ZIJUE DALILI ZA HOMA YA INI, HUDUMA YA UPIMAJI MUHIMBILI NI BURE, DAKTARI AFUNGUKA HAYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 23

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 Год назад +10

    Mbona huwa hamwendi na vijijini !? Kilaau mkafanya pia na mikoani he hamuoni kama mnawakosea baadhi ya watanzania kwani wote wanahitaji huduma sawasawa na wengine?

    • @hamisijuma2425
      @hamisijuma2425 Год назад

      Kwel kabis

    • @emmanuelchilimo
      @emmanuelchilimo Год назад +1

      Uko sawa kabisa Mama,Kama Wilayami Mvomero,Gairo ,Dumil-Kilosa na mikoa mingine Bado watu hawana elimi kabisa.
      .
      .
      Mai hanikutumila ujumbe DM Instagram nimanya kuwa busy naa huduma na Imani yangu Mulungu yu mwema,anie na mwanage wa Mwl.Chihhamilo Dumila.. Tafadhali nikogjage mawasilino gako

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад +3

    Mungu atunusuru 😓 ini duh Stara ya Allah 😓

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 Год назад +3

    Mungu atunusurii na aya maraziiiii jmn jmn jmn jmn jmn jmn

  • @GeorgeKasanga-f8g
    @GeorgeKasanga-f8g 11 месяцев назад +1

    Yaan huh ugonywa ni hatari

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +1

    🙏😪

  • @catherinemichael578
    @catherinemichael578 Год назад

    Mimi mume wangu anahilo tazizo na siwezi kumuacha nampenda na nitampenda milele

    • @fahidashishi255
      @fahidashishi255 9 месяцев назад

      Dada naomba namba yko

    • @evenymathias3788
      @evenymathias3788 8 месяцев назад

      Unaweza kujua dawa yakutibu dada?😊​@@fahidashishi255

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Год назад +2

    Magwanjwa mengi adi tunajiogopa

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 Год назад +1

    Jamani mpaka nimelia nipo apo muimbili karibu unaisha mwaka ini yangu ilikuwa ina mafut nimepewa dawa yakaiisha nikashauriwa nipimwe dam,nikaambiwa haipo sawa nakunywa daw kila siku mpaka nachanganyikiwa jaman sijawahi kupewa dawa bure jamani natamani nikuone doctor sina uwezo sipatag mualiko huu naombeni muwe mnatusaidia

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala8317 Год назад

    Kwanini vipimo vya Homa ya ini, visipimwe bure kama TB, na HIV