JINSI YA KUTUMIA NA KUFUNGA DRIP IRRIGATION SYSTEM, UMWAGILIAJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #dripirrigation #dripirrigationsystem #howto #installation #dripirrigationsystem #kilimo #agriculture #agri #irrigation

Комментарии • 20

  • @NANCYWARD488
    @NANCYWARD488 5 месяцев назад +2

    Ekari 3 gharama zenu ni kiasi gani ?
    Vifaa nanunua mwenyewe

    • @yourportal
      @yourportal  5 месяцев назад

      Karibu sana Nancy, Gharama itategemeana na Umbali au Mazingira ya Shamba Yalipo. Hata hivyo gharama zake ni affordable. Kwa mawasiliano ya uhakika na maelezo zaidi tafadhali tutafute kwa mawasiliano ya email au namba ya simu.

    • @kuntakinte7339
      @kuntakinte7339 Месяц назад

      Mbona hawatoi namba hofu hawa matapeli ni huwenda!!!

  • @lovenessAbdueli
    @lovenessAbdueli Месяц назад +2

    Nmefrai kujifunza hindi ya kuconnect mfumo wa drip irrigation

    • @yourportal
      @yourportal  Месяц назад

      @@lovenessAbdueli Karibu sana, Tunajivunia wewe wakati wote. Usisite kushare na wale unaowajali.

  • @bonifacemarick5825
    @bonifacemarick5825 5 месяцев назад +2

    Gharama za kuinstal heka moja ni sh ngap ?

    • @yourportal
      @yourportal  5 месяцев назад

      Karibu sana Mr Boniface, Gharama itategemeana na Umbali au Mazingira ya Shamba Yalipo. Kwa mawasiliano ya uhakika na maelezo zaidi tafadhali tutafute kwa mawasiliano ya email au namba ya simu.

  • @kuntakinte7339
    @kuntakinte7339 Месяц назад +1

    MBONA namba zasimu hutoi aunawewe nijipu tu😆😅😁

    • @yourportal
      @yourportal  Месяц назад

      @@kuntakinte7339 Karibu sana, Unaweza kutoa hoja yako bila Lugha mbaya na tukaipokea. Asante.

  • @AnthonyMarkos-uq2dp
    @AnthonyMarkos-uq2dp 4 месяца назад +1

    Abar duka la vifaa liko wapi

    • @yourportal
      @yourportal  4 месяца назад

      Karibu, Kwa Dodoma lipo 4ways.

  • @VictorjeremiaJeremia
    @VictorjeremiaJeremia 2 месяца назад +1

    Mimi nilipoteza izo connecter na raba za drip,,, uwezekano wa kununua zingine upo na ni wapi zinapatika

    • @yourportal
      @yourportal  2 месяца назад

      Karibu sana, ndio uwezekano wa kupata zingine upo. kwa sasa tupo Dodoma.

  • @conradkayenze2301
    @conradkayenze2301 4 месяца назад +1

    Nikihitaji hivyo vifaa (drip pipes na connectors zake) napata wapi

    • @yourportal
      @yourportal  3 месяца назад

      Karibu sana, kwa sasa Tupo Dodoma.

  • @AvinAlphonce
    @AvinAlphonce Месяц назад

    Yap audi bei yake

    • @yourportal
      @yourportal  Месяц назад

      @@AvinAlphonce Karibu sana, tutumie email kupitia... ibra050794@gmail.com Nasi tutakujibu haraka na kukupatia mawasiliano zaidi

  • @gigwamayara73
    @gigwamayara73 Месяц назад

    Namba za simu sioni

    • @yourportal
      @yourportal  Месяц назад

      @@gigwamayara73 Karibu sana, tutumie email kupitia... ibra050794@gmail.com Nasi tutakujibu haraka na kukupatia mawasiliano zaidi.