Penati, vurugu, kadi nyekundu na ngumi za Bernard Morrison - Simba 0-1 Ruvu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • SIMBA 0 -1 RUVU: Penati, vurugu na kadi nyekundu mechi ya ligi kuu Tanzania Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Kuna wakati ‘Pira Birian’ likageuka kuwa ‘Pira masumbwi’ mpira ukisimama kwa zaidi ya dakika saba. Hebu tazama kilichotokea halafu nitajie wachezaji walioonesha utovu wa nidhani kwenye tukio hili.
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 375

  • @marrysaimon4330
    @marrysaimon4330 4 года назад +6

    Safi sana wanaruvu mmetisha

  • @haridyhillaryndembo1946
    @haridyhillaryndembo1946 4 года назад +9

    Mwezi Umeshapinduka
    Morrison karejea kichaa chake😀😀

  • @ombenishirima6444
    @ombenishirima6444 4 года назад +11

    Mpira wa Tanzania hautaendelea kwasababu ya kuabudu majina ya watu kama wakina Morison ,, refa ulipaswa kutoa red card kwa Morison pia

    • @asadibakili4453
      @asadibakili4453 4 года назад

      Ndo hivyo

    • @allymtungunyu2425
      @allymtungunyu2425 3 года назад

      Wewe kakwambia nani km morson alitakiwa kupewa kadi toa vigezo. Huo ushamba tu na ushabiki umekukithiri.
      Ligi yenyewe imeshaisha saizi haina hata radha kazi kwa wale wanao wania nafasi ya pili.
      sisi wenyewe tushamaliza kazi.
      Finish

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 года назад +7

    Tuliwaambia mmesajili mwehu sie katushinda mkaona mmepata bingo haya sasa mmeona nidhamu yake?

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 года назад

      Mwehu anawafanya kila kukicha kuibua kesi yake upya...goli lake uliliona kwa namungo???

  • @rinovarthiliwi1314
    @rinovarthiliwi1314 4 года назад +5

    Simba wamejiharibia sana kumchukua huyu Morrison. Mwaka jana timu ilikuwa nzuri sana yenye nidhamu sana safari hii wataona tatizo la huyu Morrison. Hana nidhamu na ataiharibia sana Simba hasa kwenye michezo ya Kimataifa. Haiwezekani mchezaji uwanjani asiguswe au kwa bahati mbaya au kwa makusudi. Morrison achezi ligi ya Tanzania mpaka abadili tabia zake.

    • @allymtungunyu2425
      @allymtungunyu2425 3 года назад

      Sisi hatuabudu wachezaji km utopolo mchezaji akizingua anawekwa pembeni wengine wanachukua nafasi.
      Yani msimbazi nidhamu anaitafuta mchezaji mwenyewe pale kuna vita ya namba sio polepole msimbazi

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 года назад

      Mwaka huu 2021 unamuonaje super bm3

  • @CJMusic
    @CJMusic 4 года назад +3

    Ukiangalia kwa ukaribu utagundua, MORISON KAKANYAGWA Mguuni bahati mbaya akaamua KURUSHA ngumi akihisi Mchezaji aliemkanyaga amedhamiria kufanya alichofanya. ANGALIA KWA MAKINI😇

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 4 года назад +8

    Nimempenda huyo wa ruvu tooting alivyomrudishia ngumi ya jicho Morrison 🤣🤣🤣

    • @abdulkheri7322
      @abdulkheri7322 4 года назад

      🤣🤣

    • @hamidayanga8224
      @hamidayanga8224 4 года назад

      @@abdulkheri7322 🤣🤣🤣 Amekuja bongo vibaya atarudi kwao na alama mana hana nidham kabisa huyo Morrison

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 года назад

      😂😂😂😂🤯

    • @flomenastephen2226
      @flomenastephen2226 3 года назад

      Bondia fc a.k.a nyau fc

    • @allymtungunyu2425
      @allymtungunyu2425 3 года назад +1

      @@flomenastephen2226 mnafanya bidii ya majina lakini hayahimili vishindo lakini kwa utopolo ukijaribu tu jini limekolea na linafanana. Ilianza yeboyebo likahiti sana sasa utopolo limehiti mno. Ikisema biriani dunia mzima wanajua km ni simba ya tanzania

  • @pavlovdeking3725
    @pavlovdeking3725 3 года назад +7

    Penati ni sahihi, lakin iyo kadi nyekundu na Morrison ingemhusu, acheni maamuzi ya upendeleo

  • @audiphacekatolilo550
    @audiphacekatolilo550 4 года назад +4

    Hakika Mungu fundi

  • @ezekielisaya4053
    @ezekielisaya4053 4 года назад +6

    Kumbe morison ni bondia, sasa si bora aachane na mpira aende zake kwenye fani yake

  • @louisthomas6114
    @louisthomas6114 4 года назад +4

    Pamoja red kadi walishindwa kufurukutwa

  • @reubenismail3672
    @reubenismail3672 4 года назад +6

    Kweli Morrison hayupo sawa!Simba tumesajiri tatizo

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 4 года назад +7

    😁😁😁 Morison kajiunge na mwakinyo mpira waachie wakina kisinda

  • @snedbapu1485
    @snedbapu1485 4 года назад +4

    yani hapa wote wawili walikua wapigwe nyekundu morrison na huyu msala ila refa kawabeba simba namungu kawaonyesha penati wamekosa na kufungwa wamefungwa

  • @officialchrissofficialchri7381
    @officialchrissofficialchri7381 4 года назад +5

    Morrison membe yupo Simba bm33 yupo Yanga

  • @masoudseif3515
    @masoudseif3515 4 года назад +7

    Maboya yashaanza kupoteana😂😂🤣🤣

  • @kiteteprimary9764
    @kiteteprimary9764 4 года назад +4

    Kaanzisha ugomvi na askari kakiona cha moto hahahaaaa,PIRA BIRIANI LIMEKUWA PIRA NGUMI.

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 4 года назад +4

    Morrison Ndio chanzo Cha vurugu ‘ mshika kibendera nae kaona tukio la Morrison kumpiga mchezaji wa ruvu shooting ngumi ‘ Lkn mwamuzi hakutoa kadi ‘ Ndio maana mnaonekana mnabebwa...!

  • @mohamedimtumbela9329
    @mohamedimtumbela9329 4 года назад +7

    TULISEMA MORISON TAAHIRA MKADHANI UYANGA SASA SUBIRINI BADO MTAONA MENGI

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 года назад

      Yes tumeona mengi mana acpofunga goli ana assist 😆😆😆😆

  • @makalangele6229
    @makalangele6229 4 года назад +5

    Morrison antakiwa afungiwe kabisa maana ndiye aliyeanza kurusha ngumi hadi akasababisha ugomvi.

    • @martinhinda5233
      @martinhinda5233 4 года назад +1

      Unajua sheria za kufungiwa au unaropoka tuu

    • @makalangele6229
      @makalangele6229 4 года назад

      @@martinhinda5233 acha upimbi, kwani wanaofungiwa wanavunja sheria gani?

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 года назад

      @@makalangele6229 ww ndo ujibu

  • @audiphacekatolilo550
    @audiphacekatolilo550 4 года назад +6

    Morrison hakuna kitu alishapoteza muelekeo alilewa sifa

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 года назад

      Kwa mwaka huu 2021 unamzungumziaje hahahahahaha

  • @martinswai8031
    @martinswai8031 4 года назад +5

    Morrison' mpira umeshamshinda

  • @FrankJeremiah-kikanzu
    @FrankJeremiah-kikanzu Год назад +1

    Duuuh iyooo

  • @raphaelypetter358
    @raphaelypetter358 4 года назад +4

    Maji yashajitenga na mafuta

  • @officialfredoo3549
    @officialfredoo3549 4 года назад +4

    Dah sasa apaa mavyura yanaangalia nn yamekuja kufanyaj

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 года назад +1

    Daaaah 😥 ndyo tumepoteza kwel

  • @hasanikajembe8848
    @hasanikajembe8848 4 года назад +3

    Morrison ndyo chanzo Cha ugomvi huo,ngoja tuone hukumu ya kamati ya maadili😳😳😳😄

  • @mulikatvonleni5339
    @mulikatvonleni5339 4 года назад +3

    Ndio mtanikubali kwamba mirioson anavuta sigara bwege🙌🙌😁😁😁

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 3 года назад +1

      Anavuta bangi uyo anawaza ngumi tu yeye hamuoni Ronaldinho anaujua akifanyiwa rafu yeye kucheka tu

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 года назад

      @@kennyrogers4734 umeshasema Ronaldo....sasa Morrison ni Ronaldo au kimbelembele tu

  • @bennamush1549
    @bennamush1549 4 года назад +3

    Jaman huyu kipa wa ruv nimempenda bure yupo vizur dah hadi rahaaaa

  • @majutomjukuu4713
    @majutomjukuu4713 4 года назад +3

    Tumekubari matokeo simba oye

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx 4 года назад +4

    Kama tff wanasimamia mpira wa haki morrison aombe radhi na afungiwe na faini juu sema tff ni simba utaona madudu yao.

  • @tumwesigekawamala1865
    @tumwesigekawamala1865 4 года назад +3

    Naionaaa mabondia fc

  • @edwardmdee5669
    @edwardmdee5669 4 года назад +4

    Wamemuonea Shaban bhan yeye alkuwa anapiga mpira hakudhamiria kuumiza

  • @jydon8405
    @jydon8405 4 года назад +3

    Ugomvi kaanza mwingine Card Anapewa mwingine 🤣🤣🤣😂😂😂😂😂Simba bana 🤣😂😂😂😂😂😂😂

  • @claudiokaniki6980
    @claudiokaniki6980 4 года назад +3

    Kadi nyekundu iliwausu watu wawili morrison na msala

  • @ezekielmugeta2427
    @ezekielmugeta2427 4 года назад +3

    Dah bongo

  • @antonydaudi6904
    @antonydaudi6904 4 года назад +2

    Mm napita tu jamani nasoma coment

  • @sekuludevid6313
    @sekuludevid6313 4 года назад +4

    Huyo ndy Morrison bwana mpira hajui huyu jamaa

  • @kalaluwakisaka3211
    @kalaluwakisaka3211 4 года назад +3

    Tukubali matokeo wana simba wenzangu

    • @sabrikhvuai2327
      @sabrikhvuai2327 4 года назад

      Mtajijuwa wenyewe na biriyani yenu na mtaharisha Sana mwaka huu

  • @sharobabu4988
    @sharobabu4988 4 года назад +3

    Simba haina kitu

  • @ramadhansembuche3457
    @ramadhansembuche3457 4 года назад +4

    Simba mmetia haibu

  • @ombenishirima6444
    @ombenishirima6444 4 года назад +6

    Mwamuzi ww n mwonevu Morison ndio mwanzilishi amempiga mtu

    • @bedomgwalupogo2652
      @bedomgwalupogo2652 3 года назад

      Zidane alipiga mtu kichwa kwa hiyo mpira ni ugomvi usiyo taka hasira lkn wakati wowote mtu anaweza kufanya lolote

  • @vedastusmasinde679
    @vedastusmasinde679 4 года назад +4

    Morrison ni taila tu amna kitu

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 4 года назад +5

    Chizi kalogwa tena...

  • @deogratiasmassawe4543
    @deogratiasmassawe4543 4 года назад +3

    Maaana ndokaanza kupiga watu aondike.kbc simba anatuaibisha mjinga huyo

  • @saidmody2246
    @saidmody2246 4 года назад +3

    Cha kwanza penalty sio penalty. Refa ni zero kabisa!

  • @abdulykwiha2179
    @abdulykwiha2179 4 года назад +3

    hii ilikuwa mbeleko iliyochanika 😀😀😀😀😀

  • @hamongukecha7813
    @hamongukecha7813 4 года назад +2

    Cmba hawakeli tena bali wanakerwaaaa!!!

  • @millosalshaymaa2696
    @millosalshaymaa2696 4 года назад +3

    Saiz nmeelewa kumbe Morrison ndy alinzisha hl valangat bhana😀😀😀😀😀

  • @omaryally5555
    @omaryally5555 4 года назад +4

    Yani fanya kiburi kwenye timu nyengine lakini sio Yanga,,,,. Huyu Morrison awaulize Kakolanya,, Ajibu,, Gardiel Michael. Sasa bado tutaona mauzauza ya kila aina

  • @husseinmchomolo5271
    @husseinmchomolo5271 4 года назад +2

    Mkwasa namuona kwenye Bench la Simba kulikoni?

  • @swalehezuberi3531
    @swalehezuberi3531 4 года назад +2

    Mchezaji watff hawezi pewaa kadi washaambiwa nahaji wamlinde leo wameonyesha kumlimda kwel

  • @barakashadrack7695
    @barakashadrack7695 4 года назад +3

    Morrison alisitahili kadi pia

  • @salmaayub61
    @salmaayub61 4 года назад +2

    IYO KADI ILIKUWA YA MORISON NDIO ALIPASWA KUPEWE MORISON ANAMATATIZO SANA

  • @wangonamuhange8218
    @wangonamuhange8218 4 года назад +6

    Kwn nyoso sikuizi apigi watu madole

    • @therakafam28
      @therakafam28 4 года назад

      😂😂😂😂 naona pale Morrison sijui aliguswa wap akapanick

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 4 года назад

      Kumbe anafanya hivyo

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 года назад

      Ndo mana mpira unamshinda kumbe ana laana ya mungu

  • @bernardchibwana9411
    @bernardchibwana9411 4 года назад +2

    Kufungwa sio ishu, ila ishu ni nidhamu ya mchezo ikoje, Morrison inatakiwa awekwe chini mpira sio vita , pia wachexaji muwe munaonena huruma kidogo kuna rafu zingine sio mzr mana ukimfumvunja mwenzio akawa Nje wakati mpira ndio maisha yake sio kitu kzr, pia wanasimba msitafute mchawi huo ndio mpira wala msinyosheane vidole kuna kioindi mambo hua yanakua vibaya ndio maana umebahatika k upata penalty lakini mkakosa haikua bahati hvyo kujipanga kwa michexo mwingine, mpira ni mchezo wa bahati wala msitafute mchawi.

  • @jastinijohn7646
    @jastinijohn7646 3 года назад

    Daah atar sana

  • @skypower872
    @skypower872 4 года назад +3

    Watabebwa sana wanakikosi kipana mpira biliani

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 3 года назад

    jaman

  • @suzanaandreya1269
    @suzanaandreya1269 2 года назад +2

    sipendagi mrudie iyi mech maanakosa lilikuwa lamorson ilakwakuwa uwa anashea vichupi nawamzibas

  • @helemanpetrol1194
    @helemanpetrol1194 4 года назад +1

    Kwa mm naona morson yupo sawa mana wana mchezea lafu sana

  • @ridhiwanikibonge793
    @ridhiwanikibonge793 4 года назад +2

    Kwahy simba imekuwa shamba la bibi kila timu inakujakujichukulia tu point 3 tu duuhh

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 4 года назад +4

    Nachoipendea hii nchii ni amani na upendo yaani kikundi kingne wachezaji wanazongana unaweza kujua ka wanachukiana lakini kundi lingne shomari anamnyosha msuli mpinzani hawana habari nawanaorumbana

  • @ramseythabit1452
    @ramseythabit1452 4 года назад +4

    Kardi ilikuwa ya morisson sema lefa amejichanganya amepatia msara hahhahaha iih ndo bongo bhan tff mfungien iyo morisson anataka kuaribu mpira wetu

  • @allymtungunyu2425
    @allymtungunyu2425 3 года назад

    Wasenge hawa ndio maana tumewatia tatu bila simba next level

  • @musaplatinum801
    @musaplatinum801 3 года назад +1

    Diamondi

  • @zaitunifamao7777
    @zaitunifamao7777 4 года назад +2

    Na Morrison angepewa

    • @sajentmvande3849
      @sajentmvande3849 4 года назад

      Kbs yaani kaachajwe huyo kiumbe?😁😁😁

  • @tarkfaizi8883
    @tarkfaizi8883 4 года назад +2

    Ukiangalia vizuri utaona uyo mchezaji wa ruvu shoting ndie alianza kumkanyaja morison angalieni vizuri kabla ya kupigwa ngumi alafu mtajua nani alianza

    • @mamasamu2232
      @mamasamu2232 4 года назад

      Hakuna aliyemkanyaga morson kazua ugomvi mwenyewe

    • @ahmadmasunda9892
      @ahmadmasunda9892 4 года назад

      KWAHIYO MCHEZAJI KURUSHA NGUMI HATA UKIKANYAGWA INARUHUSIWA ? HUO NI UTOVU WA NIDHAMU

    • @ashahussein5175
      @ashahussein5175 4 года назад

      Huon vzr ww Halaf kampiga nyoso ajiandae marrison

    • @emmanuelyjoash2288
      @emmanuelyjoash2288 4 года назад

      amuulize bocco anamjua vizuri

    • @issamashurinyo9609
      @issamashurinyo9609 4 года назад

      Wejamaa tako nn

  • @jamesdaud181
    @jamesdaud181 4 года назад +1

    Pira masumbwi

  • @timothkamwagila8850
    @timothkamwagila8850 4 года назад +3

    Hugo Morrison ni atawaponza simba

  • @bicongoye4072
    @bicongoye4072 3 года назад

    Saw

  • @rajimumsoffe9223
    @rajimumsoffe9223 4 года назад +1

    Kweli waamuzi bado ni tatizo sana hata penati yenyewe ya uongo kabisa na ndio maaana wakakosa pira gimbi

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 4 года назад +2

    Hata sumbawanga kuna jinga moja likalalamika eti morison kapigwa kwanini refa hakutoa kadi nyekundu?? jikamwambia fuatilia vizuri vidio,morison amekuwa na tabia ya kuwapiga wenzie tena sehemu za kichwani.Huyu marison amesha hasirika anatakiwa asaidiwe japo domo kaya alisema simba inawatu wa saikorojia kumbe hakuna lolote.Mirison utajuta kuondoka Yanga.

    • @azizally6070
      @azizally6070 4 года назад +1

      saimoni jonas ww ni fala angalia kwa makini nyoso kamfanyia nn morison acha kulopoka tu morison siyo mnyonge kama unavyo fikiri boya ww

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 4 года назад

      @@azizally6070 wewe paniki tukana vua nguo kunya mji mzima tambua morisoni ni tatizo.Kama hukubali basi.Kwani nyoso kafanya nini wakati nyoso alikuwa bize nakulalamikia Penarti morison kaenda kampiga ngumi kichwani...Siwezi kukutusi ila nahisi umechanganyikiwa na vipigo mfululizo.Pole,jua yatakwisha.

    • @lameckfrank2660
      @lameckfrank2660 4 года назад

      Hiyo ni tabia ya Morrison tangu yupo yanga unakumbuka alimpiga kiwiko mchezaji wa prison.

  • @evanceleonidas1716
    @evanceleonidas1716 3 года назад

    Nice

  • @benjaminilunga8826
    @benjaminilunga8826 4 года назад +2

    Hiyo nilaana ya Morisson

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 4 года назад +1

    Muachen mungu haitwe mung uyo morisson hakupew hata cady ya njano

  • @kuyasayalel2605
    @kuyasayalel2605 4 года назад +1

    Morrison mbabe wa waTZ. Hana wa kumkanya wala kumwadhibu.

  • @keyaedwin1741
    @keyaedwin1741 4 года назад +3

    Morrison nani aliekuloga cheza mpira acha mihereka

  • @abdulmelele7322
    @abdulmelele7322 4 года назад

    Mbereko efusii beki kapga mpira refa anasema penati🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌

  • @mohamedkigwehe4025
    @mohamedkigwehe4025 3 года назад +2

    Yani ukimwangaliya micksoni niuongo kabisa nandomaana walikosa penalty

  • @radhamannandule2525
    @radhamannandule2525 4 года назад +1

    Huyo Morrison nae angepewa kadi maana ndo alie aza kumpiga mwezie ngumi

  • @mathayolistermwena5183
    @mathayolistermwena5183 4 года назад +1

    Mmmhhh hiyo penalt sasa duuh

  • @abubakarnabahani4994
    @abubakarnabahani4994 4 года назад +1

    Yani kweli simba uoza jamaa pungufu lakini wameshindwa kukomboa hahahaaaa !!!

  • @amrimzeru2913
    @amrimzeru2913 4 года назад +1

    Hivi moriso kwanini hakupewa kadi wakati kaanzisha vurugu uwanjani

  • @paulomavado3736
    @paulomavado3736 4 года назад +2

    Wakereee baba🤣🤣🤣

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 4 года назад +2

    Bernard ndie alieanzisha ugomvi mbona hakuadhibiwa?

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 года назад

      Ungemuadhihu ww mwalimu wa zamu hahahahahaha

  • @yahayaolomi1057
    @yahayaolomi1057 3 года назад +3

    Huu ni uonevu Simba inabebwa sana

  • @nasramasimba3532
    @nasramasimba3532 3 года назад +1

    Goli walofunga ruvu shooting hamjaliweka haha

  • @biusmohammed3746
    @biusmohammed3746 4 года назад +3

    Ukiaangalia vizuri Morrison yeye kaka nyagwa na nyoso kwa kiatu jamani tusimpe maneno machafu kaka wa watu

    • @hadijasalumusalumu2918
      @hadijasalumusalumu2918 4 года назад

      Na atakanyagwa sana mwaka huu

    • @ochudasilvajr4783
      @ochudasilvajr4783 4 года назад +1

      Kwahy kama kakanyagwa ndo sheria inasema amchape kibao acheni ushabiki wa ajabu hapo walikua wapewe kadi ote wawili

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 года назад

      @@ochudasilvajr4783 kwahyo baada ya kumkanyaga ulitaka ampe zawad???? Acha kujifanya unajua kuongea ww

  • @AhmedMohammed-de4ke
    @AhmedMohammed-de4ke 4 года назад +4

    Mkiambiwa wabongo washamba mnabisha

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Tatizo la ushamba lipo kabisa aisee wala sio uwongo

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx 4 года назад +2

    Hakuna penati hapo kiuhalisia simba wamebebwa.

  • @disfelysanga86
    @disfelysanga86 3 года назад

    Sana

  • @chalresmyamba4272
    @chalresmyamba4272 4 года назад +1

    Konavanadalili mbay

  • @humphreyharold9501
    @humphreyharold9501 4 года назад +2

    Tanzania bado sana ndompira gani uoo

  • @deogratiasmassawe4543
    @deogratiasmassawe4543 4 года назад +2

    Molison ndomshamba kbc yani

  • @youngtaiz8359
    @youngtaiz8359 4 года назад +1

    Morrison anadhan huku congo? Ataondoka hana jicho shaur lake

  • @pcpoint1224
    @pcpoint1224 4 года назад +1

    Kashindwa Mpira wa miguu sasa anacheza Mpira wa mikono, morison buana mikia gundu mnalo

  • @suleymankingo7867
    @suleymankingo7867 4 года назад +1

    Simba tuwe wavumilivu saana timu zinatukamia Sana maana zinajua hazituwezi

  • @nchimbiboy8374
    @nchimbiboy8374 3 года назад

    Wabongo hatuwezi kwel

  • @luganojuma9858
    @luganojuma9858 3 года назад

    Marawa bora