KIMBIA UMASIKINI KWA KUOGA MAJI YA HASADI PATA NAFUU SASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 14

  • @rajabnyoka-vv5vh
    @rajabnyoka-vv5vh Год назад +1

    Assalamu alikum warahmatullahi wabarakatuh,ust,na kama katika sehemu unayoishi ama mahali unapoishi,kuna hivi vitu vinaitwa panga za wanga,je ukitaka kusambaratixha uchafu huo unatumia nini ama unafanya nini,nikimaanixha mfano vitu hivyo vinawasumbua sana wakaaji wahasehemu kama hizi tunafanyaje iki kuokoa jamii,wasije kimbilia kwa makuhani na waganga, shukran.napenda sana kujua inxhaallah ili tuone namna yakuokoa jamii biidhnillahi.

  • @rajabnyoka-vv5vh
    @rajabnyoka-vv5vh Год назад

    Naswali la pili,je ukitaka kumzui mwanga ama wanga wasiweze kuingia katika nyumba tunafanya nini ama kumfedhesha mwanga je tunafanyaje ust ? Tufaidixhe ust inxhaallah na mola akulipe pepo aameen.

  • @sophiemuhammad4947
    @sophiemuhammad4947 Год назад +1

    Mashalha

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 Год назад

    Mashaallah x2. Tiba nzuri Sheikh wangu Allah akujaze kheri innshaallah. Sasa ni mwaka gani huu tuje??.

  • @barkaabdallah2407
    @barkaabdallah2407 Год назад

    Masha Allah
    Allah akupe kila la kheri Sheikh wetu

  • @FatmaMohamed-cq2tn
    @FatmaMohamed-cq2tn Год назад

    Barakallah fikum salamu nimepata umm hudhaifa natamani ningekuja ila khatua haijaniruhusu. Maradhi

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Год назад

    Kama kichwa cha habari kiko sahihi basi acheni utapeli waislam wanataka kujua dini yao msitumie aya za Allah kuwatapeli watu

  • @kudramambosasa-jc6oq
    @kudramambosasa-jc6oq Год назад

    Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh. Shkh kama humjui alokufanyia hasad au kijicho na wewe wataka ujiondosha hiyo hasad je waweza jitengenezea hayo maji na ukayaoga?

  • @mkmwayama4534
    @mkmwayama4534 Год назад

    MashAllah...shk...Allah akupe umri mrefu....uendelee kuijuza jamii

    • @fatumahayani4671
      @fatumahayani4671 Год назад

      Mashallah Allah atakulipa na atakujalia wema daima na atakuhifadhi

  • @rajabnyoka-vv5vh
    @rajabnyoka-vv5vh Год назад

    Na swali la mwishe je tunafanya nini kumfurusha jini mxumbufu katika mwili wamwanadamu jini asiyetaka kuelewa hata ukamfanyia kisomo je jini wanamna hii tufanya nini ama tunatumia nini ama dawa gani au kisomo cha namna gani ndio tuweze kumfurixha jini wanamna hii?

  • @saidmkashari6002
    @saidmkashari6002 Год назад

    Assalamualaikum mwalimu kama ukitaka kufanya ww mwenyewe Je unafanya vipi?

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 Год назад

    mashaallah