Ibn Djaffar Al Katanty : Imetoka wapi Manhaj ya matusi ???

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 19

  • @lasaz4466
    @lasaz4466 3 года назад +3

    ❤❤❤❤❤❤❤❤💯💯💯💯

  • @lasaz4466
    @lasaz4466 3 года назад +3

    احب الآذان الإفريقي. حياكم الله

  • @hassanshaaban-gpp
    @hassanshaaban-gpp 3 года назад +3

    Asante saana.
    Na Allah akubariki

  • @msdherve6181
    @msdherve6181 3 года назад +2

    Jazak'Allahul khayr

  • @farhanimgeni5266
    @farhanimgeni5266 2 года назад +1

    Njo shida yabo mawahabi. Tajfiri kwao ni nyepesi sana. Kisha wanajiita masunni, Mtume alikuwa anakufurishana ao kutukanana ?
    Wabaki na ukosa adabu wabo kule, nasisi tutabaki na Uislamu wetu huku.
    Mungu akujaze kila la kheri sheikh wangu, umri mdogo lakini kichwa kibwa tena kizito, mâsha Allah!

  • @msdherve6181
    @msdherve6181 3 года назад +3

    Utuzungumzie hukmu yaku kata ndevu

  • @jean-claudemuhizi6997
    @jean-claudemuhizi6997 3 года назад +3

    Kiisha hapa uzungumuziye washirikina wenyi kuongoza dini hapo goma

    • @ArrisalatTV
      @ArrisalatTV  3 года назад +2

      Ni lazima kuwafahamu kwanza, na kuwalingania kabla ya kuwazungumzia.
      Kwa hio ikiwa utanisaidia kuwafahamu.

    • @farhanimgeni5266
      @farhanimgeni5266 2 года назад

      @@ArrisalatTV Jibu lenye hekima sana sheikh

  • @hamzahumud3035
    @hamzahumud3035 3 года назад +2

    Allah awa sameh na awaongoze wale wanao jiita salafi.
    Wafungue misikiti zao na wafundishe itiqadi zao bila kuleta mambo ya matusi

  • @njehwamatiri904
    @njehwamatiri904 2 года назад +1

    Uwahhabi ni sumu ya myahudi kwa uislam

  • @FilaAbedi
    @FilaAbedi Год назад +1

    Kazi yabo kutukana na kuitana makafiri saa saa vile bao njo banatianaka mu moto na pepo