Irene Uwoya, Mama yake wawasili Rwanda kuhani msiba wa Ndikumana

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 82

  • @habibakhlifa8534
    @habibakhlifa8534 6 лет назад +13

    Pole mama pole sana watoto wa Leo wanawaumiza sana wazazii waoo yanii mama Irene kachoka masikin kwa kulia pole sana Mungu Mkubwa atakupa nguvu inshaallah

  • @jumaazuberi9317
    @jumaazuberi9317 6 лет назад +1

    Pole sana uwoya na pia hongera umependezaje na vazi lako la kisheria. ALLAH Akuthibitishe katika uislam.

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 6 лет назад +5

    Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi Amina.

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 6 лет назад

    Mungu ampe nguvu wakat huu mgumu Irene Uwoya na familia mzima🙏🙏🙏🙏

  • @nicoledyame3384
    @nicoledyame3384 6 лет назад

    naumia Sana kwa yaliyowafika pande zote mbili... mungu awape moyo wa ujasir.. pia rehema na neema iwafunike katika maisha yao.. .

  • @yaaishbaybe9272
    @yaaishbaybe9272 6 лет назад +1

    poleni sana.mlopatwa na.msiba ila.Irene chunga ddngu hilo vazi silakufichia maovu hata.ulivoifunga sivyo hyo.ninjaa kama ulkua ushayavulia iweje ushindwe kuyaoga hovyoo

  • @stevenlyando1801
    @stevenlyando1801 6 лет назад

    sky mshukuru sana mungu unasauti nzuri sana ya utangazaji,pronounciation zako very wonderful keep it up broooo

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli6753 6 лет назад +1

    Asante sana kwa habari kwan wewe mtangazaji unanipaga faraja sana najiona km nip Tanzania

  • @aishambomwe4696
    @aishambomwe4696 6 лет назад +1

    nyoo aibu mungu atakulipa umejifanya kuvaa ivyo ufiche aibu yako

  • @julietkambenga4299
    @julietkambenga4299 6 лет назад +3

    pole mama lreene jamani wasichana muwe mnashsurika nn sasa hiki mama huyu Analia na mengi

  • @mrimichalo823
    @mrimichalo823 6 лет назад +3

    poleni xana mungu awape nguvu wakati huu mgumu

  • @umratali4227
    @umratali4227 6 лет назад +1

    jamanai musikufuru hakuna mtu anaweza toa roho ya mtu mwengine ahadi ilishaandikwa na muda wao wa ndoa pia ulishaisha tumuombee marehemu huko aliko na tumuombee huyu dada uwe mwanzo wa kutulia na kuwa karibu na mungu wake ,labda m.mungu ameleta haya ili iwe sababu ya jambo la kheri kwa huyu dada tusimtie mola makosani

  • @khadijamalifedha6008
    @khadijamalifedha6008 6 лет назад +1

    Inauma sana jmn sasa naamini kama mama yake zari alikufa kwa kihoro cha mkwewe maana sio kwa uchungu huu

  • @binthamisi2562
    @binthamisi2562 6 лет назад

    Masikini daaa poleni wafiwa mungu awape subira,

  • @omarychediel1307
    @omarychediel1307 6 лет назад

    Daaah mm numejifunza mengi sn kupitia hili tukio pole sn uwoya

  • @maryakinyi6672
    @maryakinyi6672 6 лет назад +1

    hio ninja hajui kuifunga vizuri

  • @josephjuma1489
    @josephjuma1489 6 лет назад

    da kweli dunia ada walimwengu shujaa kama mama anamlilia mkwe wake anamsifia apo binti ndio tabia chafu sasa mama pole asiye funzwa na wazaz ata fuzwa na ulimwengu mwanamke mpumbavu uvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

  • @shakirakhans2764
    @shakirakhans2764 6 лет назад

    Allah awape roho ya subra katika wakati huu mgumu 😢🙏🙏🙏

  • @shuwanyotaclassc1849
    @shuwanyotaclassc1849 6 лет назад

    Polen sana wanafamilia na dada ee2 mama polen sana

  • @opanyijoseph1888
    @opanyijoseph1888 6 лет назад +1

    Pole sana Rip dk

  • @ndayisengafrorence4396
    @ndayisengafrorence4396 6 лет назад +1

    pole sana mama

  • @jaybchaponda6886
    @jaybchaponda6886 6 лет назад +1

    Pole tena

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 6 лет назад +7

    Mshenzi tu huyu mwanamke
    Na yy so ana MTT was kiume atayaona haya,ndo ataelewa kwnn mama ake sshv anaumia

    • @blacknature7637
      @blacknature7637 6 лет назад

      christina kaminsa sawa sawa ulivyosema kisha anafunika uso kwa haya mnafiki mmoja amekataa mtoto kumuona baba yake Sasa anampeleka kwa Bibi ndo iwe Nini si kumzidisha huyo mama machungu tu mshenzi kahaba mchawi yote kwake

    • @halimamwakibombaki6486
      @halimamwakibombaki6486 6 лет назад

      pole sana mam

    • @alimaalimaa6048
      @alimaalimaa6048 6 лет назад

      +Black Nature kweli kabisa unayo sema hana ata aibu

    • @joycemashikolo9096
      @joycemashikolo9096 6 лет назад

      christina kaminsa mambo ya ndoa ni ya watu wawili sisi tulioko inje hatuwezi kujua.tumpatie pole tu inatosha.

  • @joycerushoz9089
    @joycerushoz9089 6 лет назад

    hamna kitu. wala siku 3 nyuma nako alikuwa analia kinafiki. so anajifunika uso. yy nimwisilam ama anatufanyia maigizo kama kawaida yake.

  • @fatmaamran833
    @fatmaamran833 6 лет назад

    Thanks kwa taarifa

  • @salomemwalukasa3015
    @salomemwalukasa3015 6 лет назад

    mi namuurumia mtoto tu! hayo mazingira aliomuwekea mtoto na ndugu wa baba yake, mshenzi sana uwoya, huyo dogo nae ipo siku atalia uwoya mshenzi

  • @aboubakarmkurdi2698
    @aboubakarmkurdi2698 6 лет назад

    Aiiiiiiii sijalielewa hili pigo😁😁

  • @mwanaidinusra4248
    @mwanaidinusra4248 6 лет назад

    Mungu amelaze mahalapema

  • @shizzlemreal1811
    @shizzlemreal1811 6 лет назад +1

    Rip Ndiku

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад

    Rest in peace ndikumana, poleni sana wafiwa wote

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 6 лет назад

    Sasa kuziba sura hivyo maana yake nini? Mmmmh!

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 6 лет назад

    Poleni wafiwa jmn

  • @saidismael5274
    @saidismael5274 6 лет назад

    Mume wa kwanza muislam,yani Allah hufanyi mambo yake kwa kusudio flani,sasa umeolewa Tena Na muislam,yamepita mengi kwa mume wa kwanza,sasa zingatia na utafakari Na Kama kweli umeslimu,basi kua karibu na mola awako,Allah hatupi mja wake.usifuraishe binadamu kwa mavi,unachokifanya fanya kwa mola wako dear.

  • @rehemajohn7712
    @rehemajohn7712 6 лет назад

    Poleni

  • @josephinekombo6391
    @josephinekombo6391 6 лет назад +2

    Ahh, why she covered her face like that even the eyes covered, Irene Uwoya you must be ashamed after all you have done to your late had husband, and you still go to Rwanda, you have shame and that's why you have covered your face you look bad.

  • @yusuphjaphari154
    @yusuphjaphari154 6 лет назад

    asante Sana SnS kwa news kama hiz

    • @shabanirajabu3505
      @shabanirajabu3505 6 лет назад

      Duh? Wabongo tuwe tunauelewa bc kwa nn mnamchimba sana mama Kris ? Mbona mnapenda kumnyoshea mtu kidole na wakati hauangalii ni vidole vingpi vinakuelekea ww? Tukue Leo kwake kesho kwako au kwangu .Siri ya mtungi aijuae kati .unachukua hadhari KBL ya hatari.

    • @shabanirajabu3505
      @shabanirajabu3505 6 лет назад

      Mbona huyo Mke wa ndikumana aliekunaye hatumuoni mazishini???

  • @halimkepa7766
    @halimkepa7766 6 лет назад +1

    😢

  • @zennahabdallamwaramunda4680
    @zennahabdallamwaramunda4680 6 лет назад

    Rip ndiku

  • @neemabundala5122
    @neemabundala5122 2 года назад

    Bahati bukuku

  • @hajihassan1036
    @hajihassan1036 6 лет назад

    Sky mwendelezo wa kimu

  • @missagatha1756
    @missagatha1756 6 лет назад

    RIP Ndikumana

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад

    R I.P.ndikumana

  • @ruttenange9213
    @ruttenange9213 6 лет назад

    R.I.P my brother

  • @mariaeliud1525
    @mariaeliud1525 6 лет назад

    mtangazaji makini sana

  • @mariamangel1264
    @mariamangel1264 6 лет назад

    Akuna byako irene mvhawii

  • @almutasemalbusaidi2533
    @almutasemalbusaidi2533 6 лет назад

    Mtt bad mdogo

  • @mariamangel1264
    @mariamangel1264 6 лет назад

    Mnafki mkubwa irene ningekuw rwanda angeona

  • @mariamangel1264
    @mariamangel1264 6 лет назад

    irene mnafki mkubwa ss kilicho kupeleka rwnda ni kipi wakati ww ndoo umeyasababisha unafkir atuyajuwii wallah mpak leo niko na liy juu ya katauti mm myak 4 ss sijamuona afu naskiy anakufa sijafika ata rwanda irene sikupnd abadani asilani malaya ww baki na janjato wkoo tena ujiw km mzimi wa amad autakucha salama

    • @tibrucemushi1735
      @tibrucemushi1735 6 лет назад

      acha ujinga wee..... Hakuna mtu anaweza kutoa roho ya mtu... yule Alikuwa mcheza mpira na wote tunajua matatizo ya moyo yanaua wanamichezo wengi... SASA ULIVYO LIMBUKENI UNAKAZIA TU UWOYA KAUA.... MPUMBAVU WA MWISHO WEWE.........

  • @umclthom1237
    @umclthom1237 6 лет назад

    mbona niqab kaivaa ndivyo cvyoo

  • @iddimsoshi2982
    @iddimsoshi2982 6 лет назад +2

    R.I.P

  • @bitresimusa4537
    @bitresimusa4537 6 лет назад

    Sio uvue ijabu hiyo?

  • @wamiwami4702
    @wamiwami4702 6 лет назад +1

    Mugabe

  • @christinemaneno556
    @christinemaneno556 6 лет назад

    Wacheni akazike awe free

    • @bititibeterschap6998
      @bititibeterschap6998 6 лет назад

      Christine Maneno mwenzangu mbona awe freee ndio alichokitaka icho.

  • @naomikwamboka4307
    @naomikwamboka4307 6 лет назад +1

    amefata uridhi uyu mnafiki mkubwa simpendi mimi

    • @pearlmond8303
      @pearlmond8303 6 лет назад

      Naomi Kwamboka: mbona urithi Ni haki yake, mke wa kwanza Ni wa kwanza tu hata kama kaolewa tena. Acheni dhambi. Kunyoosha vidole kwa wenzenu wakt kila mtu ana yake. Acheni kwa Mungu mnahukumu sana jmn. Naamini Mungu anampenda zaidi na inatosha your nobody kutokumpenda humpi pumzi wala kuna mamlaka hayo

  • @mcwaya
    @mcwaya 6 лет назад

    MAREKEBISHO:
    KUHANI MSIBA SIO KUGHANI MSIBA

  • @leysalum9941
    @leysalum9941 6 лет назад

    pumbavu zako ireni

  • @aishaaisha2957
    @aishaaisha2957 6 лет назад +1

    Asnte sky kwa habari

  • @masoudmsomal6208
    @masoudmsomal6208 6 лет назад

    irin uoya kavaa hijaab dah

  • @jacquilinemahumbi5950
    @jacquilinemahumbi5950 6 лет назад

    Apeleke Shingi za kijinga kwa dogo Janja

  • @FREEMASONTZ
    @FREEMASONTZ 6 лет назад

    jaman mbona mnamwita iren wakat kabadil din na jina

  • @nicoledyame3384
    @nicoledyame3384 6 лет назад +1

    naumia Sana kwa yaliyowafika pande zote mbili... mungu awape moyo wa ujasir.. pia rehema na neema iwafunike katika maisha yao.. .

  • @stellahmutheu9249
    @stellahmutheu9249 6 лет назад

    Rip Ndiku