Mchumba Part 2 - Kipupwe, Mau Fundi, Jenipha Temu, Lulambala (Official Bongo Movie)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 103

  • @kanjutv9721
    @kanjutv9721 5 лет назад +8

    Baada ya kusoma comment, acha niimalizie kuiangalia hii move, ipo guda sanaaaa. Kama na wew unaangalia huku unasima comment gonga like hapa💪💪💪

  • @ismailmuhammadi44
    @ismailmuhammadi44 5 лет назад +8

    Hakika, msimamo wa nyembo, umejaza uaminifu kwa mke wake, na pia msimamo wa Siwa, pia ukajenga uaminifu kwa ndindi, kwamba wanaweza kuwa na mapenzi zaidi na furaha, wakiwa pamoja, pia pongezi na Ushujaa uwende kwa Ndindi kwa kuweka amani kwa Siwa kipindi chote hicho mpaka,kuamua awe mke mwenziwe bila khiyana, aisee kuna somo kubwa hapa, safi sana.

  • @mwanahawaninga8103
    @mwanahawaninga8103 4 года назад +4

    Nimewapenda wote mlioshiriki move hii mpo vizuri sanaaaaa mnaweza mungu awasaidie

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv1067 4 года назад +5

    Gonga like kama unawakubali hawa jamaa coment kama unapenda move zao mwaka2020 tuliofika tupo tuseme asante baba mungu

  • @allywaziri9838
    @allywaziri9838 5 лет назад +6

    Daah ina fundisha sana Nakupenda sana mke wangu kipenzi Stephania Sitta uliyo ni fanyia ndo nayaona hapa kwenye hii Filamu Mungu akupe maisha marefu kokote hulipo

  • @nurusaidi3481
    @nurusaidi3481 2 года назад +1

    Hakika story Nzuri sana na inamafundish mazuri mungu awabariki sana

  • @sabraabdilnasir8826
    @sabraabdilnasir8826 4 года назад +4

    Mashaallah huyu mke mkubwa chunu penda miye🥰🥰

  • @uridarashidi9601
    @uridarashidi9601 2 года назад +1

    Wow just wow for that film kiukwel imeugusa moyo wangu niliadithiwa kwa Mara ya kwanza Mimi Ni shabiki wa mkojani Sana nimefatilia filamu nyingi Sana za mkojani Ila hii kiboko aseee big up Sana broh @mkojanibindaruesh

  • @IYANIZZO
    @IYANIZZO 5 лет назад +4

    Duuh Hii Video Imenikosa Sana Aaaiisee Duuh Huyu Mke Nyembo Nimempenda Kuliko Hata Siwa Jamani 💯💯💪💪

  • @bladechiko3512
    @bladechiko3512 4 года назад +1

    Filamu nzuri sana.........nikiwa qatar nimeitizama na nimeipenda

  • @Ibrahim-qw4qr
    @Ibrahim-qw4qr 5 лет назад +9

    Wooooow...... that girl won my heart oh my!!!!!!!😭😭😭😭

  • @tmajnia6231
    @tmajnia6231 6 лет назад +13

    yaani hadi machozi ya furaha yamenitoka ni wanawake wachache wenye moyo kama wa huyu dada wa kukubali uke wenza. nimeipenda kwa kweli.

  • @Dougie_machine004
    @Dougie_machine004 5 лет назад +2

    Move nzur sanaa ina elimisha hadi raha mtu una taka kulia😓😓😢😢kwa ujumbe mzur hongereni sanaa 🙏mungu awa bariki

  • @omarybora1018
    @omarybora1018 6 лет назад +7

    nimeipenda sana ina sifa zote sa fasihi(keep it up)

  • @imraannyoni8245
    @imraannyoni8245 4 года назад +3

    Ssfi sana kwakweli watu wame igiza kwa usirias kabisa ,nimeikubali kwakweli maana inakilakitu vuchekesho ,mafunzo na mabo mengine mengineyo.

  • @goodboy7782
    @goodboy7782 5 лет назад +3

    Jamani hii film imeniza😂😂weee
    Kabsa mumeniliza🇧🇮🇧🇮

  • @saleheshabani4201
    @saleheshabani4201 5 лет назад +6

    Da kipupwe na mau wapu gudi sana

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv1067 5 лет назад +14

    Yani huyo jamaa Yupo makini sana Yani namfananisha na majuto anaongea kwaida ila lazim utacheka anajitahid sana nyembo

  • @mtanojuma3809
    @mtanojuma3809 5 лет назад +3

    daaa! huyo ndindi ni mzur sio siri hakuna mwenye namb zake jaman ni shidaa

  • @mesalimumwabidia5607
    @mesalimumwabidia5607 4 года назад +2

    Mashaallah, kazi nzuri sana

  • @simonkagundo6366
    @simonkagundo6366 5 лет назад +6

    ni kwenye movie tu yanawezekana

  • @kirohosafi3280
    @kirohosafi3280 4 года назад +1

    picha ni mzuri sana .na nimeikubali .unatisha baba .

  • @sangeboys5936
    @sangeboys5936 Год назад

    Movie nzuri Sana,
    Nime I watch nikiwa south Africa, naomba munitumiye link ya wimbo uliopo ndani, ao title ya wimbo.

  • @athumanimsingwa2567
    @athumanimsingwa2567 5 лет назад +3

    Hakika hii muvi n nzul sana mana niwanawake wachache wenye moyo kama huo

  • @b_boympilaponda1679
    @b_boympilaponda1679 2 года назад

    Asee usiombe nkukute unamuita mwanangu mchumba ,tutabadilishana majengo ya serikali

  • @abuumaisarah6595
    @abuumaisarah6595 4 года назад +3

    Mke wa pili anaweza kuigiza haya tunashkuru kwa kipindi mathna si vita

  • @saidabdallah-gg2iu
    @saidabdallah-gg2iu Год назад

    Muvi kali sana hi napendaga sana yan

  • @dottochamwenyewe4391
    @dottochamwenyewe4391 5 лет назад +3

    Filamu iko vizuri nimeielewa

  • @nonenone4954
    @nonenone4954 5 лет назад +2

    Bonge moja la movie

  • @ramadhanimandoa4058
    @ramadhanimandoa4058 5 лет назад +6

    Duh huy ndind mzur sana asee

  • @mariamvaita6004
    @mariamvaita6004 4 года назад +2

    Eti sjawh kuwaza kma uzuri utaniponza na uhandsomboy hahahahhahaha kipupwe weeh

  • @emmanuelamos1372
    @emmanuelamos1372 5 лет назад +6

    Muvi nzuri hijawahi kutokea tz

  • @yunus-bh4om
    @yunus-bh4om Год назад

    Njuri sana❤❤❤❤🎉

  • @rechosanga6955
    @rechosanga6955 5 лет назад +2

    Kaliiiiiiiiii kinyamaaa yani daaah

  • @abuudon7323
    @abuudon7323 5 лет назад +6

    🤣🤣🤣🤣 Eti mbegu kwa kingereza ni tundaman 🤣🤣🤣😂✌️ mau na kubali

  • @saumuingefa1130
    @saumuingefa1130 2 года назад

    Mashaa Allah. Mke.mkumbwa

  • @amissiemile1882
    @amissiemile1882 4 года назад +2

    Sinema ya akili sana iyi ni kali

  • @fatmamwanahamisi3741
    @fatmamwanahamisi3741 3 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥💖

  • @jimmyjizzeh3286
    @jimmyjizzeh3286 4 года назад

    kaz nzur!!!,,ina elimisha nakupendaaa siwa zurii

  • @mwajumaabdi5770
    @mwajumaabdi5770 3 года назад

    sema nimependa sana wanawake wote wangekua kama ndnd ingekua good

  • @emmanueloinoth
    @emmanueloinoth 3 года назад

    😭😭😭 nimeshindwa kujizuia

  • @ismailyissa9915
    @ismailyissa9915 3 года назад

    Bi mkubwa ana moyo adi nimempenda bure dada naombeni no zake jmn nimsalmie

  • @arafataliomar7432
    @arafataliomar7432 4 года назад +2

    Huyo sio kidume kachangiwa mawazo na mkewe ila kwa mnaosubiri wake zenu wawafanyie hayo mtazeeka mbona

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 5 лет назад +4

    Ila siwa king'ang'anizi loh

  • @ronzeehtifany1817
    @ronzeehtifany1817 Год назад

    Waah kali

  • @gsamugood3605
    @gsamugood3605 4 года назад +1

    Good nyembo na siwa

  • @jumajuma7600
    @jumajuma7600 3 года назад

    Kuna somoo kubwa mnoo la kujifundisha humuu amani

  • @timothysirengo1
    @timothysirengo1 2 года назад

    Mau fundi kweli ni fundi

  • @Maccdeli
    @Maccdeli 4 года назад +2

    Duh yani nyembo na zsiwa kwli////

  • @selemanichiyulu1010
    @selemanichiyulu1010 5 лет назад +2

    Kali sana

    • @mustafamollyhouse9347
      @mustafamollyhouse9347 2 года назад

      it's best movies too see in my life one love kummbe ww ukali umeanza mbali et mapak saiv umekuwa mkojan bad mkali 2 long life broo mkojan mm nakutakia kz njem bila y kuyumb broo wow leo nime injy san kuona hii move love the Way you do move broo i wish to see more nice movie like this let me say thank and have good work

  • @kenedytigawa3120
    @kenedytigawa3120 4 года назад

    Aise kipupwe we nouma japo Kila mmoja kacheza vyema kwa nafasi yake mko saaafi saanaa tunasubiri mengine mazuri

  • @paullusega909
    @paullusega909 4 года назад +1

    Nzur sana

  • @casimmapenzi2656
    @casimmapenzi2656 5 лет назад +3

    Eti cheza mabawa..ahahahahaha..😁😁😂😂 we hatar

  • @kassimfarouk3050
    @kassimfarouk3050 4 года назад +4

    Siwa:kaka?
    Mau:kaka yuko Brazil😂

  • @saidkibwana9207
    @saidkibwana9207 5 лет назад +2

    Iko poa

  • @maherzain615
    @maherzain615 5 лет назад +3

    Mzuieni ntamuumiza😂 mau fundi

  • @jumaaflah8965
    @jumaaflah8965 5 лет назад +4

    Iko poa sana

  • @abelsiyame7863
    @abelsiyame7863 3 года назад

    Nimewakatia umeme

  • @omarjuma5070
    @omarjuma5070 2 года назад

    Kweli wake wawili ni raha

  • @hajjijuma3683
    @hajjijuma3683 5 лет назад +1

    Nice muvi

  • @reganriwa2118
    @reganriwa2118 3 года назад

    Moov nzur sana

  • @marzouqabdulah9418
    @marzouqabdulah9418 5 лет назад +5

    Kali xnaaaaaaaaa kuliko zote

    • @seyibuhimbi9399
      @seyibuhimbi9399 5 лет назад

      duuuu kari xanaa

    • @manustudiophotography.
      @manustudiophotography. 5 лет назад +1

      Manustudio Photography, Nikiwa Kenya Busia County. Nimependa sana Filamu hii heko ndugu Mohamed.

    • @kudukasimkasim1022
      @kudukasimkasim1022 4 года назад

      Manustudio Photography. Un bola ange nipenda mimi ninge changanya wote wa wili maana ni diniyetu ina vyo sema cio zambi

    • @naiphatihussein1039
      @naiphatihussein1039 4 года назад

      Mbona kizungumkuti Tena Kaka yuko blaziri

    • @kunajuma8522
      @kunajuma8522 4 года назад

      Ipo poa

  • @ofozadr4020
    @ofozadr4020 5 лет назад +1

    Ebanae Ndind mzur...💝

    • @bambanzaabdul4314
      @bambanzaabdul4314 3 года назад

      Siwa umekomaa hadi lengo lako limetimia dah nimekukubali

  • @latifahussein9221
    @latifahussein9221 3 года назад

    Mke wa nyembo ni mwanamke wa kipekee

  • @franckdegranit3946
    @franckdegranit3946 4 года назад

    Ndindi mzuri weyeee

  • @joycesuleiman3456
    @joycesuleiman3456 6 лет назад +4

    ,,,,,,,,sio kwa huo wimbo

  • @daudiyohana8894
    @daudiyohana8894 5 лет назад +2

    kali sana 😍😍

  • @ronzeehtifany1817
    @ronzeehtifany1817 Год назад

    Waah huyu dada naye🤣🤣

  • @sharifajanqabari4731
    @sharifajanqabari4731 5 лет назад +3

    🔥🔥🔥💖

  • @nasricremedydbez1571
    @nasricremedydbez1571 5 лет назад +4

    Iko poa sn hyo

  • @makullmoo1041
    @makullmoo1041 4 года назад +1

    Kaka yupo brazl

  • @mwajumanangameta6567
    @mwajumanangameta6567 5 лет назад +1

    Muvi mzr sana

  • @swedykarongo110
    @swedykarongo110 5 лет назад +3

    nic move

  • @smillermuziq124
    @smillermuziq124 4 года назад +2

    Mianya family 😂😂😂😂😂

  • @aloycempoma6227
    @aloycempoma6227 5 лет назад +3

    kaliii sana nahisi ningekua mimm

  • @kirohosafi3280
    @kirohosafi3280 4 года назад

    namkubali siwa

  • @obamaally1298
    @obamaally1298 5 лет назад +5

    Eti Israel ypo weekend daaa wajinga Sana nyinyi dio

  • @sophiakasana2937
    @sophiakasana2937 4 года назад

    😂😂😂uwiii kaka yuko blazili 😂😂

  • @aminaibrah3565
    @aminaibrah3565 5 лет назад +2

    muvi tam aiseee

  • @princepauloyohana2576
    @princepauloyohana2576 2 года назад

    Mapenzi jaman bhc tu

  • @aishachambo3293
    @aishachambo3293 6 лет назад +5

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @nurusaidi3481
    @nurusaidi3481 2 года назад

    Hakika story Nzuri sana na inamafundish mazuri mungu awabariki sana

  • @shukurukalindi626
    @shukurukalindi626 4 года назад +1

    Nzur Sana

  • @kirohosafi3280
    @kirohosafi3280 4 года назад

    hakika picha tamu sana

  • @mwajumanangameta6567
    @mwajumanangameta6567 5 лет назад +1

    Muvi mzr sana

  • @jastinmatoz7570
    @jastinmatoz7570 5 лет назад +1

    Good