Pole mama pole sana watoto wa Leo wanawaumiza sana wazazii waoo yanii mama Irene kachoka masikin kwa kulia pole sana Mungu Mkubwa atakupa nguvu inshaallah
jamanai musikufuru hakuna mtu anaweza toa roho ya mtu mwengine ahadi ilishaandikwa na muda wao wa ndoa pia ulishaisha tumuombee marehemu huko aliko na tumuombee huyu dada uwe mwanzo wa kutulia na kuwa karibu na mungu wake ,labda m.mungu ameleta haya ili iwe sababu ya jambo la kheri kwa huyu dada tusimtie mola makosani
da kweli dunia ada walimwengu shujaa kama mama anamlilia mkwe wake anamsifia apo binti ndio tabia chafu sasa mama pole asiye funzwa na wazaz ata fuzwa na ulimwengu mwanamke mpumbavu uvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe
christina kaminsa sawa sawa ulivyosema kisha anafunika uso kwa haya mnafiki mmoja amekataa mtoto kumuona baba yake Sasa anampeleka kwa Bibi ndo iwe Nini si kumzidisha huyo mama machungu tu mshenzi kahaba mchawi yote kwake
Mume wa kwanza muislam,yani Allah hufanyi mambo yake kwa kusudio flani,sasa umeolewa Tena Na muislam,yamepita mengi kwa mume wa kwanza,sasa zingatia na utafakari Na Kama kweli umeslimu,basi kua karibu na mola awako,Allah hatupi mja wake.usifuraishe binadamu kwa mavi,unachokifanya fanya kwa mola wako dear.
Ahh, why she covered her face like that even the eyes covered, Irene Uwoya you must be ashamed after all you have done to your late had husband, and you still go to Rwanda, you have shame and that's why you have covered your face you look bad.
Duh? Wabongo tuwe tunauelewa bc kwa nn mnamchimba sana mama Kris ? Mbona mnapenda kumnyoshea mtu kidole na wakati hauangalii ni vidole vingpi vinakuelekea ww? Tukue Leo kwake kesho kwako au kwangu .Siri ya mtungi aijuae kati .unachukua hadhari KBL ya hatari.
irene mnafki mkubwa ss kilicho kupeleka rwnda ni kipi wakati ww ndoo umeyasababisha unafkir atuyajuwii wallah mpak leo niko na liy juu ya katauti mm myak 4 ss sijamuona afu naskiy anakufa sijafika ata rwanda irene sikupnd abadani asilani malaya ww baki na janjato wkoo tena ujiw km mzimi wa amad autakucha salama
acha ujinga wee..... Hakuna mtu anaweza kutoa roho ya mtu... yule Alikuwa mcheza mpira na wote tunajua matatizo ya moyo yanaua wanamichezo wengi... SASA ULIVYO LIMBUKENI UNAKAZIA TU UWOYA KAUA.... MPUMBAVU WA MWISHO WEWE.........
Naomi Kwamboka: mbona urithi Ni haki yake, mke wa kwanza Ni wa kwanza tu hata kama kaolewa tena. Acheni dhambi. Kunyoosha vidole kwa wenzenu wakt kila mtu ana yake. Acheni kwa Mungu mnahukumu sana jmn. Naamini Mungu anampenda zaidi na inatosha your nobody kutokumpenda humpi pumzi wala kuna mamlaka hayo
Pole mama pole sana watoto wa Leo wanawaumiza sana wazazii waoo yanii mama Irene kachoka masikin kwa kulia pole sana Mungu Mkubwa atakupa nguvu inshaallah
Pole sana uwoya na pia hongera umependezaje na vazi lako la kisheria. ALLAH Akuthibitishe katika uislam.
Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi Amina.
Mungu ampe nguvu wakat huu mgumu Irene Uwoya na familia mzima🙏🙏🙏🙏
naumia Sana kwa yaliyowafika pande zote mbili... mungu awape moyo wa ujasir.. pia rehema na neema iwafunike katika maisha yao.. .
poleni sana.mlopatwa na.msiba ila.Irene chunga ddngu hilo vazi silakufichia maovu hata.ulivoifunga sivyo hyo.ninjaa kama ulkua ushayavulia iweje ushindwe kuyaoga hovyoo
sky mshukuru sana mungu unasauti nzuri sana ya utangazaji,pronounciation zako very wonderful keep it up broooo
Asante sana Steve
Asante sana kwa habari kwan wewe mtangazaji unanipaga faraja sana najiona km nip Tanzania
Nashukuru sana Mwajuma
nyoo aibu mungu atakulipa umejifanya kuvaa ivyo ufiche aibu yako
pole mama lreene jamani wasichana muwe mnashsurika nn sasa hiki mama huyu Analia na mengi
Dada umenena vyema
poleni xana mungu awape nguvu wakati huu mgumu
kazi ya mungu haina makosa
jamanai musikufuru hakuna mtu anaweza toa roho ya mtu mwengine ahadi ilishaandikwa na muda wao wa ndoa pia ulishaisha tumuombee marehemu huko aliko na tumuombee huyu dada uwe mwanzo wa kutulia na kuwa karibu na mungu wake ,labda m.mungu ameleta haya ili iwe sababu ya jambo la kheri kwa huyu dada tusimtie mola makosani
Inauma sana jmn sasa naamini kama mama yake zari alikufa kwa kihoro cha mkwewe maana sio kwa uchungu huu
Masikini daaa poleni wafiwa mungu awape subira,
Daaah mm numejifunza mengi sn kupitia hili tukio pole sn uwoya
hio ninja hajui kuifunga vizuri
da kweli dunia ada walimwengu shujaa kama mama anamlilia mkwe wake anamsifia apo binti ndio tabia chafu sasa mama pole asiye funzwa na wazaz ata fuzwa na ulimwengu mwanamke mpumbavu uvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe
Allah awape roho ya subra katika wakati huu mgumu 😢🙏🙏🙏
Polen sana wanafamilia na dada ee2 mama polen sana
Pole sana Rip dk
pole sana mama
Pole tena
Mshenzi tu huyu mwanamke
Na yy so ana MTT was kiume atayaona haya,ndo ataelewa kwnn mama ake sshv anaumia
christina kaminsa sawa sawa ulivyosema kisha anafunika uso kwa haya mnafiki mmoja amekataa mtoto kumuona baba yake Sasa anampeleka kwa Bibi ndo iwe Nini si kumzidisha huyo mama machungu tu mshenzi kahaba mchawi yote kwake
pole sana mam
+Black Nature kweli kabisa unayo sema hana ata aibu
christina kaminsa mambo ya ndoa ni ya watu wawili sisi tulioko inje hatuwezi kujua.tumpatie pole tu inatosha.
hamna kitu. wala siku 3 nyuma nako alikuwa analia kinafiki. so anajifunika uso. yy nimwisilam ama anatufanyia maigizo kama kawaida yake.
Thanks kwa taarifa
mi namuurumia mtoto tu! hayo mazingira aliomuwekea mtoto na ndugu wa baba yake, mshenzi sana uwoya, huyo dogo nae ipo siku atalia uwoya mshenzi
Aiiiiiiii sijalielewa hili pigo😁😁
Mungu amelaze mahalapema
Rip Ndiku
Rest in peace ndikumana, poleni sana wafiwa wote
Sasa kuziba sura hivyo maana yake nini? Mmmmh!
Poleni wafiwa jmn
Mume wa kwanza muislam,yani Allah hufanyi mambo yake kwa kusudio flani,sasa umeolewa Tena Na muislam,yamepita mengi kwa mume wa kwanza,sasa zingatia na utafakari Na Kama kweli umeslimu,basi kua karibu na mola awako,Allah hatupi mja wake.usifuraishe binadamu kwa mavi,unachokifanya fanya kwa mola wako dear.
Poleni
Ahh, why she covered her face like that even the eyes covered, Irene Uwoya you must be ashamed after all you have done to your late had husband, and you still go to Rwanda, you have shame and that's why you have covered your face you look bad.
asante Sana SnS kwa news kama hiz
Duh? Wabongo tuwe tunauelewa bc kwa nn mnamchimba sana mama Kris ? Mbona mnapenda kumnyoshea mtu kidole na wakati hauangalii ni vidole vingpi vinakuelekea ww? Tukue Leo kwake kesho kwako au kwangu .Siri ya mtungi aijuae kati .unachukua hadhari KBL ya hatari.
Mbona huyo Mke wa ndikumana aliekunaye hatumuoni mazishini???
😢
Rip ndiku
Bahati bukuku
Sky mwendelezo wa kimu
RIP Ndikumana
R I.P.ndikumana
R.I.P my brother
mtangazaji makini sana
Akuna byako irene mvhawii
Mtt bad mdogo
Mnafki mkubwa irene ningekuw rwanda angeona
tena mmbea Mkubwa sn huyu
irene mnafki mkubwa ss kilicho kupeleka rwnda ni kipi wakati ww ndoo umeyasababisha unafkir atuyajuwii wallah mpak leo niko na liy juu ya katauti mm myak 4 ss sijamuona afu naskiy anakufa sijafika ata rwanda irene sikupnd abadani asilani malaya ww baki na janjato wkoo tena ujiw km mzimi wa amad autakucha salama
acha ujinga wee..... Hakuna mtu anaweza kutoa roho ya mtu... yule Alikuwa mcheza mpira na wote tunajua matatizo ya moyo yanaua wanamichezo wengi... SASA ULIVYO LIMBUKENI UNAKAZIA TU UWOYA KAUA.... MPUMBAVU WA MWISHO WEWE.........
mbona niqab kaivaa ndivyo cvyoo
R.I.P
Sio uvue ijabu hiyo?
Mugabe
Wacheni akazike awe free
Christine Maneno mwenzangu mbona awe freee ndio alichokitaka icho.
amefata uridhi uyu mnafiki mkubwa simpendi mimi
Naomi Kwamboka: mbona urithi Ni haki yake, mke wa kwanza Ni wa kwanza tu hata kama kaolewa tena. Acheni dhambi. Kunyoosha vidole kwa wenzenu wakt kila mtu ana yake. Acheni kwa Mungu mnahukumu sana jmn. Naamini Mungu anampenda zaidi na inatosha your nobody kutokumpenda humpi pumzi wala kuna mamlaka hayo
MAREKEBISHO:
KUHANI MSIBA SIO KUGHANI MSIBA
Asante George
GEORGE WAYA lafudhi kaka
pole sana mama irene mungu akuzidishie nguvu hadi siku ya mwisho
pumbavu zako ireni
Asnte sky kwa habari
Polesana mama
daa
irin uoya kavaa hijaab dah
Apeleke Shingi za kijinga kwa dogo Janja
jaman mbona mnamwita iren wakat kabadil din na jina
naumia Sana kwa yaliyowafika pande zote mbili... mungu awape moyo wa ujasir.. pia rehema na neema iwafunike katika maisha yao.. .
Rip Ndiku