Penati, vurugu, kadi nyekundu na ngumi za Bernard Morrison - Simba 0-1 Ruvu
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- SIMBA 0 -1 RUVU: Penati, vurugu na kadi nyekundu mechi ya ligi kuu Tanzania Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Kuna wakati ‘Pira Birian’ likageuka kuwa ‘Pira masumbwi’ mpira ukisimama kwa zaidi ya dakika saba. Hebu tazama kilichotokea halafu nitajie wachezaji walioonesha utovu wa nidhani kwenye tukio hili.
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Safi sana wanaruvu mmetisha
Mwezi Umeshapinduka
Morrison karejea kichaa chake😀😀
Mpira wa Tanzania hautaendelea kwasababu ya kuabudu majina ya watu kama wakina Morison ,, refa ulipaswa kutoa red card kwa Morison pia
Ndo hivyo
Wewe kakwambia nani km morson alitakiwa kupewa kadi toa vigezo. Huo ushamba tu na ushabiki umekukithiri.
Ligi yenyewe imeshaisha saizi haina hata radha kazi kwa wale wanao wania nafasi ya pili.
sisi wenyewe tushamaliza kazi.
Finish
Tuliwaambia mmesajili mwehu sie katushinda mkaona mmepata bingo haya sasa mmeona nidhamu yake?
Mwehu anawafanya kila kukicha kuibua kesi yake upya...goli lake uliliona kwa namungo???
Simba wamejiharibia sana kumchukua huyu Morrison. Mwaka jana timu ilikuwa nzuri sana yenye nidhamu sana safari hii wataona tatizo la huyu Morrison. Hana nidhamu na ataiharibia sana Simba hasa kwenye michezo ya Kimataifa. Haiwezekani mchezaji uwanjani asiguswe au kwa bahati mbaya au kwa makusudi. Morrison achezi ligi ya Tanzania mpaka abadili tabia zake.
Sisi hatuabudu wachezaji km utopolo mchezaji akizingua anawekwa pembeni wengine wanachukua nafasi.
Yani msimbazi nidhamu anaitafuta mchezaji mwenyewe pale kuna vita ya namba sio polepole msimbazi
Mwaka huu 2021 unamuonaje super bm3
Ukiangalia kwa ukaribu utagundua, MORISON KAKANYAGWA Mguuni bahati mbaya akaamua KURUSHA ngumi akihisi Mchezaji aliemkanyaga amedhamiria kufanya alichofanya. ANGALIA KWA MAKINI😇
Nimempenda huyo wa ruvu tooting alivyomrudishia ngumi ya jicho Morrison 🤣🤣🤣
🤣🤣
@@abdulkheri7322 🤣🤣🤣 Amekuja bongo vibaya atarudi kwao na alama mana hana nidham kabisa huyo Morrison
😂😂😂😂🤯
Bondia fc a.k.a nyau fc
@@flomenastephen2226 mnafanya bidii ya majina lakini hayahimili vishindo lakini kwa utopolo ukijaribu tu jini limekolea na linafanana. Ilianza yeboyebo likahiti sana sasa utopolo limehiti mno. Ikisema biriani dunia mzima wanajua km ni simba ya tanzania
Penati ni sahihi, lakin iyo kadi nyekundu na Morrison ingemhusu, acheni maamuzi ya upendeleo
Ndiyo laana ya dhuluma hii
Hakika Mungu fundi
Kumbe morison ni bondia, sasa si bora aachane na mpira aende zake kwenye fani yake
Pamoja red kadi walishindwa kufurukutwa
Kweli Morrison hayupo sawa!Simba tumesajiri tatizo
Munajua leo hahahaaaaa !
Wa uamuzi wetu bado
😁😁😁 Morison kajiunge na mwakinyo mpira waachie wakina kisinda
Morison anajua mpira
Hahaha kweli kabisa
Kisinda mwana riadha yy na manula tu na anakosa goli hahahahahaha
yani hapa wote wawili walikua wapigwe nyekundu morrison na huyu msala ila refa kawabeba simba namungu kawaonyesha penati wamekosa na kufungwa wamefungwa
Refa hawana video pale kama wewe
Morrison membe yupo Simba bm33 yupo Yanga
Maboya yashaanza kupoteana😂😂🤣🤣
Kaanzisha ugomvi na askari kakiona cha moto hahahaaaa,PIRA BIRIANI LIMEKUWA PIRA NGUMI.
Morrison Ndio chanzo Cha vurugu ‘ mshika kibendera nae kaona tukio la Morrison kumpiga mchezaji wa ruvu shooting ngumi ‘ Lkn mwamuzi hakutoa kadi ‘ Ndio maana mnaonekana mnabebwa...!
TULISEMA MORISON TAAHIRA MKADHANI UYANGA SASA SUBIRINI BADO MTAONA MENGI
Yes tumeona mengi mana acpofunga goli ana assist 😆😆😆😆
Morrison antakiwa afungiwe kabisa maana ndiye aliyeanza kurusha ngumi hadi akasababisha ugomvi.
Unajua sheria za kufungiwa au unaropoka tuu
@@martinhinda5233 acha upimbi, kwani wanaofungiwa wanavunja sheria gani?
@@makalangele6229 ww ndo ujibu
Morrison hakuna kitu alishapoteza muelekeo alilewa sifa
Kwa mwaka huu 2021 unamzungumziaje hahahahahaha
Morrison' mpira umeshamshinda
Duuuh iyooo
Maji yashajitenga na mafuta
Dah sasa apaa mavyura yanaangalia nn yamekuja kufanyaj
Daaaah 😥 ndyo tumepoteza kwel
Morrison ndyo chanzo Cha ugomvi huo,ngoja tuone hukumu ya kamati ya maadili😳😳😳😄
Ndio mtanikubali kwamba mirioson anavuta sigara bwege🙌🙌😁😁😁
Anavuta bangi uyo anawaza ngumi tu yeye hamuoni Ronaldinho anaujua akifanyiwa rafu yeye kucheka tu
@@kennyrogers4734 umeshasema Ronaldo....sasa Morrison ni Ronaldo au kimbelembele tu
Jaman huyu kipa wa ruv nimempenda bure yupo vizur dah hadi rahaaaa
Tumekubari matokeo simba oye
Kama tff wanasimamia mpira wa haki morrison aombe radhi na afungiwe na faini juu sema tff ni simba utaona madudu yao.
Mfungie wewe km sheria unayo mjinga wewe
Naionaaa mabondia fc
Wamemuonea Shaban bhan yeye alkuwa anapiga mpira hakudhamiria kuumiza
Ugomvi kaanza mwingine Card Anapewa mwingine 🤣🤣🤣😂😂😂😂😂Simba bana 🤣😂😂😂😂😂😂😂
Kadi nyekundu iliwausu watu wawili morrison na msala
Dah bongo
Mm napita tu jamani nasoma coment
Huyo ndy Morrison bwana mpira hajui huyu jamaa
Ww unajua au umbea tu
Tukubali matokeo wana simba wenzangu
Mtajijuwa wenyewe na biriyani yenu na mtaharisha Sana mwaka huu
Simba haina kitu
Simba mmetia haibu
Mwamuzi ww n mwonevu Morison ndio mwanzilishi amempiga mtu
Zidane alipiga mtu kichwa kwa hiyo mpira ni ugomvi usiyo taka hasira lkn wakati wowote mtu anaweza kufanya lolote
Morrison ni taila tu amna kitu
Chizi kalogwa tena...
Maaana ndokaanza kupiga watu aondike.kbc simba anatuaibisha mjinga huyo
Cha kwanza penalty sio penalty. Refa ni zero kabisa!
Huna lolote wewe yanga bwege wewe
hii ilikuwa mbeleko iliyochanika 😀😀😀😀😀
Good
tuwazoee tu marefa wetu ndyo maan hawana beji za fifa
Cmba hawakeli tena bali wanakerwaaaa!!!
Saiz nmeelewa kumbe Morrison ndy alinzisha hl valangat bhana😀😀😀😀😀
Yani fanya kiburi kwenye timu nyengine lakini sio Yanga,,,,. Huyu Morrison awaulize Kakolanya,, Ajibu,, Gardiel Michael. Sasa bado tutaona mauzauza ya kila aina
Mkwasa namuona kwenye Bench la Simba kulikoni?
Mchezaji watff hawezi pewaa kadi washaambiwa nahaji wamlinde leo wameonyesha kumlimda kwel
Morrison alisitahili kadi pia
IYO KADI ILIKUWA YA MORISON NDIO ALIPASWA KUPEWE MORISON ANAMATATIZO SANA
Kwn nyoso sikuizi apigi watu madole
😂😂😂😂 naona pale Morrison sijui aliguswa wap akapanick
Kumbe anafanya hivyo
Ndo mana mpira unamshinda kumbe ana laana ya mungu
Kufungwa sio ishu, ila ishu ni nidhamu ya mchezo ikoje, Morrison inatakiwa awekwe chini mpira sio vita , pia wachexaji muwe munaonena huruma kidogo kuna rafu zingine sio mzr mana ukimfumvunja mwenzio akawa Nje wakati mpira ndio maisha yake sio kitu kzr, pia wanasimba msitafute mchawi huo ndio mpira wala msinyosheane vidole kuna kioindi mambo hua yanakua vibaya ndio maana umebahatika k upata penalty lakini mkakosa haikua bahati hvyo kujipanga kwa michexo mwingine, mpira ni mchezo wa bahati wala msitafute mchawi.
Bernard unaakili sana
Daah atar sana
Watabebwa sana wanakikosi kipana mpira biliani
jaman
sipendagi mrudie iyi mech maanakosa lilikuwa lamorson ilakwakuwa uwa anashea vichupi nawamzibas
Kwa mm naona morson yupo sawa mana wana mchezea lafu sana
Kwahy simba imekuwa shamba la bibi kila timu inakujakujichukulia tu point 3 tu duuhh
Nachoipendea hii nchii ni amani na upendo yaani kikundi kingne wachezaji wanazongana unaweza kujua ka wanachukiana lakini kundi lingne shomari anamnyosha msuli mpinzani hawana habari nawanaorumbana
Hahahaja
Kardi ilikuwa ya morisson sema lefa amejichanganya amepatia msara hahhahaha iih ndo bongo bhan tff mfungien iyo morisson anataka kuaribu mpira wetu
Acha umbea wako paka ww
Kiswahili chenyewe hujui kalale huko
Wasenge hawa ndio maana tumewatia tatu bila simba next level
Diamondi
Kawa sanaaa
Na Morrison angepewa
Kbs yaani kaachajwe huyo kiumbe?😁😁😁
Ukiangalia vizuri utaona uyo mchezaji wa ruvu shoting ndie alianza kumkanyaja morison angalieni vizuri kabla ya kupigwa ngumi alafu mtajua nani alianza
Hakuna aliyemkanyaga morson kazua ugomvi mwenyewe
KWAHIYO MCHEZAJI KURUSHA NGUMI HATA UKIKANYAGWA INARUHUSIWA ? HUO NI UTOVU WA NIDHAMU
Huon vzr ww Halaf kampiga nyoso ajiandae marrison
amuulize bocco anamjua vizuri
Wejamaa tako nn
Pira masumbwi
Hugo Morrison ni atawaponza simba
Saw
Kweli waamuzi bado ni tatizo sana hata penati yenyewe ya uongo kabisa na ndio maaana wakakosa pira gimbi
Hata sumbawanga kuna jinga moja likalalamika eti morison kapigwa kwanini refa hakutoa kadi nyekundu?? jikamwambia fuatilia vizuri vidio,morison amekuwa na tabia ya kuwapiga wenzie tena sehemu za kichwani.Huyu marison amesha hasirika anatakiwa asaidiwe japo domo kaya alisema simba inawatu wa saikorojia kumbe hakuna lolote.Mirison utajuta kuondoka Yanga.
saimoni jonas ww ni fala angalia kwa makini nyoso kamfanyia nn morison acha kulopoka tu morison siyo mnyonge kama unavyo fikiri boya ww
@@azizally6070 wewe paniki tukana vua nguo kunya mji mzima tambua morisoni ni tatizo.Kama hukubali basi.Kwani nyoso kafanya nini wakati nyoso alikuwa bize nakulalamikia Penarti morison kaenda kampiga ngumi kichwani...Siwezi kukutusi ila nahisi umechanganyikiwa na vipigo mfululizo.Pole,jua yatakwisha.
Hiyo ni tabia ya Morrison tangu yupo yanga unakumbuka alimpiga kiwiko mchezaji wa prison.
Nice
Hiyo nilaana ya Morisson
Muachen mungu haitwe mung uyo morisson hakupew hata cady ya njano
Hakuna hii mungu, bdl yake ni Mungu
Morrison mbabe wa waTZ. Hana wa kumkanya wala kumwadhibu.
Morrison nani aliekuloga cheza mpira acha mihereka
Mbereko efusii beki kapga mpira refa anasema penati🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
Yani ukimwangaliya micksoni niuongo kabisa nandomaana walikosa penalty
Huyo Morrison nae angepewa kadi maana ndo alie aza kumpiga mwezie ngumi
Mmmhhh hiyo penalt sasa duuh
Yani kweli simba uoza jamaa pungufu lakini wameshindwa kukomboa hahahaaaa !!!
Hivi moriso kwanini hakupewa kadi wakati kaanzisha vurugu uwanjani
Wakereee baba🤣🤣🤣
Bernard ndie alieanzisha ugomvi mbona hakuadhibiwa?
Ungemuadhihu ww mwalimu wa zamu hahahahahaha
Huu ni uonevu Simba inabebwa sana
Na ww beba utopolo
Goli walofunga ruvu shooting hamjaliweka haha
Ukiaangalia vizuri Morrison yeye kaka nyagwa na nyoso kwa kiatu jamani tusimpe maneno machafu kaka wa watu
Na atakanyagwa sana mwaka huu
Kwahy kama kakanyagwa ndo sheria inasema amchape kibao acheni ushabiki wa ajabu hapo walikua wapewe kadi ote wawili
@@ochudasilvajr4783 kwahyo baada ya kumkanyaga ulitaka ampe zawad???? Acha kujifanya unajua kuongea ww
Mkiambiwa wabongo washamba mnabisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Tatizo la ushamba lipo kabisa aisee wala sio uwongo
Hakuna penati hapo kiuhalisia simba wamebebwa.
Sana
Konavanadalili mbay
Tanzania bado sana ndompira gani uoo
Molison ndomshamba kbc yani
Morrison anadhan huku congo? Ataondoka hana jicho shaur lake
Kashindwa Mpira wa miguu sasa anacheza Mpira wa mikono, morison buana mikia gundu mnalo
Simba tuwe wavumilivu saana timu zinatukamia Sana maana zinajua hazituwezi
Nawew kamia
Haziwawezi huku mnakalia pumbavu nyie
Wabongo hatuwezi kwel
Marawa bora