FM ACADEMIA | HESHIMA KWA WANAWAKE | Official Version Video
HTML-код
- Опубликовано: 19 окт 2024
- Buy it from iTunes: itunes.apple.c...
Listen and Share Gospel Song "HESHIMA KWA WANAWAKE" by FM Academia. SUBSCRIBE Injili For Best African Gospel Songs | bit.ly/InjiliAf...
#LISTEN | #LOVE | #SHARE
Enjoy & stay connected with us!!
Visit InjiliAfrica channel for more Gospel Songs: / injiliafrica
Like us on Facebook: / injiliafrica
Follow us on Twitter: / injiliafrica
Stream music free at our official Website: www.mziiki.com - Видеоклипы
kama unaikubali kama mimi kama hiyo timu ya Taifa gonga like zakutosha
The rapper is like Bill Kalonji👑
Tunaimba mrudishe kundi hili lilikuwa tishioo balaaa sana mnajua sana president nyoshi much respect tunasubiria kitu kutoka kwa lengos vip
Mlioniboa kuibomoa hii Mungu anawaona!! Wenzio wimbo wetu wa Taifa huu utatupa kuringa na kujiamini balaa!!
Daah rudisheni hii team tena ilikuwa 🔥🔥🔥😍
Nakushukuru Kwa kututetea wanawake mana ukioneka bar tu balaa Tena wahudu ndio wajinga kabisa wakimuona mwanamke hata kuja kumsikiliza pia hawaji , hajui UNAWEZA kumlipa hata yy mshahara wa mwaka mzima ,kumbe umeenda kutumia tu ha! Wanawake tunaweza
Bado FM academia fans tuko
Matatizo ya dunia siyawezi kamwe! Nimewaelewa sana
Wazee ngwasuma
I always respect this that's why i call it wimbo wa taifa naupenda sana huu wimbo jamaa walitisha sana aisee big up
Reo ninawakumbusheni mbali sana eti
Nawapenda sana FM Academia
Mziki huu naukubali sana,,nikitaka kujifariji huwa nawaskiliza wataalam hawa.
mimi nikiwa safarin ndo ngoma zangu za safar hzo
King braise
Much respect the dream team 👊💪 2022 🇹🇿🔰💚
Grand respect Equipe Ngwasuma
wazee wagwasuma mnatishaaa BG up sanaa
Jezi ya yanga
naikubaliii sana hii ngomaa
2019❣️
itabaki juu hii nyimbo
Mambo ya bendi ayo 🔥🔥🔥
Bado awajapata wapinzani
Nawana kubali
Salute
Nahipenda sana kweli kam alivyosema el shader unapiga km Christian bella
Hatari sana wazee wangwasuma 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤
Utengwe mda mkubwa wayimba hizi
Lozimhando
pamoja sana wazee wa ngwasuma. big up kwenu
Samwel Saguda balaaaah!
Jose😢😢😢😢😢
Mnatisha Aiseee
Diamond amonaiz
💪💪💪💪
kitamboooo
Pacho kumbe ana imba
Eeh pacho amekuja hapa nchini akiwa muimbaji kabla ya kujua kama anakipaji pia cha uigizaji
Hapo 33
pmj san
Nkmmmnimmkmmmu. ..
... moo kt ink knoll
Hebu badilisha hilo jina la channel na utoe hyo pcha ya msalaba!!! Usituaibishe pls! Content unazo post na hilo jina haviendani!!! Nonsense
Hapo ndo penyewe na wimbo una ujumbe muhimu tusiwahukumu watu wanaoelimisha jamii bora hata kumtaja Mungu huku kuliko ukiwa Kanisani unawaza yale mabaya
@@danstanpanga8490 we koma.. how is this a gospel song, akili zako ziko sawa? wanaelimisha jamii kwa hvyo vitovu nje au nn...usimchanganye Mungu na huu ushetani
@@lilyg2134 Hahahahaaaaaaaa wapi weeee Mungu ndo anajua tulivyo ndani mwetu
@@danstanpanga8490 we bwata tu ndo utajua kwanini Musa aliambiwa na Mungu awaambie waisrael wafue nguo zao wawe safi kabla ya kwemnda mlimani pake,,,au ndo utajua kwanini tunaenda madhabahuni na nguo za adabu...kma huko kanisani kwenu watu wanamuabudu Mungu uchi eti sababu Mungu anaangalia moyo basi sio Mungu wetu Yahweh na uache kujumuisha mambo