OMOSH excited as he celebrates his first Idd-ul-Fitr!! Reveals why he joined Islam!!
HTML-код
- Опубликовано: 9 апр 2024
- Join this channel to get access to perks:
/ @kenyadigitalnews
Kenya Digital News brings you the latest news as they happen in a DIGITAL way.
For more news, subscribe to our RUclips Channel because the future is Digital.
Click here to subscribe to our RUclips Channel: / @kenyadigitalnews
#KenyaDigitalNews
Alhamdulillah i converted to Islam n never regret
Mr abdullah yussuf thanks alot may ALLAH bless you
Shukran sheikh you educated our fellow Christian
Masha Allah ustadh Amzidishie Elimu kwa maneno matamu aliyoyanena.
Abdillahi Yussuf Masha'Allah Tabaraka'Allah Eid mubarak
Mashallaha ustaz
Eid Mubarak Abdullah Yusuf
Masha Allah tunakukaribisha sana ndugu. Umeingia uislamu sio muslim. Muslim ni yule yuko kwa dini ya uislamu, kama mkristo na uikristo.
MashaAllah❤
Ma sha Allah
Yusuf sahi usiwe unashikashika mwanamke kama sio halali yako ovyo
Eid mubarak ❤❤❤
Mashaallah ❤
Mashallah Abdullah yussuf
Mashallaha bro omos
Safari hii , Abdullai Yusuf " Omosh " sauti yake ndani ya parliament.
Masha Allah
Dini ya haki mbele ya mwenywe mungu ni dini ya Uislamu
^KWELI KABISA^!!! ^BILA shaka^!!!
MashaAllah
Our brother Yusuf we❤you welcome
Mashallah your welcome brother youssouf
Idd ul Fiitri kwa Abdullah omosh one hour!
Show me love my friends🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Muslims pray like Jesus Matthew 26:39
Mashallah
idd ul Filtri❤
Biblia ili TUNGWA na King James in 1611AD.
Na Neno 'BIBLE' ni jina la ENGLISH, iki ma'anisha katika LUGHA ya Greeki, kuwa ni KUSANYIKO za Vitabu CHOCHOTE.
Therefore, wakati Mtoto ame beba School Books katika School Bag yake, basi huyo Mtoto ame beba BIBLIA, au Vitabu nyingi, au School Books.
Therefore, the BIBLE is simply a collection of STORY BOOKS, fabricated by the British King, JAMES !
And the SWAHILI Bible, is a COPY (translation) of a VERSION of ANOTHER BRITISH collection of BOOKS, called the KJ 'VERSION' Bible, fabricated in 1814AD.
Simple
Eid Mubarak
Huyu champion bible analifahamu☺
This guy have to be sponsored to go and learn islam because he can be a good daa'i
Abdulai Y, aka Omosh, ji elimishe ku husu dini ya Ki ISLAM, kwa sababu uta Attackiwa na WaKristo SASA!
Dini hii HAI ITWI 'Muslim'.
Therefore uli ingia DINI ya ISLAM.
Na wewe, kwa vile uli ingia ISLAM, sasa wewe ni a Muslim.
Good presenter.
Huyo kando ni mwalimu wangu wa kiswahili atham juma
Luke 1:1 inaeleza vzur nani aliandika biblia...... ustadh unakwama wap kiswali mboga hiko .....
Taqbir!
Masiku kuna masuali mingi😂🤣.
Wakristo tunaobaga throughout sio sunday pekee yake vile unaeweka
Unaomba ukiwa na mavi kwa matako😂😂na unaomba vipi hebu tuchanue
Ulipotea Omosh one hour
Don't abuse the girl. She is only working.
Alikuwa dini Gani kwanza? This is a confused molecule
omosh fumbling
Mwenyezi Mungu sio Allah wenu, Mungu alituma mwanawe sio nabii. Usitufunze dini yetu, na wewe msichana mjinga wacha kupatia watu propaganda
Maana hyo ww ni mwana wa shetani,,maana Yesu peke yake nimwana wa Mungu,sis wote ni wana wamungu sababu mungu alituumba matumboni wala hajatuzaa sababu mungu hazai bali huumba...kwa neno lake alituumba hakutuzaa,
Allah Hana mtoto wala mke ..Mola wenu ndio ana watoto .... Acha ujinga wewe kafiri..... Mola wetu hana mtoto na Hana mfano.... We endeleeni na miungu wenu na kuabudu sanamu za yesu na maria....kafiri mkubwa weww
Watu wajue ukweli kwamba dini ya aki ni uislamu mbele ya mwenyezi mungu hiyo yenu mtajimmpanga
Hakuna dini itamfikisha mtu yoyote Mbinguni,ni jehanamu, religion are like an umbrella,mjue Mungu wako,uwe na uhusiano naye kivyako,hapo utapona..
We acha ujinga..hiyo ni maneno yako ...akili yako fupi? Zungumzia nafsi yako ....hatuhitaji mawazo yako...we tambua ukifa hali ya kuwa we sio mwislamu wewe ni Kuni ya jahannam
@@abufirdaus4254 dini inakufikisha kaburini, hapo mbele utajielezea ulivyo ishi kivyako,kama uliamini ubatili utahukumiwa,kivuli cha dini hakitakusaidia,mjue Mungu wako sasa na ujifundishe kufunuliwa kumjua kihalisi na utapona,si kubahatisha...
Wewe msichana mjinga dini yako yatukanwa na umekaa wacheka!! Ukijaribu kufungua kitabu chao utachomwa, ndio maana nyinyi huslimishwa kama mafala. Weak Christian, stop listening to Muslim to educate you about bible
Wivu wa dini sio nzuri njoo ufundishwe utakufa na wivu ni mbaya
Ukristo ni dini ya watu wa motoni....ama unataka tuongeze volume ....ukifa nje ya mila ya uislam ujiandae kuwa mkaa wa moto .... Tuendelee ama inatosha? Uislamu ndio dini ya haki
Wacha wivu buda, tulia ufunzwe neno
Nani umewahi skia amechomwa kwa kufungua qur'an
Bro haya yote hayafai
Rubbish girl, wafikiri ukienda muslim world watakupa nafasi ya kutoa propaganda? Wakristu kweli wajinga! Wapi facts kua Alllah ndio mungu? Those are imaginations
😂😂😂😂mbna uko na mafeeling
Relaaaaaax kijana😂..... Wacha mafeelings
Even in the bible there is nothing call Christianity as a religion....nd then get the original language of the bible ..after that insult pple.....
Munarespect wanawake ndio maana munwapiga makofi kama mbwa. Hata prophet wenu Mohammed alikua apiga bibi yake Aisha
I invite you to read about the Muhammad you're talking about with a light skull
Toa hiyo maandiko bro
Ubaya wako unaonyesha wewe sio mkristo. Mungu amewasifu wakristo ndani ya Koran takatifu.
Unaongea kama mtu ajapiga mswaki asubui
Huna elimu juu ni mkiristo
Mtu haingii dini sababu ya watu wengine, eti msikiti huangaa wazi whole day ! Na nani alikuambia wakristo huabudu only Saturday and Sunday? Ur a confused soul who has been easily decieved
Wewe wacha porojo zako. Watu wote duniani wanajua kuenda kanisani ni jumamosi ama wengine ni jumapili. Hapa ulaya makanisa ni tupu bila waumini , imani ya ukristo imebaki Africa pekee !
Uyo ni Michele imembeleka na uko
Mwenyezi mungu ka muongozi ndugu yetu katika imani mashaa Allah
I'm disappointed in u girl, u humiliated your God infront of the whole world, Mungu haitaji ruhusu kutoka binadamu kufanya anachotaka, kama anataka kua binadamu sio lazima akuombe ruhusa!!
Kapewa mafundisho ya kweli acha wivu
The truth hurts ....that's the problem...so Christianity has thought you to insult..those with different option as you....
Eti kitabu imeandikwa na malaika? How are you sure? Hizo ndio unaziita facts?
Tafadhali tafuta mwalimu akufundishe namna ya kuishi na kuandika kwa heshima.
Kasome quran 80 11
So yako aliaandikwa na nani...
MashaAllah