Hakika, msimamo wa nyembo, umejaza uaminifu kwa mke wake, na pia msimamo wa Siwa, pia ukajenga uaminifu kwa ndindi, kwamba wanaweza kuwa na mapenzi zaidi na furaha, wakiwa pamoja, pia pongezi na Ushujaa uwende kwa Ndindi kwa kuweka amani kwa Siwa kipindi chote hicho mpaka,kuamua awe mke mwenziwe bila khiyana, aisee kuna somo kubwa hapa, safi sana.
Daah ina fundisha sana Nakupenda sana mke wangu kipenzi Stephania Sitta uliyo ni fanyia ndo nayaona hapa kwenye hii Filamu Mungu akupe maisha marefu kokote hulipo
Wow just wow for that film kiukwel imeugusa moyo wangu niliadithiwa kwa Mara ya kwanza Mimi Ni shabiki wa mkojani Sana nimefatilia filamu nyingi Sana za mkojani Ila hii kiboko aseee big up Sana broh @mkojanibindaruesh
it's best movies too see in my life one love kummbe ww ukali umeanza mbali et mapak saiv umekuwa mkojan bad mkali 2 long life broo mkojan mm nakutakia kz njem bila y kuyumb broo wow leo nime injy san kuona hii move love the Way you do move broo i wish to see more nice movie like this let me say thank and have good work
Baada ya kusoma comment, acha niimalizie kuiangalia hii move, ipo guda sanaaaa. Kama na wew unaangalia huku unasima comment gonga like hapa💪💪💪
Hakika, msimamo wa nyembo, umejaza uaminifu kwa mke wake, na pia msimamo wa Siwa, pia ukajenga uaminifu kwa ndindi, kwamba wanaweza kuwa na mapenzi zaidi na furaha, wakiwa pamoja, pia pongezi na Ushujaa uwende kwa Ndindi kwa kuweka amani kwa Siwa kipindi chote hicho mpaka,kuamua awe mke mwenziwe bila khiyana, aisee kuna somo kubwa hapa, safi sana.
Mimi nimeikubali sana
Nimewapenda wote mlioshiriki move hii mpo vizuri sanaaaaa mnaweza mungu awasaidie
Gonga like kama unawakubali hawa jamaa coment kama unapenda move zao mwaka2020 tuliofika tupo tuseme asante baba mungu
Daah ina fundisha sana Nakupenda sana mke wangu kipenzi Stephania Sitta uliyo ni fanyia ndo nayaona hapa kwenye hii Filamu Mungu akupe maisha marefu kokote hulipo
Nihatal
Hakika story Nzuri sana na inamafundish mazuri mungu awabariki sana
Mashaallah huyu mke mkubwa chunu penda miye🥰🥰
Wow just wow for that film kiukwel imeugusa moyo wangu niliadithiwa kwa Mara ya kwanza Mimi Ni shabiki wa mkojani Sana nimefatilia filamu nyingi Sana za mkojani Ila hii kiboko aseee big up Sana broh @mkojanibindaruesh
Duuh Hii Video Imenikosa Sana Aaaiisee Duuh Huyu Mke Nyembo Nimempenda Kuliko Hata Siwa Jamani 💯💯💪💪
Filamu nzuri sana.........nikiwa qatar nimeitizama na nimeipenda
Wooooow...... that girl won my heart oh my!!!!!!!😭😭😭😭
yaani hadi machozi ya furaha yamenitoka ni wanawake wachache wenye moyo kama wa huyu dada wa kukubali uke wenza. nimeipenda kwa kweli.
Hasubutu uke wenza hata sku moja uyo hajazaliwa asaa mwanamke uyo
Mapenzi bwana
Move nzur sanaa ina elimisha hadi raha mtu una taka kulia😓😓😢😢kwa ujumbe mzur hongereni sanaa 🙏mungu awa bariki
nimeipenda sana ina sifa zote sa fasihi(keep it up)
Ssfi sana kwakweli watu wame igiza kwa usirias kabisa ,nimeikubali kwakweli maana inakilakitu vuchekesho ,mafunzo na mabo mengine mengineyo.
Jamani hii film imeniza😂😂weee
Kabsa mumeniliza🇧🇮🇧🇮
Da kipupwe na mau wapu gudi sana
Yani huyo jamaa Yupo makini sana Yani namfananisha na majuto anaongea kwaida ila lazim utacheka anajitahid sana nyembo
daaa! huyo ndindi ni mzur sio siri hakuna mwenye namb zake jaman ni shidaa
Mashaallah, kazi nzuri sana
ni kwenye movie tu yanawezekana
😂😂😂😂
picha ni mzuri sana .na nimeikubali .unatisha baba .
Movie nzuri Sana,
Nime I watch nikiwa south Africa, naomba munitumiye link ya wimbo uliopo ndani, ao title ya wimbo.
Hakika hii muvi n nzul sana mana niwanawake wachache wenye moyo kama huo
Asee usiombe nkukute unamuita mwanangu mchumba ,tutabadilishana majengo ya serikali
Mke wa pili anaweza kuigiza haya tunashkuru kwa kipindi mathna si vita
Muvi kali sana hi napendaga sana yan
Filamu iko vizuri nimeielewa
Bonge moja la movie
Duh huy ndind mzur sana asee
Eti sjawh kuwaza kma uzuri utaniponza na uhandsomboy hahahahhahaha kipupwe weeh
Muvi nzuri hijawahi kutokea tz
Njuri sana❤❤❤❤🎉
Kaliiiiiiiiii kinyamaaa yani daaah
🤣🤣🤣🤣 Eti mbegu kwa kingereza ni tundaman 🤣🤣🤣😂✌️ mau na kubali
Mashaa Allah. Mke.mkumbwa
Sinema ya akili sana iyi ni kali
🔥🔥🔥🔥💖
kaz nzur!!!,,ina elimisha nakupendaaa siwa zurii
sema nimependa sana wanawake wote wangekua kama ndnd ingekua good
😭😭😭 nimeshindwa kujizuia
Bi mkubwa ana moyo adi nimempenda bure dada naombeni no zake jmn nimsalmie
Huyo sio kidume kachangiwa mawazo na mkewe ila kwa mnaosubiri wake zenu wawafanyie hayo mtazeeka mbona
Ila siwa king'ang'anizi loh
Waah kali
Good nyembo na siwa
Kuna somoo kubwa mnoo la kujifundisha humuu amani
Mau fundi kweli ni fundi
Duh yani nyembo na zsiwa kwli////
Kali sana
it's best movies too see in my life one love kummbe ww ukali umeanza mbali et mapak saiv umekuwa mkojan bad mkali 2 long life broo mkojan mm nakutakia kz njem bila y kuyumb broo wow leo nime injy san kuona hii move love the Way you do move broo i wish to see more nice movie like this let me say thank and have good work
Aise kipupwe we nouma japo Kila mmoja kacheza vyema kwa nafasi yake mko saaafi saanaa tunasubiri mengine mazuri
Nzur sana
Eti cheza mabawa..ahahahahaha..😁😁😂😂 we hatar
Siwa:kaka?
Mau:kaka yuko Brazil😂
Iko poa
Mzuieni ntamuumiza😂 mau fundi
Iko poa sana
Mko vzr xan et mchumbaaa
Nimewakatia umeme
Kweli wake wawili ni raha
Nice muvi
Moov nzur sana
Kali xnaaaaaaaaa kuliko zote
duuuu kari xanaa
Manustudio Photography, Nikiwa Kenya Busia County. Nimependa sana Filamu hii heko ndugu Mohamed.
Manustudio Photography. Un bola ange nipenda mimi ninge changanya wote wa wili maana ni diniyetu ina vyo sema cio zambi
Mbona kizungumkuti Tena Kaka yuko blaziri
Ipo poa
Ebanae Ndind mzur...💝
Siwa umekomaa hadi lengo lako limetimia dah nimekukubali
Mke wa nyembo ni mwanamke wa kipekee
Ndindi mzuri weyeee
,,,,,,,,sio kwa huo wimbo
Kaimba nani huo wimbo
kali sana 😍😍
Waah huyu dada naye🤣🤣
🔥🔥🔥💖
Iko poa sn hyo
Kaka yupo brazl
Muvi mzr sana
nic move
Mianya family 😂😂😂😂😂
kaliii sana nahisi ningekua mimm
Mambo
namkubali siwa
Eti Israel ypo weekend daaa wajinga Sana nyinyi dio
😂😂😂uwiii kaka yuko blazili 😂😂
muvi tam aiseee
IPO vzr sana
Mapenzi jaman bhc tu
😂😂😂😂😂😂😂
Hakika story Nzuri sana na inamafundish mazuri mungu awabariki sana
Nzur Sana
hakika picha tamu sana
Muvi mzr sana
Good