BREAKING NEWS! Gavana Mung'aro kujipata kwenye utata! WALIPIWAO KARO WENGI FAMILIA ZINAZOJIWEZA!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 окт 2024
  • BREAKING NEWS: Gavana Gideon Mung'aro kujipata matatani!!
    HAKUNA UTARATIBU MAALUMU, WANAFUNZI WENGI WANAOLIPIWA KARO WATOKA FAMILIA ZINAZOJIWEZA!!
    WASTE OF TAXI PAYER'S MONEY kwa lugha ya Kimombo.
    Gavana Gideon Mung'aro wa kaunti ya Kilifi kukashifiwa na Mwakilishi wa wanawake kaunti ya Kilifi Mheshimiwa Gertrude Mbeyu Kwa kujipa majukumu ambayo sio yake kikatiba!
    Hii inahusiana na karo za shule za wanafunzi ambazo zinatumika vibaya.
    Hakuna utaratibu maalumu, wengi wanaolipiwa karo wanatoka familia zinazojiweza.
    Fedha ambazo zingetumika kuwekwa kwa bajeti kikatiba kuboresha hali ya afya na matibabu ambayo imezorota kaunti ya Kilifi! iongozwayo na Gavana Mung'aro.
    Niki nukuu "Majukumu ya Karo za wanafunzi wa shule ni jukumu la wabunge na " National Government" kwa kimombo.
    Mheshimiwa Mbeyu aliendelea kukashifu ya kwamba Gavana anampango wakuongeza pesa hizo kutoka elfu million mia tano mpaka billioni moja ambazo zingetumika kuboresha matibabu na afya kaunti ya Kilifi.

Комментарии •