MAJI YA SIKU SABA NI KIBOKO YA MATATIZO YOTE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 93

  • @mamamikuwa4991
    @mamamikuwa4991 3 года назад +3

    Najiunganisha na shuhuda hizi binti yangu uzao wangu wa kwanza afunge ndoa na mwenzake uliye mkutanisha naye ee Yesu naamini kwako kila kitu inawezekana Amen

  • @danieltoroka7281
    @danieltoroka7281 3 года назад +3

    Asante baba mtume Boniface buldoza mwamposa endelea kuhudumia watu mungu akubariki Sana baba🙋💯💯💯😍

  • @hawaclever875
    @hawaclever875 3 года назад +1

    Mungu naomba ukanifungue,ukabariki uchumi na masomo yangu,ukawabarik wazazi wangu na ukawafungue wadogo zangu kupitia madhabahu hii ameeen

  • @immanuelndagijmanae3677
    @immanuelndagijmanae3677 Год назад

    BWANA YESU KRISTO MUNGU mukuu mwenye nguvu mutenda miujiza apewe sifa Sana kwa kuwafungua watu wake sifa zimurudie YEE KRISTO YESU MUNGU mukuu shalom

  • @lightnessseifu5983
    @lightnessseifu5983 Год назад

    Amina nami najiunganisha na madhabahu hii yesu naomba uniponye

  • @salamaseifu6008
    @salamaseifu6008 Год назад

    Mungu nitendee nipate mafanikio kufunguliwa katika maisha yangu

  • @emiliekapile2069
    @emiliekapile2069 2 года назад

    Ee mungu mwema baba wambinguni nakuomba unipe nguvu nabidii kwenyeutafutaji wangu niwenze kuwanabiashara yenye maendeleo mengi namakibwa ee mungu wangu nisaidie baba amina

  • @agnesssimba6929
    @agnesssimba6929 2 года назад

    Nami katika siku hii naomba nikakombolewe mm pamoja na familia yangu bila kumsahahau dada yangu Mungu akamtoe katika ulevi akamkomboe Amen

  • @mathamwambuluma8848
    @mathamwambuluma8848 3 года назад +3

    Mungu miguu yangu ipone na uchumi wangu na uchumi wa mume wangu

  • @purityneema218
    @purityneema218 2 года назад

    Yesu leo upite kwangu unifungue maisha yangu pamoja na family yangu na watoto wangu naomba kupitia ibada hii tusiwe mikia tena bali tukawe vichwa kwa jina la yesu kupitia madhabahu ya inuka uangaze amen

  • @lucyjilili4514
    @lucyjilili4514 3 года назад +2

    Amina magonjwa yashindwe juu yangu

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 3 месяца назад +1

    Mie kwa manjina naitwa mercy mwende toka kenya baba mie yangu ni siku ya kwanza nlipo anza kufatilia channel yako hio siku jioni mahali nauzia baba kuamka hivi wateja wangu waliniita wakanambia fanya huyu hapa amekupa nkashangaa hi hii ndo nini kumbe ni kitu yenye ilikua inachukua pesa zangu cox nko namiaka nyingi sana nkieka stock fanya anakuja stock inaisha nasina pesa,kweli mtumishi nmeona mkono wa bwana...

  • @DeborahMatiko
    @DeborahMatiko 4 месяца назад

    Mungu naomba unitendee mume wangu arudi north mara baba

  • @alfonsinaisack5502
    @alfonsinaisack5502 Год назад

    Kwamajina naitwa alfonsina izack Niko mkowa wa Morogoro mjini na muomba mungu Kila ninapo sikikiliza. Ushuhuda wawatu nami bwana yesu akanifungue na kunitoa kwenye madeni nanikajenge kiuraisi na Nika patemume aliye kuwa dahihi mtumishi

  • @miriummbisse2278
    @miriummbisse2278 11 месяцев назад

    Yesu namba nitendee na Mimi kwa jina la yesu

  • @neemamuagama449
    @neemamuagama449 2 года назад

    Nabariniwa Dana na madhabau ya arise and shine

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад

    Kupitia shuhuda hizi naomba nami nkapokee majibu ya afya yangu na uchumi wangu,Amina

  • @easthermlwanda8984
    @easthermlwanda8984 3 года назад

    Naomba na Mimi nitendewe napokea jtk Jina la Yesu ameeen

  • @tunakisiwekamnyoge8061
    @tunakisiwekamnyoge8061 2 года назад +1

    Yesu tenda juuya shida niriyonayo🤲

  • @lilywei6616
    @lilywei6616 3 года назад +1

    IPO siku na Mimi nitapanda kiuchui nitakaa nyumba nitakuwa na mashamba makubwa na nitapata watoto wa kizungu watatu au wawili 🙏 hii naamini na wazazi wangu watafunguliwa kiuchumi na tutakombolowa Mimi na family yangu na tutakuwa na amani na Baba yangu atafunguliwa kiuchumi na magojwa yote yatatoeka katika maisha yetu🙏🙏😭

  • @MAGDALENAlUTOBEKA
    @MAGDALENAlUTOBEKA 6 месяцев назад

    Nabarikiwa na familia yangu ameen

  • @Odethaaloyce
    @Odethaaloyce 11 месяцев назад

    Naomba kupitia ibaada hii mme wangu mtalajiwa pascko anitamkie kua Nia yake ni kunioa kwa jina la yesu

  • @winniejohnjohnsule2636
    @winniejohnjohnsule2636 2 года назад

    Amina napokea uponyaji

  • @JacklineLazaro-xk4qh
    @JacklineLazaro-xk4qh 3 месяца назад

    Mungu naomba nipone namtot wangu awe na afya njem

  • @joanaagustonaveta8773
    @joanaagustonaveta8773 2 года назад

    Mungu akulinde papote ulipo,napenda sana lakini Niko bali.

  • @PAPAAKIZWII-zj1bp
    @PAPAAKIZWII-zj1bp Год назад

    Naomba nipate kazi na homa ziishe.

  • @anithamsery1720
    @anithamsery1720 2 года назад

    naamin na Mimi ninapokea watoto mapacha Amin

  • @imanfingulu7958
    @imanfingulu7958 2 года назад

    Mungu naomba nipo kwenye madhabau haya naomba mama kesho aende hospitali

  • @judithlaurian8619
    @judithlaurian8619 2 года назад

    Eee mungu kaniponye maladhi yangu ya tumbo naamini kupitia madhabau hii ntapona🙏🙏🙏

  • @annastaziaakyo3561
    @annastaziaakyo3561 Год назад

    We yesu mwezi huu wa pili ni mwaka wangu wakubeba mimba na kuzaa. Nimeangaika ndani ya ndoa lkn heee mungu fungua kizazi changu nikapate kicheko wamenisema wengi lkn we ndio Kila kitu kwangu

  • @kitiasdaughter903
    @kitiasdaughter903 Год назад

    Mungu nisaidie

  • @gerarddavid4149
    @gerarddavid4149 2 года назад

    namushukuru Kwa sababu nimepata kazi

  • @marymary8313
    @marymary8313 3 года назад

    Naomba Boss wangu wakubari niende kenya kiraisi na wasinilipese chochote tena nirudi kwa hii nyumba

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 2 года назад

    Kupitia shuhuda hizi naomba Kwa mungu anifungulie Milango na aniepushe na malazi niliyonayo ktk Maisha yangu

  • @prosisterlucas4138
    @prosisterlucas4138 3 года назад

    Najiambatanisha na shuuda hizi,Mungu kanitendee kwa mwanangu akafunguliwe katika Masomo yake akawe kichwa na si mkia kwa Jina la YESU,akawe namba moja.

    • @msafiriswai6591
      @msafiriswai6591 3 года назад

      Naitwa msafiri najiungamanisha mungu awaponye wanangu wrote magonywa yanayo wasumbua wawe was kwanza darasani wawe vichwa

    • @gracemahugi2260
      @gracemahugi2260 3 года назад

      Najiunganisha na madhabahu yk mtumishi nimeagiza maji na mafuta nipate uponyaji wa afya yg yote

    • @gracemahugi2260
      @gracemahugi2260 3 года назад

      Nimeanza jana kuyatumia na mungu anifungulie njia ktk biashara yg

  • @mamamikuwa4991
    @mamamikuwa4991 3 года назад

    Namunganishe mjukuu wangu awe kichwa darasani ashike no.1 Amen

    • @joyceleani7820
      @joyceleani7820 3 года назад

      Ninamuunganisha mtoto wangu akawe kichw Darasani kwa jina la yesu

  • @ernestinafelizantonio8751
    @ernestinafelizantonio8751 2 года назад

    Amina

  • @miriummbisse2278
    @miriummbisse2278 11 месяцев назад

    Yesu nione na mimi

  • @ireneelisha9140
    @ireneelisha9140 2 года назад

    Naomb kwa Iman natumia maji ya nyumban kwetu nayaunganisha na madhabahu ya inuka uangaze yawe maji ya upako na yaliyoombewa siku 7 kwa Iman ntakuwa Sawa Mimi na ujauzito Wang mwakan 2022 mwez wa kwanz ninapoanz clinic nianz kwa neema yako mungu katik jina la yesu nimepokea

  • @twalikimawalanga800
    @twalikimawalanga800 3 года назад

    Kupitia mazabau.naomba namimi nipate watoto watatu mapacha pia nabiashara yanguiende vizuri maombiyangu naombauyasikie kwaimani

  • @twalikimawalanga800
    @twalikimawalanga800 3 года назад +1

    Emungu sikiakirio changu kiukwerinaitaji mapacha nabiashara yangu itoke kwaimaniyesu atanisaidia

  • @JacklineLazaro-xk4qh
    @JacklineLazaro-xk4qh 3 месяца назад

    Msaidiye mume wangu kiuchumi naaache umalaya anipende mkewake

  • @florakagaruki6172
    @florakagaruki6172 2 года назад

    Mungu nataka unibariki

  • @rosemarykipesha3898
    @rosemarykipesha3898 3 года назад

    Nataman maj na mafuta nko mwanza naweza kupataje?

  • @purityneema218
    @purityneema218 2 года назад

    Eeeh mungu naomba leo upite kwangu nimechoka mateso

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 2 года назад

    Mungu ni mwema sana

  • @Odethaaloyce
    @Odethaaloyce 11 месяцев назад

    Cku ya Leo naomba hii nguvu inayo Kaa mgongon itoke Hali ya haja kubwa iwe sawa

  • @iridachowo101
    @iridachowo101 2 года назад

    Nabii naomba uniokoe mm nawadogo wangu wanakesi aramisi tarehe kumina tatu mezi huu hukum nipo songea naomba niombee itoke disimis nawakabizi kwako nabii wapo wawiri warigombana naomba niombee na mm huwa watu wananichukia bira sababu nabii naomba semanao amee

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад

    Naamini Upo wakati na majira yake Mwenye mamlaka ,uweza na nguvu nami nitapokeaa haja ya moyo wangu

  • @Odethaaloyce
    @Odethaaloyce 11 месяцев назад

    Naomba kupitia hii niitwe kazin kabanga nike

  • @gersonboston4114
    @gersonboston4114 Год назад

    Ameen

  • @Odethaaloyce
    @Odethaaloyce 11 месяцев назад

    Najiungamanisha na ibaada ya maji ya cku 7

  • @EsterJonas-ii4do
    @EsterJonas-ii4do Год назад

    Mngu naomba unipe watt mapacha wawe wakike

  • @kalmaerasto7867
    @kalmaerasto7867 3 года назад +1

    Eeee yesu nipeitajilamoyo

  • @neemajoseph9109
    @neemajoseph9109 2 года назад

    Ameni

  • @EmmanuelMtongoli-xt3wi
    @EmmanuelMtongoli-xt3wi Год назад

    Mutumishi naomba niombe Niko kwenye kifungo

  • @matridalule5614
    @matridalule5614 3 года назад +1

    Naitaji nipache nipate mapacha kwajina la Yesu

    • @joycenlemmanul2373
      @joycenlemmanul2373 3 года назад

      Kwajina layesu naomba kufunguliwa kwajina layesu nianze kutumia piliodi nianze kuziona mwezi wakumi namoja nianze kutumia nizione siku zangu kwamazabau ya MWAMPOSA

    • @pendoelikana8420
      @pendoelikana8420 Год назад

      Na Mimi pia MUNGU anitendee muujiza nipate watoto mapacha amen

  • @imanfingulu7958
    @imanfingulu7958 2 года назад

    Ameeeeee

  • @imanfingulu7958
    @imanfingulu7958 2 года назад

    ameeee

  • @Pashonews
    @Pashonews 3 года назад

    Amen

  • @siliviamaneno2905
    @siliviamaneno2905 3 года назад

    Mwangu panya wamekufa seemu ya biashara mubarikiwe mutume

  • @imanfingulu7958
    @imanfingulu7958 2 года назад

    emungu umponye mwanangu Richard anakojoa kitandan akilala

  • @chalresmyamba1071
    @chalresmyamba1071 2 года назад

    Biashara yangu ikue kila siku na magonjwa niliyonayo yapone

  • @merioncyprianmpembu6933
    @merioncyprianmpembu6933 3 года назад

    Naomba nojiunganishe namadhabau ya inuka uangaze mwanangu aolewe na nondolee na chuma ulete

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 3 года назад

    uku kwetu mbona siskii story kama izi,au uku hakuna wachawi

  • @merioncyprianmpembu6933
    @merioncyprianmpembu6933 3 года назад

    Mungu niponue na magonjwa namadem

    • @allyhamis429
      @allyhamis429 3 года назад

      Nataka nipate kazi mtume mana tangu nazaliwa sijawai kuomba Kaz nikapewa Sasa nataka nipate kazi wanipe kazi popote nitanaenda kuomba kazi.pia Nina mpenzi ambae aliniacha apa Tanzania yy kaenda Kenya nataka anifate anaitw kevini lumenelo aje anitafute pia anipate

  • @philipoisaya3036
    @philipoisaya3036 3 года назад

    Jina la yesu alihitaji kisaidiz chochote

  • @graceshikulu4139
    @graceshikulu4139 3 года назад

    Mungu mkuu

  • @agnesparis22
    @agnesparis22 2 года назад

    Baba nataka nije uniombee nitakupataje baba

  • @jryrjjrfjdjgjgjff-nh9fs
    @jryrjjrfjdjgjgjff-nh9fs Год назад

    Natafutasipatipesa.muombeyenipokeye.nikifanikiwanitatowa.ushuhuda

  • @SijawaSeleman
    @SijawaSeleman Год назад

    Baba nataka maji na mafuta na yapataje

  • @jryrjjrfjdjgjgjff-nh9fs
    @jryrjjrfjdjgjgjff-nh9fs Год назад

    Muniombeyenipatenyumba.namtoto

  • @lilywei6616
    @lilywei6616 3 года назад +1

    IPO siku na Mimi nitapanda kiuchui nitakaa nyumba nitakuwa na mashamba makubwa na nitapata watoto wa kizungu watatu au wawili 🙏 hii naamini na wazazi wangu watafunguliwa kiuchumi na tutakombolowa Mimi na family yangu na tutakuwa na amani na Baba yangu atafunguliwa kiuchumi na magojwa yote yatatoeka katika maisha yetu🙏🙏😭

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад

    Naamini Upo wakati na majira yake Mwenye mamlaka ,uweza na nguvu nami nitapokeaa haja ya moyo wangu

  • @imanfingulu7958
    @imanfingulu7958 2 года назад

    ameee

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад

    Amina

    • @yahelaomary5512
      @yahelaomary5512 3 года назад

      Namshukuru mung kupitia mafuta ya upako nimepata kazi

  • @nasrapeter4681
    @nasrapeter4681 3 года назад

    Ameen

    • @lucysalila4135
      @lucysalila4135 3 года назад

      Amin mtumishi naomb kuombewa uchumi wangu na maisha yangu mungu niokoe

  • @agripinaligelele9367
    @agripinaligelele9367 3 года назад

    Amen