MAPENZI NI GAME EPISODE 4

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 398

  • @SalimSalim-wp3zx
    @SalimSalim-wp3zx 3 месяца назад +56

    Ila hii movie huwezi kuangalia na watoto au dada zako 😂😂😂 hiyo sauti ya kunyanduana sio poa bro. Jitahidi urekebishe hicho kipengele ila hongera kwa kazi nzuri na usichoke kupokea ushauri wetu

    • @DidaAlly-iz1it
      @DidaAlly-iz1it 3 месяца назад +5

      Nirivyosikia wananyanduana nikaisi amu😂😂😂

    • @SalimSalim-wp3zx
      @SalimSalim-wp3zx 3 месяца назад +5

      @@DidaAlly-iz1it umalaya tu kuolewa aaaah 🤣🤣🤣

    • @SalimSalim-wp3zx
      @SalimSalim-wp3zx 3 месяца назад +1

      Ila ukweli hii sauti sio nzuri, inabidi aoneshe ishara tu kuwa wamenyanduana yaan kama vile mwanaume ako na boksa na mwanamke yupo na night dress , hivyo itaonyesha wametoka kunyanduana.

    • @MathayoSuwi
      @MathayoSuwi 3 месяца назад

      Ivyo ndonzuri

    • @SalimSalim-wp3zx
      @SalimSalim-wp3zx 3 месяца назад +2

      @@MathayoSuwi umalaya tu kuoga aaaah 🤣

  • @amadasaloon101
    @amadasaloon101 2 месяца назад +15

    nime mpata Kanumba mwengine jameni hongera Kakangu

  • @yonnamgonde3044
    @yonnamgonde3044 2 месяца назад +11

    Una moyo sana brother. Sema kwa kuwa ni movie. Ila cjui km haya yapo ya kweli kwenye hii Dunia

    • @BensonNelson-s4g
      @BensonNelson-s4g Месяц назад +1

      Yapo na mengitu usiombe ukutane bayo

    • @dogojanja6235
      @dogojanja6235 Месяц назад

      Kuna msemo unasemaga ivi chizi kama hatokei kwenye Familia yenu anachekesha kwa hio haya mambo hayajakukuta unaona kama hayapo Naya nachekesha​@@BensonNelson-s4g

    • @GoodluckJonathan-y8t
      @GoodluckJonathan-y8t Месяц назад

      Yapo sana walio wengi wanauliwa sana emagine imekutokea wewe

    • @LaziaHuston
      @LaziaHuston 15 дней назад

      Yapo kabisa

  • @NeyOctavia
    @NeyOctavia Месяц назад +4

    Naombeni mmtoe papi Kwenye hii game anakera sanaaaa

  • @rajabuhassan9779
    @rajabuhassan9779 2 месяца назад +8

    Mjeda nakukubali saaaaana mikazo💪💪💪💪

  • @StevenMakanja
    @StevenMakanja 2 месяца назад +3

    Duuu move tamu sana inaburudisha hasa kwa ss ambao tupo single noma sana

  • @nickorauss
    @nickorauss Месяц назад +3

    Tunao angalia hiii move tujuan maan ni hatar

  • @SeleSelemani-p5y
    @SeleSelemani-p5y Месяц назад +2

    Dah inaumiza kinoum aisee😢😢

  • @MerryMerry-v5h
    @MerryMerry-v5h 3 месяца назад +3

    Ukiangalia mmewe ni mzur hata kuliko uyo papi mwenyewe mm nasikia hasira Sana Mkaka nzuri ivi akiteseka na mapenz yaan dah

  • @PriscaMaulid
    @PriscaMaulid 2 месяца назад +13

    Jamani wanaume kama Huyo jamaa, bado Wapo Kweli, na mama Wapo wako wapi)?? Any way move inafunzo kubwa Sana

  • @GillyKaran
    @GillyKaran Месяц назад +1

    Haiwezekan mwanajeshi avumbie macho suala kama hilo bora ungeigiza kama mtu wa kanisani kk

  • @RhodaJacob-i4v
    @RhodaJacob-i4v 2 месяца назад +8

    Kaka upewe maua Yako una hekima sana

  • @SamuKassim
    @SamuKassim 2 месяца назад +3

    Pole sana brother umpendae nae kapenda mwengine 😢😢😢

  • @TwaleebAthuman
    @TwaleebAthuman 2 месяца назад +2

    Hongera sana mungu a alikiba kazi yamikono yako

  • @FatumaIdirisa
    @FatumaIdirisa 12 дней назад

    Naomba mungu anipe mume kama huyu king❤

  • @FrolaAmosi
    @FrolaAmosi Месяц назад +1

    Jamn Mungu nipe mtu kama huyu kaka😂 jamn ❤

  • @rasuluhkanju2231
    @rasuluhkanju2231 Месяц назад +2

    Papi kunyandua tu kufanya kaz aaaaaaaaaaah

  • @HamzaMohamed-k7o
    @HamzaMohamed-k7o 14 дней назад

    Nakupenda bure we mkaka

  • @MinaahOmary-wd8ls
    @MinaahOmary-wd8ls Месяц назад +2

    ❤❤❤asant bro kaz nzuri

  • @bennyboe4565
    @bennyboe4565 2 месяца назад +2

    Wewe kaka mm sijui nisemeje yani unajua kuakty yani daaaa

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 6 дней назад

    Huo mlio wa makofi pa pa pa pa!!ndio unaumiza moyo sana 😅

  • @EmanuelMlowe-i6z
    @EmanuelMlowe-i6z 2 месяца назад +2

    Napenda unavo pokea ushauri wetu

  • @GetrudeBarasa-e1d
    @GetrudeBarasa-e1d 2 месяца назад +2

    Kazi nzuri kaka Una moyo

  • @AllyMwazoa
    @AllyMwazoa 17 дней назад

    Yapo zaidi ya haya Duniani.Mungu Atuepushe na wanawake wazinifu

  • @JumaSalumu-gl6zv
    @JumaSalumu-gl6zv 22 дня назад +1

    ❤❤❤mm nnampa ongla uyo jmaah

  • @RebbeccaEdward-l9w
    @RebbeccaEdward-l9w 3 месяца назад +2

    Jaman mkaka adi anatia huluma mpaka loho inaniuma me nta Acha sasa kuangalia hii move

  • @DesirePatrick-l3s
    @DesirePatrick-l3s Месяц назад +1

    Wanawake hamfiki mbiguni nawachukia sanaaaa

  • @ClariceMatulanga
    @ClariceMatulanga Месяц назад +1

    Yaan we dada uko n mwanaume mzuri ivo alafu unanyanduliwa nawengine ww

  • @BarackaKihaka
    @BarackaKihaka 2 месяца назад +3

    Yani inikute mm nawatufyula kizazi walai tena.kazi nzuli

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 2 месяца назад +1

    Huyu dada n mzima kweli,nguo za mumeo wampa danga kwrli😮

    • @UpendoMaduhu
      @UpendoMaduhu 2 месяца назад

      Ww unamuona zinamtosha kitendo tu chakufumaniwa Kila siku na hakomi na anaingiza mwanaume mwingine kwenye nyumba ya mme waki dhahiri akir hana

  • @floramacheva5855
    @floramacheva5855 15 дней назад

    Papi hana mapenzi yoyote!!!....tamaa mingi tu na ung'ang'anizi😢😢😢

  • @brotherlihtz-ze2gr
    @brotherlihtz-ze2gr 2 месяца назад +5

    Kazi nzuri kaka

  • @AshaAbdallah-y1h
    @AshaAbdallah-y1h 2 месяца назад +1

    Hongera kaka ukimya pia nalo n jibu

  • @BeatriceAlex-v7m
    @BeatriceAlex-v7m Месяц назад +1

    Move iko vzr sema bro anaumia vibaya

  • @RamadhanAbdalah-z5v
    @RamadhanAbdalah-z5v 2 месяца назад +1

    Oy kamanda sema hii mmeigonga san yan nimeikubali mno

  • @SelemanSaid-t8r
    @SelemanSaid-t8r 3 месяца назад +2

    Sema hii move uku inapoendelea itakua mbaya sasa inawezekana vp staa mwenyewe anachitiwa alfu afanyi maamuzi yyte! 🔥 🔥

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi 13 дней назад

    Aky huu moyo wenye na huyu mkaka sijui kama yuko mwanaume kama huyu ninavyo jua wanaume daah hawsna subra 😂😂😂😂😂 kwakweli inauma sana

  • @DoricJohn-d8l
    @DoricJohn-d8l 2 месяца назад +1

    Kingi upo vizuri sana mi napenda macho yako

  • @DavidYamungu-rl5os
    @DavidYamungu-rl5os 2 месяца назад +1

    Kaz Nzur Mzee Kwa Sisi masera Tunaelewa 😂😂😂😂

  • @Ruth-kw4iy
    @Ruth-kw4iy 2 месяца назад +1

    Nmepata tuxo nzuri kakangu saaana

  • @FelickHalan
    @FelickHalan Месяц назад

    Hongereni San kaz nzuriiii

  • @AminaMjeni-iz8uo
    @AminaMjeni-iz8uo 10 дней назад

    Jamani maua utamuuwa mtoto wa watu na hayo unayomlipia noma sana

  • @LUCYSIGE
    @LUCYSIGE Месяц назад

    yaan mim napata hasira sana

  • @TimeAly-z1l
    @TimeAly-z1l 13 дней назад

    ❤❤❤tobaa 😱 papi ww uwiii😂

  • @HellenAyubu-g5q
    @HellenAyubu-g5q 27 дней назад

    Nkubal san king noely

  • @FauziaMohamedi
    @FauziaMohamedi 29 дней назад

    Daaah jamani noely nakuonea hurum 😢😢jmn pole noely

  • @MwangaMariam
    @MwangaMariam 26 дней назад

    Dah unamoyo kakayangu ilapole alafu wewe mbona mzuli tu uyo anafel WAP

  • @HamiduMlula
    @HamiduMlula 2 месяца назад

    King ii ngoma vip daaah oyaaa izi mov dah🙌 kaka iyo character ulio ichagua daaaaah ya moto sana appreciate

  • @DavidYamungu-rl5os
    @DavidYamungu-rl5os 2 месяца назад +1

    Sema Hapo Kwenye Miguno kaka Kama Mimi Anaelewa Ila Watu wazima wazfa na wengineo hawatapenda Usichoke kupokea ushaur

  • @NuruenezaJosephEnock
    @NuruenezaJosephEnock 3 месяца назад +1

    Daaahh kaka jaman mbona mpolee sana lkn piah hongera sana Kwa uvumilivu unaona maana dhuuuu

  • @SethAvuzika
    @SethAvuzika Месяц назад

    Mimi hyo siez stahimili nngekua noely I could be in jail juu eii😂😂😂

  • @Marioohajirat
    @Marioohajirat 2 месяца назад +4

    mbn mnachelew sna kutoa epsod aiseeeee

  • @HasheemSteven
    @HasheemSteven Месяц назад +1

    Hata kwa kuigiza tu mi siwezi kuvumilia

  • @ReginaDamiano
    @ReginaDamiano 2 месяца назад +2

    Kazi nzuri sanaa hongera

  • @felistahaule6789
    @felistahaule6789 15 дней назад

    Hakunaga mjeda mshamba kias hicho bhana acha kuzubaa

  • @RashidRamadhan-b2n
    @RashidRamadhan-b2n Месяц назад

    hongear san mjeda kwa kaz uloifanya

  • @HaniphaIluli
    @HaniphaIluli Месяц назад +1

    hongeraaa bro

  • @SofiaKazungu
    @SofiaKazungu 2 месяца назад

    Kazi nzur sana king noel❤❤❤🎉🎉🎉 much love from saudia Arabia really appreciate

  • @ZipporahMutheu-y1d
    @ZipporahMutheu-y1d 28 дней назад

    Jameni ata maua Hana utu,hamhurumii Noel Kwa he ayo machozi yanamtiririka kila mara

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 Месяц назад

    Daaa moyo huu ni waajabu

  • @SamsonKatto
    @SamsonKatto 2 месяца назад +2

    Maua atari analalamika uyo

  • @nasrathyusuph3964
    @nasrathyusuph3964 Месяц назад

    Khaaa movie ina umalaya hiii😂😂😂 sema ni nzur mpunguze umalaya tu

  • @MankaSelemani
    @MankaSelemani 25 дней назад

    Inauma sna jamn kaka nimekupenda sana 💔💔💔

  • @AgnessMirisho
    @AgnessMirisho Месяц назад

    uy kaka ana hasira za haraka dah

  • @HamidSaid-p3d
    @HamidSaid-p3d 2 месяца назад +1

    Nakukubari kka kiz mzur

  • @AlimaK-c7l
    @AlimaK-c7l Месяц назад

    Ila Noel nimekuambia nikupenda mim hutaki umeenda kwamauw anakutes😂😂😂😂😊

  • @PetroMwalugaja
    @PetroMwalugaja 5 дней назад

    Ila huyu jamaa kaboa so poa yaan hamfikii chchte bro yaan mpaka hndsom no! Najiuliz dada kafa nn kwa msela au kero

  • @mwajumamuya2754
    @mwajumamuya2754 2 месяца назад

    Mwanaume kama huyu nampata wapi mie eeeh mungu nipe mtu wakufanana nae🙏🙏

  • @IsraelKivuyo
    @IsraelKivuyo Месяц назад

    Nataka nifanye Kaz na ww brother

  • @WitnessKimario-x6u
    @WitnessKimario-x6u 2 месяца назад

    😎😎kwan jaman wenye haya mapenzi niwakina nan

  • @CharejuliKishiwa
    @CharejuliKishiwa 2 месяца назад

    wanaume inabidi tuwe wavumilivu kiasi hicho wote 😂😂😂😂😂

  • @NAMAYANIDANIEL-n3h
    @NAMAYANIDANIEL-n3h Месяц назад

    Mmmmmm nkipata mwanaume Kama king nely ntaenjoy sana

  • @HeppyMadeje
    @HeppyMadeje 19 дней назад

    Yapo sana tu sema hayakukuta

  • @LovelyDancing-wm6ve
    @LovelyDancing-wm6ve 2 месяца назад

    Kweli kunumba part 2 hongeara sana kaka

  • @JephaJoram
    @JephaJoram 2 месяца назад

    Safi sana braza kazi nzuri

  • @MwashiShabani
    @MwashiShabani Месяц назад

    King noel kama King 😂😂😂😂

  • @AngelMollel-f1g
    @AngelMollel-f1g 2 месяца назад

    Kazi nzuri brodah ✌️✌️

  • @dorisjumwa
    @dorisjumwa Месяц назад

    Kaka achana na Maude nko mm hapa dor

  • @ZanabZone
    @ZanabZone Месяц назад

    😂😂❤❤❤🎉🎉jitahidi

  • @dorisjumwa
    @dorisjumwa Месяц назад

    Kaka nko hapa sijaona wanaume mwenye kama wewe salut

  • @AlisiaMagezi
    @AlisiaMagezi 21 день назад

    Isikie kwa jiran usiombe yakukute, unamoyo sana kaka

  • @AlmasJangalason
    @AlmasJangalason 2 месяца назад

    Mbona kidole kimoja hajabandika kucha😂😂

  • @iraakasubete8287
    @iraakasubete8287 2 месяца назад

    ILA HUYO JAMAA KWELI HAKURUPUKI ANATUMIA HEKIMA SANA BIG UP BROO NOELY.

  • @JamirahevarsteIdd
    @JamirahevarsteIdd 3 месяца назад

    mmh,, bro,, kuna k2 nimeisha jifunza kutka kwako,, hakika mngu akujalie kupitia maumivu hayoo🙏👏👏👏

  • @meryjohn2902
    @meryjohn2902 Месяц назад

    Ila hii move ina leta hisia 🤣🤣🤣 pumbavu dah!

  • @SalomeMvungi
    @SalomeMvungi Месяц назад

    Ujasiri Kwa mwanaume nimdg sana Ila wewe hongera km nikwel

  • @JosephMrisho-t9w
    @JosephMrisho-t9w 2 месяца назад

    Sema mda niki2 muhim sana najua mjeda anampa mda2 mda ukifika atajua mana si kwa utulivu huo wala hana hasila hta kidogo ingekuwa mm hapa kwanza plesha ingeniua

  • @hassanshawa8614
    @hassanshawa8614 Месяц назад

    Huyu Papi anazingua muda wote utemi tu mtu mwenyewe marioo

  • @JaneMwamlima
    @JaneMwamlima Месяц назад

    Kaka Hata kama ni muv mungu akulinde

  • @pravardormakambo3554
    @pravardormakambo3554 3 месяца назад

    Sema bro nimejifunza kitu wanawake ukiendekeza kupiga unaweza kuozea jera😂😂😂

  • @Sokabet
    @Sokabet 2 месяца назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nice 💥💥 bomba kinyama

  • @MinaahOmary-wd8ls
    @MinaahOmary-wd8ls Месяц назад

    😂😂hiyo milio uwiiii

  • @MalakiKitomari-sx2gw
    @MalakiKitomari-sx2gw Месяц назад

    Dhaa aise papi atak kuelew yupo kwenye penz m.bashara ila yey anafaid ella pia fedha

  • @BellaHagabimana
    @BellaHagabimana Месяц назад

    afu mwanamke analoh ngumu knoma😂

  • @Christine-ho5us
    @Christine-ho5us 3 месяца назад

    Kazi nzuri Kaka pita na mlango 🇰🇪🇰🇪

  • @edwinplatnumz07jr81
    @edwinplatnumz07jr81 16 дней назад

    Moyo huu mimi sina kwakweli

  • @KanudaMhala
    @KanudaMhala Месяц назад

    Dah kwamba unamoyo hata kama kuingiza sio kwa kishindo hicho

  • @AjengSalumu
    @AjengSalumu 6 дней назад

    Daah kam ww unachukua mamuz gan ap

  • @MathayoSuwi
    @MathayoSuwi 3 месяца назад +1

    Kaka kazi nzuri ila uwe atamkali jamani unaonelka sana

  • @AnnaBoaz-y4v
    @AnnaBoaz-y4v 2 месяца назад

    Oooiii sisi masela tunaelewa unacho kaza kaka