Highlights | She Corporate 0-1 Simba Queens | Final - CAF Women Champs League Qualifiers 27/08/2022
HTML-код
- Опубликовано: 26 авг 2022
- Simba Queens imeshinda ubingwa wa michuano ya vilabu ukanda wa CECAFA na kukata tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake, baada ya kuichapa She Corporates ya Uganda bao 1-0.
Goli pekee la Simba Queens limefungwa kwa penati na Vivian Aquino dakika ya 49, fainali ikipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Tazama highlights.....
#CECAFAWomenFinal #CAFWomenChampionsLeagueQualifiers #CAFWCLQ Спорт
Hongereni sana dada zetu kwa kazi ya kuwakilisha nchi yetu
Ilinipa wakati mgumu kuikosa kuangalia hii mechi lakin faraja kubwa kuona simba Queens mkituwakilisha vema, hongereni sana, MUNGU amjalie kila mmoja wenu afya njema. NGUVU MOJA.
Waaaoooo 👏👏👏 ni wanawake lkn wameupiga mwingi wameonyesha juhudi uwezo wa mchezaji mmoja mmoja ktk Kila saafu Kila mchezaje amekua bora sana I wish ingekua ndo taifa stars kwa wanaume 👏👏👏👏👏👏👏 hongera sana #simbaquines mumeipa heshima Simba na Tanzania kiujumla
Hongereni Sana Simba queen s kwakuiwakilisha vema Simba ssc na tz kwaujumla .
Hongereni san qeens wetu wa msimbazi
Congratulations simba special all sister for my country in burundi
Hawa madada ni 🔥🔥🔥🔥🦁👸 wamestahili kuwa mabingwa. Hatujamalizaaaa
A lady with jersey no. 22 Daniela was on 🔥🔥🔥🔥
Nampenda sana Joelle bukulu jamani nsaidieni kumwambia
Mimi mtu wa kwanza
kucomment sio kuangalia😂
Wao hongeleni dada zetu
Waooo simba sc taifa kubwa
Congratulations 👍👍👍
Bravo Simba Queens
Safiii,mmetuheshimisha kisoka
Utopolo baada ya miaka na wao wakifanikiwa utasikia wanaongea sana hawa kweli wanabweka kama manyani na mnukuu kocha wao
Hongera sana 🙏🤝❤️
Utopolo roho zinawauma.Kila mara Simba ndio huwa inakuwa mwanzilishi.
Great 🦁
Congratulations 💪 Mmestahil Ushindi💕🙏🏼
Ongereni Simba
Hongereni maqeen
Mnajua kunifurahisha dada zangu
Wanawake wanajua kusikiliza mafunzo ya mwalimu
Ledies always play intelligent football only lack of masculinity but they are very smart
Huyu Vivian Corazón? Dah!
Ao watoto watafutiwe udhamini hapo kifuani wapo vinzuri
Colazone...bongo mtatawala sana
Waaamuzi walipepesa sana, hawa wa bluee walistahili kupata penalty na wao
Hata Simba bao lao lililokataliwa mwanzo haikuwa offside!
Kashike kipenga wewe uwape penati. Unadhani penati ni maandazi. Wewe hujaona Simba wamenyimwa penati ngapi
@@selestiandamas7762 usipanic broo huo ndio ukweli, sema huupendi
@@thomasabelmwakipesile5280 upo sahihi broo
Dada zetu wanaupiga mwingi
Safi sana ila waganda wapo vizuli nao
0:30 0:32
Sanks Simba Queens
Umaliziaji bado kidogo simba Queen
Kilikuwa na Kona upended wa( she )
Simba walikuwa wamezidiwa Kama Sio Penat
Joelle Mariam ni balah sana
Well played simba though the penalty was a scam. 🤣🤣🤣🤣
But you deserved to win.
Wanaume Taifa stars (timu ya karia)inashindwa. Mpaka na wanawake
Hii sio Timu ya Taifa, angalia Vizur
Tahifa stazi ata Simba kwini inawea ikamfunga
Ila waamuzi wameboronga sana hii mechi nafikiri kulikua na penalties kama mbili kama sio tatu.
Huyu asha djafari na Vivian ni balaa
Dah Kuna kiungo yule binti wa Burundi naye pia ni mzuri anaitwa Bukulu
@@atupelemsyani7411 bukulu mzuri
Penalty ya she imefinywa
Yeah naona wamenyimwa penati nao
ila wana upiga mwing
Ukiwa mwana smba Raha sn jmn
Dah simba tuko vzr mpka wake zet wanagawa dozi,c mchezo
Usajili ulifanywa kwakweli ni upande wa wadada Ila madume mmmm naona akuna kitu...samahani lakini naona Nimeongea ukweli
Muda ukifika ukweli utajulikana
Wacha mvua inyeshe itajulikana wapi pabovu ila kwa timu za ligi kuu bara hakuna timu iliofanya usajili wa maana kama simba. Kasumba na kampeni chafu zenye lengo ya kukiponda kikosi Cha simba kwa lengo la kuvunja morali ya timu haziwachi kuwepo. Siasa chafu za mpira hazimjengi yeyote.
Madem wasumbufu hawa,, wanalishana vidali huweeee