Njo shida yabo mawahabi. Tajfiri kwao ni nyepesi sana. Kisha wanajiita masunni, Mtume alikuwa anakufurishana ao kutukanana ? Wabaki na ukosa adabu wabo kule, nasisi tutabaki na Uislamu wetu huku. Mungu akujaze kila la kheri sheikh wangu, umri mdogo lakini kichwa kibwa tena kizito, mâsha Allah!
❤❤❤❤❤❤❤❤💯💯💯💯
احب الآذان الإفريقي. حياكم الله
Asante saana.
Na Allah akubariki
Amin!
Allah atubariki sote sheikh wangu
Amin
Jazak'Allahul khayr
Amin
Amin
Njo shida yabo mawahabi. Tajfiri kwao ni nyepesi sana. Kisha wanajiita masunni, Mtume alikuwa anakufurishana ao kutukanana ?
Wabaki na ukosa adabu wabo kule, nasisi tutabaki na Uislamu wetu huku.
Mungu akujaze kila la kheri sheikh wangu, umri mdogo lakini kichwa kibwa tena kizito, mâsha Allah!
Utuzungumzie hukmu yaku kata ndevu
Insha Allah
Hii pia ni nzuri
Kiisha hapa uzungumuziye washirikina wenyi kuongoza dini hapo goma
Ni lazima kuwafahamu kwanza, na kuwalingania kabla ya kuwazungumzia.
Kwa hio ikiwa utanisaidia kuwafahamu.
@@ArrisalatTV Jibu lenye hekima sana sheikh
Allah awa sameh na awaongoze wale wanao jiita salafi.
Wafungue misikiti zao na wafundishe itiqadi zao bila kuleta mambo ya matusi
Amin
Uwahhabi ni sumu ya myahudi kwa uislam
Kazi yabo kutukana na kuitana makafiri saa saa vile bao njo banatianaka mu moto na pepo