Ila hii movie huwezi kuangalia na watoto au dada zako 😂😂😂 hiyo sauti ya kunyanduana sio poa bro. Jitahidi urekebishe hicho kipengele ila hongera kwa kazi nzuri na usichoke kupokea ushauri wetu
Ila ukweli hii sauti sio nzuri, inabidi aoneshe ishara tu kuwa wamenyanduana yaan kama vile mwanaume ako na boksa na mwanamke yupo na night dress , hivyo itaonyesha wametoka kunyanduana.
Kuna msemo unasemaga ivi chizi kama hatokei kwenye Familia yenu anachekesha kwa hio haya mambo hayajakukuta unaona kama hayapo Naya nachekesha@@BensonNelson-s4g
Sema mda niki2 muhim sana najua mjeda anampa mda2 mda ukifika atajua mana si kwa utulivu huo wala hana hasila hta kidogo ingekuwa mm hapa kwanza plesha ingeniua
Ila hii movie huwezi kuangalia na watoto au dada zako 😂😂😂 hiyo sauti ya kunyanduana sio poa bro. Jitahidi urekebishe hicho kipengele ila hongera kwa kazi nzuri na usichoke kupokea ushauri wetu
Nirivyosikia wananyanduana nikaisi amu😂😂😂
@@DidaAlly-iz1it umalaya tu kuolewa aaaah 🤣🤣🤣
Ila ukweli hii sauti sio nzuri, inabidi aoneshe ishara tu kuwa wamenyanduana yaan kama vile mwanaume ako na boksa na mwanamke yupo na night dress , hivyo itaonyesha wametoka kunyanduana.
Ivyo ndonzuri
@@MathayoSuwi umalaya tu kuoga aaaah 🤣
nime mpata Kanumba mwengine jameni hongera Kakangu
Anafanana sana na kanumba
Una moyo sana brother. Sema kwa kuwa ni movie. Ila cjui km haya yapo ya kweli kwenye hii Dunia
Yapo na mengitu usiombe ukutane bayo
Kuna msemo unasemaga ivi chizi kama hatokei kwenye Familia yenu anachekesha kwa hio haya mambo hayajakukuta unaona kama hayapo Naya nachekesha@@BensonNelson-s4g
Yapo sana walio wengi wanauliwa sana emagine imekutokea wewe
Yapo kabisa
Naombeni mmtoe papi Kwenye hii game anakera sanaaaa
Mjeda nakukubali saaaaana mikazo💪💪💪💪
Duuu move tamu sana inaburudisha hasa kwa ss ambao tupo single noma sana
Tunao angalia hiii move tujuan maan ni hatar
Dah inaumiza kinoum aisee😢😢
Ukiangalia mmewe ni mzur hata kuliko uyo papi mwenyewe mm nasikia hasira Sana Mkaka nzuri ivi akiteseka na mapenz yaan dah
Jamani wanaume kama Huyo jamaa, bado Wapo Kweli, na mama Wapo wako wapi)?? Any way move inafunzo kubwa Sana
Niko hapa
🙇🙇🙇
@@PriscaMaulidp ❤ Niko Napa
Haiwezekan mwanajeshi avumbie macho suala kama hilo bora ungeigiza kama mtu wa kanisani kk
Kaka upewe maua Yako una hekima sana
Pole sana brother umpendae nae kapenda mwengine 😢😢😢
Hongera sana mungu a alikiba kazi yamikono yako
Naomba mungu anipe mume kama huyu king❤
Jamn Mungu nipe mtu kama huyu kaka😂 jamn ❤
Papi kunyandua tu kufanya kaz aaaaaaaaaaah
Nakupenda bure we mkaka
❤❤❤asant bro kaz nzuri
Wewe kaka mm sijui nisemeje yani unajua kuakty yani daaaa
Huo mlio wa makofi pa pa pa pa!!ndio unaumiza moyo sana 😅
Napenda unavo pokea ushauri wetu
Kazi nzuri kaka Una moyo
Yapo zaidi ya haya Duniani.Mungu Atuepushe na wanawake wazinifu
❤❤❤mm nnampa ongla uyo jmaah
Jaman mkaka adi anatia huluma mpaka loho inaniuma me nta Acha sasa kuangalia hii move
Wanawake hamfiki mbiguni nawachukia sanaaaa
Yaan we dada uko n mwanaume mzuri ivo alafu unanyanduliwa nawengine ww
Yani inikute mm nawatufyula kizazi walai tena.kazi nzuli
Huyu dada n mzima kweli,nguo za mumeo wampa danga kwrli😮
Ww unamuona zinamtosha kitendo tu chakufumaniwa Kila siku na hakomi na anaingiza mwanaume mwingine kwenye nyumba ya mme waki dhahiri akir hana
Papi hana mapenzi yoyote!!!....tamaa mingi tu na ung'ang'anizi😢😢😢
Kazi nzuri kaka
Hongera kaka ukimya pia nalo n jibu
Move iko vzr sema bro anaumia vibaya
Oy kamanda sema hii mmeigonga san yan nimeikubali mno
Sema hii move uku inapoendelea itakua mbaya sasa inawezekana vp staa mwenyewe anachitiwa alfu afanyi maamuzi yyte! 🔥 🔥
Si ndo hapo😂😂😂😂
Aky huu moyo wenye na huyu mkaka sijui kama yuko mwanaume kama huyu ninavyo jua wanaume daah hawsna subra 😂😂😂😂😂 kwakweli inauma sana
Kingi upo vizuri sana mi napenda macho yako
Kaz Nzur Mzee Kwa Sisi masera Tunaelewa 😂😂😂😂
Nmepata tuxo nzuri kakangu saaana
Hongereni San kaz nzuriiii
Jamani maua utamuuwa mtoto wa watu na hayo unayomlipia noma sana
yaan mim napata hasira sana
❤❤❤tobaa 😱 papi ww uwiii😂
Nkubal san king noely
Daaah jamani noely nakuonea hurum 😢😢jmn pole noely
Dah unamoyo kakayangu ilapole alafu wewe mbona mzuli tu uyo anafel WAP
King ii ngoma vip daaah oyaaa izi mov dah🙌 kaka iyo character ulio ichagua daaaaah ya moto sana appreciate
Sema Hapo Kwenye Miguno kaka Kama Mimi Anaelewa Ila Watu wazima wazfa na wengineo hawatapenda Usichoke kupokea ushaur
Daaahh kaka jaman mbona mpolee sana lkn piah hongera sana Kwa uvumilivu unaona maana dhuuuu
Mimi hyo siez stahimili nngekua noely I could be in jail juu eii😂😂😂
mbn mnachelew sna kutoa epsod aiseeeee
Hata kwa kuigiza tu mi siwezi kuvumilia
Poe san bro iyo inakuwag
@@mariamndikumana sure
Kazi nzuri sanaa hongera
Hakunaga mjeda mshamba kias hicho bhana acha kuzubaa
hongear san mjeda kwa kaz uloifanya
hongeraaa bro
Kazi nzur sana king noel❤❤❤🎉🎉🎉 much love from saudia Arabia really appreciate
Jameni ata maua Hana utu,hamhurumii Noel Kwa he ayo machozi yanamtiririka kila mara
Daaa moyo huu ni waajabu
Maua atari analalamika uyo
Khaaa movie ina umalaya hiii😂😂😂 sema ni nzur mpunguze umalaya tu
Inauma sna jamn kaka nimekupenda sana 💔💔💔
uy kaka ana hasira za haraka dah
Nakukubari kka kiz mzur
Ila Noel nimekuambia nikupenda mim hutaki umeenda kwamauw anakutes😂😂😂😂😊
Ila huyu jamaa kaboa so poa yaan hamfikii chchte bro yaan mpaka hndsom no! Najiuliz dada kafa nn kwa msela au kero
Mwanaume kama huyu nampata wapi mie eeeh mungu nipe mtu wakufanana nae🙏🙏
Nataka nifanye Kaz na ww brother
😎😎kwan jaman wenye haya mapenzi niwakina nan
wanaume inabidi tuwe wavumilivu kiasi hicho wote 😂😂😂😂😂
Mmmmmm nkipata mwanaume Kama king nely ntaenjoy sana
Yapo sana tu sema hayakukuta
Kweli kunumba part 2 hongeara sana kaka
Safi sana braza kazi nzuri
King noel kama King 😂😂😂😂
Kazi nzuri brodah ✌️✌️
Kaka achana na Maude nko mm hapa dor
😂😂❤❤❤🎉🎉jitahidi
Kaka nko hapa sijaona wanaume mwenye kama wewe salut
Isikie kwa jiran usiombe yakukute, unamoyo sana kaka
Mbona kidole kimoja hajabandika kucha😂😂
ILA HUYO JAMAA KWELI HAKURUPUKI ANATUMIA HEKIMA SANA BIG UP BROO NOELY.
mmh,, bro,, kuna k2 nimeisha jifunza kutka kwako,, hakika mngu akujalie kupitia maumivu hayoo🙏👏👏👏
Ila hii move ina leta hisia 🤣🤣🤣 pumbavu dah!
Ujasiri Kwa mwanaume nimdg sana Ila wewe hongera km nikwel
Sema mda niki2 muhim sana najua mjeda anampa mda2 mda ukifika atajua mana si kwa utulivu huo wala hana hasila hta kidogo ingekuwa mm hapa kwanza plesha ingeniua
Huyu Papi anazingua muda wote utemi tu mtu mwenyewe marioo
Kaka Hata kama ni muv mungu akulinde
Sema bro nimejifunza kitu wanawake ukiendekeza kupiga unaweza kuozea jera😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nice 💥💥 bomba kinyama
😂😂hiyo milio uwiiii
Dhaa aise papi atak kuelew yupo kwenye penz m.bashara ila yey anafaid ella pia fedha
afu mwanamke analoh ngumu knoma😂
Kazi nzuri Kaka pita na mlango 🇰🇪🇰🇪
Moyo huu mimi sina kwakweli
Dah kwamba unamoyo hata kama kuingiza sio kwa kishindo hicho
Daah kam ww unachukua mamuz gan ap
Kaka kazi nzuri ila uwe atamkali jamani unaonelka sana
Oooiii sisi masela tunaelewa unacho kaza kaka