KIJANA FRANK ANAEISHI NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI/HUYU ALIEMUAMBUKIZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • KIJANA FRANK ANAEISHI NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI/HUYU ALIEMUAMBUKIZA
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 73

  • @elizabertkabadi3090
    @elizabertkabadi3090 Год назад +2

    Pole kakaangu tupo mwisho wa ukimwi umefika

  • @fredpeter5442
    @fredpeter5442 Год назад +4

    Pole sana ndugu yetu

  • @proudpoint7370
    @proudpoint7370 Год назад +5

    Hivi kwa nini serikali inaruhusu wafungwa zaidi ya mmoja kutumia nyembe moja kunyoana? Hivi mpaka leo, na elimu yote hii inayotolewa kwenye jamii kuhus UKIMWI/VVU, bado wafungwa wanaruhusiwa kutumia nyembe moja kunyoana? Hapana aisee, hii lazima ikomeshwe. Haiwezekani

    • @jumalove2631
      @jumalove2631 Год назад

      Tatizo siyo Hilo Ila swali nikwamba kwanini Mtu Asipimwe Afya kabla Yakuanza kutumikia kicungo Kama wanavyo Fanya jeshini

    • @proudpoint7370
      @proudpoint7370 Год назад

      @@jumalove2631 Amesema kwenye interview kwamba walipimwa alipokua anaingia. Kwa hiyo maambukizi aliyapatia akiwa ndani kifungoni.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +3

    Kijana mzuri ukutane nae hutakuww na wasiwasi wakusema upime

  • @olivahgaudence5681
    @olivahgaudence5681 Год назад +3

    @ummymwalimu mamaa msikilize huyu kijana wa kitanzania umsaidie😭

  • @MwanaidSeph
    @MwanaidSeph 22 дня назад

    Pole kaka anguu

  • @deboranicoraus4866
    @deboranicoraus4866 Год назад +2

    Kwn mtangazaji maiki kaweka mbali hvo ndo unaogop kuambukizw huo ukimwi au ?

  • @anethgeorge5474
    @anethgeorge5474 Год назад +1

    Mtangazaji hajui kufanya interview,ayo maswali yko kwann usielewe anayopitia mbna unam'bishia sasa

  • @mwanajumamwinyi2665
    @mwanajumamwinyi2665 Год назад +2

    Daah lkn anaweza kupata mtoto asiwe na ukimwi wakitumia dawa

  • @maximilliangaudence3351
    @maximilliangaudence3351 5 месяцев назад

    Anafaa sana kuwa mshauri kwa wagonjwa wa ukimwi maana through yeye atakuwa proper guide

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا Год назад +1

    Ukimwi hauzuii kufanya kazi hizo unakula vzr

  • @saidiwakufuta
    @saidiwakufuta Год назад

    Jamaa anapenda Kaz rahis rahis wakt watu wamesoma hizo kazi za usafi kkt hizo wizara hawapati jee ww huna llte utapataje shehe unataka upate bajaji ili uambukize na wengne

    • @sturidamwaminde2254
      @sturidamwaminde2254 Год назад

      Kakaangu kasema wizara ya afya kufanya usafi hajapenda kuwa ivo

    • @saidiwakufuta
      @saidiwakufuta Год назад

      Saw Ila huko wizarani Kuna mmbo mengi yanatakiwa ndo uajiriwe Mana Kuna wasomi pia wanakila vyeti na kazi hawapati Sasa yy Hana llte atapata vipi na wakt wapo weng wenye maambukizi na vyeti yvao na Kaz hawapati Sasa yy auze hata maji mungu atamsaidia mbna au akishindwa aje zanzbar huku

    • @BettyMnzava-h4t
      @BettyMnzava-h4t Год назад +1

      Mwaka huu usiushe kama hujagingwa na gari ukafie huko. Hakuna mtu aliyeomba apate virusi

  • @VeronicaMangula-lk3ng
    @VeronicaMangula-lk3ng Год назад

    Pambana kaka angu kupata maambukizi sio mwisho wa maisha

  • @Kanga-pu6yl
    @Kanga-pu6yl 2 месяца назад

    Jaribu 4a9 Kwa TR MISIGWA anasema utaishi bila VVU.

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 Год назад +1

    pambana jamaa yangu ndugu uwe na hela watakuthamin

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا Год назад +1

    Maxmam Tv walimchangia huyu kanenepa kweli ulikosa. Mtaji kweli

  • @ablashaffy2860
    @ablashaffy2860 Год назад +1

    Yan kampen zte hz kumbe bongo bdo kuna ushamba wa kunyanyapaa wat!

  • @lufundadimpoz6063
    @lufundadimpoz6063 Год назад +6

    Uongo mwingi😅

  • @user-gl8ij6mn6e
    @user-gl8ij6mn6e 7 месяцев назад

    Yaan serikali inheona haja mbali ya kuwasaidia kuwapa dawa bure pia ingewekwa mikakati ya kuwawezesha kuwapa ajira au fani kama hivyo kuangalia na kuwapa fani wengine kuwapa kama huvyo huyo bajajo hata kwa mkopo ili waweze kuishi kupata milo kamili waweze kumudu kunywa dawa

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 4 месяца назад

    Pole kijan dawa ya ukimwi ipo njian

  • @FaridaKessy
    @FaridaKessy Месяц назад

    Jana kafyeme mbn iviii😳😏

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Год назад +1

    Kk.mzuri ila munguu

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 Год назад +3

    FRANK Anakipaji Cha kucheka tu🤣

    • @Thebaddest255
      @Thebaddest255 Год назад

      jaribu kuvaa kiatu chake stop making funny of him

  • @sarahngulo5909
    @sarahngulo5909 Год назад +2

    Kwel uspime kwa macho

  • @ShamteNgonyani
    @ShamteNgonyani Год назад

    Daaa hata Mimi apa nipo niowe

  • @totobest6913
    @totobest6913 Год назад +1

    Sare kali ilo muambukiza ukimwi

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Год назад +1

    Ww mtngazaj wakat huna kaz ulienda kubeba zege

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 Год назад +4

    Uyo ni ugonjwa kama ungine wala matajiri wasimnyime kazi, vile anakunywa dawa hawezi kumuambukiza mtu, ata akiowa hawezi kumuambukiza mke wake na kuzaa atazaa mtoto mzima bila tatizo, mpeni msaada

    • @eliasnathaniel5198
      @eliasnathaniel5198 Год назад +1

      True coz me mwenyew n miongoni wa watu tunaowahudumia watu wenyewe maambukizi ya ukimwi so kama mtu anatumia dawa zake vizur ni ngumu sana kuambukiza coz wingi wa virusi unapunguza sana

    • @ablashaffy2860
      @ablashaffy2860 Год назад

      @@eliasnathaniel5198 hapa TZ wat wazto sana kuelewa kuhud ukimwi

    • @eliasnathaniel5198
      @eliasnathaniel5198 Год назад

      @@ablashaffy2860 true

    • @mubuyafrancis3979
      @mubuyafrancis3979 Год назад +1

      Yani kwer kabisa unaongea .Mi kuna jamaa yangu anao Tena Kama Myaka 3 Alipima akakuta anao.Ila cha ajabu Toka aanze kutumia Dawa HIV walai Akipima Tena Ngoama inasomae Negative kirasiku.Tena jamàa Ana Afya nzuli Sana .wala hauwezi kujuwa bro.Natena Anazaa fresh Sana tu.

    • @emmanuelkinyenje9998
      @emmanuelkinyenje9998 Год назад

      Mm ni mmoja kati yawahanga wa ukimwi watu waelew kwamb ukiwa n ukimwi hauumwi sehemu yoyote ukizingatia dawa na ukila vizur ukajiona kawaida wakumbuke kuna cancer na ndo ugonjw hatari watu wanateseka na kun kisukali ukimwi ulikuwa unaogopwa miak ya tisin kabla ya dawa na aslimia 90% wwng wao wanavirusi lak avionekan kwa umakin wakutumia dawa kwaiyo jmn msituone wakosaji sana mkanyanyapaa watu MUNGU IBARIKI TANZANIA

  • @JacqulineTweve
    @JacqulineTweve 5 месяцев назад

    Pore kaka

  • @user-pn7ko9tj8w
    @user-pn7ko9tj8w 7 месяцев назад

    Ukilala na mtu ana virus prep ita nisaidia kwa muda gani

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا Год назад +1

    Vjana masokoni wanabebamizigo

  • @estertiffa-ew5id
    @estertiffa-ew5id Год назад

    Wee mtangazaj nae vp kwahyo kwa ajil ana maambukiz ndio aend kwao jmniii

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Год назад +1

    Au unaongea tu

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Год назад

    Uyu apambane bn aache kutaia huruma jp pole kwa ugonjwa uo

  • @totobest6913
    @totobest6913 Год назад

    Imsadie

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d 8 месяцев назад

    Labda ulikua unalawitiwa uko jera sio nyembe bwana ni ulikua unaliwa

  • @ramadhaniisihaka295
    @ramadhaniisihaka295 Год назад

    Unyanya paaa bd ni mkubwa sn

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d 8 месяцев назад

    Tapeli tu huyu kafanye kazi acha umama watu wanaukimwi nawanapiga kazi

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Год назад

    Mtangaz ww bn unaznguaa ww

  • @agnerapius7244
    @agnerapius7244 Год назад

    Watu wenye ukimwi wauwawe tu ili ukimwi usiwepo hatutaki watu hawa wauliwe haraka

    • @thynerwith130
      @thynerwith130 Год назад

      Akili yako ndogo kama maisha yako.......mxiewwwwww

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Год назад

      Mmmmmm jamani kweli sema tuwe makini sana jamani kama utaki kupata tulia tu au tumia kinga

    • @salmaabdul6154
      @salmaabdul6154 Год назад

      Rekebisha kauli Yako😏😏😏😏

    • @veronicadeus9345
      @veronicadeus9345 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣duh haya bhana

    • @Thebaddest255
      @Thebaddest255 Год назад

      Hivi wewe ni binadamu wa kawaida 😢 hajapata kwa kutegemea aliupatia jela