JUBILEI YA JIMBO KATOLIKI MAHENGE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2015
  • Hii ni misa ya jimbo katoliki mahenge katika kilele cha miaka 50 ya jimbo hilo

Комментарии • 24

  • @mgusimusita8931
    @mgusimusita8931 8 лет назад +2

    safi sana bonge ya misa. kwaya pia ilijitahidi sana kufikisha ujumbe.

  • @dennismalima5365
    @dennismalima5365 7 лет назад +1

    wimbo wa katikati aiseee ni mzuri sn pia wameimba vizuri, unaleta hisia za shukrani for sure.. hongera kwa mtunzi na walioimba .. be blessed

  • @eusebiusjmikongoti9677
    @eusebiusjmikongoti9677 8 лет назад +1

    Mbarikiwe sana TEC Studio. Nimekumbuka nyumbani kabisa hadi machozi yamenitoka.
    Hongera kwake mtiribu wa kwaya Mzee Ligogodeli, safi sana

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 7 лет назад +1

    mbarikiwe sana imefana kweli kweli naifane mioyoni kwa kumtukuza Mungu

  • @edgarmwebaze1172
    @edgarmwebaze1172 8 лет назад +1

    It was a blessed mass may God add for them longest life nice choir

  • @nyilawilaerick8454
    @nyilawilaerick8454 7 лет назад +2

    wimbo wa katka nimeupenda sana

  • @KANISAKATOLIKITANZANIATEC
    @KANISAKATOLIKITANZANIATEC  8 лет назад +7

    Asanteni sana kwa kuangalia Baathi ya vipindi vyetu, hasa misa ni za dakika 55 tu na pia huwa zinakuwa hewani TBC 1 kila Jumapili saa Tisa Mchana.

  • @dennismalima5365
    @dennismalima5365 7 лет назад

    huu wimbo wa katikati daaaah ni mzuriiiiiiiii sanaaaa wanakwaya hawajamuangusha mtungaji.. organist nae kama ni kwenye mpira tunasema ni MOTM----- MAN OF THE MATCH

  • @mariagorethhananasif250
    @mariagorethhananasif250 7 лет назад +2

    wimbo wa katikati mzuri sana

  • @wiliamlilangala3233
    @wiliamlilangala3233 7 лет назад +2

    huwa nafarijika nikiona nakusikia nyimbo zakumsifu mungu

  • @franklaurent216
    @franklaurent216 3 года назад +1

    mwenye nakala ya huu wimbo wa katikati msaada jamani

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 8 лет назад +2

    nimebarikiwa na misa hii iko vizur sana

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 4 года назад

    ENZI ZANGU nilikuwa nikisubiri.. nendeni na amani isemwe tu..nshafika mlangoni.. we acha tu!

  • @nadiaaaminmuguawajalienada2309
    @nadiaaaminmuguawajalienada2309 6 лет назад

    Bwana awe nanyi

  • @flosinkonde6099
    @flosinkonde6099 6 лет назад

    Nakumbuka1995kipindi nabatizwa.parokia.ya.mwa.bani.jimbo.la.mbeya.padre.jemsi.sangu.na.philipo.sinkara.inauma.sana

    • @dennismalima5365
      @dennismalima5365 5 лет назад

      Daaah mwambani Parish... Waseminari nlisoma nao mbalizi seminari pale.. wigira family

  • @flosinkonde6099
    @flosinkonde6099 6 лет назад

    tuombeeni.sisi.maskini.tumjue.mungu

  • @ashunashunabdallah3319
    @ashunashunabdallah3319 7 лет назад

    wakirsto.mtafuten Mungu... yesu .cimungu Wala cimwana wa Mungu.wala mngu hafai kua n mwana.mwafuata dn ya nn ninyi.maana yesu Hakua mkrsto.kumbuken Kuna hukumu cku hio kwa Bwana wa mbingu Na nchi.mucifanye usanii katika din.ninyi hamukumfuata yesu.mumemfuata Paulo .

  • @ashunashunabdallah3319
    @ashunashunabdallah3319 7 лет назад

    wakiristo somen vzr Biblia.mujue ukwel uko WAP.muciwaachie mapasta n mapadri kuwasimea Biblia kanisan.hawawaambii ukwel.wanawaficha ukweli.ili wapte kuwanyan'ganya pesa zenu.wakiwachangia pesa wanakula wao.n warongo wote.somenujue ukwel.yesu Alikua nmtu gn.

  • @ashunashunabdallah3319
    @ashunashunabdallah3319 7 лет назад +1

    Paulo wakwanza Alivua nguo zake kanisan.kisha shetan Akammiminia.maandiko ya Biblia inasema hvo.nanyinyi bc vuen nguo znu kukiwa kanisan.kisha shetan Awamiminie..makanisan ndilo Kuna kiti cha shetan.kwamaandiko ya Biblia..yesu hakula ngurue kwann ninyi munakula.yesu hakuoa kwann ninyi munaoa.yesu Alisujudu kwann ninyi hamsujudu..