#PUNGWA
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Kwa Habari zaidi za Burudani /Michezo / Siasa / KiJamii na Utamaduni Usisite Kutembelea MSHINDO tv ONLINE -
Wasiliana Nasi Kupitia
Email: Mshindomedia@gmail.com
Contact Us : +255 718 109 106
What’sApp ONLY: +255 734 171 491
-------------------------------------------------------------------------------
Follow Mshindo tv Online
Instagram / mshindotv
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / mshindotv
---------------------------------------------------------------------------------
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2023 Mshindo media . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#Mshindotv #MshindoZanzibar #mshindoOnline
Bunge bungeni Tanzania Uchumi wa buluu zanzibar
Mwenye ufahamu hawezi kucheza hizo ngoma ni dhambi
Asie jijua ni sawa na usiku wa kiza mm nazipenda Sana kwani ndio asili yangu
Nakupenda Sana hii ngoma
Njoo tukatizame nakualika
Mdodo pungwa
Innalillahi tumche allah hii ni shirki na nidhambi ya kwanza kwa ukubwa pumzi za dakika chache zisikufanye ukampotezey uyo mtoaji watu wengi wakiwa na nguvu hujion eee kweli vidume aw wanawake lkn apate mtihan wa kuumwa na ukucha tu utamuon hana ujanadume tena ndugu zangu ktk imaan wakati unaishi elewa tu ipo siku utakufa hivyo maswala ya kumuasi allah yaache haraka siku ya qiama ipo na ni siku ngumu sana ambayo mwanadamu atataman aresjeshwe duniani japo kwa dk mbili t lkn itashindikana tujitathmini kabla hatujafa kifo kipo na adhabu py zipo
Hawa jamaa walitusumbua sana miaka ya 90 wakati wa kwenda na kurudi shule huko Bumbwini never forget them ilisemekana eti wakikushika wanakunyonya damu
aaa sijawahi kuona hatari km hii cheki yule dada kapiga mbioo nilikuwa n sikia tu hichikitu kumbe ndoilivo hivii
Hii si ngoma ya zbc tv na redio
Ukistaajqbu ya mussa utaona ya firauna du , hongereni ila iii ngoma ucheze yakiwa maji yapo kama hayapo sijui unalalaje 😅
Hawa wanafanya usanii tu kwani haiwezekani watu wengi kama hao wakifanya matendo kwa pamoja isipokuwa wamepanga.
zambi kubwa isitoshe alooo kunakitu hata km niasili ila hichikitu hatari San ivoo wanavorukiana hii aaaa hatari 😂😂😂
Mukitoka hapo usiku mukajigeuze mapaka wanga nyie na siku hizi mabarubaru wengi wanga mana huko huwa wanakobeana Tu uchi.hao wanaocheza wote ndio
Zambi anazo mama yako tatizo hujui Kama wewe no mtoto wA haramu
Innalillahi tumche allah hii ni shirki na nidhambi ya kwanza kwa ukubwa pumzi za dakika chache zisikufanye ukampotezey uyo mtoaji watu wengi wakiwa na nguvu hujion eee kweli vidume aw wanawake lkn apate mtihan wa kuumwa na ukucha tu utamuon hana ujanadume tena ndugu zangu ktk imaan wakati unaishi elewa tu ipo siku utakufa hivyo maswala ya kumuasi allah yaache haraka siku ya qiama ipo na ni siku ngumu sana ambayo mwanadamu atataman aresjeshwe duniani japo kwa dk mbili t lkn itashindikana tujitathmini kabla hatujafa kifo kipo na adhabu py zipo