Kila la kheri kwako sheikh Othman Michael. Tunakupenda sana hata sisi waislamu wa Congo huku tunafaidika sana kupitia ma clips zako...InshaAllah Allah akuzidishie umri mrefu ili tuzidi faidika zaidi na mafunzo zako ameen ya rabbi!
Nyota njema hung'aa gizani,Allah amekumilika anakpenda hasa harakati ya kupatanisha ndoa ,akuna zawad kwa waja wema wa Allah ila firdaus tu,n hata kma waliteleza kwa madhambi Allah ni ghafar ,anafuta madhambi sanaaaa,Allah msamehe sheikh Othman makosa yote alofanya,mpe umri mrefu na mwisho mwema from KENYA
Masha Allah sheish wetu big up tunakukubali sote , Allah azidi kukuhifadhi ili uzidi kutuelimisha in shaa Allah . Tunakupenda sote kwa ajili ya Allah where ever you are .
Hongera sana sheikh wangu mpendwa ! Allah aendelee kukujalia kila la kheri! Twakuomba siku moja ututembelee hata siku mbili ao tatu huku marekani ! Twakupenda sana tena sana pia twafatilia kila somo lako InshaAllah!
Bismillah mashaAllah shekh zidisha kupiga dawaa hahahaha na miss kwetu jaman nataman ningekuepo wanaume badiliken na ss wanawake tunataka upendo sio pesa tu namutuweke mazingira ya kidini zaid inshallah
Aww jamani mi kwa upande wangu nilipiga sm nikapokelewa na wasaidiz wa shekh nikaambiwa nikiitaj dua mpk sh 250000,nilishindwa kwakweli kweli naumwa sana zaidi ya sana lkn nimeshindwa gharama naomba mwenye namba ya shekh anayopokea yeye mwenyewe anisaidie niongee nae nione km ataniskiliza,naomben jmn nateseka mwenzenu mpk nasikia kukata tamaaa,mungu anisameheee ,😭😭🤲🙏
Shekhe nakuomba kitu kimoja watu wa mikoani hawajui kuswal licha ya kuwa waislam mana wakija madada wa kazi kutoka mikoani ni waislam lkn kuswal hawajui ungejitahid ukatoa elimu hiyo haswahaswa vijijini
Kila la kheri kwako sheikh Othman Michael. Tunakupenda sana hata sisi waislamu wa Congo huku tunafaidika sana kupitia ma clips zako...InshaAllah Allah akuzidishie umri mrefu ili tuzidi faidika zaidi na mafunzo zako ameen ya rabbi!
Vigeregere ni hsram katika uislam
Awa wakristo walikua wametuprlekeya jamani Allah katurudishia masha Allah
Nyota njema hung'aa gizani,Allah amekumilika anakpenda hasa harakati ya kupatanisha ndoa ,akuna zawad kwa waja wema wa Allah ila firdaus tu,n hata kma waliteleza kwa madhambi Allah ni ghafar ,anafuta madhambi sanaaaa,Allah msamehe sheikh Othman makosa yote alofanya,mpe umri mrefu na mwisho mwema from KENYA
Nimefurahi kuwaona mashekhe wetu anllah awajaze jaza ya kheri
Maashallah maashallah jmn mawaidha mazur sana wallah Shukran sana sheikh🇴🇲🇴🇲🙏😊
Mashaallah shekhe ningeomba ufike vuga msikiti wa baghai tanga..lushoto wAnatamani daawa Toka kwako pia na kukuona
Asante Sana sheikh uko vizuri katika daawa zako mola akubariki
Maashallah she othmn Michael ww nakupnd sana una busaraa sana nahekma mungu akupe maisha marefu ❤️
Karibu sana kondoa. Sheikh wetu
Masha Allah, in sha Allah, karibu Kenya pia,,, naam nakuomba utupe nasaha ya wa ama kupiga vigelegele mbele ya wanaume
Allah akihifadhi sheikh
Allah akuhifadhi
Nikweli sheikh wetu shukuran allah akulipe kila La her allah akujaalie umr mrefu na mwisho mwema na sisi pia nakupenda Sana kwa ajil ya mungu
Hongereni kina mama wezangu inapendeza hiyo sare mlovaa uislam hoyeee waislam takbiyyr
Aslm alkm.......swadaqta maneno yako sheikh. Mashallah 🥰 umetoa ilmu kubwa. Hayo magari manne Allah akupe zaidi. Kila la kheir.
Mashaallah ustadh osuman mungu akulipe kheri 🙏 na baraka 🤝
Allhamdulililha mwenzi mungu akujaze hekma zaidi na kupe umri wenye faida na akujaalie mwisho mwema innshaalla
HUYU NDYE ALLAH WAMEFUZU KWA MAPOKEZI KAMA ALIVYOPOKEWA MTUME KUTOKA MAKKA AKIINGIA MADINA MASHAALLAH
Masha Allah Allah, nimefurahi binafsi kumuona sheikh othman
Allah akubarikie kher inshaallah mm akhi yako nasoma mengi kwko allah akuzdishie elimu na akupe qabuuri
Mwenyezi Mungu azidi kukupa nguvu na uwezo umezidi kutupa dawa inshallah ila naomba namba ya wasap sisi wengine tupo maghaibuni hulu lakini karibu USA
WhatsApp
Mashallah sheikh Othman Michael jazakallahu khayran
Masha Allah watu nafuraha zao kwa Sheikh zetu vipenzi walimu wetu raha kweli kumbe kilakiti kina drama jamani🤗🤗🤣
Masha Allah sheish wetu big up tunakukubali sote , Allah azidi kukuhifadhi ili uzidi kutuelimisha in shaa Allah . Tunakupenda sote kwa ajili ya Allah where ever you are .
Hongera sana sheikh wangu mpendwa ! Allah aendelee kukujalia kila la kheri! Twakuomba siku moja ututembelee hata siku mbili ao tatu huku marekani ! Twakupenda sana tena sana pia twafatilia kila somo lako InshaAllah!
Hongera Sana sheikh wangu
Ni kama mtume alivyokaribishwa madina. Mashallah. Allah akujaalie umri mrefu sheikh othman 🙏
Aseee ni kweli kabisa
@@zanmedia5225 salamun salamun ala sheikhuna. Nimekumbuka mbali nilipokuwa nikisoma qadiriya 1992
Masha Allah shekhe wetu Allah akulipe kher
Mashaa Allah so touching
MashaAllah Tabarakah Rahman
sheikh kazi nzuri mashaallah
Masha Allah Lahwala walakuwatah illabilah. Alhamdulillah hongera sana sheikh wetu.💕💕💕💕
Jazakhallahu kheiri MashaAllah
Shekh ulikua usinyamaze kuhusu hivo vigelegele vya kina mama hivo haitakiwi saut za wanawake kutoka nje na sehem wapo wanaume ukiangalia🤤
Kwel kabisa naskia hasira nataman nipasue sm
@@aminaluttu649 usikasirike
Watu wa bidaa hao na sheikh wao
@@abdulrahmanngaluma3768 bidaa gani
Mashaa'Allah nimemuona mama leo Allah amzidishie afya njema yarabiy
Amiin amuweke inshaallah
Masha allah wallah nimecheka yn ninavyopendakuongea
Masha'Allah Allah akufanyie wepesi
Bismillah mashaAllah shekh zidisha kupiga dawaa hahahaha na miss kwetu jaman nataman ningekuepo wanaume badiliken na ss wanawake tunataka upendo sio pesa tu namutuweke mazingira ya kidini zaid inshallah
Mashaallah, tuige kama hivi na washindane wenye kushindana katika kheri kwamwendo huu ALLAH anaikwepesha korona alhamdulillah
Mdufu mzuri mashallah
Hahaaa safi sana inapendezaaaa
Subhanallah mtihani wallah
Ma sha Allah tungependa ututembelee nasisi pia huku kenya mombasa kama itaezekana
kabisa aje kenya
Mashaallah sheikh mungu akuzidishie
Swadakta shekhe Osman Michael kwa kufuata nyayo za wajina wako Shekhe Osman Maalim
Mashallah nduguyangu karibu kenya
Mashallahu mashallahu tabaraka llahu hongeren akina mama wenzangu mungu awabarki
Manshaallah tabarak Allah 💞.
Mwenyezi Mungu mtukufu Subhanah wataala atujalie tuwe miongoni mwa wenye kutekeleza amri zake Inshaallah 🙏
Mashaallah kazi ya Allah iyo
Mashaallah ♥️❤️❤️
Maa shaa Allah ....nifura kubwa🥰
Shukran sana sheikh othman
Aww jamani mi kwa upande wangu nilipiga sm nikapokelewa na wasaidiz wa shekh nikaambiwa nikiitaj dua mpk sh 250000,nilishindwa kwakweli kweli naumwa sana zaidi ya sana lkn nimeshindwa gharama naomba mwenye namba ya shekh anayopokea yeye mwenyewe anisaidie niongee nae nione km ataniskiliza,naomben jmn nateseka mwenzenu mpk nasikia kukata tamaaa,mungu anisameheee ,😭😭🤲🙏
je Namba yake ushaipata ili nikutumie?
@@shenjamamzingi7950 bado sijapata nitashukuru ukinitumia
Sheikh Othman Michael-0786055960
Ukokwetu lushpto mashaallh sikumja ufike kule yumbani muburii
Masha allah tabarakallah jazzakallahu kher shekh allah akuhifadhi
Mashallah Allah abaliki mkoa wetu na sote kwa pamoja inshallah 🤲🌹🌹
Alhamdulillah, Allahu Akbar, Jazakallahu khaira Allah akuhifadhi
Maa.shaa Allah kwetu.
Ma Sha Allwah,
Allwahumma Barik Sheikh Othman Michael
Mashaallah barakkallah fikumu all umati Mohammad (s a w) ♥️♥️
Masha_Allah. Jazaaka Allah. Heri mungu akuhifadhi. Sheikh
Mashallah 🙏🙏🙏all the best sheikh ... inshallah 🙏🙏🙏
Mashaallah ufike na tanga mjinii tnakusbirii allahh uku2afikishe
Mashaallah Allah akuzidishieni afya njema mufanikishe vyema
Mashaallah,Mashaallah
MashaAllah sheikh Othman Allah akubariki tuna jifunza sana MashaAllah
Maa shaa Allah had raha Jamani
Masha allah mungu azidi kuwapa nguvu mutuelimishe'
Maashaallah shukraan Sana masheikh wetu Allah awalinde jazaka Allahu khaira
Jamani me kwetu lushoto
Marshallah mashaallah nimekupenda bule shekh
Maasha allah
Maashaallah shekye wetu
Maa shaAllah tabarakallah
Mashaallah Mashaallah allah akutilie wepesi
Jazzaka Allahu Kheir
Jazzakallahu kheir
Mashallah Allah akuzidishie upedo
Mashaallah adi rahaa wallah
Mashallhaaa
Mashallh
Maa shaa Allah Allah akulipe kheriy IN shaa Allah
Asalam alaikum
52710094
MashaAllah,MashaAllah,MashaAllah
Mashallh jazakallha kheri
Allah awahifadhi
Masjaallah Allah akuwezeshe zaid na zaidi
Mashaallah
Maahallah
Allah akupe umri mrefu sheh wetj
Mashallaah
Mashaallah
Maashanlah sheh watu tumefarijika wakaazi walushoto mwenyezi mungu akizidishie kila laheri
Mashaallah ,, Allahuma Amiin
Barakalahu fiiki
Mashaallah 🙏 karibu tanga🙏😘
Shekhe nakuomba kitu kimoja watu wa mikoani hawajui kuswal licha ya kuwa waislam mana wakija madada wa kazi kutoka mikoani ni waislam lkn kuswal hawajui ungejitahid ukatoa elimu hiyo haswahaswa vijijini
Ameen Allahuma Ameen
Masha Allah 💗💗💗
Maa sha ALLAH aleey
Mashallah Allahumma amiin
Masha Allah ❤
Masha Allah 💓
mashaa allah mashaa allah
Mshaallah.