UWOYA awatolea uvivu wanaoponda yeye Kufungua KANISA ''Nafanya kwasababu MUNGU ametaka nifanye''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 май 2024
  • #ireneuwoya
    Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Авто/МотоАвто/Мото

Комментарии • 107

  • @DeboraMwandobo
    @DeboraMwandobo Месяц назад +3

    Hongera sana dada Irene kuna kitu Mungu ameona kwako so usivunjike moyo we songa mbele

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Месяц назад +2

    Ikiwa ni kweli Mungu kasema ufanye kazi yake, Ufanye kwa uaminifu, Nitaku- support Kwa Maombi, Mungu Akubariki ❤🙏

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g Месяц назад +12

    Kama kweli umeitwa na MUNGU umtumikie ungekaa chini ya wachungaji waliokoka wakufundishe NENO la MUNGU wala kwa konde boy, usingeenda, Nuru na giza huwa havichangamani

    • @evakessy3282
      @evakessy3282 Месяц назад

      Acha upotoshaji Mungu hapingani na mazingira mbona mwamposa kaenda

    • @beatricesamwel8161
      @beatricesamwel8161 Месяц назад

      ​@@evakessy3282usiwe mbishi kaongea ukweli 2wakorintho6;14-18 soma

    • @emmanuelgyy7232
      @emmanuelgyy7232 Месяц назад +1

      Tumpe mda tafadhali.Mungu bado ananmfinyanga awe kama apendavyo..Tuzidi kumuombea..

    • @happinessmisanga4944
      @happinessmisanga4944 29 дней назад +1

      Anajivuruga tu na atasomba wengi sana hasa wale wanaoenda na mkondo

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 24 дня назад +2

      huyu ni Lusifa anamtumia

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Месяц назад +6

    Ireen Owoya fanya vile Mungu alivyoongea nawe na Mungu atakupigania, Muangalie Mungu atakushindia kwa mengi. 🔥🔥👍🏽

    • @user-ix5jq9ks6q
      @user-ix5jq9ks6q Месяц назад +1

      Mungu yupi huyo ni marine kingdom?

    • @happinessmisanga4944
      @happinessmisanga4944 29 дней назад

      Mungu yupi na makope na manywele ya kisanii ya rangi kama anaenda kukata sebene

  • @DevotaMachite-io9nk
    @DevotaMachite-io9nk Месяц назад +4

    raha sana kuwa mrembo halafu mcha Mungu

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 29 дней назад +1

    Uchungaji na sanaa,usanii na ulokole,kazi iendelee

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel Месяц назад +1

    Kapendeza mno...❤❤❤

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Месяц назад +1

    ❤❤❤❤

  • @user-xr6nn9xz4s
    @user-xr6nn9xz4s Месяц назад +4

    Dada endelea kumtumikia MUNGU

  • @NaturalAnimals-cp7uw
    @NaturalAnimals-cp7uw 25 дней назад +2

    Nina miaka 30 na sijawahi kuona biblia nyekundu ????
    Neno la MUNGU linasema wengi watakuja kwa jina langu, : Wanadamu tunapoteya kwakukosa maarifa . 😅😂😂

  • @UpendoLangeni
    @UpendoLangeni 20 дней назад

    ❤❤Yesu akutunze

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Месяц назад

    Mungu azidi kukung'arisha

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @pastoreliya663
    @pastoreliya663 16 дней назад

    Bibilia Hipo Wazi Kusikiliza Bongo Fleva Ni Dhambi ,Tito 1:15-16 , ,Huyo ni ajent Freemason Huyo Alivyo Tu Mungu Anawakataa kwa matendo ,Someni Maandiko

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 Месяц назад

    Sure uwoya ..Cha muhimu apo ni kua consistent...maana Kaz ya mung..ni Kaz..inahitaj uvumilivi,,na kuomba sana....the world 🌎 is at end..be aware ..

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 20 дней назад +1

    Malikia wa kuzimu wamejaa wengi sana. Mtu akigusa tu, nafsi imekwenda na maji. 😂😂😂🤣. Freemason wametegesha mtego kwenye dumu lenye asali.

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 Месяц назад

    Hahahhaha anatega hela za sadaka hahhaa awa wezi awa

  • @veronicangailo7644
    @veronicangailo7644 25 дней назад

    Ukae kwanza chini ya wachungaji ujifunze ndio utamke habari za uchungaji

  • @user-vx1pw5dq7k
    @user-vx1pw5dq7k Месяц назад

    Uyu woya anatfta Kiki tu umeona mchungaj anaenda kwenye mizk ya kidunia 😂😂😂😂😂 adange tu

  • @gloryleon4187
    @gloryleon4187 Месяц назад +1

    Sasa Ni zamu ya mawigi ya upako,, tuwe makini watu wa Mungu

  • @SeifJuma-yt1pk
    @SeifJuma-yt1pk Месяц назад +1

    Ondoa mapambo kwanza

  • @DativaValerian
    @DativaValerian Месяц назад

    Jamani kila. Mtu anawaza pesa ila hawazi wapi atakuwa ikifika siku yenye vilio na wengi wanaosapoti mm simpingi ila kasomea huo uchungaji? Au ndo ile j2 ikifika unaambiwa njooni kuna keki ya upako, mafuta, maji, matunda bila neni

  • @alsam4881
    @alsam4881 Месяц назад

    Kwa baadhi ya wasanii wakishaona umri umeenda basi utawaona aidha wanataka kuingia serikalini na kuwa wabunge ili wapate pesa za kodi za wananchi au wanaingia kwenye dini na kuwa wachungaji ili wapige pesa za sadaka, kwa mfano akina Mc pilipili, Masanja Mkandamizaji, Monalove n.k, Wanataka kutajirika kwa pesa za watu masikini.

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 15 дней назад

    Hizo hereni mizigo,ila jmn

  • @bululaomary8494
    @bululaomary8494 Месяц назад

    Mhh ndio maana mivua ya ajabu inanyesha dini Gani isiyokua na mipaka

  • @DativaValerian
    @DativaValerian Месяц назад +1

    Jamani serikali chukueni kodi na makanisani maana huko kuna viwanda, mwamposa kila j2 anachakufanya ili ajaze watu ivi kama umeitwa uwasaidie watu mbona unataka pesa? Si ujiombee na ww uwe nazo mpaka mtakatishe mifuko ya watu jamani?

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Месяц назад

    Kuishi kwinginkuona mengi jamani

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 Месяц назад

    This is just a game let sit down and watch it

  • @kisoso890
    @kisoso890 Месяц назад

    Nyinyi waandishi wa siku hizi mnaboa sana hamjiandai na maswali mkifika kuhoji mtu mnazunguka sana mpaka mnahoji upumbavu tu jifunzeni kuandaa maswali na muulize one 2 one sio mnaanza kuzunguka so far so far ni nini hiki ukiwa muandishi professional unatakiwa ukienda kumuhoji mtu ujue kabisa unaenda kuhoji kitu gani lakini siku hizi mnaondoka na makamera yenu mnaenda kwenye hafla mkimuona mtu mnamvamia mradi mmepata habari

  • @GodwinNgoga
    @GodwinNgoga Месяц назад

    Tapeli hyo aache kwnd kwa mpaa kbs hyu

  • @SolixTofresh-em8rx
    @SolixTofresh-em8rx Месяц назад

    Sura mbayaaa

  • @raiyaomary1988
    @raiyaomary1988 Месяц назад

    Unapendeza kuwa mama mchungaji.nakupenda bure

    • @DativaValerian
      @DativaValerian Месяц назад

      Na baba mchungaji nani?

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Месяц назад

      ​@@DativaValerian😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg Месяц назад

    Heee😂😂🤣🤣🤣😂😂😂😂

  • @josiasntakisigaye-sv4ot
    @josiasntakisigaye-sv4ot 26 дней назад

    Msiingie barazani pa wenye mizaha haku Mungu wa utukufu aache utukufu aje kwene tamasha La hivo we we umewezaje kufika hapo

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Месяц назад +2

    Nice uwoya kuachana na Dunia

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 Месяц назад +1

    Makanisa namalayaa

  • @pastoreliya663
    @pastoreliya663 16 дней назад

    Ndugu Zangu Hizi Siyo Biblia ,Jamani Zimetoka Kuzimu Yaani Zina Mambo Ya Kishetani Msinunue wala kuchukuwa ,

    • @OlyUpowerfuljesus
      @OlyUpowerfuljesus 13 дней назад

      Sasa hv ukinunua Bible hakikisha unajua Ina Nini ndani kabla hujampa mtoto na hakikisha unajua wachapishaji wake ni akina nani.
      Mimi sio mkamilifu ila nawasikitikia waamini wa Hilo Kanisa

  • @farajapeasonmagota8226
    @farajapeasonmagota8226 Месяц назад

    Andika ushuhuda kwenye RUclips kuna hayo mapambo dada Mungu hapendi

  • @reginaruta3249
    @reginaruta3249 Месяц назад

    Ongera kama kweli umeokoka maana anayejua kuokoka kwako ni Mungu sio SIsi wanadamu. Ila najiuliza mtu unaokoka hapohapo unafungua kanisa? Bila hatakuka kujigunza kwanza? Kuokoka sio kitu lelemama. Nakufungua kanisa nikitu kinginena Je Mungu amesema na wewe kuhusu kufungua kanisa?

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 Месяц назад

    baada ya miaka mitano ijayo Uwoya ataanza kutafuta mwanaume wa kumuoa lakini hatokua sababu kwa sasa anajiona bado mrembo na mzuri....

    • @winnerlucas5924
      @winnerlucas5924 Месяц назад

      Alishaolewa ndoa mbili hamna jipya kwake

  • @silviasaleh4667
    @silviasaleh4667 Месяц назад

    Je, mungu hakumuonya kuhusu vipodozi??

    • @show...002
      @show...002 Месяц назад

      kwaiyo achakae😂😂😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Месяц назад

      ​@@show...002😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-wj8ym6ew1h
    @user-wj8ym6ew1h Месяц назад +1

    ayo matatoo aliyochora sasa

  • @DativaValerian
    @DativaValerian Месяц назад

    Wewe fungua hadi kuzimu ila mungu anayo orodha ya watu wake ila kama wamuhitaji kweli utaongezwa kwenye orodha

  • @EsterMhagama-fd1ln
    @EsterMhagama-fd1ln Месяц назад +1

    Haya sasa wameshindwa kutushawishi kwenye urembo sasa wanamtumia mungu km sehem ya kuonekana amemaliza kula.bata juzi tuu leo.kaja na neno la Mungu ndugu zangu hawa ndo manabii wa siku za mwisho tujihadhari nao hashindwi Irene kuwa na waumini ndo nyie mtakuwa makafara wao zumaridi yuko wap mzee wa upako je yu wap

  • @protasraphael6961
    @protasraphael6961 Месяц назад

    Apo hamna kanisa ni maigizo kama tunayoyaona huku mitaani

  • @bongo39
    @bongo39 Месяц назад

    Kanisa ndio dili sasahivi ndio kwenye pesa michango kibao keshaona umri umeenda na usanii haimlipi tena umri sii unajua tena kaona mbali anaogooa fainali uzeeni

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 Месяц назад

    Ulale nakuamka umefung8a kanisa duuuh

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 12 дней назад

    Philimason.. Ametawala sana Tanzania.. Mungu awasahidie sana.. Wanao taka umaharufu na pesa za haraka.. Awape macho ya kuona... Vifungo awawezi kutoka huko

  • @DativaValerian
    @DativaValerian Месяц назад

    Uchungaji kasomea wapi?

    • @IsaacMayengo-dz6iw
      @IsaacMayengo-dz6iw Месяц назад

      Neno la Mungu ni Roho , ni pumzi ya Mungu haina darasa. Kusoma ni kuongeza maarifa TU. Mtu anaitwa vyovyote alivyo. Hata awe na dhambi nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theruji!!!!

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Месяц назад

    Huyu nae ni tapeli

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 Месяц назад

    Shetani kaamua kuwa Malaika safi???!!!!!

  • @jide830
    @jide830 29 дней назад

    ACHA kuchezea Imani, Mungu haziakiwi.

  • @mulolemary1317
    @mulolemary1317 Месяц назад +1

    I wish angekuwa muislam ninavyopenda

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 Месяц назад

    The devil is at work

  • @user-oc3wu7js5k
    @user-oc3wu7js5k Месяц назад

    Siku hizi kanisa imekuwa biashara.mbona hawafungui misikiti?

    • @rubbymusa1971
      @rubbymusa1971 Месяц назад

      Tunakushughulikia ipasavyo

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Месяц назад

      ​@@rubbymusa1971😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @africa7479
    @africa7479 28 дней назад

    hahahahahahaha hii dini hii

  • @pastorbarakangata606
    @pastorbarakangata606 Месяц назад

    kinapa moyo kishetani kupotosha watu

  • @tomsijohni
    @tomsijohni Месяц назад

    Ni wajinga sana wanao kupinga maendeleo yako wanakuonea wivu wa maisha

    • @DativaValerian
      @DativaValerian Месяц назад

      Si unaona sisi tunaongelea kuhusu kweli katummwa na mungu ww unawaza wivu wa maisha au unazani utaenda kuwa mshika maiki wake?

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Месяц назад

    Freemason tu

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 Месяц назад +1

    Bible za kuhamasisha ushoga izo

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Месяц назад

    Kwa hyo Irene uwoya nae ana roho mtakatifu sio???

    • @blandinajoseph1291
      @blandinajoseph1291 Месяц назад +3

      Ndugu yangu acha kumtaka ROHO MTAKATIFU kwenye upuuzi kama huu hao ni wale wanaotumwa kuzimu Ili KUWAPELEKA watu kuzima wameona hakuna namna ya kuwashika watu Ila ni kwa namna ya kujifanya wana muhubiri KRISTO. Watakuja wengi km hao kuweni macho shetani yupo kazini

    • @azaransari7307
      @azaransari7307 Месяц назад

      Ukimkiri Yesu Kristo kuwa Bwana wa maisha yako automatically unapokea Roho Mtakatifu

    • @azaransari7307
      @azaransari7307 Месяц назад +1

      ​@@blandinajoseph1291
      Unakosea nani ageweza kujua Mtume Paulo ambaye alikuwa Sauli alikuwa chombo kiteule cha Mungu? Njia za Mungu na Akili za Mungu hazichunguzike

    • @blandinajoseph1291
      @blandinajoseph1291 Месяц назад

      @@azaransari7307 hufahamu ndiyo maana UNASEMA hivyo

  • @samehewaliokukoseya2605
    @samehewaliokukoseya2605 Месяц назад +4

    Acha kisingiziya Mungu. Uyo Freemnss wenu mukisha kula hela zake munakuja najia ya Mungu 😂

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 29 дней назад

    Uchungaji na sanaa,usanii na ulokole,kazi iendelee

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Месяц назад

    Mungu azidi kukung'arisha

  • @righitkileo
    @righitkileo 19 дней назад

    Mmh! Hay dada kanisa qan? Maana ulikuwa mroman na sasa