Siku moja kabla ya dereva bodaboda na mpenzi wake kuuwawa
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Mwananchi Digital Imefika eneo ambalo limechimbwa kaburi la kumpumzisha Dereva Bodaboda aliyefahamika kwa jina la Dominick Kigula aliyeuawa akiwa pamoja na Mpenzi wake Ester Shiago na kuzungumza na Mwenyekiti wa Bodaboda wa kijiwe alichokuwa akipaki Dominick wakati walipokuwa wakichimba Kaburi la Kumpumzisha Mwenzao ambaye hapa anatueleza namana ambavyo Dominick aliondoka Kijiweni hapo Mara ya Mwisho kabla ya Mauti Kumfika
Diji sema diji Mwananchi diji..
Mwenyekit mbona hujui kupangilia maneno unaongea kama moto mpaka unatupa tabu kupata code
Hata kuvurugukika kwa hiyo ndoa ni huyo binti
Iyo ndio faida ya usalit
Nimeelewa
Mungu awapunguzie adhab ya kabur