Hawa masramia wa CCM mbona wana sumbuwa sana nchi yetu? mbona wenzao ZANUPF Zimbabwe, Frelimo Mozambique na hao wa Angola mbona hawana usumbufu kwa wananchi wao???
Ni Bora kutokawnda kwenye uchaguzi Dunia ielewe kuwa hakuna ukweli ktk uchaguzi wetu kuliko kwenda ktk uchaguzi mkaonekana vituko ktk Dunia na wananchi wakawazarau sio watu wenye msimamo
Wananchi wa Tanzania tumelogwa KUMBUKUMBU za mema. Tunaambiwa ukweli wote. Tunaoneshwa njia. Kesho akija CCM na ujinga wake na uongo wake, hatukumbuki meme tuliyoambiwa, badala yake tunakubali ujinga wa mwisho unaoletwa na CCM. Hata mambo mema yaletayo Haki na usawa tunayapuuza kwa kisingizio dhaifu kwamba wanasiasa wote ni walewale. Mara o, wapinzani hawana uzoefu wa kuongoza nchi, upuuzi mtupu ! Sasa make mume na watoto wanadai mafao. Kesho ukoo wao pia utadai pongezi na takrima kwa kumlea ndugu yao.
Jamani Mungu umejifichawap uwachukue awa viongozi hii nchi wameigeuza ya kwao kumb ndomaana hayataki katiba mpya ili yabaki madarakani kujinufaisha yenyewe
MUNGU atulindie wewe kiongozi wetu tuna kupenda mno...hichi ndicho chama cha kujenga taifa letu tuuu...
Asante sana mheshimiwa Mbowe
Hawa masramia wa CCM mbona wana sumbuwa sana nchi yetu? mbona wenzao ZANUPF Zimbabwe, Frelimo Mozambique na hao wa Angola mbona hawana usumbufu kwa wananchi wao???
Ni Bora kutokawnda kwenye uchaguzi Dunia ielewe kuwa hakuna ukweli ktk uchaguzi wetu kuliko kwenda ktk uchaguzi mkaonekana vituko ktk Dunia na wananchi wakawazarau sio watu wenye msimamo
Mbowe hana njaa anatutetea sisi wanyonge
Sahihi
Mbowe ni mroho wa madaraka na njaa inamsumbuwa ili kuthibitisha ilo chama amekifanya km chake kila siku anajiona yeye tu ndie anaefaa kuwa mwenyekiti
Wananchi wa Tanzania tumelogwa KUMBUKUMBU za mema.
Tunaambiwa ukweli wote. Tunaoneshwa njia. Kesho akija CCM na ujinga wake na uongo wake, hatukumbuki meme tuliyoambiwa, badala yake tunakubali ujinga wa mwisho unaoletwa na CCM. Hata mambo mema yaletayo Haki na usawa tunayapuuza kwa kisingizio dhaifu kwamba wanasiasa wote ni walewale. Mara o, wapinzani hawana uzoefu wa kuongoza nchi, upuuzi mtupu ! Sasa make mume na watoto wanadai mafao. Kesho ukoo wao pia utadai pongezi na takrima kwa kumlea ndugu yao.
Wanafanya vibaya sana kumbukeni kuna watu wanakufa njaa
Duh mbona hela nyingi
You are doing well job mbowe
Tueleweshe mh Mbowe
Wachache wanaelewa lakini kwanini hao wachache wasielewe
MUNGU atukindie wewe kiongozi wetu tuna kupenda mno...
Ukweli utabaki ukweli,tunakuunga mkono,tupige kelele mpaka,watuelewe
Jamani Mungu umejifichawap uwachukue awa viongozi hii nchi wameigeuza ya kwao kumb ndomaana hayataki katiba mpya ili yabaki madarakani kujinufaisha yenyewe
Maicha jetu magumu jamani
Usiwaite viongozi waite watawala,mwenyekiti.
Waliokuelewa wamekuelewa
Hii ndio pepo yao, moto unawasubiri kwa dhuluma wanazozifanya
KAMANDA TUNASUBIRI 22 APRIL TUTAZUNGUMUZA KWA VITENDO
Zaman mlikuwa atupagi huu ubuyu twambie tujue
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Watanzania this is too much we have to fight for or self no one will fight us