Hivi kwa nini serikali inaruhusu wafungwa zaidi ya mmoja kutumia nyembe moja kunyoana? Hivi mpaka leo, na elimu yote hii inayotolewa kwenye jamii kuhus UKIMWI/VVU, bado wafungwa wanaruhusiwa kutumia nyembe moja kunyoana? Hapana aisee, hii lazima ikomeshwe. Haiwezekani
Jamaa anapenda Kaz rahis rahis wakt watu wamesoma hizo kazi za usafi kkt hizo wizara hawapati jee ww huna llte utapataje shehe unataka upate bajaji ili uambukize na wengne
Saw Ila huko wizarani Kuna mmbo mengi yanatakiwa ndo uajiriwe Mana Kuna wasomi pia wanakila vyeti na kazi hawapati Sasa yy Hana llte atapata vipi na wakt wapo weng wenye maambukizi na vyeti yvao na Kaz hawapati Sasa yy auze hata maji mungu atamsaidia mbna au akishindwa aje zanzbar huku
Yaan serikali inheona haja mbali ya kuwasaidia kuwapa dawa bure pia ingewekwa mikakati ya kuwawezesha kuwapa ajira au fani kama hivyo kuangalia na kuwapa fani wengine kuwapa kama huvyo huyo bajajo hata kwa mkopo ili waweze kuishi kupata milo kamili waweze kumudu kunywa dawa
Uyo ni ugonjwa kama ungine wala matajiri wasimnyime kazi, vile anakunywa dawa hawezi kumuambukiza mtu, ata akiowa hawezi kumuambukiza mke wake na kuzaa atazaa mtoto mzima bila tatizo, mpeni msaada
True coz me mwenyew n miongoni wa watu tunaowahudumia watu wenyewe maambukizi ya ukimwi so kama mtu anatumia dawa zake vizur ni ngumu sana kuambukiza coz wingi wa virusi unapunguza sana
Yani kwer kabisa unaongea .Mi kuna jamaa yangu anao Tena Kama Myaka 3 Alipima akakuta anao.Ila cha ajabu Toka aanze kutumia Dawa HIV walai Akipima Tena Ngoama inasomae Negative kirasiku.Tena jamàa Ana Afya nzuli Sana .wala hauwezi kujuwa bro.Natena Anazaa fresh Sana tu.
Mm ni mmoja kati yawahanga wa ukimwi watu waelew kwamb ukiwa n ukimwi hauumwi sehemu yoyote ukizingatia dawa na ukila vizur ukajiona kawaida wakumbuke kuna cancer na ndo ugonjw hatari watu wanateseka na kun kisukali ukimwi ulikuwa unaogopwa miak ya tisin kabla ya dawa na aslimia 90% wwng wao wanavirusi lak avionekan kwa umakin wakutumia dawa kwaiyo jmn msituone wakosaji sana mkanyanyapaa watu MUNGU IBARIKI TANZANIA
Pole kakaangu tupo mwisho wa ukimwi umefika
Kabisa
Pole sana ndugu yetu
Hivi kwa nini serikali inaruhusu wafungwa zaidi ya mmoja kutumia nyembe moja kunyoana? Hivi mpaka leo, na elimu yote hii inayotolewa kwenye jamii kuhus UKIMWI/VVU, bado wafungwa wanaruhusiwa kutumia nyembe moja kunyoana? Hapana aisee, hii lazima ikomeshwe. Haiwezekani
Tatizo siyo Hilo Ila swali nikwamba kwanini Mtu Asipimwe Afya kabla Yakuanza kutumikia kicungo Kama wanavyo Fanya jeshini
@@jumalove2631 Amesema kwenye interview kwamba walipimwa alipokua anaingia. Kwa hiyo maambukizi aliyapatia akiwa ndani kifungoni.
Kijana mzuri ukutane nae hutakuww na wasiwasi wakusema upime
@ummymwalimu mamaa msikilize huyu kijana wa kitanzania umsaidie😭
Pole kaka anguu
Kwn mtangazaji maiki kaweka mbali hvo ndo unaogop kuambukizw huo ukimwi au ?
Mtangazaji hajui kufanya interview,ayo maswali yko kwann usielewe anayopitia mbna unam'bishia sasa
Daah lkn anaweza kupata mtoto asiwe na ukimwi wakitumia dawa
Anafaa sana kuwa mshauri kwa wagonjwa wa ukimwi maana through yeye atakuwa proper guide
Ukimwi hauzuii kufanya kazi hizo unakula vzr
Jamaa anapenda Kaz rahis rahis wakt watu wamesoma hizo kazi za usafi kkt hizo wizara hawapati jee ww huna llte utapataje shehe unataka upate bajaji ili uambukize na wengne
Kakaangu kasema wizara ya afya kufanya usafi hajapenda kuwa ivo
Saw Ila huko wizarani Kuna mmbo mengi yanatakiwa ndo uajiriwe Mana Kuna wasomi pia wanakila vyeti na kazi hawapati Sasa yy Hana llte atapata vipi na wakt wapo weng wenye maambukizi na vyeti yvao na Kaz hawapati Sasa yy auze hata maji mungu atamsaidia mbna au akishindwa aje zanzbar huku
Mwaka huu usiushe kama hujagingwa na gari ukafie huko. Hakuna mtu aliyeomba apate virusi
Pambana kaka angu kupata maambukizi sio mwisho wa maisha
Jaribu 4a9 Kwa TR MISIGWA anasema utaishi bila VVU.
Ndo tiba
pambana jamaa yangu ndugu uwe na hela watakuthamin
Maxmam Tv walimchangia huyu kanenepa kweli ulikosa. Mtaji kweli
Hayuko serious bwana kila siku anataka kuchangiwa,
Yan kampen zte hz kumbe bongo bdo kuna ushamba wa kunyanyapaa wat!
Uongo mwingi😅
Halijakufika ndio wasema uongo
Nikweli anaukimwi. NA tulimchangia kanenepa najiuliza biqshqrq hajafanaya
Apana huyu ni mgonjwa kweli
Kunenepa kwa vidonge
@@yeasrmsafi7152 vidonge vimemkubali
Yaan serikali inheona haja mbali ya kuwasaidia kuwapa dawa bure pia ingewekwa mikakati ya kuwawezesha kuwapa ajira au fani kama hivyo kuangalia na kuwapa fani wengine kuwapa kama huvyo huyo bajajo hata kwa mkopo ili waweze kuishi kupata milo kamili waweze kumudu kunywa dawa
Pole kijan dawa ya ukimwi ipo njian
Jana kafyeme mbn iviii😳😏
Kk.mzuri ila munguu
FRANK Anakipaji Cha kucheka tu🤣
jaribu kuvaa kiatu chake stop making funny of him
Kwel uspime kwa macho
Daaa hata Mimi apa nipo niowe
Sare kali ilo muambukiza ukimwi
Ww mtngazaj wakat huna kaz ulienda kubeba zege
Uyo ni ugonjwa kama ungine wala matajiri wasimnyime kazi, vile anakunywa dawa hawezi kumuambukiza mtu, ata akiowa hawezi kumuambukiza mke wake na kuzaa atazaa mtoto mzima bila tatizo, mpeni msaada
True coz me mwenyew n miongoni wa watu tunaowahudumia watu wenyewe maambukizi ya ukimwi so kama mtu anatumia dawa zake vizur ni ngumu sana kuambukiza coz wingi wa virusi unapunguza sana
@@eliasnathaniel5198 hapa TZ wat wazto sana kuelewa kuhud ukimwi
@@ablashaffy2860 true
Yani kwer kabisa unaongea .Mi kuna jamaa yangu anao Tena Kama Myaka 3 Alipima akakuta anao.Ila cha ajabu Toka aanze kutumia Dawa HIV walai Akipima Tena Ngoama inasomae Negative kirasiku.Tena jamàa Ana Afya nzuli Sana .wala hauwezi kujuwa bro.Natena Anazaa fresh Sana tu.
Mm ni mmoja kati yawahanga wa ukimwi watu waelew kwamb ukiwa n ukimwi hauumwi sehemu yoyote ukizingatia dawa na ukila vizur ukajiona kawaida wakumbuke kuna cancer na ndo ugonjw hatari watu wanateseka na kun kisukali ukimwi ulikuwa unaogopwa miak ya tisin kabla ya dawa na aslimia 90% wwng wao wanavirusi lak avionekan kwa umakin wakutumia dawa kwaiyo jmn msituone wakosaji sana mkanyanyapaa watu MUNGU IBARIKI TANZANIA
Pore kaka
Ukilala na mtu ana virus prep ita nisaidia kwa muda gani
Vjana masokoni wanabebamizigo
Wee mtangazaj nae vp kwahyo kwa ajil ana maambukiz ndio aend kwao jmniii
Au unaongea tu
Uyu apambane bn aache kutaia huruma jp pole kwa ugonjwa uo
Mmh utakufa umwache
Imsadie
Labda ulikua unalawitiwa uko jera sio nyembe bwana ni ulikua unaliwa
Unyanya paaa bd ni mkubwa sn
Tapeli tu huyu kafanye kazi acha umama watu wanaukimwi nawanapiga kazi
Mtangaz ww bn unaznguaa ww
Watu wenye ukimwi wauwawe tu ili ukimwi usiwepo hatutaki watu hawa wauliwe haraka
Akili yako ndogo kama maisha yako.......mxiewwwwww
Mmmmmm jamani kweli sema tuwe makini sana jamani kama utaki kupata tulia tu au tumia kinga
Rekebisha kauli Yako😏😏😏😏
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣duh haya bhana
Hivi wewe ni binadamu wa kawaida 😢 hajapata kwa kutegemea aliupatia jela