"Hayupo tena na sisi, najua atakuwa na furaha kwa Mungu."

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Baada ya jengo la shule la ghorofa mbili kuporomoka katika jimbo la Plateau nchini Nigeria, familia ya Onovo imeongea na BBC na kuelezea majonzi yao ya kumpoteza mtoto wao wa kiume mwenye umri wa miaka 16 katika tukio hilo.
    #bbcswahili #nigeria #plateau
    Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Комментарии • 1

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 Месяц назад

    Risala za rambi rambi kwa wale waliopoteza wapendwa. Mungu aweke mioyo yao mahali pema peponi na kufariji wale waliofiwa. Poleni sana!