AAWRLWB. Qaalaa Rasuwlu Llaahi S.A.W. Kullukum raai'i,wa kullukum mas'uwluun a'an rai'iyyyatihi. Hili suala la Former Councillors kulipwa Honorarium ya KShs. 1.5M plus KShs. 30,000/= monthly hadi kufariki,lilipitishwa na Senate kutokea 2016,2018+2022. Hadi hii leo Sun21stJul2024 hatujalipwa,kila mwaka twaahidiwa kutiwa kwenye Budget,wala hakuna lakuwa,kimya! Wenzetu wengi wamesharudikwa Mola Wao,na tuliobakia hatujijui. Ukae na MPs,Snt+Wmn Rep. wafuwatilie jambo hili,mupate radhi za ALLAAH,kuwatetea wanyonge,mutavuna THAWABU za 47 Counties,na radhi za wale walio tangulia mbele za HAKI,watakapo lipwa their
Gen z may God protect you all oh Lord guide us and be with us,give us time to wander and explore this beautiful world God in Jesus name we pray amen 🙏
Msg to reach Gen. Z.
AAWRLWB.
Qaalaa Rasuwlu Llaahi S.A.W. Kullukum raai'i,wa kullukum mas'uwluun a'an rai'iyyyatihi. Hili suala la Former Councillors kulipwa Honorarium ya KShs. 1.5M plus KShs. 30,000/= monthly hadi kufariki,lilipitishwa na Senate kutokea 2016,2018+2022. Hadi hii leo Sun21stJul2024 hatujalipwa,kila mwaka twaahidiwa kutiwa kwenye Budget,wala hakuna lakuwa,kimya! Wenzetu wengi wamesharudikwa Mola Wao,na tuliobakia hatujijui. Ukae na MPs,Snt+Wmn Rep. wafuwatilie jambo hili,mupate radhi za ALLAAH,kuwatetea wanyonge,mutavuna THAWABU za 47 Counties,na radhi za wale walio tangulia mbele za HAKI,watakapo lipwa their
Next-of-kins. Shukran-Cllr. FaroukYusufTamim Baalawy-001. 1963/2010.