HABARI ZENU WATAZAMAJI WETU UONGOZI WA KIWANGO MEDIA FILMS TUNAOMBA RADHI KWA KUCHELEWESHA KUTOKA EPISODE 21 KUTOKANA NA SABABU ZILIZO NJE KABISA YA UWEZO WETU KUTOKANA NA TATIZO HILI BASI EPISODE YA 21 NA KUENDELEA ZITAKUJIA TAREHE 21 /01/2025 HIVYO TUNAOMBA UVUMILIVU WENU KWETU TUNAWAPENDA SANA NA TUTARUDI KWENYE RATIBA ILE ILE KILA BAADA YA SIKU MOJA TUNAACHIA EPISODE MPYA AHSANTENII 🙏
HABARI ZENU WATAZAMAJI WETU UONGOZI WA KIWANGO MEDIA FILMS TUNAOMBA RADHI KWA KUCHELEWESHA KUTOKA EPISODE 21 KUTOKANA NA SABABU ZILIZO NJE KABISA YA UWEZO WETU KUTOKANA NA TATIZO HILI BASI EPISODE YA 21 NA KUENDELEA ZITAKUJIA TAREHE 21 /01/2025 HIVYO TUNAOMBA UVUMILIVU WENU KWETU TUNAWAPENDA SANA NA TUTARUDI KWENYE RATIBA ILE ILE KILA BAADA YA SIKU MOJA TUNAACHIA EPISODE MPYA AHSANTENII 🙏
Nisawa kaka Ray.
Tressy nakupenda saana. Nafatilia kutoka Oman 🇴🇲
Leo Raymond umenipa raha yani 🎉❤❤❤❤❤
Jmn 😂😂😂 inabidi nifurai to nimeamini kuishia na Mme wa mtu sawa na kukopa mkopo wa benki 🏦😢😢😢 pole sana warda...
Nimwfurahi kuona madam akiwa na furaha Leo nawapenda sena🎉🎉❤❤
Jomon imenoga atar nataman ata isiishe kazi nzur Sana mungu awaongoze jaman
Mmmh maua yenu jaman🎉🎉🎉🎉
❤❤❤😂sawa kaka tunawapenda kiwang media
💛🤝🤝
Poleni sana kwa changamoto mlioipta. Tunakuombeeni kl la heri. MUNGU akufanyieni wepec. Tupo pamoja nanyi.
@@umfahad2609 Shukrani sanaaa!!.. inshalaah
Raymond you have attractive voice, all in all am much interested on yr amazing movie
Asante sana 🤝
Nlijua tu huyu atampenda yaani mapenzi hua ayaigiziwi 😂😂😂😂
Tumepokea na tumewasamehe❤❤
Tressy upo vizuri nakupenda bure🎉❤🎉❤🎉
❤️💋
Aisee Raymond Leo umenifurahisha mno , huo mpango wa kumtoa huyo bonge nyumbani kwako , at least tressy afurahie ndoa yake,
🤝🤝🤝
❤❤❤❤❤❤ kazi nzr sana❤❤❤
@@sayunimnguruta98 💛💛🙏
Jamani umefika mahali patamu sana ila tumewaelewa lakini msichelewe sana bana alafu nawapenda nyote aki ❤❤❤❤
tunakupenda pia haitachelewa 🤝💛
😂😂😂kr kashapenda yaani.kanogewa😂😂😂
😂😂😂😂😂Igizo juu ya Igizo
Mapenz matamu mtu asikuambie wee🤣🤣🤣🤣
Yani, mumejuwa kunifurahisha Raymond 😂
Ok sawa Raymond,hata mimi niko kenya, congratulations.
@@fayojarso3777 🤝🤝🙏
Mnajua sana maua yenu 🎉🎉
@@SaraQueen-tm5dr 🤝🤝🙏
🙏🏻🙏🏻
Achakwanza 😂😂
Pôle Sana kweli tutazidi kuwahombeya
Hakika leo mumeniuwa nimecheka duuh
Good job
@@Nema-f5d 🤝🙏
Tunasubir sana t
Safi sana kazi nzuri🎉🎉🎉
@@HijjatyIddy 🤝🤝🙏
Duhuu warda anapitia magumu
Raymond siwez kuish bila ww😂😂😂😂😂
Asante 🤝🤝 nakuombea kwa Mungu uishi sana
Kazi zuri zana piya inafundisha jamii
@@NeemaEli-wl1dz 🙏🤝
🙏🏻🙏🏻
Matipwa tipwa oyeeeee mapenzi pambeeee
Lakini nyie😅😅😅😅😅
Masha Allah
Kazi nzuri sana
@@Najmahnyangasi 🤝🙏
Tutawamiss kweli
Pole sana warda
Hongel san
Warida sema tu ukweli nae mbn unyanyasike
🎉🎉🎉🎉❤❤
Imenoga sana tupe muendelezo Raymond
Nawaletea sio muda
Mmmh sasa endelea kupokea umekua UPAKO WA MWAMPOSA😅😅😅
😂😂😂
Warda acha kunyanyasika tafuta njia ya kwenda mume anaye kupenda hawez akakuacha ukateseka
Keiyara ndo atanogewa
Asante
Pole sana
Love yu guys🎉🎉🎉🎉🎉fro kenyatta
💛💛
Love you mariam 😍
Poa. 😂😂😂😂😂
Kr beba mzigo uo sio mbaya
KR ndio ashaapenda
Hii ya KR ni otimbi na timbilio 😂😂😂
@@saidmohd2931 😀🔥
😂😂😂😂
Ila Ray eti sasa Endelea Kupokea 😅😅😅 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐀𝐦𝐟𝐚𝐧𝐲𝐢𝐞 𝐰𝐞𝐩𝐞𝐬𝐢 𝐌𝐬𝐚𝐧𝐢 𝐖𝐞𝐭𝐮 𝐀𝐫𝐞𝐣𝐞𝐞 𝐒𝐚𝐥𝐚𝐦𝐚 𝐒𝐚𝐥𝐢𝐦𝐢𝐧𝐢 🤲😢
𝐍𝐚 𝐊𝐚𝐳𝐢 𝐈𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐞..... ✊🕺🕺
@@Mikeys-m9w Inshaalah
Warida unachembe za uchaw sio bure
Warda kapeleka wapi mimba😂
Anashindwa kuigiza kama mjamzito kabisa 😢me ananikera bhana 😏😏
@QweenNickson 😂😂😂😂
Mbona kimya
@@MwanamisiMwajinga Episode 20 ipo hewani
😂😂😂
Jmn. Tuongezeen. Bc
Warda bora ungeli baki kwako kuliko upuzi wako
😂😂😂😂
😂😂😂😂