Jinsi ya Kuanza, Njia sahihi ya Kujifunza Graphics Design (Complete Guide)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 51

  • @gabrielson9182
    @gabrielson9182 Месяц назад

    Kazi nzuri ila jitahidi uwe short and clear

  • @RaphaelKapisi
    @RaphaelKapisi 7 месяцев назад

    asante kwa maelekeso

  • @VijanaDigitalTV
    @VijanaDigitalTV 2 года назад

    Asante sana mwalimu Joel. Stay blessed kwa majitoleo yako ili kutufindisha sisi BURE kabisaaa 🙏🙏🙏

  • @estherkeba24
    @estherkeba24 4 месяца назад

    🙏hongera pia masomo ni mengi ila kwa kiswahili ni machache atimae watanzania wengi watafikiwa

    • @MyChannel-x8m
      @MyChannel-x8m  4 месяца назад

      Kabisa bosy tutaweka nyingi zaidi

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv Год назад

    Ahsante sana

  • @BetrcemichelIbrahim
    @BetrcemichelIbrahim Год назад

    Nambazako je

  • @Musamogota-vd1qw
    @Musamogota-vd1qw 7 месяцев назад

    Nakupata vipi

  • @dillisalum2384
    @dillisalum2384 2 года назад

    Good

  • @masabonelson6733
    @masabonelson6733 5 месяцев назад

    Nazipataje izo kozi zako

    • @MyChannel-x8m
      @MyChannel-x8m  5 месяцев назад

      @@masabonelson6733 tuwasiliane kwa namba 0745 152 680

  • @bhokebusiro3596
    @bhokebusiro3596 Год назад

    Naomba hyooo platform yako

  • @magatytz7870
    @magatytz7870 Год назад

    Safii sanaa

  • @norahmatunda8223
    @norahmatunda8223 Год назад

    Naomba kuliza mm nataka kuongeza ujuzi zaidi wa style and design ju sahii mm ni pattern maker. Bt sina certificate so nataka kama naweza soma online alfu nipate certificate nitafurahi sana na nita soma kwa mda gani

  • @jescamagai5876
    @jescamagai5876 2 года назад

    Vp kuhusu t-shirt napo unaweza kunisaidia jinsi ya kuweka nembo na kubadika picture kwenye t-shirt

  • @baatykasmily4
    @baatykasmily4 2 года назад

    Naweza kupata graphic pad ya kuchorea

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 2 года назад

    🙏🙏🙏

  • @sir_richard_dk
    @sir_richard_dk Год назад +1

    Naomba kuuliza, kwa beginners, ipi ni rahisi kujifunza kati ya Adobe photoshop na Adobe illustrator?
    Na kati ya hizo software mbili, ipi inaufanya vizuri sana kwenye graphics?

    • @MyChannel-x8m
      @MyChannel-x8m  Год назад +2

      Swali zuri, unatakiwa kuelewa kuwa huwezi kuwa designer au kufanya graphics kujua software moja tu no. unahitaji several programu so kama unataka kuwa designer unahitaji kujifunza Photoshop+Illustrator na Idesign with no exception. Zote zinaumuhimu wake na zinafanya kazi kubwa kila zinpohiyajika kulingana na aina ya design na task unayotaka kuexcute

    • @MyChannel-x8m
      @MyChannel-x8m  Год назад +1

      Take your time watch this: ruclips.net/video/c-Gr8t0dz1E/видео.html&si=EnSIkaIECMiOmarE

    • @sir_richard_dk
      @sir_richard_dk Год назад

      @@MyChannel-x8m ahsante sana

  • @siminduchahama3063
    @siminduchahama3063 6 месяцев назад

    Namba yako

    • @MyChannel-x8m
      @MyChannel-x8m  6 месяцев назад

      Karibu sana tuwasiliane kwa namba hii 0745152680

  • @norahmatunda8223
    @norahmatunda8223 Год назад

    Kisha kama inawezekana naomba kujlishwa

  • @MC.KIZZY_1
    @MC.KIZZY_1 10 месяцев назад

    App gani ni nzuri kufanyia graphic design out of Adobe photo shop

    • @MyChannel-x8m
      @MyChannel-x8m  10 месяцев назад

      Majibu yako hapa Tazama Video hii: ruclips.net/video/c-Gr8t0dz1E/видео.htmlsi=tWbU0ZHpQKGOWim7

  • @lamama.
    @lamama. Год назад

    wewe unajua jinsi ulivyoingia kwenye hii video ndio njia bora zaidi

  • @DonaldAndrew-nx3go
    @DonaldAndrew-nx3go 7 месяцев назад

    Je najiunga VP nahizo course zako ulizoandaa ?

    • @MyChannel-x8m
      @MyChannel-x8m  7 месяцев назад

      @@DonaldAndrew-nx3go wasiliana nasi 0745 152 680

  • @SalamaMohamed-u1i
    @SalamaMohamed-u1i Год назад

    Hakuna group la whatassap

  • @elizabethmaganga1744
    @elizabethmaganga1744 Год назад

    Kaka mm naomba kujua napata wapi hizo course zako tafadhali

  • @suzanajuvinalis9860
    @suzanajuvinalis9860 Год назад

    Da kaka unaongea sna anza kufundish jmn

  • @JinguMath
    @JinguMath 7 месяцев назад

    Hahah umeongea mwanzo mwisho

    • @MyChannel-x8m
      @MyChannel-x8m  7 месяцев назад

      Je Ni tatizo? au unamaanisha nn

  • @innocentswai6239
    @innocentswai6239 Год назад

    izo course zipo wap

  • @gracevicent9246
    @gracevicent9246 Год назад

    Unaongea sana tatizoo

  • @GloriaSilibwa
    @GloriaSilibwa 6 месяцев назад

    Bro ninahamu ya kijifunza na nijue designing mm ni beginner sijui chochote

    • @MyChannel-x8m
      @MyChannel-x8m  6 месяцев назад

      @@GloriaSilibwa Karibu sana wasiliana nasi tutakusaidia kukufundisha 0745 152 680