Mimi mbona yote ayo nimekuwa nikimutimizia ila nimechoka na vituko vyake nimekamuwa kuacha namuomba Mungu wakati ikifika anipe mme bora mwenye hofu ya Mungu
Wambile wasikile tuma wangu nakupenda hatar co kwenye maiki tu mpaka camera mama umetulia mapenz hayarogwi bibi eeee mambo matamu tu ndo yanayomtunza mume na mdomo mzur hhhhh uko juu mama wafunde ao wasojijua
Waliokuja hapa Baada yakufariki wako wapi dah RIP 😭😭😭
What happened to her?
Duuuuuh apumzike Kwa amani
Judith Kerrubo we don’t know
Mm jaman😭😭
@@judithkerrubo she dead
Inna li llah wainna ilaih raajiuun, Mungu akulaze pema peponi inshaallah, Amin
Innalilah wainalilah Rajiun Allah akupe kaulithabit na akusamehe makosa yako Amin
R.I.P Madme Fatma abdallah😢😢😢 mbele yetu nyuma yako
Pole madam mbele yako nyum et
Mungu ailaze roho yamarehem pep on😪😪😪😪😪😦😦
kungwi wang shoga angu mpenzi wangu RIP 😭
Lala salama .. Leo nmekukumbuka
Watapata tabu sanaaa....haihusu....👌👌mapenzi hayalogwi hata siku moja
Umenifurahisha Hy hatar kwel kabisa dad
Kungwi Shikamooooooooo, umetisha sana
Inna lillah wa inna ilayhi rajiun.Allah akupe kauli thabiti kipenzi
Maa ashaa Allah uko vizur dada
Mm niko Abu Dhabi but appreciate it and thanks for update wasafi mko juu mko tofauti sana mungu awalinde na mahasidi ishaallah 🙏🏿
SEIF KHAMIS Abu Dhabi upande gani ata mm niko abu dhabi
"Mwanamke mganga tosha viungo vyake tosha".LO.umenigusa.nasikitika kusikia alifariki.RIP.
Ongeren sana
Mashaallah aunty fatma
Wooooow this is beautiful
Asante mama...nimekupenda
Asante kungwi ujumbe umefika mzimamzima
halooooo mama umesema hilo neno kweli nimekupenda bureeeee😉😘
Anafrahisha sana
Ahsante shoga
mashaalah wajina uko vizuri
Fatuma Hengo
Hapo sawa dada
Mh hivi kuna wachawi wa mapenzi tuwape pole kam bado wapo hongera dada unajitahidi san
Huyu dada ako sawa wengi twaitaji mafunzo kama haya...hongera wasafi tv
Ukweli kabisa jamani!!!I l love this 😍❤
jmn Dada anguu😭😭😭😭😭😭
Mwambie huyoooooooooooo asante ajiulize anakosea wapi kazi ndumba tu ehhhhhhhhh na bado
Ongera dada
Oh my god, she needs to put up more videos
Santa Dada nakubali
Asante sana
Hatareeer tupe mama
Ooookaaaay we call it Swahili am missing some words I thought knew Swahili😁😁😁😁
Unachek nami nacheka hatari
Kabisa my dada, wanawake wanajua kuloga ndio mapenzi
Napenda show zako mana zinaelimisha. Ukija mombasa nijulishe dada nikuchore heena upendeze mtoto 💃🤗😂
😁 😁 Na mimi
Nimekuja hapa bada yakusikia kifo chake...so sad jmn
Mimi mbona yote ayo nimekuwa nikimutimizia ila nimechoka na vituko vyake nimekamuwa kuacha namuomba Mungu wakati ikifika anipe mme bora mwenye hofu ya Mungu
Pole Mydia tuombeane tunapitia mengi Sana Nani yananikuta Yaani mung atusimamie
Pol saana mamy kama umekuwa mke mwema kweke lazima atakutafuta tu
Dada mi kunakitu naitajia kukuuliza
Ahaaa wambie kweli maana mmmmmh kungwi umenikosha
mm naomba namba yako ya sim ili unifuze vizuri zaid
Nimeipenda uko vizur kungwi
Nikweli kabisaaa kungwi ahsantee
Santaaaaaaaaa patamu hapo kungwii.
rip fatuma Abdallah
Duuuuuuu😍😍😍😍😍😍
yaani uyu dada balaa jinsi ulivyo nakujipodowa hatari umependeza sana uislam raha sii raha jamani
R.i.p😭😭😭😭😭😭
R.I.P kungwi
Haha wafunze Mama waambie 🤣🤣😍😍😂
Mama kwa kweli Ahsante saaana mafundo mafunzo mazuri kaaabisaaa
Ubarikiwe dada somo limeeleweka kwa wanaowafunga shemere waume zao 😂😂😂😂
😁😁😁😍😍🔥🔥🔥nakubali
Dahhhhhh R I P dada😭😭😭
Wapeeee
Miss u mamy
Watapata tabu sana hapa mjini
Hongera dada
Mbona ww mwwnyewe umeachika dada 😂😂😂😂😂
pliz mtag hiyo collection nataka amdera
Wambile wasikile tuma wangu nakupenda hatar co kwenye maiki tu mpaka camera mama umetulia mapenz hayarogwi bibi eeee mambo matamu tu ndo yanayomtunza mume na mdomo mzur hhhhh uko juu mama wafunde ao wasojijua
mashall maneno hayooooo
Safi sanaaa
Watajua hawajui😂😂watapata tabu sana hatareeee
Tenaa huyo ndio KUNGWI fatuma 😂😂😂😂😋😋
Innalillah wainaillah rajiun 🙏🙏
Weraaaaaaaa pambeeeeeee shoga
Kweli mane yako💕💗
Ma kungwi hawa huwa maneno mengi ila wakiwa geto wanapoaga sana hasa linapokuja swala la show ujanja huwaga mdomoni tu
Kweli kbs
Sikilizeni maneno ya fatma nyiee fatma ni kibokoooo yaoo
Ndio dawa yao somo awasikii wanatusumbua sn
hawa ndio mahodari wa kwenda kwa babu hakuna lolote chefuuu.
milka Judica umeonaee
limekufik
Awuoro! Mamangu mzazi eeeeeh!😅😅 aki si nimefloat kufloat.
Turudi kwetu aisee 🤣🤣🤣
Sawaaaa
wape hawoo wachawi Dada swadaktar fetty
no comment lini @wasafitv ndani ya Dstv
Motooooo
Wawooooooo mmmmmwaaaaaaaa nimekupenda bure dada
No
Duh nomaaa
Teeeenaaaa.. Weraaaa weraaa
Ha haaaaaa uwiiiiiii mbavu zangu
maneno kuntuuu pupe mama
Asante mama
mbona noma
Wawoooo
Kungwi leo umetema madini matupu wambie hao wanatuburuza sana
R I P madme
Kungwi gani we unachamba ama unafundisha hueleweki point zaid twasikia michambo tu
Basi funza pointless
wengine anajishaua kuongea akati hata chupi zao wanafuliwa NA wachana wakazi
Tunyooshe dada
Kungwi kweli weweeeee
Asante my
Pia mapenzi HUWA yanoga Kama KILA MMOJA Kati ya MUME n'a mke akimfahamu Mwenzio Kwanzaa KABLA YA kumuandaa mwenzie
Innalillah wainna ilayh rajiun
Utaam... Teeeenaaaa. Wambieee....
Heeh hasa huku umefundisha umechambaaa mana si kwakuongea huku
R.l.P 😥
"Ati nikonde nna Mume" 😂😂 Sasa wafunda nini kama huna Mume
ndo ubaya wa Makugwi munafunda yakwenu yanabomoka😂😂.
Kweli dada wako wengine kama hivyo usimavyo
Huyu sijui km si mzanzibar
Sada Khamis lazima hayo matamshi yake ni mzanzibari au kakulia toka mdogo hana maree hata kidogo
Hahahah nakupenda san kwa maneno yako masha allah dada
Mtanga huyo lafudhi inasadifu
@@aishasalim6255 sasa Dada ikiwa mzanzibari ndo iweje sasa
Haha.... Swadakta Da Tuma wanaweke tuwe wasafi
true mumy