Yanga huu ujinga umeletwa kuwatoa kwenye line. Uzuri timu iko AVIC. Waandishi wa habari wapenzi wa mchumba wetu wanaongea sana wewe wacha wajikoroge safari hii
Shida ya kutoenda shule,mzee magoma atacheza ngoma😂😂😂hata maelezo yake hayana mshiko! Naanza kujiuliza huyu hakimu ni nani ? TUTAWAPIGA NJE YA UWANJA NA NDANI YA UWANJA fro CAMBRIDGE mji wa wasomi UK
Hivi huyo hakimu kwanza alipass vizuri masomo ya sheria? Anapokeaje hoja ya kuilalamika klabu na watu ambao wenyewe wanakiribkuwa si wanachama zaidi ya miaka 4 sasa
Hakimu nae mpambavu na nimshenzi ivi anatujuwa vizuri wana yanga au anatusikia tu, huyo mzee ni mbwa tena mpambavu kabisa nja nja zake asije leta mtafaruku, huyo hakimu nae ni mpambavu ssna
Mimi mwanayanga Iła huyo mzee yupo sahihi kabisa anachosema yeye!! Maana raisi anakuwaje anafanya kila kitu yeye mwenyewe kama sio utapeli wanataka kufanya wanayanga tuweni makin sana na yanga mzee yupo sahihi uwakika
MAGOMA IZI ZE NIU YANGA PREZIDAA
huyo ndiye JUMA MAGOMA Bwana!
Kayakanyaga😂😂😂😂😂
Watu wanachukulia poa lakini hii kitu iko vibaya sana kwa yangaa
Hakuna lolote hapo na ubaya utawarudia hao wajinga na makolo wanaowatuma
Kumbe wazonlangu pale yanga lipo ukiwa na umri wa miaka 70 hustahili kugombea uongozi
Sasa kwani kma umewashitaki wazamini kwann usiwapelekee hiyo nakala unakaa nayo ili iweje
Yanga huu ujinga umeletwa kuwatoa kwenye line. Uzuri timu iko AVIC. Waandishi wa habari wapenzi wa mchumba wetu wanaongea sana wewe wacha wajikoroge safari hii
Magoma hupewi uongozi katu na wala pesa hatukupi
Shida ya kutoenda shule,mzee magoma atacheza ngoma😂😂😂hata maelezo yake hayana mshiko! Naanza kujiuliza huyu hakimu ni nani ? TUTAWAPIGA NJE YA UWANJA NA NDANI YA UWANJA fro CAMBRIDGE mji wa wasomi UK
Magoma oweeee
Magoma safiiiiiii
😂😂😂😂😂😂
Waandishi nanyi uwezo wenu ni mdogo sana ktk kuuliza maswali ya msingi ---- yako maswali ya msingi ambayo mlipaswa kumuuliza.
Hivi huyo hakimu kwanza alipass vizuri masomo ya sheria? Anapokeaje hoja ya kuilalamika klabu na watu ambao wenyewe wanakiribkuwa si wanachama zaidi ya miaka 4 sasa
ACHENI USHABIKII ...MAHAKAMA HAIJIBIWI KWA PRESS NENDENI MAHAKAMANI
Msomali hataki kukaa na kuongea na Mwamba Magoma ndio maana Issue ikapelekwa mahakamani. Kitu gani hamwelewi nyinyi wachakondoo?
Msomali babaako
Hakimu naye ana shida kwann alisikiliza upande mmoja ,hadi kufoji huyu mzee shetani kabisa
Magoma iyo njaa
Hakimu nae mpambavu na nimshenzi ivi anatujuwa vizuri wana yanga au anatusikia tu, huyo mzee ni mbwa tena mpambavu kabisa nja nja zake asije leta mtafaruku, huyo hakimu nae ni mpambavu ssna
Huyo mzee mbwa koko tu na ni mjinga asiyejitambua, acha aendelee kutumwa atajua hajui
Magoma,nakushauri utoe wasio mapema kwa wanao
Mimi mwanayanga Iła huyo mzee yupo sahihi kabisa anachosema yeye!! Maana raisi anakuwaje anafanya kila kitu yeye mwenyewe kama sio utapeli wanataka kufanya wanayanga tuweni makin sana na yanga mzee yupo sahihi uwakika
We mwenyewe akili huna na hujitambui, wanachama wote mtawapeleka ukumbi gani waenee? Vitu vidogo hata kufikiri hamuwezi shenzi
Kanuya maana ake .... Unaijua ?? 😂😂😂 , kolo ubwela 🤣
Ni atar xan
Elfu2 na ishirini na 10
Haikuhusu
Ndo kwanza uisikie Leo ?? 😂😂😂😂
@@user-hy2qw6gi3e nn
Hyo katumwa mjinga ,tutamtafta tumunyoshe anatka kutuhalibia timu yetu
Mahakama si wametoa hukumu
Kwani mahakama haipingwi? Kakwambia nani? Mahakama iko kutafsiri sheria! Wakiitafsiri sheria vibaya,wanaoungwa!
Aibu kwa mahakama, haiwezekan taasis kubwa Kama yanga ishtakiwa kimyakimya hamna hata coverage ya vyombo vya habar....
Hapa TAKUKURU wahusike