FM ACADEMIA | HESHIMA KWA WANAWAKE | Official Version Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2024
  • Buy it from iTunes: itunes.apple.c...
    Listen and Share Gospel Song "HESHIMA KWA WANAWAKE" by FM Academia. SUBSCRIBE Injili For Best African Gospel Songs | bit.ly/InjiliAf...
    #LISTEN | #LOVE | #SHARE
    Enjoy & stay connected with us!!
    Visit InjiliAfrica channel for more Gospel Songs: / injiliafrica
    Like us on Facebook: / injiliafrica
    Follow us on Twitter: / injiliafrica
    Stream music free at our official Website: www.mziiki.com
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 49

  • @focusbusili2984
    @focusbusili2984 5 лет назад +18

    kama unaikubali kama mimi kama hiyo timu ya Taifa gonga like zakutosha

  • @monametsirobsonmononyane
    @monametsirobsonmononyane 10 месяцев назад +3

    The rapper is like Bill Kalonji👑

  • @AndrewGingiMtampi-mj6oq
    @AndrewGingiMtampi-mj6oq Год назад +3

    Tunaimba mrudishe kundi hili lilikuwa tishioo balaaa sana mnajua sana president nyoshi much respect tunasubiria kitu kutoka kwa lengos vip

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 2 года назад +5

    Mlioniboa kuibomoa hii Mungu anawaona!! Wenzio wimbo wetu wa Taifa huu utatupa kuringa na kujiamini balaa!!

  • @salmaothuman9762
    @salmaothuman9762 5 лет назад +5

    Daah rudisheni hii team tena ilikuwa 🔥🔥🔥😍

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Год назад +3

    Nakushukuru Kwa kututetea wanawake mana ukioneka bar tu balaa Tena wahudu ndio wajinga kabisa wakimuona mwanamke hata kuja kumsikiliza pia hawaji , hajui UNAWEZA kumlipa hata yy mshahara wa mwaka mzima ,kumbe umeenda kutumia tu ha! Wanawake tunaweza

  • @stellamasero2580
    @stellamasero2580 5 лет назад +6

    Bado FM academia fans tuko

  • @emanuelgwaliki8126
    @emanuelgwaliki8126 5 лет назад +2

    Matatizo ya dunia siyawezi kamwe! Nimewaelewa sana

  • @mossesjonathan5766
    @mossesjonathan5766 5 лет назад +10

    I always respect this that's why i call it wimbo wa taifa naupenda sana huu wimbo jamaa walitisha sana aisee big up

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад +11

    Nawapenda sana FM Academia

  • @eugenjohn9436
    @eugenjohn9436 6 лет назад +7

    Mziki huu naukubali sana,,nikitaka kujifariji huwa nawaskiliza wataalam hawa.

    • @immatheboy7994
      @immatheboy7994 Год назад

      mimi nikiwa safarin ndo ngoma zangu za safar hzo

  • @giftnassar3297
    @giftnassar3297 5 лет назад +1

    King braise

  • @dicksonwanyama1689
    @dicksonwanyama1689 2 года назад +3

    Much respect the dream team 👊💪 2022 🇹🇿🔰💚

  • @eliakimmelkizedeck2059
    @eliakimmelkizedeck2059 2 месяца назад

    Grand respect Equipe Ngwasuma

  • @allymophat9619
    @allymophat9619 6 лет назад +5

    wazee wagwasuma mnatishaaa BG up sanaa

  • @JohnsonBonphace
    @JohnsonBonphace Год назад

    Jezi ya yanga

  • @ibrahimmakasi4690
    @ibrahimmakasi4690 5 лет назад +4

    naikubaliii sana hii ngomaa

  • @janethmarley7475
    @janethmarley7475 5 лет назад +4

    2019❣️

  • @seifkabdallah7924
    @seifkabdallah7924 5 лет назад +1

    itabaki juu hii nyimbo

  • @paulinachipeta3641
    @paulinachipeta3641 2 года назад +1

    Mambo ya bendi ayo 🔥🔥🔥

  • @ngederemkatamkaachuwakineg5239
    @ngederemkatamkaachuwakineg5239 5 лет назад +1

    Bado awajapata wapinzani

  • @elliudisimkoko5484
    @elliudisimkoko5484 Год назад

    Nawana kubali

  • @leticiashaban4437
    @leticiashaban4437 5 лет назад +1

    Salute

  • @kakozikbonga569
    @kakozikbonga569 Год назад +1

    Nahipenda sana kweli kam alivyosema el shader unapiga km Christian bella

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 6 лет назад +2

    Hatari sana wazee wangwasuma 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @CatherineMwakibinga-gi1kp
    @CatherineMwakibinga-gi1kp 3 месяца назад

    ❤❤

  • @Ernestmnwag
    @Ernestmnwag 2 месяца назад

    Utengwe mda mkubwa wayimba hizi

  • @JuniorMwakajila
    @JuniorMwakajila 5 месяцев назад

    Lozimhando

  • @samwelsaguda9251
    @samwelsaguda9251 8 лет назад +5

    pamoja sana wazee wa ngwasuma. big up kwenu

  • @Edomasawe-er5mw
    @Edomasawe-er5mw Месяц назад

    Jose😢😢😢😢😢

  • @edithnguruwe9421
    @edithnguruwe9421 8 лет назад +5

    Mnatisha Aiseee

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 Год назад

    💪💪💪💪

  • @mosesfriday606
    @mosesfriday606 5 лет назад +1

    kitamboooo

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +1

    Pacho kumbe ana imba

    • @danielcharles8249
      @danielcharles8249 Год назад

      Eeh pacho amekuja hapa nchini akiwa muimbaji kabla ya kujua kama anakipaji pia cha uigizaji

  • @elliudisimkoko5484
    @elliudisimkoko5484 Год назад

    Hapo 33

  • @janethatanass4574
    @janethatanass4574 6 лет назад +2

    pmj san

  • @silakeleti1245
    @silakeleti1245 5 лет назад

    Nkmmmnimmkmmmu. ..
    ... moo kt ink knoll

  • @lilyg2134
    @lilyg2134 6 месяцев назад

    Hebu badilisha hilo jina la channel na utoe hyo pcha ya msalaba!!! Usituaibishe pls! Content unazo post na hilo jina haviendani!!! Nonsense

    • @danstanpanga8490
      @danstanpanga8490 12 дней назад

      Hapo ndo penyewe na wimbo una ujumbe muhimu tusiwahukumu watu wanaoelimisha jamii bora hata kumtaja Mungu huku kuliko ukiwa Kanisani unawaza yale mabaya

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 11 дней назад

      @@danstanpanga8490 we koma.. how is this a gospel song, akili zako ziko sawa? wanaelimisha jamii kwa hvyo vitovu nje au nn...usimchanganye Mungu na huu ushetani

    • @danstanpanga8490
      @danstanpanga8490 11 дней назад

      @@lilyg2134 Hahahahaaaaaaaa wapi weeee Mungu ndo anajua tulivyo ndani mwetu

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 11 дней назад

      @@danstanpanga8490 we bwata tu ndo utajua kwanini Musa aliambiwa na Mungu awaambie waisrael wafue nguo zao wawe safi kabla ya kwemnda mlimani pake,,,au ndo utajua kwanini tunaenda madhabahuni na nguo za adabu...kma huko kanisani kwenu watu wanamuabudu Mungu uchi eti sababu Mungu anaangalia moyo basi sio Mungu wetu Yahweh na uache kujumuisha mambo