Kama kweli umeitwa na MUNGU umtumikie ungekaa chini ya wachungaji waliokoka wakufundishe NENO la MUNGU wala kwa konde boy, usingeenda, Nuru na giza huwa havichangamani
Nina miaka 30 na sijawahi kuona biblia nyekundu ???? Neno la MUNGU linasema wengi watakuja kwa jina langu, : Wanadamu tunapoteya kwakukosa maarifa . 😅😂😂
Bibilia Hipo Wazi Kusikiliza Bongo Fleva Ni Dhambi ,Tito 1:15-16 , ,Huyo ni ajent Freemason Huyo Alivyo Tu Mungu Anawakataa kwa matendo ,Someni Maandiko
Jamani kila. Mtu anawaza pesa ila hawazi wapi atakuwa ikifika siku yenye vilio na wengi wanaosapoti mm simpingi ila kasomea huo uchungaji? Au ndo ile j2 ikifika unaambiwa njooni kuna keki ya upako, mafuta, maji, matunda bila neni
Kwa baadhi ya wasanii wakishaona umri umeenda basi utawaona aidha wanataka kuingia serikalini na kuwa wabunge ili wapate pesa za kodi za wananchi au wanaingia kwenye dini na kuwa wachungaji ili wapige pesa za sadaka, kwa mfano akina Mc pilipili, Masanja Mkandamizaji, Monalove n.k, Wanataka kutajirika kwa pesa za watu masikini.
Jamani serikali chukueni kodi na makanisani maana huko kuna viwanda, mwamposa kila j2 anachakufanya ili ajaze watu ivi kama umeitwa uwasaidie watu mbona unataka pesa? Si ujiombee na ww uwe nazo mpaka mtakatishe mifuko ya watu jamani?
Nyinyi waandishi wa siku hizi mnaboa sana hamjiandai na maswali mkifika kuhoji mtu mnazunguka sana mpaka mnahoji upumbavu tu jifunzeni kuandaa maswali na muulize one 2 one sio mnaanza kuzunguka so far so far ni nini hiki ukiwa muandishi professional unatakiwa ukienda kumuhoji mtu ujue kabisa unaenda kuhoji kitu gani lakini siku hizi mnaondoka na makamera yenu mnaenda kwenye hafla mkimuona mtu mnamvamia mradi mmepata habari
Sasa hv ukinunua Bible hakikisha unajua Ina Nini ndani kabla hujampa mtoto na hakikisha unajua wachapishaji wake ni akina nani. Mimi sio mkamilifu ila nawasikitikia waamini wa Hilo Kanisa
Ongera kama kweli umeokoka maana anayejua kuokoka kwako ni Mungu sio SIsi wanadamu. Ila najiuliza mtu unaokoka hapohapo unafungua kanisa? Bila hatakuka kujigunza kwanza? Kuokoka sio kitu lelemama. Nakufungua kanisa nikitu kinginena Je Mungu amesema na wewe kuhusu kufungua kanisa?
Haya sasa wameshindwa kutushawishi kwenye urembo sasa wanamtumia mungu km sehem ya kuonekana amemaliza kula.bata juzi tuu leo.kaja na neno la Mungu ndugu zangu hawa ndo manabii wa siku za mwisho tujihadhari nao hashindwi Irene kuwa na waumini ndo nyie mtakuwa makafara wao zumaridi yuko wap mzee wa upako je yu wap
Kanisa ndio dili sasahivi ndio kwenye pesa michango kibao keshaona umri umeenda na usanii haimlipi tena umri sii unajua tena kaona mbali anaogooa fainali uzeeni
Philimason.. Ametawala sana Tanzania.. Mungu awasahidie sana.. Wanao taka umaharufu na pesa za haraka.. Awape macho ya kuona... Vifungo awawezi kutoka huko
Neno la Mungu ni Roho , ni pumzi ya Mungu haina darasa. Kusoma ni kuongeza maarifa TU. Mtu anaitwa vyovyote alivyo. Hata awe na dhambi nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theruji!!!!
Ndugu yangu acha kumtaka ROHO MTAKATIFU kwenye upuuzi kama huu hao ni wale wanaotumwa kuzimu Ili KUWAPELEKA watu kuzima wameona hakuna namna ya kuwashika watu Ila ni kwa namna ya kujifanya wana muhubiri KRISTO. Watakuja wengi km hao kuweni macho shetani yupo kazini
@@blandinajoseph1291 Unakosea nani ageweza kujua Mtume Paulo ambaye alikuwa Sauli alikuwa chombo kiteule cha Mungu? Njia za Mungu na Akili za Mungu hazichunguzike
Hongera sana dada Irene kuna kitu Mungu ameona kwako so usivunjike moyo we songa mbele
Ikiwa ni kweli Mungu kasema ufanye kazi yake, Ufanye kwa uaminifu, Nitaku- support Kwa Maombi, Mungu Akubariki ❤🙏
Kama kweli umeitwa na MUNGU umtumikie ungekaa chini ya wachungaji waliokoka wakufundishe NENO la MUNGU wala kwa konde boy, usingeenda, Nuru na giza huwa havichangamani
Acha upotoshaji Mungu hapingani na mazingira mbona mwamposa kaenda
@@evakessy3282usiwe mbishi kaongea ukweli 2wakorintho6;14-18 soma
Tumpe mda tafadhali.Mungu bado ananmfinyanga awe kama apendavyo..Tuzidi kumuombea..
Anajivuruga tu na atasomba wengi sana hasa wale wanaoenda na mkondo
huyu ni Lusifa anamtumia
Ireen Owoya fanya vile Mungu alivyoongea nawe na Mungu atakupigania, Muangalie Mungu atakushindia kwa mengi. 🔥🔥👍🏽
Mungu yupi huyo ni marine kingdom?
Mungu yupi na makope na manywele ya kisanii ya rangi kama anaenda kukata sebene
raha sana kuwa mrembo halafu mcha Mungu
Uchungaji na sanaa,usanii na ulokole,kazi iendelee
Kapendeza mno...❤❤❤
❤❤❤❤
Dada endelea kumtumikia MUNGU
Nina miaka 30 na sijawahi kuona biblia nyekundu ????
Neno la MUNGU linasema wengi watakuja kwa jina langu, : Wanadamu tunapoteya kwakukosa maarifa . 😅😂😂
❤❤Yesu akutunze
Mungu azidi kukung'arisha
❤❤❤❤❤❤❤❤
Bibilia Hipo Wazi Kusikiliza Bongo Fleva Ni Dhambi ,Tito 1:15-16 , ,Huyo ni ajent Freemason Huyo Alivyo Tu Mungu Anawakataa kwa matendo ,Someni Maandiko
Sure uwoya ..Cha muhimu apo ni kua consistent...maana Kaz ya mung..ni Kaz..inahitaj uvumilivi,,na kuomba sana....the world 🌎 is at end..be aware ..
Malikia wa kuzimu wamejaa wengi sana. Mtu akigusa tu, nafsi imekwenda na maji. 😂😂😂🤣. Freemason wametegesha mtego kwenye dumu lenye asali.
Hahahhaha anatega hela za sadaka hahhaa awa wezi awa
Ukae kwanza chini ya wachungaji ujifunze ndio utamke habari za uchungaji
Uyu woya anatfta Kiki tu umeona mchungaj anaenda kwenye mizk ya kidunia 😂😂😂😂😂 adange tu
Sasa Ni zamu ya mawigi ya upako,, tuwe makini watu wa Mungu
Weee noma
Ondoa mapambo kwanza
Jamani kila. Mtu anawaza pesa ila hawazi wapi atakuwa ikifika siku yenye vilio na wengi wanaosapoti mm simpingi ila kasomea huo uchungaji? Au ndo ile j2 ikifika unaambiwa njooni kuna keki ya upako, mafuta, maji, matunda bila neni
Kwa baadhi ya wasanii wakishaona umri umeenda basi utawaona aidha wanataka kuingia serikalini na kuwa wabunge ili wapate pesa za kodi za wananchi au wanaingia kwenye dini na kuwa wachungaji ili wapige pesa za sadaka, kwa mfano akina Mc pilipili, Masanja Mkandamizaji, Monalove n.k, Wanataka kutajirika kwa pesa za watu masikini.
Hizo hereni mizigo,ila jmn
Mhh ndio maana mivua ya ajabu inanyesha dini Gani isiyokua na mipaka
Jamani serikali chukueni kodi na makanisani maana huko kuna viwanda, mwamposa kila j2 anachakufanya ili ajaze watu ivi kama umeitwa uwasaidie watu mbona unataka pesa? Si ujiombee na ww uwe nazo mpaka mtakatishe mifuko ya watu jamani?
Kasome viz neno,unaambiwa watakula mmadhabahuni
Kuishi kwinginkuona mengi jamani
This is just a game let sit down and watch it
Nyinyi waandishi wa siku hizi mnaboa sana hamjiandai na maswali mkifika kuhoji mtu mnazunguka sana mpaka mnahoji upumbavu tu jifunzeni kuandaa maswali na muulize one 2 one sio mnaanza kuzunguka so far so far ni nini hiki ukiwa muandishi professional unatakiwa ukienda kumuhoji mtu ujue kabisa unaenda kuhoji kitu gani lakini siku hizi mnaondoka na makamera yenu mnaenda kwenye hafla mkimuona mtu mnamvamia mradi mmepata habari
Tapeli hyo aache kwnd kwa mpaa kbs hyu
Sura mbayaaa
Tuma yako tuione
@@mwitaagness455😂😂😂😂😂😂😂😂
Unapendeza kuwa mama mchungaji.nakupenda bure
Na baba mchungaji nani?
@@DativaValerian😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Heee😂😂🤣🤣🤣😂😂😂😂
Msiingie barazani pa wenye mizaha haku Mungu wa utukufu aache utukufu aje kwene tamasha La hivo we we umewezaje kufika hapo
Nice uwoya kuachana na Dunia
Amekwmbia kaiacha ?
Makanisa namalayaa
Ndugu Zangu Hizi Siyo Biblia ,Jamani Zimetoka Kuzimu Yaani Zina Mambo Ya Kishetani Msinunue wala kuchukuwa ,
Sasa hv ukinunua Bible hakikisha unajua Ina Nini ndani kabla hujampa mtoto na hakikisha unajua wachapishaji wake ni akina nani.
Mimi sio mkamilifu ila nawasikitikia waamini wa Hilo Kanisa
Andika ushuhuda kwenye RUclips kuna hayo mapambo dada Mungu hapendi
Ongera kama kweli umeokoka maana anayejua kuokoka kwako ni Mungu sio SIsi wanadamu. Ila najiuliza mtu unaokoka hapohapo unafungua kanisa? Bila hatakuka kujigunza kwanza? Kuokoka sio kitu lelemama. Nakufungua kanisa nikitu kinginena Je Mungu amesema na wewe kuhusu kufungua kanisa?
😂😂
baada ya miaka mitano ijayo Uwoya ataanza kutafuta mwanaume wa kumuoa lakini hatokua sababu kwa sasa anajiona bado mrembo na mzuri....
Alishaolewa ndoa mbili hamna jipya kwake
Je, mungu hakumuonya kuhusu vipodozi??
kwaiyo achakae😂😂😂😂😂
@@show...002😂😂😂😂😂😂😂😂😂
ayo matatoo aliyochora sasa
Alama za kuzimu na wengi hawajui
Wewe fungua hadi kuzimu ila mungu anayo orodha ya watu wake ila kama wamuhitaji kweli utaongezwa kwenye orodha
Haya sasa wameshindwa kutushawishi kwenye urembo sasa wanamtumia mungu km sehem ya kuonekana amemaliza kula.bata juzi tuu leo.kaja na neno la Mungu ndugu zangu hawa ndo manabii wa siku za mwisho tujihadhari nao hashindwi Irene kuwa na waumini ndo nyie mtakuwa makafara wao zumaridi yuko wap mzee wa upako je yu wap
Apo hamna kanisa ni maigizo kama tunayoyaona huku mitaani
Kanisa ndio dili sasahivi ndio kwenye pesa michango kibao keshaona umri umeenda na usanii haimlipi tena umri sii unajua tena kaona mbali anaogooa fainali uzeeni
Ulale nakuamka umefung8a kanisa duuuh
Philimason.. Ametawala sana Tanzania.. Mungu awasahidie sana.. Wanao taka umaharufu na pesa za haraka.. Awape macho ya kuona... Vifungo awawezi kutoka huko
Uchungaji kasomea wapi?
Neno la Mungu ni Roho , ni pumzi ya Mungu haina darasa. Kusoma ni kuongeza maarifa TU. Mtu anaitwa vyovyote alivyo. Hata awe na dhambi nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theruji!!!!
Huyu nae ni tapeli
Shetani kaamua kuwa Malaika safi???!!!!!
ACHA kuchezea Imani, Mungu haziakiwi.
I wish angekuwa muislam ninavyopenda
Karibu
The devil is at work
Siku hizi kanisa imekuwa biashara.mbona hawafungui misikiti?
Tunakushughulikia ipasavyo
@@rubbymusa1971😅😅😅😅😅😅😅😅😅
hahahahahahaha hii dini hii
kinapa moyo kishetani kupotosha watu
Ni wajinga sana wanao kupinga maendeleo yako wanakuonea wivu wa maisha
Si unaona sisi tunaongelea kuhusu kweli katummwa na mungu ww unawaza wivu wa maisha au unazani utaenda kuwa mshika maiki wake?
Freemason tu
👍
Bible za kuhamasisha ushoga izo
Kwa hyo Irene uwoya nae ana roho mtakatifu sio???
Ndugu yangu acha kumtaka ROHO MTAKATIFU kwenye upuuzi kama huu hao ni wale wanaotumwa kuzimu Ili KUWAPELEKA watu kuzima wameona hakuna namna ya kuwashika watu Ila ni kwa namna ya kujifanya wana muhubiri KRISTO. Watakuja wengi km hao kuweni macho shetani yupo kazini
Ukimkiri Yesu Kristo kuwa Bwana wa maisha yako automatically unapokea Roho Mtakatifu
@@blandinajoseph1291
Unakosea nani ageweza kujua Mtume Paulo ambaye alikuwa Sauli alikuwa chombo kiteule cha Mungu? Njia za Mungu na Akili za Mungu hazichunguzike
@@azaransari7307 hufahamu ndiyo maana UNASEMA hivyo
Acha kisingiziya Mungu. Uyo Freemnss wenu mukisha kula hela zake munakuja najia ya Mungu 😂
Kwani Mungu ni mali ya nani??
@@malkiarosemuhando3310 yako 🤣
@@samehewaliokukoseya2605😂😂 jamani
Yani kila mtu akiamka anafungua kanisa fungueni na misikiti.
Nakumbuka story ya marehemu kanumba vile aliambiwa afungue kanisa.........
Uchungaji na sanaa,usanii na ulokole,kazi iendelee
Mungu azidi kukung'arisha
Mmh! Hay dada kanisa qan? Maana ulikuwa mroman na sasa