JINSI YA KUISHI MAISHA YAKO BILA KUJALI MANENO YA WATU - Dr. GeorDavie

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Kati ya mambo yanayochosha akili maishani ni kutoishi maisha yako, yani mtu unaishi kwa kuogopa watu watasemaje kukuhusu...! Tazama video hii ujifunze mambo yatakayokusaidia juu ya hili suala.
    NIFUATILIE
    ☞ Facebook: / geordaviemaarifa
    ☞ Instagram: / geordavie_maarifa

Комментарии • 45

  • @sweetylyimo3462
    @sweetylyimo3462 3 года назад +7

    Kweli baba hii ndio huduma,Napenda sana mafunzo yako ya hekima ya Hali ya juuu,wewe baba wewee akiamungu umenitoa mbali mungu azidi kukupa maisha marefu ,

  • @priskilamajengo8683
    @priskilamajengo8683 3 года назад +1

    Baba nakuelewa Sanaa na umenitowa mbalii Sina Cha kusema zaidi baba Mungu akutunze Sanaa😍

  • @mossesmungure9181
    @mossesmungure9181 4 года назад +2

    Ubarikiwe Mno Nabii Mkuu, Ongeza zaidi kuisema kweli ya Kristo na Yamaisha haya Katika Kanisa Mungu Akubariki Mno, Ukiwepo na Hata Baada Yako tupo tutakaoendeleza kweli na Kristo na Nguvu na Ukuu wa Mungu Duniani Kote. Ubarikiwe Mno.

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Год назад +1

    Baba nakubaliana sana. Hata Mimi nachukia mtu mnafiki.

  • @selinawilliam1596
    @selinawilliam1596 Год назад +1

    Mungu akisema neno akuna wa kupinga amahakika mungu kakupa baraka nawewe unazitumia kuombea watu na wanapona na kubarikiwa

  • @japhegipson863
    @japhegipson863 3 года назад +2

    Naomba mawasiliano yako mtumishi

    • @merrypaul407
      @merrypaul407 2 года назад

      Naomba mwenye no za CM za nabii anisaidie tafadhali

  • @cliffdenis144
    @cliffdenis144 3 года назад +1

    Yesu ameweka msingi sasa ni jukumu la kila mmoja kujipambanua ni majenzi gani anajenga juu ya msingi huo kama ni lulu,goldi,matope au manyasi kila kazi itapimwa na Yesu kwa moto

  • @selinasamsonnkone673
    @selinasamsonnkone673 2 года назад

    Baba naitaji maombi yako mimi ninatatizo kubwa nilikuwa muimbaji nyota nilikuwa nabiashara lakini nimefilisika madeni yamekuwa mengi hata kodi ya nyumba inanichanganya nibada ya kupigwa chake ya kichawi nasali ngurumo mwanza Kanyama lani hata nauli ya kwenda huko sina nimehalibikiwa kabisa maisha watoto wangu wamefukuzwa shule mambo magumu sana kwangu naitaji maombi yako

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Год назад +1

    Amina Savi Sana baba

  • @enizemwayingatv5196
    @enizemwayingatv5196 Год назад +1

    Àsante sana Baba yangu

  • @augustmshanga7540
    @augustmshanga7540 3 года назад +2

    Ana heri mtu anae kufatilia na kushika maneno yako kwa makini katu hatopata madhara ya gafla

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 2 года назад +1

    Baba nakupenda

  • @longututitajiri1426
    @longututitajiri1426 3 года назад

    Mimi ndio kabisaa sitoki hapa hapa maali ni sahihi patakatifu sana✍️✍️🙏🤲🙏

  • @elizabethmambai2072
    @elizabethmambai2072 3 года назад

    Nimeamini mambo yangu yatanyuoka amen

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Год назад

    Amina baba

  • @dailantz4073
    @dailantz4073 8 месяцев назад +1

    Nabii mkuu mwene mamlaka.yakweli hakuna kama wewe wanao kusema wakati wao hata tone.hawa kufiki kwamiujiza yakwe mimi mwenyewe ni meshudiha kwangu waje wajifuze kwako kwanza manabii ote na na viongozi wadini kwa sababu wao hawa wezi ndomana wateseka

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md 4 месяца назад

    Amina safi sana

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 Год назад

    Watu tuko wanafiki Kweri. Indyarya. Wengi wanachungulia kama hawaoni Na wanaona

  • @user-vo8or5gx7u
    @user-vo8or5gx7u 4 месяца назад

    Baba naomba uniombee nipate mke huu ni mwaka wa nne Sina mke Wala mchumba jamani😢😢😢😢😢😢😢

  • @kimbalijez1797
    @kimbalijez1797 2 года назад

    Nakupenda sana baba namaliza mb kwajili yako baba

  • @vickymsuya7682
    @vickymsuya7682 Год назад

    Amen

  • @beatricemunisi7891
    @beatricemunisi7891 Год назад

    Beautiful Man of God nimecheka sana

  • @CipiteckMollel-ef1fe
    @CipiteckMollel-ef1fe 8 месяцев назад

    Kweli baba

  • @elvinakahindibaya5799
    @elvinakahindibaya5799 3 года назад +1

    Aaah! Haki ya Mungu baba nakupenda sana

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md 4 месяца назад

    Kabisa baba hauna

  • @selinasamsonnkone673
    @selinasamsonnkone673 2 года назад

    Ombi 2 mtoto wangu ametoloka leo wiki ya 3 anaitwa anastzia amemaliza kidato cha nne anasubiri kwenda chuo lakini sijui aliko hadi muda huu niombe sema neno nitapona atakudi

  • @MartinGoha
    @MartinGoha 7 месяцев назад

    Nabii mkuu natamani unitamkie neno kabla mtu kama wewe hujatoweka duniani maana shetani amenizuia miaka mingi nashindwa kufika ngurumo ya upako nifungue hata huku nilipo niweze kufika

  • @fidejohn-te1xm
    @fidejohn-te1xm Год назад

    Baba unafundisha mpaka mtu anaelewa

  • @paulinajoseph613
    @paulinajoseph613 3 года назад

    Nakupenda Sana baba yangu maana huna unafiki.

    • @TriciaRP
      @TriciaRP 2 года назад

      He is a false prophet and telling women they are Apostles. That is a male role and title. He is wrong

  • @deodatusmramba639
    @deodatusmramba639 3 года назад

    Dah! Umenijua aisee

  • @felisianathadei5403
    @felisianathadei5403 2 года назад

    Baba naomba baraka zangu niweza kupona magonjwa yanyonisumbua

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Год назад

    Asande baba mkuu

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 2 года назад

    Nikweli baba

  • @ombyombeni
    @ombyombeni Год назад

    Tupo njiani baba tunakuja mda si mrefu

  • @georgethomas2309
    @georgethomas2309 3 года назад +1

    🔥🔥🔥

  • @mondevieskiplangat1496
    @mondevieskiplangat1496 Год назад

    Nitapataje namba ya Nabii

  • @malaikalihuda2831
    @malaikalihuda2831 Год назад

    Namimi nakuja baba

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Год назад

    A

  • @Mzalendo14
    @Mzalendo14 Год назад

    Job 31:1 "I have made an agreement with my eyes. Then how can I look with lust at a woman? " #LustOfTheEyes #LustOfTheFlesh #PrideOfLife

  • @felisianathadei5403
    @felisianathadei5403 2 года назад

    Haki wewe ni nabii wa ukweli kabisa

  • @mathsmeme-tv6576
    @mathsmeme-tv6576 3 года назад +1

    🔥🔥🔥

  • @nadegeuw.5703
    @nadegeuw.5703 3 года назад

    Amen