Out of all those who viewd … does it hurt just giving him a like . 😏then u say we not advance .. this guy is showing alot about our culture lets show him love ! Hit the thumbs up !
Sipendi kununua masaala tayari, ntaka kuchanganya yangu mwenyewe. Maana saa zengine hizi michanganyiko ya viungo zinazouzwa tayari dukani huzidi kitu fulani amma hupungua kitu fulani.
@@ChefAliMandhry eeh, basi ujue mimi shabiki yako mkubwa, napenda sana kazi unayoifanya, ningependa tu mtumie kiswahili zaidi namwate kutiatia maneno ya kizungu pasi na haja, kwa mfano rojo la chicken, mbona si rojo la kuku. Mungu akuzidishie kheir na anawirishe uso wako mzuri, kaka! الإله ينوير وجهك 🙂
Out of all those who viewd … does it hurt just giving him a like . 😏then u say we not advance .. this guy is showing alot about our culture lets show him love ! Hit the thumbs up !
Thank you so much 😊
Mashalah i love this vedio😍😍
I must try this recipe thank you Mwashy for allowing us in your kitchen and sharing your special recipe gooodnesss 😋😋
Mansha'Allah tabarak rahman I hope u enjoyed ur iftar
Mashallah tabarak Rahman nice one brother 🥰🥰🥰🇴🇲
Lovely family..thank you
Awesome Content
💖💖💖💖
THANK.YOU.SHUKRAN.ASANTE.SANA.
Chef Ali the best content ever. ❤️❤️❤️
Thank you so much
salàm alekum mashallaah
Roadmap to 100K sub. Good luck and good contents.
Thank you so much
RAMADAN.KAREEM.HAPPY.RAMADAN.☪️☪️☪️☪️☪️☪️☪️☪️☪️☪️☪️
That's my classmate abdirahman hahaha
Sipendi kununua masaala tayari, ntaka kuchanganya yangu mwenyewe. Maana saa zengine hizi michanganyiko ya viungo zinazouzwa tayari dukani huzidi kitu fulani amma hupungua kitu fulani.
Ni vizuri kujichangwanyia Lakini ni hadi uwe mda
@@ChefAliMandhry eeh, basi ujue mimi shabiki yako mkubwa, napenda sana kazi unayoifanya, ningependa tu mtumie kiswahili zaidi namwate kutiatia maneno ya kizungu pasi na haja, kwa mfano rojo la chicken, mbona si rojo la kuku. Mungu akuzidishie kheir na anawirishe uso wako mzuri, kaka! الإله ينوير وجهك 🙂
@@martymcfly9232 Ameen Kwa sote Shukran sana
Mpishi wa kisawasawa hatumii royco wala michanganyiko yoyote inayouzwa tayari
Anatumia nini vile????
@@ChefAliMandhry changanya masala yako mwenyewe, maana kila chakula chahitaji masaala aina yake
@@martymcfly9232 hio si tuwaachie
Wenye kunfanya biashara Ndio tuwa promote tununue
@@ChefAliMandhry sawa nitnunua royco maadamu itasaidia kazi yako walau kadogo
Tena mama hakutia mdalasini kwenye wali, antia dalasini. Mdalasini ni mti, jamaani. Utatia vipi mti mzima kwenye sufuria ya wali?
Ndio inakuwa tamu kuliko yakusagwa!! Mdalasini Wa kusagwa huembeza
@@ChefAliMandhry eeh antia vijiti lakini, si mti mzima 😅 amma hata si vijiti, ni viganda
Ule jamaa alisema atatia limau kisha akatia ndimu. Haya matunda mawaili hata hayafanani, limau lina rangi ya kinjano na ndimu lina rangi ya kijani
That’s Limau
@@ChefAliMandhry basi mbiti