"Matumizi ya mtoto nilikuwa natoa, sijui kwa nini Gigy...! MoJ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 май 2018
  • MoJ ameleta haya baada ya kudaiwa hatoi hela ya matumizi ya mtoto....tazama hapa.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 151

  • @aminabakari553
    @aminabakari553 6 лет назад +5

    Dah pole sana moj ila mungu yuko pamoja na sisi ila wanawake tuwe makini sana sometimes tunaweza kupendwa tukajitia hamnazo kwaajili ya hela mungu atakujalia utapata hela moj ila hela ndo shida

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or 6 лет назад +10

    Jamani wanaume wazuri wanapata wanawake shoti

  • @salmangassu1011
    @salmangassu1011 6 лет назад +3

    Naipenda sana sauti yako nakupenda pia japo
    Kila mtu anamapungufu yake

  • @reginajuma1740
    @reginajuma1740 6 лет назад

    This guy is so sweet!

  • @gee01online95
    @gee01online95 6 лет назад +2

    pole sana mo j

  • @rebeccaasiyo4223
    @rebeccaasiyo4223 6 лет назад +10

    Who is telling the truth now??? Giggy akiongea unaona ni kweli kabisa...huyu sasa pia anaongea kama malaika ....its really hard to judge

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +3

    Mackini, Mo J anatia huruma, pole sana Brother njoo kwangu utojutia, inasikitisha sana kwa yaliyokukuta.

    • @nasrallynuru1703
      @nasrallynuru1703 6 лет назад

      acha mambo ya kijinga ww ww ndio nani

    • @nasrallynuru1703
      @nasrallynuru1703 6 лет назад +1

      acha mambo ya kijinga ww ww ndio nani

    • @saidkaoneka2648
      @saidkaoneka2648 6 лет назад

      Saumu Hassan 😂😂😂wao my nakupenda sana dada me ni bint

  • @ashunmohd9182
    @ashunmohd9182 6 лет назад +7

    Ila gigy haki sijui ni mwanamke wa aina gani...moo j una moyo wa chuma kwakweli kwenda kuzaa na gigy???

    • @mariaferick7381
      @mariaferick7381 4 года назад

      Ashun Mohd nenda kamsikilize na gigy sio unalopoka tu ,uwajui wanaume wew

  • @hyldanicolemathias9236
    @hyldanicolemathias9236 6 лет назад +8

    ukifatilia story iz mbil kwa mwelewa lazma ung'amue kitu uyu kaka sio chiz jaman KTU anachoengea kimenyoka tofaut na mwenzake

    • @samira0616
      @samira0616 6 лет назад

      Hyldanicole Mathias kabisa gigy ana akili

    • @sallykanze
      @sallykanze 6 лет назад

      Hyldanicole Mathias kabisa huyu kaka mm mbona nimemuelewa

    • @rehemamusa3251
      @rehemamusa3251 4 года назад

      Mxhkaj kaeleweka mbn

  • @furahaisack4486
    @furahaisack4486 6 лет назад +2

    Jamooon! Mungu anamuona why anamfanyia hvo huyo mtoto kweli mziwa yake anakamua anampa mtoto, technology nyingine bwan

  • @niyomwana7366
    @niyomwana7366 6 лет назад +1

    Pole sana mo j

  • @christophermartin4572
    @christophermartin4572 6 лет назад +3

    Wewe kaka umejichanganya kuzaa na kahaba ambalo halifugiki ila pole sana ndio ujifunze ili kisije kikakurudia tena ktk maisha yako

    • @pilipili3853
      @pilipili3853 6 лет назад

      Christopher Martin saiti yako tu inanimaliza moj

  • @ftmat2805
    @ftmat2805 6 лет назад +9

    Ggy mshirikina sana

  • @mariamkhamisi5575
    @mariamkhamisi5575 6 лет назад +9

    jamani hii sauti yake tu yanimaliza

  • @emmajulias5688
    @emmajulias5688 5 лет назад

    Gigi moj anakupenda sana kaeni mzungumze plz

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 6 лет назад

    Film

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 6 лет назад +4

    tobaaaa si yatachacha hayo maziwa

  • @33-snchronized
    @33-snchronized 6 лет назад +5

    Tengeneza movie bro utauza kichiz story tam AF unajua kujielezea

    • @latifawangu9172
      @latifawangu9172 6 лет назад +1

      Ildephonce Kisasi we chizi ujue yaani umeshaona fursa

    • @33-snchronized
      @33-snchronized 6 лет назад

      Sasa ugomv tayar ishatokea next fursa hamna cha maana tena

  • @saidkaoneka2648
    @saidkaoneka2648 6 лет назад

    Kweli sauti yako iko nice brother Gigy mahela kichefuchefu tu

  • @estherauma9740
    @estherauma9740 6 лет назад

    Waaaaaaaaaah pole kaka

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 6 лет назад +12

    Kaka unasauti nzr uyu gigy hajielewi achana nae

    • @samira0616
      @samira0616 6 лет назад

      Asia Zuberi 😂😂😂😂

    • @marcomwaimu3979
      @marcomwaimu3979 6 лет назад

      hahaaaa

    • @edwinfweni
      @edwinfweni 6 лет назад

      Sifa zimeiva😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @edwinfweni
      @edwinfweni 6 лет назад

      Mekuona kwa Millard ad huku😂😂😂😂😂😂😂😂
      #we ndo next ...I guess# jux kiddin

  • @winieadam4903
    @winieadam4903 6 лет назад +2

    ulikosa mwanamke wakuzaa nae...... pole sana ....ila jitahidi tu kutafuta solution ya mtoto ...maana mama kichaa

  • @lucyemmanuel5164
    @lucyemmanuel5164 6 лет назад

    inashangaza sana kuona mwanaume anajua kulea zaidi ya mwanamke,vitu muhimu anavijua kama feni si nzuri kwa mtoto ila mama anaona poa tu,kudhulula na mtoto hata arobaini bado,mie nimekuelewa sana moo

  • @milly5556
    @milly5556 6 лет назад +1

    Omg help this baby aki

  • @shanisaidy5033
    @shanisaidy5033 6 лет назад

    Pole sana kaka ndoa ni kuvumilian 2

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 6 лет назад +6

    bas huyo mtoto atapata shida maana mama mwenye kichaa

    • @salmangassu1011
      @salmangassu1011 6 лет назад +1

      Salma Othman kabisa baba ndio anahuruma na mtotoalie enda leba hana habari gigi tulia jifuze kwahata kwa wenzio

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 6 лет назад

    Mtamlaumu bure huyu giggy wenu tatizo ni mazingira aliyokulia na kusema ukweli kama yeye mwenyewe hataweza kujitathimini na kubadilika itakua ndio maisha yake milele.

  • @faithakoth7396
    @faithakoth7396 6 лет назад +7

    Ndoa mtihani jamani

    • @sky-wz5zi
      @sky-wz5zi 6 лет назад

      Faith Akoth .

    • @samira0616
      @samira0616 6 лет назад

      Faith Akoth ww awajaoana awa

  • @blandinamrope3860
    @blandinamrope3860 6 лет назад

    Mo j wewe tulia utapata mwanamke ambaye anakupenda kwa dhati coz G alikuwa hakupendi ingekuwa anakupenda angekusikiliza unachomuelekeza,alafu chengine akumbuke kwamba pesa zinatafutwa kinachotakiwa ni mapenzi ya dhati,alafu katika maisha sio kila siku utakuwa na pesa kuna muda mtu unakwama,na chengine anakuacha wewe unayempa elfu 5000 anaenda kwa mtu mwenye pesa anajua huyo mwenyepesa kazioatajepataje,chengine kuwa makini na mtoto wako coz yy ndio kila kitu, muombe sana mungu atakusaidia atakupa faraja utayasahau yote coz changamoto nisehemu ya maisha na unapopitia changamoto mbele kunamafanikio so neema yako inakuja ipo njiani.

  • @josephsanduli.5216
    @josephsanduli.5216 6 лет назад +3

    gigy kahaba tu huyo ukitaka kufatilia matatizo yake angalia alivyokuwa anamtukana yule mjumbe!!

  • @edwinfweni
    @edwinfweni 6 лет назад +1

    Usijaribu kuoa #team kudanga...(sijataja jina)🙈🙈🙈🙈

  • @salmaraju4175
    @salmaraju4175 6 лет назад +1

    Angalia maisha ya mtt that's all

  • @doreenvero3567
    @doreenvero3567 6 лет назад

    moo j njoo kenya

  • @selestineosoo5045
    @selestineosoo5045 6 лет назад +2

    Moj, please njoo kenya utapata mke mzuri..

    • @yasmeenyusuf1265
      @yasmeenyusuf1265 6 лет назад

      selestine osoo kwani huko Kenya hakuna wanaume wa kuwaowa hadi umuombe mo J aje Kenya aowe?

    • @merryn4891
      @merryn4891 6 лет назад

      +yasmeen Yusuf ha ha haaaaa helo nalo neno

    • @merryn4891
      @merryn4891 6 лет назад

      +yasmeen Yusuf ha ha haaaaa helo nalo neno

    • @yasmeenyusuf1265
      @yasmeenyusuf1265 6 лет назад

      Meresiana Were nashangaa hawa wakenya kutwa kujifanya wao ni bora kuliko watanzania.. Mxxxyyuuu.

    • @merryn4891
      @merryn4891 6 лет назад

      +yasmeen Yusuf hawan lolote kila mtu na bahati yake wanaweza kujiona wanaheshim kumbe hakuna

  • @getrudamatoto1979
    @getrudamatoto1979 6 лет назад +1

    Gigy tulia ulee mtoto hata miezi mitatu bado unazurura nae utamuua wallah

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 6 лет назад

    Sasa gigy waona ulivochafua bahari?
    Wewe umesema sana Na moj ajitetea,
    Mwisho maisha yako yatembea mtandaoni. Haijakua na haja kusema mambo yako ya ndani hadi ile. Ebu kuwa, Wacha tabia za kitoto hizo.
    Ulishamjua hana Hela kutoka mwanzo, Sasa nini kumfedhehesha hadharani namna hii?

  • @rehemamusa3251
    @rehemamusa3251 4 года назад

    Daah mwanaume nd anajua malez ya mtt kuliko mwanmke w gigy kwl azmo jmn

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid9764 6 лет назад +5

    Movie iliyo tafsiriwa Kwa kiswahili karibu Kwenye Akaunti yangu Mambo Ni 🔥🔥🔥

    • @rubnagadafi8367
      @rubnagadafi8367 6 лет назад +1

      MOVIE ILIYO TAFSIRIWA KWA KISWAHILI ngoja ni subscribe bas

    • @uwesusaid9764
      @uwesusaid9764 6 лет назад

      Rubna Gadafi WhatsApp unaweza Kunipata Kwa number Hii 0655712955

    • @rubnagadafi8367
      @rubnagadafi8367 6 лет назад

      MOVIE ILIYO TAFSIRIWA KWA KISWAHILI ooh nilijua uko na channel RUclips

  • @tatunaally1510
    @tatunaally1510 6 лет назад

    Kaka anaonekana kalia sana pole

  • @hildaromani8241
    @hildaromani8241 6 лет назад

    Am single

  • @mariamkhamisi5575
    @mariamkhamisi5575 6 лет назад

    masikini mtoto mdogo hakuna cha moto lazima afunikwe vizuri

  • @user-pn7er7ej2i
    @user-pn7er7ej2i 6 лет назад +2

    Wewe badokijana fanyayako achananae

  • @joselendena2448
    @joselendena2448 6 лет назад

    yuleee kahabaaa mo.j hajui. kua mtu akizaa unatakiwa utulie nyumbani....ana tamaaa sanaaaa
    baadh yawanawake nima k.
    sana hawajuagi kua..shida wala nini ,wao wanapenda tu .mda wowote uwe. nazoo pumbavuu zenu...ndio mana_sisi wanaume..
    tukisha ona jitu lina taaama
    tunajitaid ili. utiwe eee
    usepeh....tabia mbayaa kwanini
    tusi vumiline.....mdawowo...una mpigia mtu hesabu tofauty ..nakipato chake mamayeeee. k. nyieee

  • @reginakibona9052
    @reginakibona9052 6 лет назад

    Gg nawewe mwanaume gani.

  • @gracemasawe6994
    @gracemasawe6994 6 лет назад

    Napenda sauti yako

  • @ackeypatrick7661
    @ackeypatrick7661 6 лет назад

    naomba nimshauri dada giggy maana uyoo mtt bado mdogo sana anatakiwa uangalizi wa halii ya juu mtt hatakiwi kutikisika kichwa coz atakuja kuwa na utindio wa ubongo na maziwa anatakiwa kumnyonyeha mwenyew asikamuee maziwa ajaribu kupata MTU wa kumpa ushauri au kumuelekeza jinsi ya kulea na Kama alikuwa bado hajamaliza mambo yake asingezaa

  • @sanifarashid13
    @sanifarashid13 6 лет назад +1

    we mwanaume nakushauli tuliza kichwa usipanc japo sio rahs Fanya kama umefundwa we piga kimya

  • @augostinermercy1542
    @augostinermercy1542 6 лет назад +3

    Watanzania mlikosea mungu wapi?#254

    • @oneonone6628
      @oneonone6628 6 лет назад

      Augostiner Mercy uchawi ndio wako nayo mingi😂😂😂 gigy na hamissa wanatumianga uchawi kuvuta wanaume then ina backfire

    • @augostinermercy1542
      @augostinermercy1542 6 лет назад

      +Maggie Ngumi sio wao tu dear wako wengne wengi tu,tuseme wanawake wa tz utumia uchawi kwa wanaume and to make the matter worse this country is full of crap dear,they need education jamani,, don't forget #254 is my country.

  • @josephinekanaiza2945
    @josephinekanaiza2945 6 лет назад

    Eeeeeh haya ni magumu jamani

  • @ablahasa1233
    @ablahasa1233 6 лет назад

    Mo J nimemuelewa story yake km yupo sahihi ivi

  • @marynyabenda9647
    @marynyabenda9647 6 лет назад +2

    yesu wangu weeeeee, yaani anamkamlia maziwa mtoto!!!!! yaani uyo so mwanamke jamaniiiii duuuuuuuuuuu

  • @sesiliachungu1118
    @sesiliachungu1118 6 лет назад

    uko sahihi kaka nimefulahi kwakuwa unajua haki ya mtoto nini

  • @shakirshakir9100
    @shakirshakir9100 6 лет назад

    ila kka pol sn

  • @christinahenry405
    @christinahenry405 6 лет назад

    Jamaniiiii huyu gigy Ana mdudu washa kichwani, yaaaaan hiyo saut tu yake tu msamaha toshaa, yaaaaan unavyoongea unaonyesha kbsaa una uchungu kutoka rohoni kbsaaa ila wew kaka kwa gigy ulienda haraka,

  • @onelove2927
    @onelove2927 6 лет назад +2

    mwanamke unatakiwa umpe mahaba sio mangumi

  • @user-pn7er7ej2i
    @user-pn7er7ej2i 6 лет назад

    Wewe kk ukofresh huyu dada malaya fanyayako kaka malaya ha fugiki

  • @shakirshakir9100
    @shakirshakir9100 6 лет назад

    so kwli hat km ni dw za kienyj kwnn bba asimushka mtot so kwli

  • @nashonshimba3614
    @nashonshimba3614 6 лет назад

    wanawake mnashida sana ya kuolewa maana kila comment za madem naona wanataka kuolewa na mo j au mnajua ni mo yule wa simba

  • @rosechami649
    @rosechami649 6 лет назад +6

    yani nyie mtaua ako katoto walahi

  • @ftmat2805
    @ftmat2805 6 лет назад

    Kila kitu mwayamwaya

  • @giftimelda4811
    @giftimelda4811 6 лет назад

    Ha ha ha Eti Mtoto kawa mwekundu anajisikia joto unawasha feni

  • @starnewstvtv1126
    @starnewstvtv1126 6 лет назад

    Maisha ya ndoa yataka moyo

    • @natamasawe318
      @natamasawe318 6 лет назад

      Mtoto anatakiwa kunyonyeshwa maneno mengi hayana maana mtoto kwanza mengine baadaye

  • @nakirutimanasesile470
    @nakirutimanasesile470 6 лет назад

    ggy siomuzim

  • @khadijajuma9962
    @khadijajuma9962 6 лет назад

    lakini gigy kwanini asinge kula uzazi kwa mama yake ata miez 3 tu

  • @veronicahwaithuki2999
    @veronicahwaithuki2999 5 лет назад

    Kuja unioe moj

  • @mahijamasukuzi9246
    @mahijamasukuzi9246 6 лет назад

    Gigy nae hajatulia

  • @emmajulias5688
    @emmajulias5688 5 лет назад

    Mlee mtoto wenu

  • @aminaluttu8339
    @aminaluttu8339 6 лет назад

    nilichokigundua gigy akili yake haiko sawa katoto atakaua maskin maji ya barid fen mmh shughuli

  • @julianamoses8004
    @julianamoses8004 6 лет назад

    Jamani mkaka anatia hutuma

  • @shakirshakir9100
    @shakirshakir9100 6 лет назад

    anaongp mazw yatalla du

  • @lucykibona8584
    @lucykibona8584 6 лет назад

    Nimecheka japo hayafurahishi eti mtoto mwekundu atakuwa anajisikia joto 😀😀😀

  • @florencemwikalimuthusimuth2442
    @florencemwikalimuthusimuth2442 6 лет назад

    Young man,u care a lot about ur button that ur kid..

  • @reginakibona9052
    @reginakibona9052 6 лет назад

    hunaakiri mubwa mukubwa wewe huwezi kumuasha mwanamuke arare shini unajuwa ushugu wewe kafie bere huko husimuribie marego mutoto watuu

  • @ikkyeggal5657
    @ikkyeggal5657 6 лет назад

    mbona anahangaika hivyo? hiyo mikono vp, dalili ya mtu muongo🤣

  • @bebrisnathanie1560
    @bebrisnathanie1560 6 лет назад

    Muhimu atafutwe na mama yake gigy

  • @manaalbaba
    @manaalbaba 6 лет назад +2

    Uyu mchaga lazma

  • @asinahhussen4377
    @asinahhussen4377 6 лет назад

    poleeee ndo lyfe iyoo now achana na maneno focus na lyfe yko tyu broo

  • @aitamakere2849
    @aitamakere2849 6 лет назад

    mtajibeba pumbavu zenu

  • @sasherbaiby7277
    @sasherbaiby7277 6 лет назад

    Pole umeingia Choo chakike kaka uyo si mwanamke wakuoa

  • @pretty6641
    @pretty6641 6 лет назад

    Mo J njoo +254 nakungoja usiwe na shaka am damn serious just want your heart not money, mengine badae mwenyezi mungu atatujalia

  • @tdddfdt6226
    @tdddfdt6226 6 лет назад

    Moj-waonekana-mwoga-shida-nnini-au-wewe-wadanganya-unavyoonekana-wewe-mwongo-kabisa-

  • @datimtalika8035
    @datimtalika8035 6 лет назад +1

    Uyo moj muongo tu malaya mbwa uyo

  • @jamilasadam4235
    @jamilasadam4235 6 лет назад

    Hv kwnn akiongea mkono anawek pembn mwa pua 🤨uongo tu kwendraaa

    • @happysindani6708
      @happysindani6708 6 лет назад

      Jamila Jamila kila mtu na style yake katika uongeaji,,,hata ww unapoongea mbele ya kadamnasi huwa kuna namna unafanya ili kutafta confidence so no perfect under the sun.👌

    • @jamilasadam4235
      @jamilasadam4235 6 лет назад

      Happy Sindani 😂😂😂😂😂lol kazidi mooo jejoooo

  • @mariamkhamisi5575
    @mariamkhamisi5575 6 лет назад

    pole kaka ulipambana ci haba huyo gigy anaonekana tu mkora

  • @shakirshakir9100
    @shakirshakir9100 6 лет назад

    ila kka pol sn