kapiga magoti kwa ajjili ya waliyotangulia hajamwambia apige Imani yake tu
Mwamba geu
😀😀😀😀👍👍👍👍🙏🙏
Toka nazaliwa chama ninacho kiona ni CCM kwahiyo CCM baba lao mzee magufuli yaan mm kura yangu unayo hata kabla ya kampeni
Sholooo awamu ijayo ugombee udiwani au ubunge
Hakuna sala hapo wezetu musidanganyane pigeni mziki 2
Kwapa manywel kibaoo
Mziki wa magu unatisha
Saf San kaka Allah kulind mwanz mwixh
Nmekubl shooroo
Mwamba unamtesa mzee wetu bhana
Duuuuuu
Unamchosha rais wetu..jmn
Anahatari
Done well
Manyumbu mnasemaje