Our New Nanny Got EMOTIONAL🥹 After We Pulled A Big Surprise🥰

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 506

  • @moureenngigi
    @moureenngigi  11 дней назад +12

    We surprised our brother in Murang’a
    ruclips.net/video/kWfU-sr3Qyw/видео.html

    • @trizahtesh001
      @trizahtesh001 11 дней назад

      Kwani Mary ako wapi

    • @Lydylynel820
      @Lydylynel820 11 дней назад

      UNATUONA kama ...😂😂Gift kitanda my lord how will she get emotional na vitu zako za nyumba 😂😂😂lakini content weww kitanda

    • @belinda2259
      @belinda2259 5 дней назад

      Hiyo kitanda si ni yako sa hiyo ni surprise gani

  • @Agnesmbugua93Mbugua
    @Agnesmbugua93Mbugua 11 дней назад +78

    moh my favourite...tafuta mary mfanye video na yeye atuambie tu goodbye ndio roho zitulie...😢

  • @MaryNdungu-w2r
    @MaryNdungu-w2r 11 дней назад +6

    Team napitia Kila mtu mwenye atani pitia let's go 🎉🎉🎉🎉

  • @AnitaKeter
    @AnitaKeter 10 дней назад +25

    Kitanda ni yenu si ya nanny ,,online nayo itatuonyesha manenoz😅😅😅

  • @user-gathere
    @user-gathere 10 дней назад +5

    Pika mchele waru bila spices umpeee,pika ngima na mayai kathufu umpee,or with nyama na kasupu but bila spices

  • @snorineoruko7766
    @snorineoruko7766 11 дней назад +25

    Commoh's mtafute Mary atuambie bye hata she's a nice girl na hata akienda muendelee kumsupport at least, lot's of love to y'all

    • @yl_wanjiru
      @yl_wanjiru 10 дней назад +1

      Kwani Mary alienda lini

    • @snorineoruko7766
      @snorineoruko7766 10 дней назад

      @yl_wanjiru nikama hakurudi January but moh na Mary should address this

  • @user-gathere
    @user-gathere 10 дней назад +4

    Tiga korugera mwana mairyo mwari wa Ngigi,pika food bila spices atakula,kwanza gima gathufu kw nyamw, morning mpikie yai na small ndazi aumeume😂😂😂😂😂huyo nkimshika atapiga mtoto wa Diana B Weight

  • @Faith_c-b9l
    @Faith_c-b9l 8 дней назад +2

    Mama santi I'm a student and have been your subscriber tangu kitambo
    Kitanda yangu ilikulwa na worker termites it was 4×6 hata hiyo 3×6 nita appreciate sana ukinisaidia nayo❤

  • @keziahwairimu9944
    @keziahwairimu9944 5 дней назад +2

    Moureen kata yeye kilimi. Lakn mwanzo peleka yeye Kwa doctor amwangalie

  • @excellentWriters-q4g
    @excellentWriters-q4g 9 дней назад +1

    Mko sure mlimaliza vedio mskie kitu moh alisema kweli,,,,,,congrats moh🥰🥰may you never luck

  • @nimojoy8160
    @nimojoy8160 11 дней назад +7

    am a mum of 2 boys so my 1st one nilimlea ugali managu to open up his throat but ilikuaga soggy ugali then malenge,mandizi na waru (fried) and up to date anapenda kaugali 😂😂..then the 2nd one alikataa food but alikua anakula sweet potato nabonda na maziwa and fried rice.wangu hawajui uji ni nn na sio lazima wakunywe uji walikua wanakunywa yogurt,maji and milk..then breast feed as good as possible 😢😢

  • @Eunice-lefty
    @Eunice-lefty 11 дней назад +4

    Wah comment section some people just wait for an upload waangalie whats negative ndio they call out,mara oh lisha mtoi ako hivi,oh that's not a gift
    This life has no manual you do life your way and how it works for you
    You'd think those people calling out are perfect in everything they do
    Some comments speaks more of the person you are while you think you are trying to get at someone
    Some people have so much bile and they're looking for a space to pre empt

  • @Mrsprissy2024
    @Mrsprissy2024 11 дней назад +3

    Haki mtoto hakuli hua anasumbua na maugonjwa wooiye.

  • @heldeysmessy2501
    @heldeysmessy2501 11 дней назад +2

    Good job the comohs,wenye wanasema hii sio gift hamjui ,huku inje nanies wanalala chini ,wengine kwa bed ya chuma,na baridi ya Nairobi,anyways congrats family,be blessed ❤

  • @mira748
    @mira748 6 дней назад +1

    Si kwa ubaya ila ningeomba usiwapee space nyingi nannies. Huwa wana change mudo wowowte. Usiwaamini sana na kuwa enedekeza sana. I know what i say.

  • @DamarisRasoha
    @DamarisRasoha 11 дней назад +4

    Moh it happens wen a mother feeds the baby wanatakaa but wen someone else do they eat, at least you have a nanny to feed him let him be with time he will eat

  • @vivianmumbua3449
    @vivianmumbua3449 11 дней назад +2

    Moh I really love your content aki n bless na io matress unasema imeisha ukiona maali nalala na mtoto wacha tu

  • @shirleyachieng
    @shirleyachieng 11 дней назад +4

    Sometimes stop negativity yaaye 😔 kama umeona vile moh amefanya si kugift nanny basi hujaskia nanny huku nje vile wanasuffer😢 always spread positivity na kama uko na negative comment basi usitype

  • @Lifewithjuliejulie
    @Lifewithjuliejulie 11 дней назад +37

    Moh mimi niliambiwa nikitaka mtoto akule mpikie chakula usiboil upike chakula unaweza kula wewe,,,then kama hataki kupewa eka chakula kwa sahani mueke chini na chakula na uondokee atacheza na akule pia wangu alikuwa hivo but saii hujipea na pia matunda

    • @Moh-v6b
      @Moh-v6b 11 дней назад

      Good advice

    • @moureenngigi
      @moureenngigi  11 дней назад

      Okay☺️

    • @dorinemogoi9049
      @dorinemogoi9049 10 дней назад

      Nutritionist aliniambia hivo.unafaa kukaranga kama yenye unakula

  • @mary015m
    @mary015m 11 дней назад +12

    Hawa watu wa mary kwani she was supposed to stay hapo permanently aiii

    • @Cindy-n5o
      @Cindy-n5o 11 дней назад +1

      Wanaboo aki ati wanataka explanation sijui ndo iwasaidie nini...watu wa kujudge life ya watu

    • @khayalalzaabi98
      @khayalalzaabi98 11 дней назад

      😂😂😂😂imgn wako busy eti explain may be plan yake ile afanye job 1yr to​@@Cindy-n5o

  • @Iddah-p5e
    @Iddah-p5e 10 дней назад +1

    Moh nakupenda add nkitoka uku majuu ukiwa auna medd mimi ntaeza kuwa medd wako piya❤❤❤❤❤

  • @tabsangie1035
    @tabsangie1035 День назад +1

    EIYYY MARYYYYYY UKO WAPI JAMENI😢😢😢😢

  • @Samimabetterhomes-g9n
    @Samimabetterhomes-g9n 10 дней назад +1

    every kid has his or her own way of growing ...kids are different santi is one of those who has no good appetite of eating itafika tu stage ataanza kula mwenyewe provided that hes healthy dont worry alot ...just dont stop on making effort of feeding him...alafu time ya kufeed usimpee chakula mmpee his nanny ampee kids act different when they around their mommies

  • @maryshiqs7531
    @maryshiqs7531 11 дней назад +12

    Alikeleleshwa kwa nini mtoi hakulii na pia mbona haongezi weight....akaona tu ajitoe....my thought though

    • @Zingua-comedy
      @Zingua-comedy 11 дней назад

      Alkeleleshwa na nan

    • @eunicewanjiru604
      @eunicewanjiru604 3 дня назад

      Hawa maceleb ,hujifanya sana ,lkn kwa hao ni mashetani tupu,tunawajua sana

  • @DorineMoraa
    @DorineMoraa 11 дней назад +2

    Love this family❤naonawatu comment zawadi bado nmgeni anamkaribisha afeel ako home simnajua moh nmtu wa zawadi n.a. mtoi mpee blessed fruits mingi kuna time hawana appetite

  • @RaddihKavuu
    @RaddihKavuu 11 дней назад +4

    Much love ,pitieni kwangu guys

  • @christinekedogo9308
    @christinekedogo9308 11 дней назад +3

    Mary wangu alienda wapi 😢😢😢😢😢😢bt ni sawa tu hata jane ako tu sawa

  • @harrietkambua1399
    @harrietkambua1399 11 дней назад +14

    Upcoming RUclipsrs watu 50 wanipitie niwapitie tugrow pamoja ❤️❤️❤️

    • @Funwithelsiee
      @Funwithelsiee 11 дней назад +2

      Let's grow en do collabos too👍

    • @philok9034
      @philok9034 11 дней назад +2

      ​@@Funwithelsieegood idea ❤❤

    • @Funwithelsiee
      @Funwithelsiee 11 дней назад +1

      @philok9034 yeah coz weeeeh lazima pia tuiskume na videos

    • @waciurilucy54
      @waciurilucy54 11 дней назад +1

      Nipitieni pia

    • @queenmoses254
      @queenmoses254 11 дней назад +1

      Done..let's grow pamoja

  • @NaomiShanique
    @NaomiShanique 10 дней назад +1

    It is normal. My baby is 1.4 na she refused food since I introduced her to solids and used to only take drinks but would try as much as I could ata kama atakula 2 spoons then she take the drinks she wants and finally alikubali akiwa 1.2. just be patient with the baby, continue giving the baby finally atakubali when he is ready for solids. Don't shout at him or show him that you are frustrated trying to encourage him

  • @agneskathao2119
    @agneskathao2119 9 дней назад +2

    moh nitafutie kazi ya nyumba ata Kwa rafiki yako

  • @Maureenreen952
    @Maureenreen952 11 дней назад +7

    Moh consider me please 😢am exactly your age with two kids and in a toxic marriage wishing to move out and start my new life with kids before its too late...kindly consider me please

  • @neemayassin6509
    @neemayassin6509 11 дней назад +4

    Umepungua ❤

  • @vicklinekanana575
    @vicklinekanana575 23 часа назад

    Mbuyie multivitamin atachange

  • @esperancenathali
    @esperancenathali 11 дней назад +8

    Hiyo sio gift yake cause hakienda kwao hatohenda nayo that is for you period

  • @RispperNjeri-ye1pz
    @RispperNjeri-ye1pz 2 дня назад +2

    Much love guys ❤❤❤

  • @kristengal8796
    @kristengal8796 10 дней назад +2

    Aki watu 50wanipitie nitawapitia pia please

  • @cmumbiofficial5509
    @cmumbiofficial5509 10 дней назад

    That was my baby too,when feed by nanny she was kinda feeding well.she always want to feed her self,just be patient with santy,distract his mind with play items,if he's walking follow him.thats what saved me. santy atakula kama wangu alikula

  • @MaureenMichael-r1x
    @MaureenMichael-r1x 11 дней назад +15

    Huyo mtoto anafaa kua kibonge ONA vile kanakaa mdogo na anaelekea mwaka, hebu mlishe mtoto

  • @jacintakarimi1135
    @jacintakarimi1135 11 дней назад +9

    Every feed add spinach and terere and malenge

  • @linetkhasoa
    @linetkhasoa 11 дней назад +5

    Anakua emotional kwani ataenda nayo kwao kazi kiisha😂😂😂😂

    • @frankblanka
      @frankblanka 11 дней назад +2

      eeeh.? Content creation is hard.

    • @Lydylynel820
      @Lydylynel820 11 дней назад +2

      😂😂😂 anatuona matako yake 😂😂😂kitanda ni kitu ya kugift mtu na ako kwake

    • @HellenKamonya
      @HellenKamonya 10 дней назад +1

      Kitanda niya nyumba yako, kwani ataenda nayo kwake😂

    • @Lydylynel820
      @Lydylynel820 10 дней назад

      @@HellenKamonya ni ya mama yako juu analalia magunia😂

  • @KeshiaMwangi
    @KeshiaMwangi 8 дней назад

    Moh mine was like that kama anataka kujipea wacha ajipee na machungwa ni appetising so mpee kila time

  • @EuniceMuthike-lb7pm
    @EuniceMuthike-lb7pm 10 дней назад +1

    As for mh mtoi huendelea n chenye alizoea kukula from day i y kuanza kula,kama hajai onja chakula enu haezi kataa boiled buh ukimchanganyia izo ladha hatawai kula yake

  • @cateann7832
    @cateann7832 9 дней назад

    Ataenda nayo om kwao ama

  • @Mukami_Camy
    @Mukami_Camy 11 дней назад +1

    Team kupitiana mko wake pitia mtu anayekupitia❤❤

  • @claricemukami
    @claricemukami 7 дней назад

    I make, bananas, potatoes sometimes pumpkin
    I add (peas, kamande, minced meat, liver, as protein ) proteins unaruka siku moja unamuekea

  • @elizabethnyathirawamugunda6263
    @elizabethnyathirawamugunda6263 11 дней назад +5

    its too early to gift her before you learn her. i have employed before and afew behave too good to be trusted then after you get used to each other you learn her her dark hidden side. But anyways your good employers

    • @judymoh9842
      @judymoh9842 11 дней назад

      Uzuri bed n yao tu c inabaki kwao

  • @magdalenewandei4084
    @magdalenewandei4084 11 дней назад +3

    Moh next ni mimi nakua nanny ata kama utanilipaga 2k.

    • @moureenngigi
      @moureenngigi  11 дней назад

      Siezi kubali hio ufanye kazi for that pay😅

  • @Loyce123
    @Loyce123 10 дней назад +1

    Nlikuwa tu! Ule mwingine haezi rudi

    • @Miley_Life
      @Miley_Life 10 дней назад +2

      Vile moh alikua anamuuliza ,mbona amebeba vitu mob kuenda ushago

  • @KENYANQUEENOFFICIAL
    @KENYANQUEENOFFICIAL 11 дней назад +1

    Nipitieni guys pale kwangu❤❤

  • @Qk452
    @Qk452 11 дней назад +3

    Ikifika hapa naogopa mapranks!!!😢

    • @moureenngigi
      @moureenngigi  11 дней назад

      😅

    • @VallaryJellagat
      @VallaryJellagat 10 дней назад

      Kwanza uyo nanny anakaa kapole 😅moh then ulete mapranks 😊😊

  • @kuifrancokamasaaigal6033
    @kuifrancokamasaaigal6033 11 дней назад +3

    Moh I love you saana ..aki nakapenda haka katoto ketu .moh akisonga. Tunasonga ❤❤❤..

  • @Deeprinces
    @Deeprinces 10 дней назад

    Mtengenezee mayai mixed with spinach then kaugali ataanza kula,mkipambika na hii story mnitafute nimpikie🎉😂

  • @RachaelKangeri
    @RachaelKangeri 11 дней назад +1

    Upcoming youtubers tupitiane❤nipitieni guy's🎉

  • @MaryWafula-yn8nu
    @MaryWafula-yn8nu 2 дня назад

    Where is mary😢

  • @EvalinDama
    @EvalinDama 8 дней назад

    Ama analia juu hajai lalia kitanda kama hio

  • @pamelawambui205
    @pamelawambui205 10 дней назад +1

    Waah aki Santi is like my son, upto date na wangu ako 2 years hakulangi😢 he weighs 10kgs😭😭 tumetry kila kitu lakini wapi, paediatricians kama wanne different, multivitamins, no change..
    It's sad aki, na watu huwa hawaelewi wanaona kama hufeed mtoi ju ni kakonde.

    • @philipmutua1748
      @philipmutua1748 8 дней назад

      Mine too😢😢,imagine 2.3 with 10kgs😢😢

  • @JaneGathumbi-d8o
    @JaneGathumbi-d8o 5 дней назад

    Heeey Moh naeza taka bed
    Am currently on Tp na Sina bed 😌 nalala chini

  • @laurinejendeka5668
    @laurinejendeka5668 11 дней назад +2

    Ni ju unamboo na chakula same na ashaanza kujua vitu tamu na humpei. Stop boiling food for him.

  • @marykariuki2208
    @marykariuki2208 11 дней назад +1

    Mine alikiwa hivo na saa hii anakulia mpaka wengine ,mpee time

  • @EmaculateAluoch
    @EmaculateAluoch 10 дней назад

    Hi Moh..
    Breastmilk huwa inasaidia kwa watoi hawapendi chakula...
    The give him fruits... especially Avocado....

  • @mariasangawe7552
    @mariasangawe7552 11 дней назад +2

    Huyo mtoto ako underweight.lisha mtoto lishe bora

  • @EmilyJonnes-ji5ty
    @EmilyJonnes-ji5ty 5 дней назад

    Ongea polepole yawa😂😂unaongea kama computer😂😂

  • @MercyKaren-u5k
    @MercyKaren-u5k 11 дней назад +3

    Nipitieni to grow pamoja team moh ,,,🎉🎉🎉

  • @MercyNdinda-se6zf
    @MercyNdinda-se6zf 11 дней назад +8

    Hey Moh, I'm a one month plus mom na due to some family issues i separated with my man and life over here is difficult nalala chini na mtoi I can't do anything like hustling because of my Cs scar has not yet healed I'm looking forward to win the give away gift

  • @cynthiaachieng-yg3cq
    @cynthiaachieng-yg3cq 9 дней назад

    Moh usipewe stress na online aunties😂😂 mtoto wangu alinisumbua kula mpaka Sahi ako 2 yrs, najikaza tu kumlisha sai ako 10.5kgs and am happy anaongeza, niliambiwa hosy enda na pace ya mtoto.

    • @shikohmwangi1217
      @shikohmwangi1217 7 дней назад

      2½ ako 11.5kg,,, na sina stress ju ya kulinganishiwa

  • @Essy088
    @Essy088 11 дней назад +2

    Kids will never eat wen they parents wako around

  • @claudianyivandinda
    @claudianyivandinda 9 дней назад

    Mkitoa ako kenye hakatoshi mnisaidie nako🙈

  • @Abbiemonchez
    @Abbiemonchez 8 дней назад

    I really need that bed beiby gal😢 mm ndio naanza life 😊 God will bless you ❤❤

  • @lavinelvesh1600
    @lavinelvesh1600 11 дней назад +1

    Team ngigi tupitiane we grow together 😊😊

  • @deejayangie2548
    @deejayangie2548 8 дней назад

    Akiacha job ataenda na hiyo bed ama

  • @sharonokoth7029
    @sharonokoth7029 10 дней назад

    My son had this problem of eating but my mum insisted on me giving him the food we are eating since it doesn't have spices
    Am telling you sai anakulaaaaa naamenona

  • @loiceshiko
    @loiceshiko 11 дней назад +5

    Kwani mary alienda Christmas akiendanga one way

    • @annemweya8451
      @annemweya8451 11 дней назад

      I remember moh akimprank aki

    • @ChristineWambua-vm6mb
      @ChristineWambua-vm6mb 11 дней назад +4

      Hawa watu wanakuanga wanzuri Kwa camera, bt off the camera ni Mungu tu ananjua

  • @euniceatieno-lc9fg
    @euniceatieno-lc9fg 7 дней назад

    Oak furnitures wanaunda working tables pia? And i would appreciate if am blessed with the bed

  • @VeronichaWambui
    @VeronichaWambui 11 дней назад +17

    Moh gift me plzz ai gave birth 2months ago the baby dady aliniletea the baby mama wake tkaishi na wao for 2days ndo nipate mtoi then nikaenda hosi bad mtoi hakumake it ndo wakabeba vitu zote za kaho wakaniacha plzz God le me win

  • @NdungeMarthamuindi
    @NdungeMarthamuindi 9 дней назад

    Wewe kwani mary alienda wapi💔

  • @ValenShubrah
    @ValenShubrah 4 дня назад

    Done.I really pray it alocates me I'll give my reasons offline

  • @GraceNeema-g6c
    @GraceNeema-g6c 11 дней назад +2

    Moh if please you need a male fundi please let me know... Someone somewhere really need the job and he is really good on it

  • @Funwithelsiee
    @Funwithelsiee 11 дней назад +1

    Awesome 🎉🎉i love this❤❤ wish to meet you moh.. Tupitiane guys na u share each other's videos ndio tu grow pia

  • @metrinemanyonge6055
    @metrinemanyonge6055 11 дней назад +15

    Huyu jane anakaa tomboy 😂😂😂

  • @ChristineMwangi-w5i
    @ChristineMwangi-w5i 9 дней назад

    Hey fam..hope you doing fine...thee commes youve been my top RUclipsrs since I started a journey with you."pregnancy" av an agemate gal to santii...aki huwa unaniininspire Sana huwa najifunza na WWE kulea since we do ulijifungua Kwanza.....I love every step ..thank you sooo much..and I would like you surprise me with that bed I will b happy..nko kirinyaga

  • @CarolineNduta-oq2iv
    @CarolineNduta-oq2iv 9 дней назад

    We moh huezi twambia mary akienda

  • @muthonikimaniofficial5640
    @muthonikimaniofficial5640 5 дней назад +1

    Guys mnipitie please

  • @WendonNyawira-e9q
    @WendonNyawira-e9q 11 дней назад +3

    Watu 10 wanipitie niwapitie tugrow pamoja

  • @marygathigia8719
    @marygathigia8719 11 дней назад +26

    Hiyo SI gift na msinipige...akitoka SI ataiacha uko so SI yake ...why would she even cry anyway??

    • @Zingua-comedy
      @Zingua-comedy 11 дней назад +1

      😂😂😂

    • @Cindy-n5o
      @Cindy-n5o 11 дней назад +3

      ​@@Zingua-comedy izi cry cry ata me hunichokesha wallahy

    • @Thekambasfamily
      @Thekambasfamily 11 дней назад +1

      ​@@Zingua-comedyNipitie tucheke pamoja

    • @queenandchill91
      @queenandchill91 11 дней назад +4

      Si gift kabisa. Na kulia sijui analia nini. 😂

    • @marygathigia8719
      @marygathigia8719 11 дней назад +4

      @@queenandchill91 gift ni yenye ni Yako personal SI kununua kitu ya nyumba unapea mtu tuone

  • @Elizabeth-c7e5o
    @Elizabeth-c7e5o 10 дней назад

    Mko na roho safi sana continue

  • @MoureenmohWabwire
    @MoureenmohWabwire 10 дней назад +1

    Tupitiane ❤❤❤

  • @Safiya_said
    @Safiya_said 11 дней назад +2

    Nipitieni guys to grow pamoja please mnifikishe hata 500subs

  • @chefkim9752
    @chefkim9752 11 дней назад +2

    hey pelekeni kwa cucu for a week n thank me later he ill eat

    • @moureenngigi
      @moureenngigi  11 дней назад

      Sawa

    • @jacinta6714
      @jacinta6714 10 дней назад

      Exactly.pelekeeni any of the shosho for a week or two. he will be ok.

  • @Edellife
    @Edellife 11 дней назад +10

    Tufanyie Vida moja utuambie Mary alienda why

    • @MillyMilly-m2j
      @MillyMilly-m2j 11 дней назад +6

      Itakusaidia na nn

    • @Cindy-n5o
      @Cindy-n5o 11 дней назад

      ​@@MillyMilly-m2j 😂😂😂 ebu muulize tena aki idleness inasumbua watu sana

  • @Bree25460
    @Bree25460 11 дней назад +1

    Done,,,aki Moh nataka kitanda,,

  • @nancyrori6637
    @nancyrori6637 11 дней назад

    Moh ukitaka viziri usiwekee mtoto timetable please ataboeka haraka na everytime akiona hiyo food atakuwa akikataa

  • @ephystacy9766
    @ephystacy9766 10 дней назад +3

    My boy turned 2 on Monday but is not talking yet is it normal guys

    • @Susanmodestah123
      @Susanmodestah123 10 дней назад

      It's normal bcz my grandson is turning 2 February and he's not talking only calling maam

  • @tomgitagia2363
    @tomgitagia2363 11 дней назад

    Hello moh, you are amazing please nitafutie job ata kama ni kwa mabeshte wako nipate ya kulea mtoi

  • @RachaelMuthina-ly4io
    @RachaelMuthina-ly4io 11 дней назад +2

    Moh mnipee iyo bed without bed for me its okay

  • @MercymwikaliKioko
    @MercymwikaliKioko 11 дней назад

    Hello. My favourite moh naomba hiyo kitanda nipelekee my mum aky Hana and analala kwa floor

  • @JACKLINENDUNGEMBUVA
    @JACKLINENDUNGEMBUVA 10 дней назад

    Where is Mary ama mlimfuta ivo tu

  • @user-kalush93
    @user-kalush93 11 дней назад

    my daughter was like that.she wasn't feeding well but you can try giving him food yenu maybe ameboeka na chakula zake.alafu don't force him ,

  • @jennifermusa353
    @jennifermusa353 11 дней назад +2

    Well done gal.. keep going

  • @elizabethnyathirawamugunda6263
    @elizabethnyathirawamugunda6263 11 дней назад +10

    he is not eating because he is missing your ex-nanny😂😂😂😂

  • @Cate-queen-star
    @Cate-queen-star 11 дней назад +2

    What happened to Mary... mbona hakurudi Na mlikuwa mnapelekana poa

    • @julietsoita1401
      @julietsoita1401 11 дней назад +1

      Maybe amepata job ingine nothing is permanent